May 2015

Russia was last night suspended from the elite G8 group of leading economies, who said they could not accept its breach of international law. 
G7 leaders clockwise from left, EC president Herman Van Rompuy, Canadian PM Stephen Harper, French President Francois Hollande, British PM David Cameron, US President Barack Obama, German Chancellor Angela Merkel, Japanese PM Shinzo Abe, Italian PM Matteo Renzi and EC president Jose Manuel Barroso
G7 leaders clockwise from left, EC president Herman Van Rompuy, Canadian PM Stephen Harper, French President Francois Hollande, British PM David Cameron, US President Barack Obama, German Chancellor Angela Merkel, Japanese PM Shinzo Abe, Italian PM Matteo Renzi and EC president Jose Manuel Barroso

 David Cameron, Barack Obama and other world leaders said it was up to Vladimir Putin to 'change course' over Ukraine or his country will remain excluded indefinitely.

Leaders of the remaining countries – Britain, the US, Germany, France, Italy, Canada and Japan, who are calling themselves the G7 – agreed to meet again without Russia until it was ready to engage in 'meaningful discussion'.
Scroll down for video

They made a joint statement following crisis talks on the sidelines of a summit about nuclear security, which was overshadowed by developments in Ukraine.

Since the annexation of Crimea last week, Russian forces have stormed and seized control of three Ukrainian military bases and fuelled fears of further action. 

Mr Cameron said it was 'absolutely clear' that this summer's G8 summit, scheduled to be held in Sochi – the Russian resort which hosted the Winter Olympics – was cancelled.

Instead, it will be held in Brussels in June, and Mr Putin will not be invited for the first time since Russia was admitted to the group in 1998.

A G7 statement released last night said: 'This group came together because of shared beliefs and shared responsibilities. Russia's actions in recent weeks are not consistent with them.'
The communique 'condemns Russia's illegal attempt to annex Crimea' as 'contravention of international law.' 

Foreign Secretary William Hague said: 'The President of the United States was very clear in the meeting that it will be hard to revive that (the G8) in the immediate future.
'It would need our values to be clear, our shared values to be clear again, and clearly those shared values are not shared by Russia in violating the independence and territorial integrity of a neighbouring nation.'

But Russia's foreign minister, who was also in The Hague yesterday, played down the snub. Sergei Lavrov said: 'If our Western partners believe the format has exhausted itself, we don't cling to this format. We don't believe it will be a big problem if it doesn't convene'.

The move to isolate Russia diplomatically came as the US urged European countries to impose  tougher economic sanctions – even if it hurts the City or energy prices.
Mr Obama said leaders were united on 'imposing a cost' on Mr Putin's regime amid concerns he has set his sights on further expansion.

US security adviser Ben Rhodes said of the sanctions: 'We would like to see a steady ratcheting up of that pressure.' 

Britain and other European countries have imposed asset freezes and travel bans on a list of 33 Russian oligarchs and Putin loyalists.

But they were urged to go further as Nato commander, General Philip Breedlove, warned that Russian troops on Ukraine's eastern border were 'very, very sizeable, and very, very ready' for action.

Outnumbered Ukrainian forces were ordered to leave Crimea yesterday, and bade tearful farewells to loved ones left behind. 

Russian military experts said Mr Putin would decide in the next two weeks whether to launch 'a large-scale invasion of mainland Ukraine'.

Analyst Pavel Felgenhauer said this could involve attacks on half a dozen Ukrainian cities.
'The troops are concentrated and ready for an offensive,' he said.

























































The closer Manchester United get to their Adidas kit launch the more credible the leaked images become.
A raft of dubious designs have hit the internet in recent months, however the latest three-striped away kit looks credible, report the Manchester Evening News.
 Embedded image permalink
Firstly, the labels attached to pictures of the design appear to be reasonably legitimate, even to the untrained eye.
And from a purely aesthetic perspective, United supporters will notice the watermarks emblazoned on the black shirt, which appear to be a homage to the much revered 1992 away kit United wore in that year's League Cup final.


United signed a world record £750m deal with Adidas, who fought off competition from Warrior, earlier this season to end Nike's 13-year association with the 20-times English champions.

The 20-times English champions will not don the new strips on the four-match United States tour, though. Nike's contract with United runs until the end of July and Adidas are expected to reveal their new kit on August 1.

Nike replaced Umbro as United's kit supplier in 2002 while Adidas are about to start their second stint with United, having designed the club's kits from 1980-92.

Source by  http://www.mirror.co.uk


 

Application Deadline: 05 Jun 2015
Manager-International Operations POSITION DESCRIPTION:

From Daily News,28th May

PURPOSE AND SCOPE OF POSITION
The international operations manager will oversees foreign Exploration assets, Supervises foreign operating subsidiaries and partner with local/foreign partners for doing oversees exploration activities.

PRINCIPAL DUTIES AND RESPONSIBILITIES
Acquires overseas exploration and production assets individually or through joint ventures;
Supervises foreign operations subsidiaries;
Ensures preparation of all foreign geological programs and in collaboration with the Chief Geologist and Chief Geophysicist to
participate in the preparation of geological and geophysical programs;
Ensures plans and budgets for foreign geological and geophysical projects are prepared;
Ensures preparation of promotional materials and documents for meeting with international oil companies for possible joint ventures;
Assists the tender Board where appropriate in the selection of contractors and service companies for petroleum exploration projects.
Ensures directorate's participation in joint venture and production sharing agreement negotiations;
Evaluates results and presents them to the Director of Upstream Operations;
Ensures safety and efficiency in petroleum exploration programs in compliance with best international petroleum industry practices;
Ensures that the overseas acquired data and materials are transmitted and maintained in the TPDC Data bank;
Advises the Director of Upstream Operations on the selection of geophysical consultants, acquisition contractors, processing contractors and contractors for borehole surveys;
Ensures the structural and geological interpretation of data and advises the Director of Upstream Operations on attractive prospects and drilling locations;
Ensure that contractors and consultants engaged in geophysical data acquisition meets the Corporation's requirements on quality,
safety to personnel and environmental protection;
Prepares exploration programs, plans and strategies both short-and-Iong terms;
Prepares project cost estimates and budgets;
Ensures the department is properly equipped with geophysical instruments and equipment that are properly maintained;
Liaises with the Director of Finance to ensure that Joint Ventures and Production Sharing Agreements are monitored technically and financially through audit programs;
Liaises with Exploration Manager and Production Manager to support logistics in petroleum exploration, development and production operations;
Ensures marketing of petroleum products at delivery point;
Undertakes any other related duties as may be assigned by superiors from time to time.

MINIMUM QUALIFICATIONS REQUIRED
Direct Entry Qualifications:
Holder of a Master's Degree in Petroleum Geosciences/Engineering or equivalent qualification from a recognized institution. A holder of PhD degree in the relevant academic field will be of added advantage.

WORKING EXPERIENCE
At least 10 years' experience of which 3 years must be at senior level. Proven high administrative and managerial ability in the oil industry and knowledge of international oil business is essential.

DESIRED ATIRIBUTES AND COMPETENCES
Must be visionary, proactive and forward looking
Must be innovative and results-oriented
Must have the ability to maintain a multi-task focus
Must demonstrate integrity and professionalism.
Must be able to work independently and under tight time schedules.
Must have ability to make decisions independently and advise accordingly.
Must have ability to work under pressure.


APPLICATION INSTRUCTIONS:

MODE OF APPLICATION
Interested and suitable candidates should submit their application letters along with their curriculum vitae, indicating current email and telephone contacts
Certified copies of relevant certificates and one recent passport size photograph should be attached to their application letters
Each applicant must provide names and contact details of two reputable referees
Applications without relevant documents will not be considered
Only short listed candidates will be contacted.

Applications must reach the undersigned by REGISTERED MAIL on or before 5th of June 2015:
- The Managing Director
Tanzania Petroleum Development Corporation
Benjamin William Mkapa Towers
Jamhuri/Azikiwe Road
P.O. Box 2774
Dar es Salaam
Tanzania


AVOID SCAMS: NEVER pay to have your CV / Application pushed forward.
Any job vacancy requesting payment for any reason is a SCAM. If you are requested to make a payment for any reason, please use the Report Abuse, or call +255 768 982 800 to report the scam.

If you are qualified for this position

  • Please follow the application instructions

DSC_0009
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mh. Mathias Chikawe (kulia) akiwasili kwenye uwanja wa ndege Kigoma akiwa ameambatana na Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo (UNDP), Alvaro Rodriguez (hayupo pichani) pamoja na Mwakilishi wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi (UNHCR), Joyce Mends-Cole (wa pili kulia) na kupokelewa na Kaimu Mkuu wa mkoa wa Kigoma ambaye pia ni Katibu Tawala wa mkoa huo, Mhandisi Dkt. John Ndunguru (wa pili kushoto) kwa ajili ya kutembelea na kuona changamoto katika maeneo maalum wanapohifadhiwa Wakimbizi. Kulia ni Naibu Waziri wa Wizara ya Ushirikiano wa Afrika Mashariki Dkt. Juma Abdulla Saadala.(Picha zote na Zainul Mzige wa modewjiblog).
Na Modewjiblog team, Kigoma

Waziri wa Mambo ya Ndani Mathias Chikawe amesema Tanzania itatoa nafasi zaidi kuliko ya sasa ili kuweza kuwaweka wakimbizi wa Burundi wanaoingia nchini katika mazingira ya kuishi maisha ya kawaida.
Kauli hiyo ameitoa ofisini kwa Mkuu wa mkoa wa Kigoma jana kabla ya kuelekea kambi ya wakimbizi ya Nyarugusu na kujionea hali ilivyo akiambatana na watendaji wa mashirika ya Umoja wa Mataifa yaliyopo nchini.
Alisema kama taifa wameona uwingi wa Wakimbizi na watatoa nafasi zaidi ili kuwezesha Wakimbizi hao kupata mahitaji yao ya msingi kwa mujibu wa taratibu za Umoja wa Mataifa kuhusu Wakimbizi.
Alisema katika kufanikisha suala la kuhudumia Wakimbizi wanaomiminika kwa sasa serikali itashirikiana na Mashirika ya Umoja wa Mataifa kuhakikisha mahitaji ya msingi kwa Wakimnbizi hao yanapatikana.

“Wakimbizi wanahaki ya kulindwa na kuthaminiwa kama wananchi wa Tanzania, kwa hiyo serikali itatoa nafasi zaidi na tunashukuru msaada tunaopata kutoka kwa Mashirika ya Umoja wa Mataifa kukabiliana na tatizo hili …,” alisema.

Naye Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo (UNDP), Alvaro Rodriguez alisema kwamba Umoja wa Mataifa unatiwa shaka na hali ya kisiasa ilivyo nchini Burundi na kusema kuyumba kwa hali ya kisiasa kunaweza kuleta Wakimbizi wengi nchini.

Alisema kwa sasa Umoja wa Mataifa unafanya kazi na Jumuiya ya Afrika Mashariki, Umoja wa Afrika na wanachama wengine wa jumuiya za kimataifa kuhakikisha kwamba hali ya usalama inarejea nchini Burundi.
Aidha aliipongeza Tanzania kwa kuwa mstari wa mbele kusaidia kutatuliwa kwa mgogoro wa Burundi.

Rodriguez alisema Tanzania ni mfano wa kuigwa kwa namna inavyoshughulikia Wakimbizi na kusema Umoja wa Mataifa unaangalia hali inayojitokeza Burundi kwa makini ili kusaidia Tanzania isilemewe na Wakimbizi.

Aidha alisema kwamba kitendo cha serikali ya Tanzania kutoa nafasi zaidi ya kuwezesha kusiwepo na msongamano wa Wakimbizi Nyarugusu kunaonesha ushirika wa kweli kati ya serikali ya Tanzania na jumuiya ya Kimataifa katika kushughulikia matatizo ya Wakimbizi.
Alisema hata hivyo kuanzishwa kwa kambi hiyo mpya ni gharama kubwa na kuitaka jumuiya ya kimataifa kusaidia kuanzishwa kwa kambi hiyo mpya.

Aidha alisema kwamba Mashirika ya Umoja wa Mataifa yakifanyakazi kama shirika moja, chini ya uongozi wa Shirika la Umoja wa mataifa la kuhudumia Wakimbizi duniani (UNHCR) wameitikia wanavyostahili pamoja na changamoto nyingi walizokumbana nazo.

DSC_0014
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mh. Mathias Chikawe akisamiana na Waziri wa Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoani Kigoma Kamishina mwandamizi, Ferdinand Mtui (kulia) pamoja na viongozi wengine wa usalama wa mkoa wa Kigoma mara tu baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa mjini Kigoma akiwa na mwenyeji wake Kaimu Mkuu wa mkoa wa Kigoma ambaye pia ni Katibu Tawala wa mkoa huo, Mhandisi Dkt. John Ndunguru (wa pili kushoto).

Changamnoto hizo ni pamoja na uwingi wa Wakimbizi waliokuwa wakimiminika, umbali uliopo wa kambi ya Kagunga ambako walikuwa wanafikia huku waliowengi wakiwa wanawake na watoto.

Alisema hata hivyo UNHCR walifanikiwa kuwasajili Wakimbizi hao na kuandaa mazingira ya ukazi wao katika kambi ya Nyarugusu. Aidha wamewezesha usafiri kwa Wakimbizi kutoka Kagunga hadi Kigoma.

Pia alisema IOM walifungua njia kutoka Kagunga hadi eneo jirani ambako Wakimbizi walipakia katika mabasi na kufika katika vituo walivyotakiwa kuwepo.
Pia UNICEF waliweza kusaidia maji na vifaa vya usafi kwa watoto na WFP wao walihakikisha chakula kinafikishwa hasa biskuti za kuongeza nguvu.

Aidha WHO wao walikuwa wanaisaidia serikali katika kukabiliana na mlipuko wa Kipindupindu.
Aidha UNFPA walishughulikia mahitaji ya wanawake hasa wale waliokuwa wajawazito.
Mratibu huyo alisema kwamba hata hivyo mambo yote hayo yasingefanikiwa kama si kwa msaada wa serikali ya Tanzania na jumuiya ya kimataifa.

Mratibu huyo alisema kuwa Mashriika ya Umoja wa Mataifa yameanza kupata fedha za kusaidia katika shughuli zao na kwamba kuna ahadi ya dola za Marekani milioni 12.
Alisema kwamba Umoja wa Mataifa umeona kwamba kutitirika kwa Wakimbizi hao kumeleta hali ngumu kwa serikali ya Tanzania na wakazi wa Kigoma.

Alisema wanatambua changamoto zinazoambatana na kuwa na kundi kubwa la Wakimbizi lakini wataendelea kuhitaji msaada wa serikali ya Tanzania na jumuiya ya kimataifa katika kipindi hiki kigumu.

DSC_0016
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mh. Mathias Chikawe akiendelea kusamiana na viongozi mbalimbali wa mkoa wa Kigoma waliofika kumlaki katika uwanja wa ndege wa mjini Kigoma.
DSC_0019
Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo (UNDP), Alvaro Rodriguez akisalimiana na Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoani Kigoma Kamishina mwandamizi, Ferdinand Mtui mara tu baada ya kuwasili akiwa amefuatana na Waziri Chikawe (hayupo pichani).
DSC_0018
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mh. Mathias Chikawe (kulia) akifurahi jambo na Mkuu wa ofisi ya Shirika la Umoja wa Mtaifa la Kuhudumia Wakimbizi (UNHCR) Kasulu, Kigoma, Amah Assiama-Hillgartner kwenye uwanja wa ndege mjini Kigoma mara tu baada ya kuwasili.
DSC_0024
Mwakilishi wa Shirika la Umoja wa Mtaifa la Kuhudumia Wakimbizi (UNHCR), Joyce Mends-Cole (kushoto) akibadilishana mawazo na Mkuu wa Shirika la Kimataifa Ia Uhamiaji (I.O.M), Bw. Damien Thuriaux (kulia) mara tu baada ya kuwasili mjini Kigoma tayari kuelekea kambi ya Wakimbizi Nyarugusu.
DSC_0027
Mwakilishi wa Shirika la Umoja wa Mtaifa la Kuhudumia Wakimbizi (UNHCR), Joyce Mends-Cole akifafanua jambo kwa viongozi wenzake mara tu baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege mjini Kigoma. Wa pili kushoto ni Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo (UNDP), Alvaro Rodriguez, Mkurugenzi wa Idara ya huduma za Wakimbizi wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Harrison Mseke (wa pili kulia) pamoja na Mkuu wa Shirika la Kimataifa Ia Uhamiaji (I.O.M), Bw. Damien Thuriaux.
DSC_0036
Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo (UNDP), Alvaro Rodriguez (kushoto) akiongozana na Mkuu wa Shirika la Kimataifa Ia Uhamiaji (I.O.M), Bw. Damien Thuriaux kuelekea chumba maalum cha mapumziko mara tu baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege mjini Kigoma.
DSC_0049
Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo (UNDP), Alvaro Rodriguez (kulia) akisaini kitabu cha wageni kwenye chumba maalum cha wageni mashuhuri katika uwanja wa ndege wa mjini Kigoma. Kushoto ni Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mh. Mathias Chikawe akimsikiliza Mwakilishi wa Shirika la Umoja wa Mtaifa la Kuhudumia Wakimbizi (UNHCR), Joyce Mends-Cole (katikati) walipokuwa kwenye chumba cha mapumziko.
DSC_0071
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mh. Mathias Chikawe na Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo (UNDP), Alvaro Rodriguez wakisaini kitabu cha wageni ofisini kwa Mkuu wa mkoa wa Kigoma kabla ya kusomewa kwa taarifa fupi ya hali ya Wakimbizi mkoani Kigoma.
DSC_0099
Kaimu Mkuu wa mkoa wa Kigoma ambaye pia ni Katibu Tawala wa mkoa huo, Mhandisi Dkt. John Ndunguru akisoma taarifa fupi ya hali ya Wakimbizi kwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mh. Mathias Chikawe aliyeambatana na Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo (UNDP), Alvaro Rodriguez pamoja na Mwakilishi wa Shirika la Umoja wa Mtaifa la Kuhudumia Wakimbizi (UNHCR), Joyce Mends-Cole katika ukumbi wa mikutano wa ofisi ya Mkuu wa mkoa mjini Kigoma.
DSC_0113
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mh. Mathias Chikawe akizungumza kwenye mkutano wa kupokea taarifa fupi ya hali ya wakimbizi katika mji wa Kigoma na changamoto wanazokabiliana nazo mbele ya wawakilishi wa Mashirika mbalimbali ya Umoja wa Mataifa nchini.
DSC_0128
Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo (UNDP), Alvaro Rodriguez akizungumzia jitihada zilizofanywa na Umoja wa Mataifa kupitia Shirika lake la kuhudumia Wakimbizi (UNHCR) na mashirika mengi katika kuhakikisha huduma zote muhimu zinapatikana kwa haraka zaidi ili wakimbizi nao wafarijike kama binadamu wengine sambamba na sheria za Umoja wa Mataifa zinavyotaka. Kushoto ni Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mh. Mathias Chikawe na watatu kulia ni Mwakilishi wa Shirika la Umoja wa Mtaifa la Kuhudumia Wakimbizi (UNHCR), Joyce Mends-Cole.
DSC_0134
Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo (UNDP), Alvaro Rodriguez akiendelea na mazungumzo na viongozi mbalimbali wa ulinzi na usalama wa mkoa wa Kigoma.
DSC_0146
Mwakilishi wa Shirika la Umoja wa Mtaifa la Kuhudumia Wakimbizi (UNHCR), Joyce Mends-Cole akizungumza katika mkutano huo ambapo ameipongeza serikali ya Tanzania kwa moyo wake wa upendo na kutenga maeneo maalum ya kuhifadhi Wakimbizi kutoka nchi za jirani.
DSC_0163
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mh. Mathias Chikawe katika picha ya pamoja ya viongozi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na wa mkoa wa Kigoma sambamba wafanyakazi wa Mashirika mbalimbali ya Umoja wa Mataifa yaliyopiga kambi mkoani Kigoma kuhudumia Wakimbizi.

Tarehe 27 na 30 Aprili, 2015, Ofisi ya Waziri Mkuu - TAMISEMI ilitangaza ajira ya wahitimu wa mafunzo ya ualimu na mafundi sanifu wa maabara kwa kuweka orodha kwenye tovuti ya www.pmoralg.go.tz. Iliagizwa kuwa waajiriwa wapya walipaswa kuripoti katika Mamlaka za Serikali za Mitaa kuanzia tarehe 01 hadi 09 Mei, 2015.

Napenda kuchukua nafasi hii kuutaarifu umma kuwa ofisi yangu ilipokea na kuchambua maombi ya walimu ambao hawakuajiriwa awali; na walioomba kubadilishiwa vituo kutokana na matatizo mbalimbali.

Vile vile ofisi imezingatia kuwapanga tena walimu ambao kwa sababu za msingi walishindwa kuripoti kufikia tarehe 09 Mei, 2015.

Walimu wote waliopo katika orodha ya awamu ya pili wanapaswa kuripoti kuanzia tarehe 01 hadi 05 Juni, 2015 kwenye ofisi za Wakurugenzi wa Halmashauri kwa ajili ya kuajiriwa na kupangiwa vituo vya kazi.

Orodha ya walimu hao watakaoajiriwa katika halmashauri husika imegawanywa katika makundi yafuatayo:-

i. walimu wa cheti (Daraja IIIA) waliokosa ajira kwa awamu ya kwanza;

ii. walimu wa cheti (Daraja IIIA) waliobadilishiwa vituo;
iii. walimu wa masomo ya sanaa kwa ajili ya shule za sekondari ambao hawakupangiwa vituo;

iv. walimu waliobadilishiwa vituo wa masomo ya sanaa kwa ajili ya shule za sekondari;

v. walimu wa masomo ya sayansi na hisabati kwa ajili ya shule za sekondari ambao hawakupangiwa vituo; na

vi. walimu waliobadilishiwa vituo wa masomo ya sayansi na hisabati kwa ajili ya
shule za sekondari.

Utaratibu wa Ajira ya Walimu Awamu ya Pili

Kila mwajiriwa mpya anatakiwa kuzingatia yafuatayo:-
i. kuwasilisha vyeti halisi vya taaluma ya kuhitimu mafunzo ya ualimu, elimu ya sekondari, cheti cha kuzaliwa pamoja na nakala zake; na

ii. atalipwa posho ya kujikimu kwa muda wa siku saba (7) na nauli ya usafiri wa magari (ground travel), malipo hayo yatatolewa na halmashauri husika.

Angalizo
i. Walimu ambao wamekwisharipoti na mchakato wao wa ajira umeanza katika Mamlaka za Serikali za Mitaa hawatahusika na mabadiliko haya hivyo waendelee kufanya kazi katika halmashauri husika na hawahusiki na upangaji wa awamu hii.

ii. Walimu ambao walichelewa kuripoti tarehe 9 Mei, 2015 na majina yao hayajaonekana katika mabadiliko haya wanatakiwa waende kuajiriwa katika halmashauri walizopangwa awali (kwa kuzingatia orodha iliyotolewa kwenye tovuti tarehe 30/4/2015). Aidha, walimu wa masomo ya sanaa ambao hawakuripoti katika Halmashauri za Wilaya za Meru na Arusha wamebadilishwa vituo.

iii. Walimu waliopangwa ni wale wa masomo ya sanaa/biashara na cheti waliohitimu mafunzo kwa mwaka wa masomo 2013/14 na wahitimu wa miaka ya nyuma wa masomo ya sayansi na hisabati kwa ajili ya kufundisha katika shule za sekondari.

iv. Kituo cha kazi cha mwalimu ni shule na sio Makao Makuu ya Halmashauri, posho italipwa baada ya mwalimu kuripoti na kuandika barua kupitia kwa
Mkuu wa Shule.

v. Mwalimu hatapokelewa na kuaajiriwa kama ikitokea yupo katika orodha na amehitimu shahada au stashahada zisizo za ualimu na wenye shahada za ualimu zisizo na somo au masomo ya kufundishia katika shule za sekondari.

vi. Ikibainika kuna mwalimu atakayekwenda kuripoti na kuchukua posho na kuondoka, atachukuliwa hatua kwa mujibu wa Sheria.

Ni muhimu kuzingatia maelekezo haya, ikiwa ni pamoja na muda uliowekwa kuripoti kuepuka usumbufu unaoweza kujitokeza.

Limetolewa na
Ndg. Jumanne A. Sagini
KATIBU MKUU
OFISI YA WAZIRI MKUU-TAMISEMI

Kiongozi mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo Zitto Kabwe
1) Taarifa nyingine ya CAG imetoka, kwa mujibu wa Katiba ya JMT na kwa mujibu wa sheria za nchi. Taarifa hii imechelewa kutolewa kulingana na mabadiliko ya Ratiba za Bunge ambapo hapo awali taarifa ilikuwa ikitoka mwezi Aprili na kuwezesha kuchangia katika mchakato wa Bajeti ya nchi. Taarifa ya mwaka huu na ile ya mwaka Jana imetoka wakati wa Bunge la Bajeti na hivyo Bajeti ya Serikali haijazingatia hoja za ukaguzi ili kuboresha mfumo wa matumizi ya fedha za umma. Ni vema utaratibu wa zamani wa ripoti kutolewa mwezi Aprili urejewe ili wabunge waweze kutumia ripoti hizo wakati wa kamati katika kujadili makadirio ya Bajeti za Wizara mbalimbali.

2) Taarifa kama miaka iliyopita bado sio nzuri. Mapato mengi ya Serikali bado yanapotea. Uk. 53 wa Taarifa unaonyesha kuwa mizigo inayoingizwa nchini kupita kwenda nchi jirani zinazotumia bandari zetu hubakia nchini na kuingizwa sokoni hivyo kukwepa kodi. Mwaka 2013/2014 mizigo ya transit iliyobaki nchini kiudanganyifu ilikuwa zaidi ya bidhaa 6000 kwa mujibu wa Taarifa ya CAG. Hivyo kodi ya tshs 836 bilioni haikulipwa kwa mizigo hiyo sawa sawa na 10% ya makusanyo yote ya kodi za ndani. Tshs 836 bilioni ilipotea mwaka 2013/14 peke yake. Wakati hili linatokea Serikali ipo ukata mkubwa na kushindwa kuendesha miradi yake mbalimbali. Fedha iliyokwepwa idara ya forodha peke yake inalipa Madeni yote ya wakandarasi wa barabara wanaoidai TANROADS na riba kulimbikizwa kila mwaka. Fedha hii ingelipa Madeni yote ya mfuko wa PSPF wanayoidai Serikali. Fedha hizi zingeweza kulipia miradi 2 mikubwa nchini ya BVR na vitambulisho vya Taifa ambayo inasuasua kutokana na ukata.

Natoa wito kwa CAG kwanza kuweka wazi orodha ya bidhaa hizo zilizobakia nchini na kuingizwa nchini bila kulipa kodi. Vile vile CAG aweke wazi wafanyabiashara wote walioagiza bidhaa hizi na vyombo vya kiuchunguzi vichukue hatua za kuwashtaki wafanya biashara hawa mara moja.

Natoa wito kwa Kamati ya Bunge ya PAC kuwaita mara moja maafisa wa TRA kujieleza mbele ya kamati kuhusu suala hili na kuandaa taarifa maalumu bungeni ili kuanika uoza huu unaopoteza mapato mengi sana ya Serikali.

3) CAG kaonyesha kuwa kuna ubadhirifu mkubwa sana kitengo cha maafa cha ofisi ya Waziri Mkuu ambapo tshs 163 billioni za chakula cha maafa hazikukusanywa katika kipindi cha miaka 5 iliyopita. Huu ni kama mrija wenye wastani wa tshs 32 bilioni kuchotwa kwa kisingizio cha chakula cha maafa kwa wananchi. Kwa malezo ya CAG ni kwamba Watumishi wa Ofisi ya Waziri Mkuu wamekula fedha za chakula cha misaada. Maana hakuna uthibitisho wa kuwa mahindi yaliyogawanywa na taarifa kutolewa na Wakala wa Akiba ya Chakula (NFRA). Kitengo cha maafa ofisi ya PM kimekuwa mrija wa wizi wa fedha za umma, wizi ambao umekuwa ukifanyika bila ya kugunduliwa kwa miaka 5 sasa. ACT Wazalendo inaisihi Kamati ya Bunge ya PAC kufanya uchunguzi maalumu kwenye kashfa hii ya tshs 163 bilioni katika Ofisi ya Waziri Mkuu na Wakala wa Hifadhi ya Chakula ( NFRA).

4) ACT Wazalendo inalitaka Bunge kuchukua stahiki dhidi ya Wizara ya Ujenzi kufuatia ripoti ya CAG kuonyesha kuwa Wizara ilidanganya Bunge katika kupitisha Bajeti ya tshs 252 bilioni ambapo kati yake tshs 87 bilioni ziliibiwa au matumizi yake kutoeleweka.

5) ACT Wazalendo inampongeza CAG kwa kuendelea na zoezi la kisheria la kukagua mahesabu ya vyama vya siasa. Hii inaweka misingi ya uwajibikaji kuanzia kwenye vyama vya siasa, taasisi muhimu sana katika ujenzi wa demokrasia. Vyama vya siasa vichukulie ripoti ya CAG kama changamoto ya kutoa kwanza kibanzi kwenye macho yao ili kuwa na ‘ moral standing’ ya kupambana dhidi ya ubadhirifu wa fedha za umma nchini.

Zitto Kabwe
Kiongozi wa Chama
ACT Wazalendo

DSC_0349
Kiongozi wa ofisi na mwakilishi wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) nchini, Zulmira Rodrigues (kulia) akisalimiana na Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Magesa Mulongo (kushoto) alipomtembelea ofisini kwake jijini Mwanza akiwa ameambatana na Mbunge wa Viti Maalum CCM, anayetetea maslahi ya watu wenye albinism, Mh. Al-Shaymaa Kwegyir (wa pili kulia) pamoja na Semeni Kingaru (wa tatu kulia).(Picha zote na Zainul Mzige wa modewjiblog).
Na Mwandishi wetu, Mwanza
SHIRIKA la Elimu, Sayansi na Utamaduni la Umoja wa Mataifa (UNESCO) limeahidi kusaidia mapambano dhidi ya unyanyasaji na dhuluma zinazofanywa jamii dhidi ya watu wenye albinism.
Kauli hiyo imetolewa hivi karibuni na Kiongozi wa ofisi na mwakilishi wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) nchini, Zulmira Rodrigues wakati akizungumza na mkuu wa mkoa wa Mwanza Magesa Mulongo.
Mwakilishi huyo wa Unesco amesema hayo alipomtembelea Mkuu wa mkoa kumsalimia na kumweleza hatua zinazochukuliwana Unesco katika kukabiliana na ukatili dhidi ya watu wenye albinism.
Akifafanua zaidi alisema kwamba UNESCO haijatenga fedha zitakazotumika kuendesha kampeni mahsusi bali itatumia uwezo wa kiufundi uliopo kwa wataalamu walionao na kwamba wanakusudia kuona kwamba miaka 15 ijayo watoto wanaozaliwa nchini Tanzania wanakuwa huru pasipo na viashiria vya kuhatarisha maisha vinavyosababishwa na mauaji ya watu wenye albinism.
Akimkaribisha Bi Zulmira ofisini kwake, Mkuu wa mkoa Magesa Mulongo alisema kwamba ingawa kuna utulivu katika kipindi hiki mkoani Mwanza, bado mkoa wake unaendelea kukabiliana na viashiria vinavyosababisha ukatili kwa watu wenye albinism na wazee.
Bwana Magesa alisema imani potofu zilizopo zinazosadikika kufanikisha biashara za uvuvi wa samaki, uchimbaji wa madini na wanasiasa kuendelea na madaraka ni miongoni mwa sababu kubwa za mauaji hayo yaliyoitia doa jeusi jamii ya kitanzania nje ya mipaka.
Alisema kwamba jitihada zinafanywa kukabiliana na imani hizo potofu kwa kuihamasisha jamii kutoziamini na kwamba madaraka na utajiri unatokana na juhudi, kufanya kazi kwa bidii na si vinginevyo.
Aidha amesema mkoa wake umekuwa ukihakikisha kwamba makundi yanayotumika kuua watu wengine kwa kushirikisha jamii yanavunjwa na pia kuwachukulia hatua kali wote wanaobainika kushiriki kwa njia moja au nyingine.
Hata hivyo mwakilishi wa umoja wa mataifa alisema kwamba hali ya amani itatawala pale tu watu watakapobaini kwamba kuua ni ukiukwaji wa haki za binadamu na ni kosa la jinai.
Alisema pindi binadamu watakapokiri kwamba binadamu wote ni sawa na kuishi na albinism sio ‘mzimu’ watabadili mwelekeo mzima wa fikra potofu kimaisha na kuishi kwa amani na kuthaminiana.
Bi Zulmira alimwambia mkuu wa mkoa kwamba UNESCO kwa kushirikiana na wadau wengine wataendesha makongamano yenye lengo la kushirikisha jamii katika kuandaa na kutekeleza mikakati itakayo changia kuzuia na kutokomeza unyanyasaji na dhuluma zinazofanya dhidi ya watu wenye albinism.
DSC_0373
Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Magesa Mulongo (kushoto) akizungumza na Kiongozi wa ofisi na mwakilishi wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) nchini, Zulmira Rodrigues (kushoto) aliyeambatana na Mbunge wa Viti Maalum CCM, anayetetea maslahi ya watu wenye albinism, Mh. Al-Shaymaa Kwegyir (wa pili kulia) pamoja na Semeni Kingaru (wa tatu kulia) alipomtembelea ofisini kwake jijini Mwanza. Wa pili kushoto ni Katibu Tawala wa mkoa wa Mwaza, Faisal Issa.
Warsha hizo zitafanyika kwa wakati tofauti katika kipindi cha wiki mbili wilayani Sengerema, Misungwi, Msalala na Bariadi. Warsha hizo zilizoanzia Sengerema Jumatano na kumalizika Ijumaa zitafuatiwa na Misungwi Mei 25 hadi 27, Msalala Mei 28 hadi 30 na Bariadi kuanzia Mei 28-30.
Katika warsha hiyo pamoja na kujadili mada mbalimbali, mijadala itahusisha viongozi wa serikali, wanasiasa, viongozi wa kidini na kimila na hoja kubwa itakayojadiliwa ni dhana ya kisayansi ya albinism, mitazamo ya jamii kuhusu dhana hiyo, makundi mbalimbali ndani ya jamii, tofauti kati ya utamaduni na asili.
Pia watajadili kubainisha na kuanisha matatizo, changamoto na hatari zinazowakabili watu wenye alibinism na kuchambua mambo yanayochangia uwepo wa changamoto na hatari kwa watu wenye alibinism.
Katika majadiliano hayo pia mikakati inayoweza kupunguza au kumaliza kabisa matatizo changamoto na hatari zinazowakabili watu wenye alibinism katika jamii yetu itatazamwa.
Watoa mada wanatarajiwa kutoka katika halmashauri, vyama vinavyotetea maslahi ya albinism, mbunge anayetetea maslahi ya watu wenye albinism Al-Shaymaa Kwegyir na mwakilishi kutoka baraza la taifa la dawa asilia.
DSC_0357
DSC_0369
Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Magesa Mulongo akiendelea na maongezi na ugeni huo ofisini kwake jijini Mwanza.
DSC_0377
Kiongozi wa ofisi na mwakilishi wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) nchini, Zulmira Rodrigues (kulia), akielezea nia ya Shirika lake kusaidia mapambano dhidi ya unyanyasaji na dhuluma zinazofanywa jamii dhidi ya watu wenye albinism nchini alipomtembelea Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Magesa Mulongo ofisini kwake jijini Mwanza.
DSC_0391

16:08 Watu wanaonekana
Waandamanaji Bujumbura
16:05 Afisi ya urais nchini Burundi imetangaza kwenye mtandao wake wa twitter kuwa ''hali ni Shwari''
16:00 Majeshi wameonekana nje ya kambi za kijeshi mjini Bujumbura
Waandamanaji Bujumbura
15:58 Viongozi wa jeshi wamewaamrisha maafisa wa polisi kuondoka mabarabarani.
15:55 Mwandishi Sonia Rolley, wa Radio France International anasema kuwa halaiki ya raia wamefika nje ya kituo hicho wakishangilia matukio hayo
Raia wanashangilia mjini Bujumbura
15:50 Waandamanaji wanasemekana kuambatana na wanajeshi kuelekea katikati ya mji mkuu wa Bujumbura
15:45 Rais Pierre Nkurunziza ambaye analaumiwa kugombea urais kwa muhula wa tatu, anatarajiwa kuhudhuria mkutano huo, kusikiliza hoja za viongozi wenzake.
Maafisa wa jeshi la Burundi wanaonekana wakiweka usalama
15:40 Mwandishi wa BBC aliyeko Bujumbura Maud Julien anasema kuwa Miili ya watu watatu imeonekane katika barabara za Bujumbura
15:36 Viongozi wote wa kanda ya Afrika Mashariki na kati wako Dar es Salaam kwa mwaliko wa rais Kikwete.
15:35 Rais Nkurunzinza yuko mjini Dar es Salaam Tanzania kuhudhuria mkutano wa kutafuta suluhu ya mgogoro wa kisasa uliokuwa ukiendelea Burundi.
15:30 Maelfu ya raia wa Burundi waandamana a mabarabarani mjini Bujumbura wakishangilia tangazo hilo la ''kutomtambua'' rais Nkurunzinza.
Maafisa wa polisi wamekuwa wakipambana na waandamanaji wanaopinga hatua ya Rais Nkurunzinza kuwania awamu ya tatu
15:20 Jenerali huyo aliyetimuliwa na Nkurunziza mwezi februari anasema kuwa Nkurunziza alishindwa kuheshimu mwafaka wa amani mbali na sheria za kimataifa.
15:10 Meja Generali Niyombareh amesema wamechukua hatua hiyo baada ya watu wa Burundi kukataa kwa kinywa kipana awamu ya tatu ya urais wa Nkurunziza.
15:05 Jenerali Niyombareh alikuwa ameandamana na viongozi wengine wa jeshi la Burundi.
Polisi wameamrishwa kuondoka mabarabarani
15:00 taarifa zaibuka kutoka Burundi kuwa rais Nkurunzinza ameng'olewa'' madarakani.
Ripoti kutoka Bujumbura zinasema kuwa kamanda mmoja wa kijeshi ametangaza kuwa hamtambui tena Pierre Nkurunziza kama rais wa Burundi
Meja Jenerali Godefroid Niyombareh amewaambia waandishi wa habari mjini Bujumubura, kuwa kumeundwa kamati maalum ya kuiokoa Burundi itakayotawala taifa hilo kwa kipindi cha mpwito.
Raia wa Bujumbura wakishanilia tangazo la generali Niyombareh
Kulingana na taarifa iliyopeperushwa na redio Isanganiro, serikali ya Nkurunziza imeon'golewa madarakani.
Meja Generali Niyombareh amesema wamechukua hatua hiyo baada ya watu wa Burundi kukataa kwa kinywa kipana awamu ya tatu ya urais wa Nkurunziza.
Jenerali huyo aliyetimuliwa na Nkurunziza mwezi februari anasema kuwa Nkurunziza alishindwa kuheshimu mwafaka wa amani mbali na sheria za kimataifa.
Meja Jenerali Godefroid Niyombareh amewaambia waandishi wa habari mjini Bujumubura, kuwa kumeundwa kamati maalum ya kuiokoa Burundi
Kwa sasa rais Nkurunziza yuko nchini Tanzania alipokuwa anatarajiwa kujumuika na viongozi wa kanda hii ya Afrika Mashriki kutafuta suluhu ya mgogoro wa Burundi tangu Nkurunzinza atangaze nia yake ya kuwania awamu ya tatu.
Jenerali Niyombareh alikuwa ameandamana na viongozi wengine wa jeshi la Burundi.
Tayari wanajeshi wameshika doria nje ya makao makuu ya runinga ya taifa.
Meja Jenerali Godefroid Niyombareh amewaambia waandishi wa habari mjini Bujumubura, kuwa kumeundwa kamati maalum ya kuiokoa Burundi
Rais Nkurunzinza alikuwa amepuzilia mbali maombi ya kuahirisha uchaguzi huo.
Duru kutoka Burundi zinasema kuwa raia wameshajitokeza mabarabarani wakishangilia kauli hiyo ya ''Mapinduzi''

Chanzo na BBC swahili

The Burundian army has declared it is taking control of Burundi in a radio announcement.
EAC Meeting Burundi
Embattled Burundi President Pierre Nkurunziza arrives at Tanzania's Dar Es Salaam airport ahead of the East African Community Summit on 13 May 2015

The coup d'etat was announced in a radio broadcast, with senior army generals saying they were deposing embattled President Pierre Nkurunziza, who is travelling to Tanzania to meet leaders of the East Africa Community to discuss the recent violence that has rocked his country.

"Forces Vives de the Nation have decided to take charge of the nation," Godefroid Niyombareh, who was fired by Nkurunziza as intelligence chief in February, said in the radio announcement.
"President Pierre Nkurunziza is removed from office."
 Burundi police protest
The EAC is made up of Kenya, Rwanda, Tanzania, Uganda and Burundi.
Niyombareh announced that a national salvation committee had been set up to run the country, and said he is working with civil society and other groups on forming a transitional government.

"All people are asked to respect the lives and property of others," Niyombare added.
Military officers have been reported to be closing in on the Radio-Télévision nationale du Burundi (RTNB), the country's state broadcaster, as loyalists fired back to protect the building, which was under loyalist control.
As of 12.30 GMT, the loyalists were still holding the building.

Burundi opposition did not organize coup

Burundi's opposition leaders have denied being behind the coup. Former rebel militia leader and presidential hopeful Agathon Rwasa told IBTimes UK he did not know about the coup.
"I am discovering it now on the radio, just like you," he said from the capital Bujumbura. "Now, we will have to see what happens next."

International reaction

A South African foreign ministry spokesman told Reuters that "it's way too early to say" whether a coup had taken place in Burundi but added that the situation is being closely monitored.
More to follow...

Source by http://www.ibtimes.co.uk/burundi-army-coup-detat-president-nkurunziza-travels-tanzania-eac-summit-1501121

Are you looking for a challenge, opportunities for innovation and creativity with huge petential to make difference in peoples lives? Do you like to think outside the box for possibilities beyond norms? You don't mind working outside Dar es Salaam? Here is an opportunity:

Apply for the following positions

1. Technical Manager : A graduate with a minimum of BSc. degree in entrepreneurship or equivalent and an experience of over 2 years in similar assignments;

2.  Quality Control Specialist:  With a minimum diploma in food science or post-harvest management or related field.  BSc. degree holder in the related field will be an added advantage

3. Warehouse Operator : The Warehouse Operator shall have a minimum of diploma in related subject and an experience of not less than 2 years in similar assignment.   A degree in related subject will be an added advantage

Kindly submit with confidence not later than close of business Tuesday May 19, 2015 your application including your CV and supporting certificates and testimonials by email to:

machomingi@yahoo.com or hmrema11@hotmail.com

Author Name

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.