February 2017

Timu ya Azania Group, ndiyo itakayowakilisha Tanzania katika mashindano ya kikanda ya Afrika Mashariki, ya Benki ya “Standard Chartered-Road to Anfield” yatakaofanyika uwanja wa Jakaya Kikwete Youth Park Jumamosi, Machi 4. Azania walipata ushindi huo kwa kuichakaza timu ya H&R Consultancy mabao ya 6-5 kwa penati dhidi ya katika mchezo wa kukata na shoka uliofanyika mwishoni mwa wiki na kufanikiwa kuipeperusha bendera ya Tanzania. Kwa maana hiyo, Azania Group wanatarajia kumenyana uso kwa uso na washindi wa michuano hiyo kutoka nchi za Kenya na Uganda. Washindi wa michuano hiyo nchini Uganda ni timu ya Cocacola wakati kidedea wa kombe hilo nchini Kenya ni Radio ya Capital FM.


Mtendaji Mkuu wa Benki ya Standard Chartered, Tanzania Sanjay Rughani (kushoto) na Mkuu wa Mahusiano na Masoko wa Benki hiyo, Juanita Mramba wakikabidhi kikombe kwa Bw Sikaba Hamisi ambaye ni Nahodha wa timu Azania Group, Mshindi wa kitaifa wa mashindano ya Kombe la Standard Chartered 2017 (Road to Anfield), mashindano yaliyofanyika mwishoni mwa wiki kwenye viwanja vya JK Youth Park, Gerezani jijini Dar es Salaam.

Akiongea na waandishi wa habari muda mfupi baada ya kutwaa ushindi huo, Nahodha wa Azania Group, Bw. Shabaka Hamisi alisema maandalizi yao mazuri ndiyo siri ya ushindi wao na kuongeza kwamba wapo tayari kuwanyoa hao wageni asubuhi kabisa. “Katika jambo lolote kama unataka kufanya vyema, maandalizi mazuri yanasaidia sana. Kwa upande wetu, tulifanya mazoezi yakutosha na ndiyo maana leo tumeibuka washindi.” Alisema. Aliongeza, “Siyo kwamba wenzetu walikua wabovu, ila umakini na utulivu kwa upande wa wachezaji wangu ndiyo kilichotusababishia kupata matokeo mazuri.” Alisema mazoezi ya kujipanga kwa ajili ya mechi tayari yameshaanza kwa ari na nguvu mpya, akiongeza kuwa ushindi kwao ni lazima. Kwa upande wake, Phillip David, nahodha wa H&R Consultancy alisema kukosekana kwa ukosefu wa umakini katika ushambuliaji ndiyo uliosababisha timu yake kupoteza mechi hiyo, hata hivyo alishukuru kwa kuibuka mshindi wa pili wa mashindano hayo. 


Mtendaji Mkuu wa Benki ya Standard Chartered, Tanzania Sanjay Rughani (kushoto) na Mkuu wa Mahusiano na Masoko wa Benki hiyo, Juanita Mramba (kulia) wakifurahi katika picha ya pamoja na timu ya Azania Group wakikabidhi kikombe kwa timu Azania Group,Mshindi wa kitaifa wa mashindano ya Kombe la Standard Chartered 2017(Road to Anfield), mashindano yaliyofanyika mwishoni mwa wiki kwenye viwanja vya JK Youth Park,Gerezani jijini Dar es Salaam.
“Kama ulivyoona, mechi ilikuwa moja moja hadi tukaingia kwenye matuta. Wenzetu walipata penati sita wakati sisi tulifunga tano. Nafasi ya kushinda ilikuwa upande wetu lakini Mungu hakupenda iwe ivyo,” alisema. Mtendaji Mkuu wa Benki ya Standard Chartered Tanzania Limited, Sanjay Rughani aliwaasa wachezaji wa Azania Group kuwa wajiandae kikamilifu ili waubakishe ubingwa nchini Tanzania. “Sisi hakuna zawadi nzuri ambayo tunaitaka kutoka kwenu zaidi ushindi. Fanyeni mazoezi ya kutosha ili Jumamosi inayokuja muweze kushinda mechi zenu zote dhidi ya hizo timu kutoka Kenya na Uganda. Na sisi kama wadhamini tutakua pamoja nanyi ili kuhakikisha kwamba mnapata ushindi hapa nyumbani,” alisema Sanjay. Naye Mkuu wa Masoko na Uhusiano wa Benki hiyo, Juanita Mramba, aliwapongeza kwa ushindi huo lakini akiwatahadharisha kuwa safari yao ndiyo kwanza imeanza. “Leo mmeshinda mashindano haya, Jumamosi kazi yenu ni kubwa zaidi kwani mtacheza na wageni wawili, hivyo jipangeni vizuri zaidi mkiutumia vyema uwanja wa nyumbani,” alisema. Ukiachia mbali Azania ambao waliondoka na kombe za dhahabu, washindi wa pili H&R Consultancy walijitwalia kombe la shaba, huku washindi wa tatu PWC wakitwaa kombe la Bronze.
Mtendaji Mkuu wa Benki ya Standard Chartered, Tanzania Sanjay Rughani (kushoto) akikabidhi kombe kwa Nahodha wa timu ya HR Consultants, Phillip David ambao ni washindi wa pili wa mashindano ya Kombe la Standard Chartered 2017 (Road to Anfield), yaliyofanyika mwishoni mwa wiki kwenye viwanja vya JK Youth Park, Gerezani jijini Dar es Salaam. Anayeshuhudia tukio hilo ni Mkuu wa Wateja Binafsi wa Benki ya Standard Chartered, Michael Shio (kulia).

Shirika la Kimataifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) limeahidi kuendelea kuzisaidia redio jamii kwa lengo la kuhakikisha sauti za wanyonge zinapazwa na kusikika ili kukuza demokrasia nchini. Akizungumza katika Mkutano Mkuu wa Mtandao wa Vyombo vya Habari Jamii Tanzania (COMNETA), Mkuu wa Ofisi na Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO), Zulmira Rodrigues alisema UNESCO alisema kuwa wakati umefika kwa wadau wa sekta ya habari kufikiri kwa kina namna ya kuhabarisha umma kwa kuangalia namna ya uwasilishaji ambapo kwa sasa changamoto kubwa ni kasi ya ukuaji wa teknolojia ya habari na namna ambapo redio zinaweza kushindana na vyombo vingine. Alisema kwa wanahabari wanapaswa kuwa makini na taarifa wazitoazo kwa jamii kwani kumekuwa na mazoea ya baadhi yao kuripoti habari bila kufanya uchuinguzi wa kina huku wakitumia chanzo kimoja cha habari badala ya kujiuliza maswali mengi ili kupata taarifa sahihi. 

Mkuu wa Idara ya Mawasiliano na Habari wa UNESCO, Ofisi za Tanzania, Christophe Legay akizungumza machache wakati wa mkutano mkuu wa wajumbe wa Bodi ya Mtandao wa Vyombo vya Habari Jamii Tanzania (COMNETA) unaoendelea katika ukumbi wa Chuo Kikuu Huria (OUT) jijini Dar es Salaam.

Aliwashauri wanachama wa COMNETA, wawe na umoja, mshikamano na kupendana ili kuepuka migogoro inayoweza kuyumbisha ustawi wa mtandao huo. “Ninawaomba sana, COMNETA, muwe mfano wa kuigwa kwa kuepuka migongano ya wenyewe kwa wenyewe ikiwamo kugombea madaraka ili kuwa umoja wa mfano kwa katika tasnia ya vyombo vya habari hapa nchini’.
‘Vipindi mbalimbali vya kuhamasisha maendeleo vinavyorushwa na redio hii vimesaidia sana kuhamasisha wananchi na sasa mwamko wa maendeleo umekuwa mkubwa hapo Micheweni” alisema Zulmira Rodrigues

Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini ya COMNETA, Mohamed Tibanyendera akizungumza na wadau mbalimbali wa vyombo vya habari jamii waliokutana kwenye mkutano mkuu ili kujadili changamoto na kufanya uchaguzi wa viongozi wapya uliodhaminiwa na Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO).

Mwenyekiti wa Mtandao wa Vyombo vya Habari Jamii Tanzania-COMNETA, Prosper Kwigize alisema kuwa ipo changamoto kwa baadhi ya maafisa habari mikoani na wilayani kuleta urasimu mkubwa katika utoaji wa taarifa zinazohitajika kwa waandishi wa habari hivyo kukwamisha upatikanaji wa habri kwa umma. Pia kuna changamoto mbalimbali kwenye chama hicho hivyo ni vyema kuzitafutia suluhiso la msingi ili mtandao huwe imara.
Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini ya COMNETA, Mohamed Tibanyendera alisema kuwa kwa siku za nyuma redio ilikuwa ni chombo cha kuaminika katika utoaji wa habari hivyo kujijengea umaarufu na kuaminika zaidi tofauti na ilivyo sasa ambapo kuna upotoshaji mkubwa. Pia aliweza kuyatolea majibu maswali yaliyoulizwa na wajumbe wa bodi ya COMNETA ili kuimarisha uwajibikaji katika Mtandao wa Vyombo vya Habari Jamii Tanzania-COMNETA.
Mwenyekiti wa Bodi ya Mtandao wa Vyombo vya Habari Jamii Tanzania (COMNETA), Prosper Kwigize akizungumza na viongozi wa vyombo vya habari jamii wakati wa mkutano mkuu wa COMNETA unaondelea katika ukumbi wa Chuo Kikuu Huria (OUT) jijini Dar es Salaam.

Mjumbe wa Bodi ya Udhamini ya COMNETA, Balozi Christopher Liundi akizungumza jambo wakati wa mkutano mkuu Mtandao wa Vyombo vya Habari Jamii Tanzania (COMNETA) unaofanyika katika ukumbi wa Chuo Kikuu Huria (OUT) jijini Dar es Salaam chini ya udhamini wa UNESCO.
Katibu wa Bodi ya Mtandao wa Vyombo vya Habari Jamii Tanzania (COMNETA), Marco Mipawa akisoma marejesho kwenye mkutano mkuu unaondelea OUT jijini Dar es Salaam. Pichani juu na chini ni Baadhi ya Wajumbe wa Bodi ya COMNETA ambao pia ni Mameneja na wawakilishi wa vituo vya redio jamii nchini wakishiriki kutoa maoni kwenye mkutano mkuu wa COMNETA unaoendelea katika ukumbi wa Chuo Kikuu Huria (OUT) jijini Dar es Salaam.
Kutoka kushoto ni Afisa Programu wa Mawasiliano na Habari wa UNESCO, Nancy Kaizilege na Mkufunzi wa Redio Jamii UNESCO, Rose Haji Mwalimu wakirekodi mambo muhimu katika mkutano mkuu wa COMNETA unaoendelea jijini Dar es Salaam.
Mkutano ukiendelea.

Bi Mili Rughani, gwiji katika anga la teknolojia Afrika, akabidhiwa kijiti cha uongozi wa tovuti namba moja ya matangazo Tanzania, ZoomTanzania.com, katika kuendeleza safari ya mafanikio. Miaka ya hivi karibuni imekuwa ya kusisimua sana kwa hii kampuni ya dot-com ya Kitanzania. Mnamo Septemba 2014, Ringier Afrika ilichukuwa asilimia kubwa ya umiliki wa kampuni ya Zoom Tanzania. Hii iliwezesha upatikanaji wa rasilimali na utaalamu unaohitajika zaidi ili kukua zaidi. Kisha mwaka 2016, ZoomTanzania.com ilikuwa jiwe kuu la msingi katika muungano wa Ringier Africa na One Africa Media, na kufanikisha kuundwa kwa kundi linaloongoza kwa matangazo ya mtandaoni barani Afrika - Ringier One Africa Media (ROAM). "Imekuwa ni safari ya kusisimua sana," alisema Kirk Gillis, mwanzilishi na Mkurugenzi Mtendaji wa ZoomTanzania. "Miaka michache iliyopita Zoom ilikuwa na wafanyakazi wanne, katika ofisi ndogo ikiwa na ndoto kubwa huku ikiangaika kuweza kufanya malipo ya wafanyakazi." Leo hii, ZoomTanzania ni tovuti namba moja ya matangazo nchini Tanzania na ina wafanyakazi 35 wengi wao wakiwa ni vijana wachapakazi mahodari, wenye vipaji na wataalamu wakuendesha hili gurudumu la matangazo ya mtandaoni kisasa zaidi. ZoomTanzania imeshuhudia ukuaji na utendaji mkubwa na wenye kuvutia sana. Kwa mujibu wa wataalamu wa Google, ZoomTanzania inapata zaidi ya watumiaji 1,000,000 na watumiaji wapya karibu 350,000 kila mwezi. Zoom pia inajivunia kuwa na watumiaji waliosajiliwa zaidi ya 225,000, na tovuti inazalisha maulizo zaidi ya 135,000 kati wanunuzi na wauzaji kila mwezi! Uamuzi wa kujiuzulu kutoka Zoom Tanzania ulikuwa ni mgumu sana kwa Mr Gillis. "Muungano wa ROAM ulitengeneza fursa muafaka kwangu kujitoa Zoom na kujikita katika biashara zangu nyingine, lakini nilihitaji kumpata Kiongozi mwenye nguvu, mjasiriamali, na mwenye uwezo mkubwa wakidigitali ili aiongoze Zoom iweze kufikia uwezo wake kamili." Akiwa mwenye uzoefu wa zaidi ya miaka 15 ya kiutendaji katika sekta ya usimamizi wa masoko ya kitigitali na IT barani Afrika, Bi Rughani ana kila sifa ya kuchukuwa wasifu huu. Anakuja ZoomTanzania.com akitokea Microsoft makao ya Kenya, ambapo alisimamia Ufumbuzi wa biashara ndogo na za kati ( Small and Medium Business (SMB) solutions) kwa ajili ya nchi 10 za Afrika ikiwemo Tanzania. "Ninaiacha Zoom katika mikono salama na yenye uwezo mkubwa na ni imani yangu kampuni itanufaika sana na mtazamo mpya na safi wa Milli," alisema Gillis. "Nafurahishwa zaidi kwa sababu yeye ni Mtanzania." ZoomTanzania.com ilitengenezwa na Watanzania, kwa ajili ya Watanzania, na sasa Mtanzania ataiongoza ZoomTanzania kuelekea mafanikio zaidi Bi Rughani alianza ZoomTanzania Januari 2017, na mipango ya makabidhiano ya uongozi inakwenda vizuri sana. "Hii ilikuwa nafasi ya kusisimua sana kwangu," alisema Bi Rughani. "Nina imani kubwa katika ukuaji wa soko la mtandaoni Tanzania, na ZoomTanzania.com ina nafasi kubwa sana kuchangia kwenye ukuaji huu." Wakati Bi Rughani akizidi kusimamia kazi za kila siku, Bw Gillis bado yupo hadi Machi mwaka 2017 akisimamia uzinduzi wa tovuti mpya na iliyoboreshwa zaidi. Uzinduzi wa tovuti mpya ya ZoomTanzaniainatarajiwa kuongeza kasi ya tovuti na kuwarahishishia watumiaji, ikiwa ni pamoja na mfumo mpya wa matangazo ili kuongeza ufanisi katika kuwakutanisha wauzaji na wanunuzi. "Jiandaeni kupokea mambo makubwa na mazuri "Mr Gillis na Bi Rughani," katika miezi ijayo utaona mfululizo wa vitu vipya vitakavyoongeza ufanisi kwa wauzaji kuonyesha bidhaa na huduma zao kwa Watanzania kwa ujumla."

 Mkuu wa Wateja Binafsi wa Benki ya Standard Chartered, Michael Shio (wa kwanza kulia) akimkabidhi Mhariri Mtendaji wa Mwananchi Communication Limited, Bakari Machumu (wa kwanza kushoto) vifaa vya michezo kwa ajili ya mashindano ya Kombe la Standard Chartered 2017 (Road to Anfield) ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya miaka 100  tangu benki hiyo kuanzishwa mwaka 1917 yanayotarajiwa kuanza kutimua vumbi Jumamosi hii jijini Dar es Salaam. Wanaoshuhudia tukio hilo ni Mkuu wa Mahusiano na Masoko wa Benki ya Standard Chartered, Juanita Mramba (wa pili kushoto) na Nahodha wa timu ya Mwananchi Communication Limited ambaye ni bingwa mtetezi Majuto Omary (wa pili kulia).
 Mkuu wa Mahusiano na Masoko wa Benki ya Standard Chartered, Juanita Mramba (wa pili kushoto) akimkabidhi Mhariri Mtendaji wa Mwananchi Communication Limited, Bakari Machumu (wa kwanza kushoto) vifaa vya michezo kwa ajili ya mashindano ya Kombe la Standard Chartered 2017 (Road to Anfield) ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya miaka 100  tangu benki hiyo kuanzishwa mwaka 1917 yanayotarajiwa kuanza kutimua vumbi Jumamosi hii jijini Dar es Salaam. Wanaoshuhudia tukio hilo Mkuu wa Wateja Binafsi wa Benki ya Standard Chartered, Michael Shio (wa kwanza kulia) pamoja na kwa Nahodha wa timu ya Mwananchi Communication Limited, Majuto Omar (wa pili kulia) wakati wa halfa fupi ya makabidhiano hayo jijini Dar es Salaam.
 Mkuu wa Mahusiano na Masoko wa Benki ya Standard Chartered, Juanita Mramba (wa kwanza kushoto) akimkabidhi Nahodha wa timu ya Mwananchi Communication Limited, Majuto Omar ( kulia) seti ya jezi  kwenye hafla fupi ya makabidhiano iliyofanyika jijini Dar es Salaam. Anayeshuhudia tukio hilo ni Mkuu wa Wateja Binafsi wa Benki ya Standard Chartered, Michael Shio (katikati).
 Mkuu wa Wateja Binafsi wa Benki ya Standard Chartered, Michael Shio (wa pili kulia) akimkabidhi vifaa vya michezo Mwenyekiti wa timu ya Coca cola, Samuel Mwakatumbula wa pili kutoka (wa pili kushoto) kwa ajili ya mashindano ya Kombe la Standard Chartered 2017 (Road to Anfield) ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya miaka 100  tangu benki hiyo kuanzishwa mwaka 1917 yanayotarajiwa kuanza kutimua vumbi jumamosi hii jijini Dar es Salaam. Wanaoshuhudia tukio hilo ni Mkuu wa Mahusiano na Masoko wa Benki ya Standard Chartered, Juanita Mramba (wa kwanza kushoto), Simon Masanja mchezaji wa timu ya Coca cola (wa kwanza kulia) na Salehe Omar mchezaji wa timu ya Coca cola (katikati).
Mkuu wa Mahusiano na Masoko wa Benki ya Standard Chartered, Juanita Mramba (kushoto) akimkabidhi mmoja wa wachezaji wa timu ya Coca cola, Simon Masanja (kulia) vifaa hivyo vya michezo kwa ajili ya mashindano ya Kombe la Standard Chartered 2017 (Road to Anfield) ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya miaka 100  tangu benki hiyo kuanzishwa mwaka 1917 yanayotarajiwa kuanza kutimua vumbi jumamosi hii jijini Dar es Salaam. Wanaoshuhudia tukio hilo ni Mkuu wa Wateja Binafsi wa Benki ya Standard Chartered, Michael Shio (wa pili kulia), Mwenyekiti wa timu ya Coca cola, Samuel Mwakatumbula wa pili kutoka (wa pili kushoto) na Salehe Omar mchezaji wa timu ya Coca cola (katikati).

Na Mwandishi wetu,
Benki kongwe nchini Standard Chartered imekabidhi vifaa kwa timu za Mwananchi Communication Limited na Coca cola kwa ajili ya mashindano ya ya Kombe la Standard Chartered 2017 (Road to Anified) yaliyopangwa kufanyika Jumamosi, kwenye viwanja vya JMK Park Kidongo Chekundu.
Mbali ya kutafuta washindi wa kuiwakilisha Tanzania katika mashindano ya Afrika Mashariki, mashindano hayo pia ni sehemu ya maadhimisho ya miaka 100  tangu benki hiyo kuanzishwa mwaka 1917.
Akizungumza na waandishi wa habari wakati wa makabidhiano ya vifaa hivyo vya michezo jijini Dar es Salaam, Mkuu wa Mahusiano na Masoko wa Benki ya Standard Chartered, Juanita Mramba amesema jumla ya timu 32 kutoka mashirika mbalimbali yanatashiriki katika  mashindano hayo.
“Tunatarajia timu 32 kushiriki hapa nchini na mshindi ataweza kuingia kwenye fainali ya Kanda ya Afrika Mashariki itakayoshirikisha timu moja moja kutoka Keny na Uganda, ambapo mshindi, atakwenda Liverpool kuangalia moja ya mechi za ligi kuu ya Uingereza ya Liverpool na vile vile kushindana katika mashindano mengine yatakayoshirikisha timu kutoka mabara ,”  alisema Mramba.
Mbali ya mashindano, mshindi pia atapata mafunzo ya siku tatu kujifunza mambo ya soka na kutoka kwa magwiji wa mashindano hayo.
Mramba amesema kwamba benki hiyo ya Standard Chartered ilianzishwa mwaka 1917 na mwaka huu inatimiza miaka 100 tangu kuanzishwa kwake na imetenga zaidi ya shilingi za kitanzania milioni 100 kwa ajili ya kusherehekea siku yake ya kutimiza umri huo kwenye sekta ya kifedha.
Wakati huo huo mmoja  wa wachezaji waliowika miaka ya themanini na tisini wa timu ya Liverpool, John Barnes atawasili nchini mwanzoni mwa mwezi Machi tayari kwa mashindano ya Kombe la Standard Chartered 2017 yatakayohusisha timu za makampuni katika eneo hili la Afrika Mashariki.
Uzinduzi wa  awamu ya pili ya mashindano ya Kombe la Standard Chartered 2017, yenye kauli mbiu “barabara ya kuelekea Anfield” inatarajiwa kutimua vumbi kwenye viwanja  vya Jakaya Kikwete Youth Park jijini Dar es Salaam.
Katika uzinduzi huo timu mbili za wachezaji watano watano zitacheza kwa dakika kumi na mshindi atapewa zawadi.
Mashindano hayo ya Standard Chartered yanatarajiwa kuanza kutimua vumbi Jumamosi hii kwenye viwanja vya JK Youth Park.
Yakiwa katika mwaka wake wa sita, mashindano ya Kombe la Sndard Chartered yamekuwa yakiimarika mwaka hata mwaka na kutoa washindi kutoka pande zote za dunia. Mataifa ambayo yamenyakua kombe hilo ni pamoja na Kenya (2016), Korea Kusini (2015) Vietnam (2014), Thailand (2013) na Singapore (2012).

Mahakama Kuu jijini Dar es Salaam imewaamuru maafisa wa polisi kutomkamata Mwenyekiti wa Taifa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) nchini Tanzania, Freeman Mbowe, hadi Ijumaa.
Mbowe
Polisi wamezuiwa kumkamata Mbowe hadi Ijumaa
Bw Mbowe alikuwa amefika katika mahakama hiyo kufuatilia mwenendo wa kesi ya kikatiba aliyoifungua dhidi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Kamishna Simon Sirro na Mkuu wa Upelelezi wa Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Camilius Wambura.

Katika kesi hiyo, mbali na mambo mengine, Mbowe anapinga amri ya Makonda ya kutaka akamatwe na pia kile alichokiita kudhalilisha watu wakati mkuu huyo wa mkoa alipotaja majina ya watu wanaodaiwa kuhusika katika ulanguzi na matumizi ya dawa za kulevya.
Kesi hiyo iliahirishwa mpaka saa saba mchana ambapo walipoingia mahakamani kwa mara nyingine, Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam iliamuru Jeshi la Polisi kumkamata Freeman Mbowe hadi Februari 23 maombi yake yatakaposikilizwa.
Mahakama imeambia jeshi la polisi kwamba linaweza kumuita Freeman Mbowe kwa mahojiano kama litaona umuhimu wa kufanya hivyo, lakini hawaruhusiwi kumkamata.
Wakati huo huo, Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF) anayepingwa na baadhi ya wanachama wa chama hicho, amefika mahakamani kusikiliza mwenendo wa mgogoro baina yake na Maalim Seif Sharif Hamad ambapo baada ya kumalizika kwa kipindi cha mahakama, alipata fursa ya kuzungumza na waandishi wa habari.
Akizungumza na waandishi wa habari nje ya mahakama Kuu ya Tanzania, Lipumba alisema anaunga mkono suala la watuhumiwa wa dawa za kulevya, kukamatwa na kuongeza kuwa serikali inapaswa kuungwa mkono katika suala hilo.
Lakini Lipumba aliongeza kuwa, serikali isikurupuke kuwapeleka watu mahakamani bila kuwa na ushahidi wa kutosha kwani suala hilo litaigharimu fedha nyingi katika kuendesha kesi hizo.

Chanzo cha habari na www.bbc.com

Deutsche Post DHL


PRESS RELEASE
DHL Express makes global online shopping easier with On Demand Delivery in Sub Saharan Africa
On Demand Delivery is currently deployed in 6 markets across SSA – South Africa, Kenya, Nigeria, Ethiopia, Mauritius &Tanzania, with plans to roll out to further countries in SSA throughout 2017
CAPE TOWN, South Africa, February 21, 2017/ --
  • On Demand Delivery developed in response to significant growth in premium cross-border e-commerce volumes 
  • Flexible shipping options designed to enhance the customer experience for online shoppers
DHL Express (www.dpDHL.com), the world’s leading international express services provider, has announced the launch of On Demand Delivery for the Sub Saharan Africa (SSA) region. The new service allows shippers and receivers globally to select from a range of standardised delivery options.

On Demand Delivery is currently deployed in 6 markets across SSA – South Africa, Kenya, Nigeria, Ethiopia, Mauritius &Tanzania, with plans to roll out to further countries in SSA throughout 2017.

On Demand Delivery offers shippers the choice to activate specific delivery options and have DHL Express proactively notify their customers via email or SMS about a shipment’s progress. Customers can then select the delivery option that best suits their requirements via the On Demand Delivery website. The service is specifically tailored to the demands of international e-commerce deliveries, where the majority of shipments are addressed to residential addresses and customers place considerable emphasis on flexibility and convenience.

“Globally, we have seen the share of e-commerce deliveries grow from about 10% in 2013 to more than 20% of the international volumes of DHL Express in 2016,” said Hennie Heymans, CEO of DHL Express Sub-Saharan Africa. “This has primarily been driven by the strong demand for high-value and premium goods in the global marketplace, as well as the emergence of start-up retailers who are growing beyond borders and therefore require a worldwide door-to-door delivery service. Our On Demand Delivery service was developed with the needs of our customers at the very core. E-tailers and their customers continue to evolve and we needed to ensure that our services continue to exceed customer expectations.

“On Demand Delivery isn’t just a new customer interface – it also represents an enhancement of our worldwide network, as we have tailored our last-mile operations to meet the specific demands of cross-border e-commerce deliveries. Thanks to On Demand Delivery, we can support the service offering of online shippers and improve the delivery experience for their customers, while improving our own efficiency, particularly for last-mile deliveries.”

On Demand Delivery is easy to use and benefits both shippers and receivers. The site is accessed from any smartphone, tablet or PC, and offers receivers up to six delivery options.

Shippers can incorporate their own branding into customer notifications. Receivers can schedule a delivery, arrange delivery to a nearby DHL Service Point or their own alternate address, and even request that a shipment is put on hold during a vacation. On Demand Delivery further improves first-time delivery performance, increases customer satisfaction, and makes the overall delivery process more efficient.

On Demand Delivery will be deployed to more than 100 countries across the globe in 2017, accounting for the majority of global trade and online retail activity, and is available in over 45 languages.
Distributed by APO on behalf of Deutsche Post DHL.
Media Contact: 
Megan Collinicos
Head of Marketing, Sub-Saharan Africa, DHL Express
Tel +27 21 409 3613
Mobile +27 76 411 8570
Megan.Collinicos@DHL.com

Follow us at: www.Twitter.com/DHLAfrica

About DHL:

DHL – The logistics company for the world

DHL (www.dpDHL.com) is the leading global brand in the logistics industry. Our DHL family of divisions offer an unrivalled portfolio of logistics services ranging from national and international parcel delivery, e-commerce shipping and fulfillment solutions, international express, road, air and ocean transport to industrial supply chain management. With about 340,000 employees in more than 220 countries and territories worldwide, DHL connects people and businesses securely and reliably, enabling global trade flows. With specialised solutions for growth markets and industries including technology, life sciences and healthcare, energy, automotive and retail, a proven commitment to corporate responsibility and an unrivalled presence in developing markets, DHL is decisively positioned as “The logistics company for the world”.

DHL is part of Deutsche Post DHL Group. The Group generated revenues of more than 59 billion euros in 2015. 
SOURCE
Deutsche Post DHL

“Bando HaliChachi”: Tigo Trailblazing Yet Another First For Tanzania
Tigo
The new bundle, dubbed in Swahili “Bando HaliChachi” (translated “bundle that does not expire”) is testament to Tigo’s unwavering commitment to giving customers the freedom to communicate
DAR ES SALAAM, Tanzania, February 17, 2017/ -- Following the launch of “Megamix” - the first ever Data bundle with Free Minutes and SMS, in October 2016, Tigo Tanzania (www.Tigo.co.tz) has thrilled customers once again with the launch of yet another data and voice bundle combo. 

The new bundle, dubbed in Swahili “Bando HaliChachi” (translated “bundle that does not expire”) is testament to Tigo’s unwavering commitment to giving customers the freedom to communicate.   

Speaking at a press briefing on the 15th of February, Tigo Brand Manager, William Mpinga said, “As Tigo Tanzania, we are truly excited to introduce a bundle that ensures our customers the autonomy they need. They can use their bundle as they please without worrying about bundle expiration time limits”.  

“We are launching this unique bundle with the confidence that it will be the perfect solution for our loyal customers - a clear indication that we listen, are responsive and will continue to be first to deliver practical digital telecom solutions in Tanzania” he added.  

Past innovations include the introduction of Free Facebook in Swahili, Free WhatsApp, and Free Nights on YouTube.   
Distributed by APO on behalf of Tigo.
Media contact:  
Woinde Shisael
Corporate Communications Manager
+255 713 123 431
Woinde.Shisael@Tigo.co.tz

About Tigo:
Tigo Tanzania (www.Tigo.co.tz) is Tanzania's leading digital lifestyle telecommunications company. Tigo started its operations in Tanzania in 1994.  

Through its distinctive and diverse product portfolio in voice, SMS, high-speed internet and mobile financial services, Tigo has pioneered digital innovations such as the first Smartphone in Swahili, Free Facebook in Swahili, Tigo Pesa App, Tigo Mobile App as well as the first East African cross-border mobile money transfer with currency conversion.    

For 3 consecutive years, Tigo has dominated market growth, becoming the second largest operator in Tanzania.  

With an aggressive expansion plan, Tigo launched 4G LTE network in Dar es Salaam and 21 cities around the country between 2015 and 2016.    Tigo boasts a loyal 10 million registered subscribers, and directly and indirectly employs over 300,000 Tanzanians including, an extended network of customer service representatives, mobile money merchants, sales agents and distributors.  

Tigo is the commercial brand of Millicom, a multinational company championing digital lifestyle in 13 countries worldwide; with commercial operations in Africa and Latin America and corporate offices in Europe and the US.  

For further information visit: www.Tigo.co.tz

Communications & Journalism

Details
Employer Name: Weworld Tanzania
Organization Type: NGO
Role: Experienced
Position Type: Full Time
Location: Dar Es Salaam
                    Kinondoni, Mikocheni
Application Deadline: 26-02-2017
Listed on: 14-02-2017
Description Application Instructions
Applications in English must be sent through email to: daniela.floris@weworld.it · Specify in the subject WW/17/01/CO · The application must include only: o Cover Letter and Curriculum Vitae (up to date, maximum 3 pages) o Contact information of at least 3 references (specifying work relationship, position, email and phone number) · Copy of university academic certificate/transcript · Maximum of 6 attachments or links that show your best pieces of communication work (articles, campaign dossiers, blogs and websites, publicity materials, academic assignments, videos, etc.) o Please do not send other certificates and diplomas through e-mail: they will be requested only if needed, from selected candidates. · Please, send us your application only if you met the mandatory qualifications and experiences mentioned above

Shirika la kisheria lisilo la kiserikali la Legal Services Facility (LSF) wiki hii litatoa msaada wa komputa 176 zenye thamani ya shilingi million 146 kwa ajili ya vituo 160 vya wasaidizi wa kisheria vilivyoko mikoani—kama sehemu ya mkakati wake wa kuongeza ufanisi na kuboresha utoaji wa huduma za kisheria nchini.

Kwa mujibu wa taarifa iliyotumwa kwa vyombo vya habari hivi karibuni, komputa hizo zitatolewa wakati wa warsha (itakayofanyika Ijumaa hii Dar es Salaam) kwa viongozi wa mashirika yasiyo ya kiserikali yanayotoa msaada wa sheria na yanayofadhiliwa na LSF—kutekeleza miradi ya wasaidizi wa kisheria nchini.

Bw Kees Groenendijk, Meneja wa LSF, alisema komputa ni zana muhimu kwa vituo vya wasaidizi wa kisheria na wasaidizi wa kisheria wenyewe wanaotoa msaada wa kisheria nchini. Tangu kuanzishwa kwake miaka mitano iliyopita, LSF imekwishatoa ufadhili wa mabilioni ya fedha, ambazo, pamoja na mambo mengine, zimerahisisha kuanzishwa kwa vituo vya wasaidizi wa kisheria sehemu mbalimbali nchini.
Image result for legal services facility tanzania-Kees Groenendijk,
Mkurugenzi wa Shirika la Legal Services Facility (LSF), Bwana. Kees Groenendijk akizungumza  leo Jijini Dar es Salaam

“Ni ukweli usiopingika kwamba wasaidizi wa kisheria wamekuwa wakifanya vizuri sana linapokuja suala la kuwasaidia wanaohitaji msaada wa kisheria hasa vijijini. Ndiyo maana tumeamua kutoa hizi zana, ambazo naamini vitaongeza ufanisi wa huduma za kisheria. Naamini zitaongeza ufanisi na utendaji wa wasaidizi wa kisheria na vituo vya wasaidizi wa kisheria,” alisema Bw Groenendijk.

Komputa zitatolewa kwa mashirika yasiyo ya kiserikali 27 yanayotoa msaada wa sheria, ambayo ndiyo yatakayotoa hizo komputa kwa vituo vya wasaidizi wa kisheria katika maeneo yao ya kazi. Mashirika yasiyo ya kiserikali yanayotoa msaada wa sheria yametoa mchango mkubwa sana katika uanzishwaji wa vituo vya wasaidizi wa kisheria kupitia ufadhili wa LSF.

Kwa mujibu wa taarifa ya LSF, warsha inayofanyika wiki hii itatoa nafasi kwa washiriki kujadili mambo mbalimbali na changamoto zake katika kutekeleza miradi inayofadhiliwa na LSF na kupata suluhisho.

Pamoja na hayo, warsha hiyo itawezesha LSF kuelezea njia mkakati yake ya 2016-2021, nini LSF inataka kupata na matokeo yake kwa mashirika yasiyo ya kisherikali yanayotoa ushauri wa kitaalam (RMOs). Masuala mengine yanahudu namna ya kutatua migongano kati ya malengo ya kitaasisi ya RMOs na malengo mkakati ya LSF na namna ya kuongeza matokeo.

Kutakuwa na majadiliano pia juu ya kuyajengea uwezo mashirika yanayofadhiliwa na LSF/yanayotoa ushauri wa kitaalam, namna ya kujenga uwezo kwa wasaidizi wa kisheria na LSF, umuhimu wa kupima kazi na matokeo yake na kuripoti kwa njia ya mtandao.

Chair of the Ministerial SDG4 Regional Forum for Eastern African in Dar es Salaam and Head Office and country Representative of UNESCO, Zulmira Rodrigues welcomes invited guests, dignitaries and key speakers during Ministerial SDG4 Regional Forum for Eastern African in Dar es Salaam.(All photos by Zainul Mzige

The Minister for Education, Science, Technology and Vocational Training Prof Joyce Ndalichako delivering key note address to officiate Ministerial SDG4 Regional Forum for Eastern African in Dar es Salaam.
Unesco Regional Office for Eastern Africa, Director Mrs Ann Therese Ndong-Jatta addressing Ministerial SDG4 Regional Forum for Eastern African in Dar es Salaam.
UNHCR Head Regional Services Center, Mrs Victoria Akyeampong, gives her statement at the National Forum Session during the Ministerial SDG4 Regional Forum for Eastern African in Dar es Salaam.
Linda Madete from UNESCO Office Dar es Salaam gives out some of the education materials and brochures to invited guests during the Ministerial Sustainable Development Goals numbers 4 that focuses on ensuring inclusive and equitable quality education and promote lifelong learning opportunities for all at the Regional Forum for Eastern African in Dar es Salaam.
The Minister for Education, Science, Technology and Vocational Training, Prof Joyce Ndalichako (far left) arrives at Julius Nyerere International Convention Centre (JINCC )to attend the Ministerial SDG4 Regional Forum for Eastern African in Dar es Salaam.
Norwegian Ambassador to Tanzania, Hanne-Marie Kaarstad tete-a-tete with the UNHCR Representative to Tanzania, Chansa Ruth Kapaya at the Ministerial SDG4 Regional Forum for Eastern African.
Swedish Ambassador to Tanzania H.E Katarina Rangnitt gives a welcome remark on behalf of Diplomatic Corps at the Ministerial SDG4 Regional Forum for Eastern African. Katarina emphasized on the importance of equipping young people with proper education and relevant skills to make them competent.
A cross section of ministers from Eastern Africa, Unesco officials and the SDG4 co- conveners (ILO, UNFPA, UNDP, UNICEF, UN Women, UNHCR and World Bank) listening attentively on various speakers at the ongoing Ministerial SDG4 Regional Forum for Eastern African in Dar es Salaam.
Some of the invited dignitaries attending the Ministerial SDG4 Regional Forum for Eastern African in Dar es Salaam.
The Minister of State in the President's Office responsible for Regional Administration and Local Government (TAMISEMI), Hon  George Simbachawene and Norwegian Ambassador to Tanzania, Hanne-Marie Kaarstad (right)  follows  the Ministerial SDG4 Regional Forum for Eastern African in Dar es Salaam.
Deputy Minister for Education, Science, Technology and Vocational Training Eng. Stella Manyanya exchanging contacts with a disabled teacher Madam Sophia Mbeyela (centre) at the ongoing Ministerial SDG4 Regional Forum for Eastern African in Dar es Salaam.
Group Photo.
The Minister for Education, Science, Technology and Vocational Training Prof. Joyce Ndalichako elaborates a point to reporters about the prons and cons of the Ministerial SDG4 Regional Forum for Eastern African in Dar es Salaam.
The Minister of State in the President's Office responsible for Regional Administration and Local Government (TAMISEMI), Hon. George Simbachawene making a point during the press conference at the Julius Nyerere International Conference Centre.
 A cross section of Ministers and Journalists.
Zanzibar Minister of Education and Vocational Training Hon.Riziki Pembe shares her experience on how they have prioritized Sustainable Development Goals on Education in the Island.
Minister of Education &Human Resources  Tertiary Education & Scientific Research to the Republic of Mauritius, Leela Dookon Luchoomon gives testimony on her country achievement on education.
Minister of State for Primary Education in Uganda, Hon. Nansubuga Rosemary Seninde explains to reporters what it means to deal with children who do not want to attend schools in a bid to pursue compulsory education for all.
Minister of National Education and Vocational Training in the Republic of Djibouti, Hon. Moustapha Mohamed Mahamoud explaining challenges encounters in the education sector during the press conference.

13 Ministers from Eastern Africa, Unesco and the SDG4 co- conveners (ILO, UNFPA, UNDP, UNICEF, UN Women, UNHCR and World Bank) are in Dar es salaam to identify priorities and policy recommendations for a regional roadmap for the implementation of the SDG4- Education 2030 agenda and linkages with other SDGs;

In two days meeting opened yesterday at Julius Nyerere International Convention Centre (JINCC) various people made different remarks on how to ensure inclusive and equitable quality education and promote lifelong learning opportunities for all.

Opening the floor to welcome all participants including ministers from Comoros, Djibout, Eritrea, Ethiopia, Kenya, Madagascar, Mauritius, Rwanda, Seychelles, Somalia, South Sudan, Tanzania and Uganda, Swedish Ambassador to Tanzania  H.E Katarina Rangnitt spoke about Young people being given proper education with relevant skills to make them competent.

She talked about unlocking the potential of the people by keeping children in school and managing drop out with full knowledge that education is the tool to reach development goals.

“With the growing frustrations among the youth on lack of employment, climate change and disasters she asked participants to come out with practical solutions making sure that nobody is being left behind with a keen attention to kids with disabilities.” She said.

She asked the participants to look at how global SDGs will be achieved in accordance to the national policies targets and plans.

Speaking at the same meeting Mrs Victoria Akyeampong, UNHCR Head Regional Services Center spoke about the need to support people of concern so as to reach the goal as the agenda 2030 spoke about leaving no body behind.

She said refugees and migrants are in dire need of support because of the fragile situation they are. She said less than one percent of those people are enrolled in education. She asked the participants to increase access to refugees through digital education.

She also asked East Africans to look at the best way of including refugees in their national school as is being done in Cameroon Chad and Pakistan.

Unesco Regional Office for Eastern Africa, Director Mrs Ann Therese Ndong-Jatta addressing the forum posed several question to the participants on priorities and what makes good education.

She said the forum was initiated to deal with the missing link by focusing difficult questions which are still puzzling the community.

On education, she asks about the environment, investment and if people are happy with the current education set up. She examined critically what does examinations do to the kids. If it is not only creating competitions and not happiness.

 She wanted the participants to look and come out with the statement what are we supposed to do to have a true education. She said kids and the rest, learning should be joy and not otherwise and teaching should be joy too.

She remembered Mwalimu Nyerere, Tanzania Founding father, for his courage to insist on using local language to teach. She said by using local language as other nation like China and Japanese did we will create confidence to our people and allow mothers to teach their kids.

In her Key note address Hon Prof Joyce The Minister for Education, Science, Technology and Vocational Training, insisted the importance of the platform in transforming the East African society. She said the platform is an important platform and step in the construction of a common vision for the education 2030 agenda.

“This is an important platform and step in the construction of a common vision for the Education 2030 Agenda, and for our countries to share National Road maps, to identify emerging common areas, and to identify common challenges and opportunities", said Ndalichako.

She said Tanzania is ready to engage in achieving the targets of SDG4.
She further added that the successful implementation of the SDG4 like any other programme, depends much on political will and support.

Author Name

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.