August 2013





BSW25jqIgAAKTWM {Pictures} Real Madrid preparing stage for tomorrows presentation of Gareth Bale [AS]
Ujenzi wa jukwaa kubwa la kutambulishia wachezaji wakubwa wanaosajiliwa na Real Madrid ukiendelea mapema jana mchana. Inaaminika Real Madrid wapo katika hatua za mwisho za kumsajili Gareth Bale kwa ada ya uhamisho wa £94m ambayo itakuwa rekodi mpya ya dunia baada ya ile £80m waliyolipa Madrid kumsajili Cristiano Ronaldo kutoka Manchester United miaka minne iliyopita.




Miaka minne iliyopita Cristiano Ronaldo alikuwa mtu wa mwisho kupita juu ya jukwaa hili - na kama habari zilizopo ni za kuaminika basi Gareth Bale akiwa na jezi yake namba 11 atakuwa mchezaji mwingine kutoka ligi kuu ya Uingereza kupanda kwenye jukwaa ndani ya uwanja wa Santiago Bernabeu ndani ya siku chache zijaz


BSW3fY9CcAE8LT0 {Pictures} Real Madrid preparing stage for tomorrows presentation of Gareth Bale [AS]






































































  • Chelsea are in advanced talks to sign Tottenham target Willian from Anzhi Makachkala according to Sky sources.
  • The Stamford Bridge club have made their move after London rivals Tottenham held talks with Willian earlier on Thursday.
  • Spurs were ready to splash £30m on the midfielder, who has been offered a five-year contract at White Hart Lane.
  • Arsenal could re-sign midfielder Mathieu Flamini, 29, who has been training with the club since his contract with AC Milan expired.
  • Crystal Palace have offered £2m for St Etienne winger Yohan Mollo.
  • Stoke have been rejected by Werder Bremen striker Marko Arnautovic and have enquired about Aston Villa winger Marc Albrighton
  •  
  • Chelsea have been told they do have hope of signing Manchester United striker Wayne Rooney - if manager David Moyes can find a replacement for the England international.
  • Arsenal have turned their sights to Real Madrid star Karim Benzema in their search for a top striker.
  • Liverpool have turned down a £10m bid from Italian side Napoli for defender Martin Skrtel.
  • Manchester City are ready to offer Atletico Madrid £2.5m for Martin Demichelis as they look to ease their defensive injury crisis.
  • Sunderland are set to take their summer spending beyond £20m by making Juventus full-back Paolo De Ceglie their 12th signing.
  • Cardiff City want to sign West Ham's Portuguese frontman Ricardo Vaz Te, with Leeds United also interested.
  • Middlesbrough are set to offer £1.8m for out-of-favour Norwich City striker Luciano Becchio, 29.
  • Tottenham striker Emmanuel Adebayor does not want to leave the London club despite manager Andre Villas-Boas making it clear the 29-year-old is surplus to requirements at White Hart Lane.
  • Swansea City are ready to sign Huddersfield Town's 22-year-old right-sided utility player Jack Hunt who is rated at £3m.
  • Barnsley are set to sign former Brighton midfielder Gary Dicker and ex-Celtic winger Paddy McCourt after trials. 
  •  

Mitambo ya kuzalisha umeme ya Songas iliyopo Ubungo jijini dar es Salaam, usiku wa kuamkia leo imeungua moto kabla ya kudhibitiwa na Kikosi cha Uokoaji na Zimamoto kwa kushirikiana na kikosi cha Kampuni ya Knight Support.
Picture
Askari wa Kikosi cha zimamoto na Uokoaji wakizima moto uliokuwa unawaka katika mitambo ya kuzalisha umeme ya Songas, Ubungo jijini Dar es Salaam. (Picha: Francis Dande

Akizungumzia tukio hilo, Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme nchini (TANESCO), Mhandisi Felichesim Mramba, alisema hitilafu hiyo imetokea katika kituo cha 33kv na kusababisha gridi ya taifa inayotumika jijini Dar es Salaam kuzimika, hivyo baadhi ya maeneo umeme ukawa umekatika.

“Tulipata taarifa saa 10 kuwa kuna hitilafu hapa na tukajaribu kuwasiliana na Idara ya Zimamoto kwa simu wakawa hawapatikani mpaka tulipowafuata ofisini kwao. Nashukuru baada ya taarifa walifika kwa wakati na wakafanikiwa kuudhibiti moto,” alisema.

Alisema kuwa kutokana na hitilafu hiyo maeneo mbalimbali ya jiji yaliyokuwa yakipata umeme kupitia kituo
 hicho yataathirika na kuyataja kuwa ni Kigogo, Mburahati, Magomeni, Tandale na Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.

Meneneo mengine ni Changanyikeni, Kimara, Tabata na Riverside na kwamba juhudi zinafanyika kuangalia uwezekano wa maeneo hayo kuunganishwa katika njia nyingine kwa muda.

Aliongeza kuwa bado hawajajua thamani halisi ya hasara iliyopatikana na muda utakaotumika kufanya marekebisho huku akiainisha kuwa ukarabati wa vifaa hivyo unaweza kuchukua wiki moja mpaka mbili kutegemea na aina ya uharibifu.

Baadhi ya mashuhuda walisema kuwa moshi uliokuwa ukitoka katika mitambo hiyo ulikuwa mzito na uliwasababishia kushindwa kupumua vizuri.

“Niliwaona kina mama na watoto waliokuwa wanakwenda katika kituo cha mabasi Ubungo wakipata taabu kupumua hadi tukawa tunawasaidia kuwapeleka mbali na eneo la tukio,” alisema Gervas Lutabalize, ofisa wa Chama cha kutetea abiria.

Kamanda wa Kikosi cha Zima Moto na Uokoaji jijini Dar e s Salaam, ACP Jesward Ikonko, alisema walipata taarifa ya tukio saa 11:58 alfajiri na kufika katika tukio saa 12:5 ambapo waliwakuta wafanyakazi wa kikosi cha Knight Support wakiwa wameshaanza kazi ya kuzima moto. --- via Habari Mseto blog



































































Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) imezindua kampeni ya kutoa elimu mashuleni ya usimamizi na utawala wa fedha kwa vijana katika jitihada zake za kuwaelimisha wanafunzi wa Sekondari nchi nzima umuhimu wa kuwa na utamaduni wa kuweka akiba.
Akizungumza katika uzinduzi rasmi wa kampeni hiyo jijini Dar es Salaam jana, Mkurugenzi Mtendaji wa Benki hiyo, Bi Mizinga Melu alipotembelea shule ya Sekondari ya Benjamini Mkapa ya jijini alisema kampeni ya kujifunza utamaduni wa kujiwekea akiba ni mkakati wa benki wa kuelimisha vijana mashuleni na jamii kwa jumla nchi nzima umuhimu wa kuweka akiba kwa ajili ya baadaye.
Alisema Benki ya Taifa ya Biashara inafahamu kwa kina umuhimu wa kuwekeza na kuelimisha vijana wa leo wa kitanzania jinsi ya kusimamia mapato yao na kujiwekea akiba kwa maisha yao  baadaye ili kuhakikisha wanajifunza mbinu wakiwa bado vijana wadogo mashuleni.
Melu alisisitiza kwamba vijana ndio nguzo pekee kwa maendeleo ya nchi ya kijamii, kisiasa na kiuchumi kwahiyo inahitajika juhudi za makusudi za kumpatia kijana wa leo taarifa, elimu ya fedha na ujasirimali katika mitaala ya masomo yao kwa manufaa ya nchi nzima.
Alisema kwamba kuna mambo ya muhimu kwenye stadi za maisha hasa katika swala la kujiwekea akiba kwa ajili ya baadaye kwa hiyo wanafunzi watafundishwa mbinu sahihi za kutunza fedha na mapato ili kupunguza utegemezi kwa walevi na wazazi na jamii kwa ujumla.
Melu alifafanua kwamba kampeni hii ya kufundisha utawala wa fedha na mapato kwa vijana itatengeneza mazingira mazuri kwa wanafunzi, walimu, wafanyakazi wa benki ya NBC and jamii kwa ujumla kushirikiana kwa karibu zaidi.
“Sisi NBC tunatambua umuhimu na nafasi vijana katika kutengeneza jamii ya baadaye kwa mantiki hiyo kwa kutambua uwepo wao tunajisikia ulazima wa kuwajengea uwezo kwa maslahi ya kizazi kijacho,’
Kwa upande wake Mkurugenzi wa Maendeleo ya Vijana kutoka Wizara ya Habari, Utamaduni, Maendeelo ya Vijana na Michezo ambaye alisoma hotuba ya Waziri wa Habari kwa niaba yake, Profesa Elisante Ole Gabriel alisema serikali itaendelea kutilia mkazo umuhimu wa elimu kwa vijana katika kusukuma mbele gurudumu la maendeleo ya taifa.
“Nachukua nafasi hii kuwashukuru Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) kwa kuendesha kampeni hii, kwani tunaamini kuwa kampeni hii itawafikia vijana wengi, watakaobadili mwelekeo wao wa kujitegemea na hatimaye kujijengea uwezo wa kujitegemea kiuchumi, sasa na baadaye,” alisema 
 Profesa Gabriel aliendelea kuishukuru benki hiyo kwa kuwa mstari wa mbele katika kusaidia sekta ya elimu hapa nchini pamoja na hivi karibuni kuchangia bweni huko Tabora na Maktaba ya kujisomea huko Lindi ambayo ni moja ya changamoto kubwa sana kwa nchi na Serikali.
Serikali kupitia mwaka wa fedha 2013 na 2014 Wizara ya Habari, Utamaduni, Maendeleo ya Vijana na Michezo ilitenga kiasi cha Tsh 6.1 billioni kwa ajili ya kutoa mikopo kwa vijana nchini.
Kwa Upande wake Mkuuwa Idara ya Masoko, Mawasiliano na Mahusiano Mwinda Kiula Mfugale alisema kupitia programu ya kujitolea kwa jamii kampeni ya kuhamasisha elimu ya utawala wa fedha na kuweka akiba imefundisha wanafunzi 3,000 na malengo kufikia wanafunzi 6,000 nchi nzima.
Mwisho..


Real Madrid are holding the number 11 shirt for Gareth Bale, Manchester United are expected to up thier bid for Leighton Baines and Marouane Fellaini and Liverpool to sign Aly Cissokho.

Everton have described a joint £28m bid from Manchester United for Marouane Fellaini and Leighton Baines as "derisory and insulting". 


Some developments on Willian's proposed move to Anfield. Gazzetta dello Sport reports Tottenham could snatch the midfielder from Liverpool's grasp with a bid in the coming days for around €27 million.


Southampton, Benfica, Lazio and Stuttgart target Tim Matavz has made his desire to leave PSV for a "bigger club" known. "If there will be a day when an offer from an even bigger club than PSV and from an even bigger league than Eredivisie will come to me, I would say yes of course," he told Delo. But is Southampton really bigger than PSV? 


If Corriere dello Sport are to be believed then PSG defender Mamadou Sakho wants to leave the French champions, with Liverpool and AC Milan favourites for his signature. 

Sky Italia are claiming that Roma striker Pablo Daniel Osvaldo is on the verge of completing a move to Southampton... 

Author Name

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.