August 2016

 Sanjay Wijesekera , Chief of Section of Water, Sanitation and Hygiene-UNICEF
As World Water Week kick off today, the United Nations Children’s Fund (UNICEF) has highlighted that the opportunity cost from a lack of access to water disproportionately falls on women and girls who collectively spend as much as 200 million hours – or more than 22,800 years – every day collecting this vital resource. 

“It would be as if a woman started with her empty bucket in the Stone Age and didn’t arrive home with water until 2016. Think how much the world has advanced in that time. Think how much women could have achieved in that time,” UNICEF’s Chief of Section of Water, Sanitation and Hygiene, Sanjay Wijesekera, said in a news release issued by the agency today. 

The message from the UN children’s agency comes as experts from around the world gather in the Swedish capital of Stockholm for World Water Week to discuss and develop new solutions to the globe’s most pressing water-related challenges. 

The theme of this year’s Week is ‘Water for Sustainable Growth.’ In the news release, UNICEF noted that the UN’s Sustainable Development Goal (SDG) for water and sanitation – Goal 6 – calls for universal and equitable access to safe and affordable drinking water by 2030. 

“The first step is providing everyone with a basic service within a 30-minute round trip, and the long term goal is to ensure everyone has safe water available at home,” UNICEF stated. “However, UN estimates are that in sub-Saharan Africa, for example, for 29 per cent of the population (37 per cent in rural areas and 14 per cent in urban areas), improved drinking water sources are 30 minutes or more away.” 

The UN agency noted that the people who are devoting time to such activities are almost always women and girls.

A study of 24 sub-Saharan countries revealed that when the collection time involved is more than 30 minutes, an estimated 3.36 million children and 13.54 million adult females were responsible for water collection. In Malawi, for instance, the UN estimates women who collected water spent 54 minutes on average, while men spent only six minutes. 

“No matter where you look, access to clean drinking water makes a difference in the lives of people,” Mr. Wijesekera said. “The needs are clear; the goals are clear. Women and children should not have to spend so much of their time for this basic human right.” 

UNICEF also noted that spending excess time for collection considerably shortens the time available to spend with their families, on child care, other household tasks, or in leisure activities. For children, water collection takes time away from their education and sometimes even prevent their attending school altogether. 

Furthermore, water collection can also affect the health of the whole family, and particularly children: when water is not available at home and even if it is collected from a safe source, the fact that it has to be transported and stored increases risk of disease by the time it is drunk. This in turn increases the risk of diarrhoeal disease, which is the fourth leading cause of death among children under five years of age, and a leading cause of chronic malnutrition, or stunting, which affects 159 million children worldwide. 

Na Damas Makangale, Dar es Salaam, Tanzania
Zaidi ya wanafunzi  1,000 kutoka Kusini mwa jangwa la Sahara wamepata udhamini wa kwenda kusoma shahada zao za kwanza katika nchini za China, Marekani, Canada, Uingereza, India, Australia, Afrika ya Kusini, Sweden, Denmark na Norway.
Akizungumza na mwandishi wa habari hizi leo jijini Dar es Salaam, Mkurugenzi na Mwanzilishi wa Universities Abroad Link (UAL), ambacho ni shirika la kuratibu wanafunzi wa kiafrika wanaotaka kwenda kusoma nje ya nchi, Bw Tony Rodgers Kabetha amesema kwamba shirika hilo linaratibu wanafunzi kutoka nchi za Kenya, Uganda, Tanzania, Rwanda, Msumbiji, Botswana na Afrika ya kusini ambao wana nia ya kwenda kusoma nje ya nchi.
 

Mkurugenzi na Mwanzilishiwa Universities Abroad Link (UAL) Bw.Tony Rodgers Kabetha (kulia) akiwaaga baadhi ya wanafunzi waliopata udhamini wa kwenda kusoma nje ya nchi.
 "Kwa dhati kabisa tuliamua kuanza kusaidia wanafunzi kutoka kusini mwa jangwa la sahara na Afrika kwa ujumla kuhusu taarifa za sahihi za vyuo bora kabisa duniani na kozi wanazotoa ambazo zitakuwa na manufaa kwa wanafunzi hao baada ya kuhitimu masomo yao,” alibainisha.
Aliendelea kusema kwamba wanafunzi kutoka nchi hizo za Afrika wanaweza kuomba na kupata udhamini kutoka kwenye vyuo vikuu bora kabisa kutoka nchi za Marekani, Uingereza, Canada, China, India, Australia, Sweden, Afrika Kusini, Denmark na Norway na ada ya masomo inaweza kuwa chini zaidi kulingana na ada za hapa nyumbani.
Kabetha, ambaye kitaaluma ni Injinia wa mawasiliano ambaye amegeuka na kuwa mdau wa elimu ya juu alisema kwamba wazo la kuja na shirika lilianza miaka tisa iliyopita baada ya wanafunzi na baadhi ya waaafrika waliokuwa wakiishi na kufanya kazi marekani kuamua kuanza kuwasaidia watanzania namna bora ya kupata vyuo vya kusoma nje ya nchini.
"Tumeamua kuja na shirika hili la elimu ya juu ili kuwapa Watanzania na wa afrika kwa ujumla taarifa sahihi kuhusu vyuo vikuu na kozi sahihi ambayo inaambatana na mahitaji ya soko la ajira," aliongeza.

Alibainisha kuwa UAL pia hutoa ushauri wa kitaaluma na wa kazi kwa wanafunzi ili kuhakikisha kwamba hawasomi shahada ambazo watajikuta mwisho wa siku hawana ajira ndani ya Tanzania na hata kama wakienda nje ya Tanzania pia watakosa ajira.
"Unataka  kujifunza nini? Wapi unataka kwenda kujifunza? Na Kwa nini ni uchukue kozi hii ni maswala ambayo tunapenda kuuliza wanafunzi katika juhudi za kuwasaidia lakini pia tunawapa taarifa za hali ya hewa za nchi husika wanapokwenda,” alisisitiza.
Kabla ya kuanzishwa kwa shirika hilo wanafunzi na wazazi walikuwa wakipewa taarifa za uongo kuhusu vyuo vingi katika nchi ziilizoendelea na kutoa fedha nyingi ambazo zilikuwa hazina manufaa yoyote kwao.
Kabetha ilisisitiza kwamba changamoto kubwa kwa Watanzania walio wengi ni kuchagua kusoma fani ambazo hazina soko na uwezekano wa kupata kazi ni mdogo na kutokana ukweli huu tunawaelimisha wanafunzi umuhimu wa kuchagua kozi zenye manufaa kwenye maisha yao.
Alisema kuwa soko la ajira kwa sasa limepanuka zaidi kwenye fani ambazo ni chache sana watu kwenda kuomba kusoma kama vile mambo ya mafuta, gesi, teknolojia, uchumi wa biashara.
"Changamoto nyingine kubwa kwa shirika na tofauti ya mihura kwa nchi za ulaya, asia na Amerika na hapa nyumbani nchini Tanzania ambao wakati wa kupokea maombi ya kujiunga na vyuo huku nyumbani wanakuwa wamefunga au wamemaliza lakini hawana vyeti lakini bado tunazungumza na serikali jinsi ya kurekebisha haya,”  alifafanua.

Baraza linapenda kuwaarifu wote walioomba kudahiliwa katika kozi za cheti na diploma na umma kwa ujumla kuwa muda wa nyongeza wa kutuma maombi kwa mwaka 2016/2017 umeongezwa hadi tarehe 13 Agosti 2016 ili kuruhusu ambao hawakukamilisha maombi yao kuyamaliza na ambao hawajafanikiwa kuomba kutuma maombi yao.

Baraza linaomba ifahamike kuwa vyuo na kozi zilizojaa hazitaonekana tena wakati wa maombi bali kozi zitakazoonekana ni zile zenye nafasi tu pia baraza linashauri waombaji wajipime na kuangali ushindani wa kozi ili kufanikisha kuchaguliwa kwao. Vyuo na kozi zilizo na nafasi zimeainishwa hapa.

Baraza pia linapenda kuwaarifu waombaji waliofanya maombi kwenye vyuo vya Ualimu vya Serikali kuwa uteuzi kwenye vyuo hivyo unasubiri mwongozo wa Serikali na hivyo watafahamishwa punde uteuzi utakapokamilika. Waombaji wa vyuo hivi wanashauriwa kusubiri na kutokubadili machaguo yao hadi kutangazwa kwa uteuzi kwa vyuo vya Ualimu vya Serikali.

Baraza pia linapenda kuwataarifu waombaji waliokwisha chaguliwa kwenye awamu ya kwanza na wanataka kuomba uhamisho kutoka kozi ama chuo kimoja kwenda kingine wavute subira utaratibu utatolewa mara tu majibu ya waombaji wa awamu ya pili yatakapotolewa.

Aidha Baraza linapenda kuwafahamisha waombaji wa Shahada ya Kwanza (Bachelor Degree) waliofanya maombi kupitia mfumo wa pamoja wa udahili wa Baraza kuwa utaratibu wa kukamilisha maombi yao utatolewa baada ya mashauriano kati ya Baraza na Tume ya Vyuo Vikuu yatakapokamilika.

Imetolewa na
Ofisi ya Katibu Mtendaji
NACTE
Tarehe: 08th Agosti, 2016



 

 

 

UDO East Africa inakuletea Dance Battle Zone, ndani ya Maisha basement jumapili hii ya tarehe 7, fika ujiionee mpambano wa dance, wa kusaka wakali wa dance watakao fuzu kushiriki shindano la dunia la UDO World Street Dance Championships 2017 Glasgow Scotland. Shindano litazinduliwa na Prof. Jay Kiingilio sh. 10,000 tu, pale Maisha Basement, Dar es Salaam. Dance Battle Zone inaletwa kwa Ushirikiano wa UDO East Afrika, E-Masters, Haak Neel Production, Professor J Foundation, Mwakoba & Associates, L-JAY Busy Bee na Robby One Fashions .

Author Name

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.