MADRID - Real Madrid star Cristiano Ronaldo has renewed his contract with the club, which had been due to expire in 2015, the Spanish giants said Sunday.

The Portuguese international will attend a ceremony at 1:45 pm (1145 GMT)  with Real president Florentino Perez at Real Madrid’s Santiago Bernabeu stadium  to mark the renewal of his contract, the club said on its website.

Real Madrid did not give details of the contract extention, but the online  edition of sports daily Marca said the 28-year-old playmaker had renewed with  the club until 2018.

Ronaldo will earn 17 million euros per season under his new contract, one  million euros more per season than his main rival Lionel Messi makes at  Barcelona, the newspaper said.

“This renewal is expected to make Ronaldo the highest-paid player in  Spanish football,” it said.Ronaldo had been linked with a move to big-spending French clubs Paris  Saint-Germain and Monaco in the close season as Real pursued their interest in  Gareth Bale.

 The Wales winger’s transfer from Tottenham was finally sealed at the start  of September for a  reported world record fee of around £80 million ($124  million, 94 million euros) and he made his debut for the club playing alongside  Ronaldo in Saturday’s 2-2 draw at Villareal. --  AFP

Source by AFP

Kocha mwenye vituko na mbwembwe nyingi , Jose Mourinho jana alikaribishwa vizuri kwenye ligi kuu ya Uingereza ikiwa ni mara yake ya pili kuja kufundisha hapo kwa kukubali kupokea kipigio cha bao moja bila majibu toka kwa timu ya Everton.

Alikuwa ni mchezaji Naismith alipelekea ukairbisho huo kwa kufung bao maridadi  la kichwa mara baaya ya kupokea pasi ya kichwa  toka kwa Nikica Jelatovic ambaye alipokea toka kwa  Leon Osman's.
Marouane Fellaini on for Anderson Man Utd v Palace
Marouane Felaaini akiingia kuchukua nafasi ya Anderson

Naye kocha wa zamani wa Everton, David Moyes jana alifurahia ushindi wake kwanza akiwa anacheza uwanja wa nyumbani wa Manchester United, Old Trafford dhidi ya timu iliypanda daraja msimu huu Crystal Palce.

Walikuwa ni Robin Van Persie na Wayne Rooney waliopelekea ushindi huo kwa mashetani hao wekundu na kumwezesha David Moyes atoke na furaha kwa mara ya kwanza ndani ya OT.

Matoke mengine ya michezo iliyochezwa jana katika ligi kuu hiyo ya Uingereza ni kama ifuatavyo:-

























































KAULI YA ISMAIL JUSSA

Picture
Kwa mara nyengine tena leo hii kumetangazwa kutokea tukio la kumwagiwa acid ambapo imeelezwa jioni hii Padri Joseph Magamba amemwagiwa acid maeneo ya Sunshine Internet Cafe hapo Mlandege, mjini Zanzibar. Binafsi nalaani vikali kitendo hicho cha kinyama na cha kishenzi kabisa.
Picture
Juzi tu Jumatano nilisoma katika gazeti la Mwananchi tukio la mfanyabiashara wa vifaa vya ujenzi Christian Msema wa Mburahati, Dar es Salaam kumwagiwa acid na watu wasiojulikana waliokuwamo kwenye bajaj.

Matukio haya ni ya kinyama na ya kutisha na yanaonekana kushika kasi kila uchao. Bahati mbaya licha ya
 Polisi kutangaza operesheni maalum ya kutafuta kile walichokiita mtandao wa acid hakuonekani mafanikio yoyote.

Hivi uwezo wa uchunguzi wa Jeshi la Polisi umeshuka kiasi hichi? Na kwa nini hadi leo Serikali haijapiga marufuku uuzaji au upatikanaji mwengine wa acid ambao unaonekana kufanyika kiholela kiasi cha kupatikana kirahisi na kutumika kufanyia uhalifu kiasi hichi?

Yeyote au kikundi chochote kilicho nyuma ya matukio haya kinapaswa kulaaniwa kwa nguvu zote na kusakwa ili kuchukuliwa hatua kali dhidi yao.

Ismail Jussa
Muwakilishi – Mji Mkongwe

KAULI YA Vijana wa Umoja wa Kitaifa Zanzibar (VUK) 


Kwa mara nyengine tena tukio la kinyama na la aibu limetokea kwa matumizi ya tindi kali dhidi ya binaadamu ambapo leo hii Kiongozi wa Kidini akiwa ni Padri Joseph Mwang'amba, alieshambuliwa akiwa maeneo ya Mkamasini, Mjini Unguja.

Vijana wa Umoja wa Kitaifa Zanzibar (VUK) lina laani tukio hilo kwa nguvu zote na hakuna sababu yoyote ile ya kutumia tindi kali kama silaha dhidi ya binaadamu.

VUK inasikitishwa na matendo kama haya ambayo yanazidi kujenga uadui baina ya Wazanzibari ambapo huu ni wakati wa Wazanzibari kuwa pamoja zaidi na wazuie vishawishi vyovyote vya kuwagawa.

Kama ambavyo inalaani matumizi kwa binadaamu yoyote pia inalaani matumizi ya tindi kali dhidi ya viongozi wa kidini na inasimama kuwa hakuna sababu yoyote ile ya kufanya hivyo ama kwa njia ya kisasi, mgogoro kwa sababu njia za amani hazijafungwa na kwa hakika zimezoeleka kutumika na Wazanzibari.

VUK inawataka wananchi kushikamana, lakini hasa vijana wasikubali kuingizwa katika matukio kama hayo lakini pia wasishabikie na zaidi wasiwafiche waovu kama hawa kwa kuwatolea ripoti kwa mamlaka za ulinzi na usalama.

VUK inawataka wananchi kujua matukio kama haya sio tu ya hatari, lakini pia wanachafua jina na amani ya nchi na kwa hivyo wakati huu ndio muwafaka kwa kila mwananchi kuwa macho na kuwa mlinzi wa watu ambao wanataka kuiharibia sifa na jina jina la Zanzibar.

VUK inalitaka Jeshi la Polisi na Idara ya Usalama wa Taifa itoe majibu ya matukio kama haya ambayo sasa yanachafua akhlaki na utengamano wa Wazanzibari, na majibu hayo tunayataka leo kabla ya kesho maana kuanzia kesi ya Sheikh Fadhil Soraga, Sheha wa Tomondo na pia vijana wawili wa Kiingereza ambao ni Katie Gee (18) na Kirstie Trup (18).

VUK inavitaka vyombo hivyo virudishe imani ya Wazanzibari ambao wamezoea jamii inayoishi kwa kupendana na kusaidiana na ambapo sasa inafisidika kwa kuchukina na unyama.

Pia VUK inatoa wito kwa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kutumia kila aina ya uwezo iliyonayo, na kwa umma kuona uwezo huo unatumika, kuhakikisha kuwa wahusika wanakamatwa na kuchukuliwa hatua.

Vilevile SMZ ihakikishe inadhibiti upatikanaji na usambazaji wa tindi kali, ambayo hivi sasa inaonekana kupatikana kwake ni rahisi na matumizi yake ni hatari kwa umma.

Kila mtu ajue na aone kuwa anaweza kuwa hatarini kushambuliwa kwa silaha hii na hivyo wajibu wa kuchukia na kuchukua hatua ni wa kila mtu lakini hasa vijana ambao wao huwapo mitaani saa zote.

VUK ina mpa pole Padri Joseph Magamba na inamuombea Mungu ampe afueni ya haraka na tunaungana na jamaa na waumini wake katika kipindi hiki kigumu.

Salum Abdallah Salum
Kaimu Mwenyekiti
0713742255

Chanzo na tovuti ya www.wavuti.com































































MCHEZAJI MPYA wa Manchester United Marouane Fellaini amesema anataka kumuiga Gwiji wa Mabingwa hao Roy Keane.

KEANO
Leo Fellaini, mwenye Miaka 25, anatarajiwa kucheza Mechi yake ya kwanza kabisa kwa Man United dhidi ya Crystal Palace Uwanjani Old Trafford kwenye Mechi ya Ligi Kuu England.

Jana, wakati akitambulishwa rasmi kama Mchezaji mpya baada ya kununuliwa kwa Pauni Milioni 27.5 kutoka Everton, Fellaini alitamka: “Meneja ndie ataamua wapi nicheze lakini nataka nicheze kama Kiungo Mkabaji. Keane alikuwa Mchezaji mwenye ari na mpiganaji mwenye uwezo wa kunyang’anya Mpira wowote. Pengine na mimi naweza kufanya hivyo. Naweza kunyang’anya Mpira, kuokoa na naweza kucheza bila rafu.”

Roy Keane alikuwa Mchezaji wa Kimataifa wa Republic of Ireland ambako alikuwa Nahodha wa Timu hiyo pamoja na Manchester United ambako alicheza Old Trafford toka Mwaka 1993 hadi 2005 na ndie alikuwa nguzo ya Wachezaji walioiwezesha Klabu hiyo kutwaa Ubingwa wa Ligi mara 7 katika kipindi hicho.

Pia Keane, ambae sasa ana Miaka 42, aliisaidia Timu ya Sir Alex Ferguson kutwaa Ubingwa wa Ulaya mara moja, FA CUP 4, Ngao ya Jamii 4 na Ubingwa wa Dunia mara moja.
Akiwa na Everton, chini ya David Moyes alipokuwa huko, Fellaini mara nyingi alikuwa akichezeshwa Kiungo wa kushambulia lakini sasa Fellaini anataka arudi nyuma na kuwa KiungoFLETCHERMkabaji.
Wakati huo huo, Moyes amethibitisha kuanza tena Mazoezi kwa Kiungo Darren Fletcher ambae alikuwa akisumbuliwa na ugonjwa sugu wa tumbo uliomfanya acheze Mechi 7 tu katika Miaka miwili.

Juzi Alhamisi Fletcher alianza Mazoezi na Moyes amesema watamjenga pole pole hasa kuhakikisha anaongeza uzito ambao amepungua sana.

Pia Moyes alisema watamfanyia tathmini Straika wao Wayne Rooney kuangalia uwezekano wa yeye kucheza Mechi ya leo na Crystal Palace.
Rooney alipasuka Kichwani baada ya kugongana na Phil Jones Mazoezini na kumfanya aikose Mechi ya Man United na Liverpool hapo Septemba Mosi na pia Mechi za England dhidi ya Moldova na Ukraine.
Moyes amesema: “Yupo fiti. Jeraha lake limepona na Nyuzi zimetolewa lakini lazima tufanye tathmini ikiwa atacheza.”

Chanzo: http://www.sokainbongo.com

Mwanadada Charlotte Crosby amechaguliwa mshindi wa  Celebrity Big Brother 2013.

Staa huyo wa  Geordie Shore star amepata kura nyingi kumzidi mshindani wa kwe mkubwa mwimbaji wa 5ive  Abz Love  kwenye shindano hilo.

Akiwa maevalia gauni lake jeusi leather , Charlotte alijitokeza kwenye pozi lake la Rock akiwa anashangilia ushindi wake mara baada ya kuibuka kidedea.


Winner: Charlotte Crosby comes in first place in the Celebrity Big Brother 2013 Live Final



Reality queen: The Geordie Shore star would have been relieved to have been voted the most popular celeb


Peace and love: Charlotte relished in the cheers and the confetti pouring down




Peace and love: Charlotte relished in the cheers and the confetti pouring down

Runner up: Abz came in second place leaving the house in a spacey cap white shirt, jeans and Dr Marten boots
Mshindi wa pili Abz

Good chat: Abz happily spoke to Emma about his chilled out experience



Welcome exit: Coutney Stodden escorted Abz down the CBB runway as they waited for Charlotte's exit
Coutney Stodden akimpa kampani  mshindi wa pili Abz  kuelekea  CBB



Final three: Lauren Harries comes in third place in the Celebrity Big Brother Live Final 2013
Mshindi wa tatu Lauren Harries akiwa jukwaani katika fainali za Celebrity Big Brother 2013

Vintage style: Lauren wore a fifties style prom dress and fur stole for her eviction


Bit of help: The former Loose Women presenter gets a gentleman escort down the stairs




























































































































A HIGH PROFILE TURKISH BUSINESS DELEGATION WILL BE IN DAR ES SALAAM ON 18TH SEPTEMBER 2013.
THEY WOULD WISH TO MEET THEIR TANZANIA COUNTERPARTS IN THESE SECTORS.
Construction & Contracting | Pharmaceuticals | Agriculture | Automotive | Food | Livestock | Petroleum & Petro-Chemical Products
Machinery | Pipe & Fittings | IT & Software | Cables | Shipbuilding | Construction | Iron & Steel.
TO BOOK YOUR APPOINTMENT KINDLY CALL:
+255 763 580 600 | +255763 900 902


TANZANIA Portland Cement Company Limited (TPCC) has today launched Twiga Cement Plus a new strong and powerful product entering in the Tanzanian cement market. It has been established. 

Speaking to invited guests at the TPCC headquarters in Dar es Salaam, the Twiga Cement Managing Director Pascal Lesoinne said that Twiga Cement Plus is a new product entering into the country’s complex environment.
dnew
Minister for Industry and Trade, Dr Abdallah Omari Kigoda (R ) shakes hands with Tanzania Portland Cement Co Ltd Managing Director, Pascal Lesoinne  during the official launching of the TPCC strong powerful new cement dubbed Twiga Plus+ class 42.5 at the company’s plant, Wazo Hill in Dar es Salaam yesterday. Looking on is TPCC Sales and  Marketing Director, Ekwabi Majigo
“After a lot of research and bouncy roads the experts from our production and sales departments, in their continuous fight for improvements of our products, have now been able to find a next development for Twiga Cement, Twiga Plus,’
“Yes the Twiga brand products have always been strong but now it is getting stronger reaching to new heights. 

 With TPCC being the market leader and the first cement producer in Tanzania only proves that yes we want what is best for the people of Tanzania by investing more and producing quality products. Twiga Plus, a new cement of class 42.5 will upbeat all the competition and prove to be the strongest cement in the market,’ he said.

He said that in today’s complex market, a lot of cement from various imported brands is entering into the Tanzanian market but the firm has no fear to compete with them on fair grounds.

Lesoinne added that it is difficult to swallow the current market competition when you realize that some importers are not playing and applying the same rules of the game in the existing Tanzanian market.

He further explained that importers who are betraying the rules of the game are hurting their operations but also depriving the government substantial revenues and demising the quality of the product in the market.

“I’m also grateful to Dr Kigoda to have listened to our call and setting up the team of experts that is now visiting the cement producers in Tanzania. I’m sure that these experts will come to the only straight conclusion that Tanzania does not need to receive sub-standard products wherever they come from,’ he added.

Lesoinne said the construction industry is Tanzania is booming in terms of new buildings, rehabilitation of the city infrastructure while making the Tanzania skyline new features.


Ends.

Vijana nchini wametakiwa kuwa wa wazi, waaminifu na waadilifu kwani huo ndiyo msingi mkubwa wa kupambana na  rushwa ili waweze kuwa viongozi wazuri hapo baadaye.


Rai hiyo imetolewa leo na Kiongozi wa Mbio za Mwenge taifa Juma Ali Simai wakati akiongea na wanafunzi wa Chuo Cha Ufundi cha Veta likichopo katika  Manispaa ya Lindi mara baada kuzindua klabu ya kupinga  rushwa chuoni hapo.


Alisema kuwa hivi sasa kuna baadhi ya viongozi ambao wanakusanya mapato na kodi za wananchi na kuzitumia vibaya na hivyo  kusababisha shughuli za maendeleo kutofanyika ikiwa ni pamoja na kutojengwa kwa shule na vituo vya afya na wanaoathirika ni wananchi wote.


Simai alisema, “Vijana ni tegemeo la taifa chukueni  hatua dhidi ya rushwa, kila mtu awajibike kwa kutoa  taarifa na ushahidi ili wahusika wachukuliwe hatua ni lazima mjifunze kutokana na makosa yanayofanyika leo ili nanyi msifikie huko kwani rushwa ni mbaya na adui mkubwa wa maendeleo”


Kiongozi huyo wa mbio za Mwenge Taifa  alisema mtu ukiwa muadilifu na muaminifu hata  sehemu ya  kazi utaonekana na utapanda kutoka hatua moja kwenda nyingine bila ya kutoa rushwa na kutoa mfano kwa wanafunzi hao mara baada ya kumaliza masomo yao watapata ajira  bila ya kutoa rushwa kwani ni haki yao kuajiriwa au kujiajiri.


 “Kama wananchi watapata  taarifa na haki zao kwa wakati kutoka kwa viongozi wao wataepukana na  mazingira ya rushwa lakini hivi sasa kuna baadhi ya watu wanaona kuwa hawawezi kupata haki zao za msingi hadi watoe rushwa.


Ninawaomba wale wote wenye tabia hii muiache na mtoe taarifa kwa Taasisi ya Kupambana na Kuzuia Rushwa (TAKUKURU) ili pale mnapoombwa kufanya hivyo kwani rushwa ni adui wa haki na mfahamu kuwa kwa anayetoa na anayepokea wote wanakabiliwa na kosa la jinai”, alisema Simai.


Simai alisema kuwa ni muhimu vijana wakawajibika  na kuwa wawazi katika mambo wanayoyafanya kwa maana ya kwamba wakipata nafasi wawashirikishe na wengine pia wafuate  misingi ya utawala bora katika kupambana na rushwa.


Akisoma taarifa ya klabu ya wapinga rushwa katika chuo hicho Christina Mkolela ambaye ni mwanachama alisema kuwa ili kupambana na rushwa katika halmashauri ya Manispaa ya Lindi waliamua kuanzisha klabu hiyo ikiwa ni moja ya mkakati wa kuelimisha vijana waliopo vyuoni ili kuwajengea uzalendo wa kuchukia rushwa na baadaye kuwa raia wema wasiopenda kupokea wala kutoa rushwa.


Alisema klabu hiyo ilianzishwa mwaka 2013 ikiwa na wanachama 91 kati ya hao wasichana ni 21 na wavulana ni 70 ambao wanashiriki katika kutoa elimu ya kuzuia na kupambaa na rushwa kwa wenzao.

Mkolela alisema, “Klabu hii ni ya kudumu na itaendelea kupokea wanachama ambao ni wanavyuo watakaokuja chuoni hapo kila mwaka na hivyo kuifanya kuwa  endelevu”.



Kabla ya kuwasili chuoni hapo Mwenge huo wa uhuru ulipokelewa kutoka wilaya ya Lindi na  viongozi wa Serikali na vyama vya siasa wa Manispaa ya Lindi akiwemo mke wa Rais Mama Salma Kikwete katika eneo la Mto Mkavu – Mbanja.


Ukiwa katika Manispaa ya Lindi Mwenge wa uhuru utafungua, kuzindua na kuweka mawe ya msingi katika miradi saba ya maendeleo yenye thamani ya shilingi bilioni 1.5 kati ya miradi hiyo ni mradi wa maji safi kwa matumizi ya binadamu na mradi wa samaki.


Sherehe za kilele za  mbio za Mwenge wa Uhuru ambazo zitaenda sambamba na kumbukumbu ya kifo cha Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere na maadhimisho ya wiki ya vijana zinatarajia kufanyika tarehe 14/10/2013 katika uwanja wa Samora uliopo Manispaa ya Iringa.


Mwisho.


WATU watatu wanaodhaniwa kuwa ni majambazi wamevamia kituo cha mafuta cha EAFCO kilichopo eneo la Mwenge mjini Singida, na kupora shilingi laki tano baada ya kufyetua risasi moja hewani kwa lengo la kuwaogofya wafanyakazi.


 Watu hao wanadaiwa walikuwa wamebeba bunduki moja ya kienyeji inayodhaniwa kuwa ni aina ya gobore na bastola moja.


 Kamanda wa Polisi Mkoa wa Singida,Geofrey Kamwela,alisema tukio hilo limetokea Septemba tisa mwaka huu saa 11.00 jioni eneo la Mwenge mjini Singida.


 Alisema awali watu hao waliteka taksi yenye usajili T.637 AGL aina ya Toyota mark 11 iliyokuwa ikiendeshwa na Ernest Joseph (32) mkazi wa Misuna mjini Singida,na kisha kuitumia katika kutekeleza azma yao.


 “Huyu dereva wa taksi baada ya kutekwa,alifungwa kamba ya katani na kuweka kwenye buti ya nyuma na kwenda naye kwenye eneo la tukio na wakati uporaji huo unafanyika,dereva huyo alikuwa ndani ya buti la gari lake”,alisema Kamwela.


 Kamanda huyo alisema majambazi hayo yalipofika kwenye kituo hicho cha mafuta,walifyetua risasi moja hewani kwa kutumia bunduki aina ya gobore kwa lengo la kuogofya watumishi na wateja waliokuwa kwenye kituo hicho.Baada ya hapo,ndipo yalipofanikiwa kupora shilingi 500,000.


 Alisema polisi walipopata taarifa ya tukio hilo,walifika mara moja kwenye kituo hicho na kukuta majambazi hayo kwa kutumia taski waliyoiteka,waliishatoroka lakini hawakufika mbali walipata ajali na kuitekeleza taksi hiyo na wao kukimbilia kusikojulikana.


 “Wakati majambazi hayo yanatoroka,moja lilidondosha bunduki aina ya gobore ambalo limeokotwa na polisi.Kwa sasa tunaendelea na msako wa kuyasaka majambazi hayo ili sheria iweze kuchukua mkondo wake”alisema Kamwela.


 Wakati huo huo,Kamanda Kamwela alisema dereva Ernest alifikiwa katika hospitali ya mkoa na kupata matibabu na kisha kuruhusiwa.


MWISHO.


Tanzania has a unique opportunity to become a major exporter of food crops, especially maize and rice, to the eastern Africa market as it is expected that the region will experience a shortage of food in the next decade. It has been revealed.

Speaking to invited dignitaries during the Food Security Workshop in Dar es Salaam yesterday, USAID Mission Director Sharon Cromer’s said that the regional market is expected to be in a food deficit for at least the next decade and that provides opportunities for Tanzanian food crops.
“The export ban was not effective in controlling exports. In fact, the ban discouraged production, limited the market opportunities of farmers, and prevented Tanzanian from benefiting from exports to the region,” she said.

She underscored that the USAID intends to support the government of Tanzania in policy reforms initiated under the new alliance with assistance to the operationalization of the Big Results now.

Cromer’s added that USAID in collaboration with

Strengthening Emergency Response Abilities (SERA), well known as the SERA Policy Project conducted a research studies on food security, the research showed the dietary diversity in Tanzania and the need for additional research on the cost of a typical food basket in each region.

 

She further said that the research revealed that warehouse capacity of the National Food Reserve Agency is 241,000 tons only about 100,000 tons of maize is needed to cover a shortfall occurring once in every five years.

 

On his part, Director of USAID Feed the Future; Tom Hobgood said that Public Private Partnership (PPP) is vital for the agricultural development in Tanzania and Africa at large.

 

“The government should pave the way for the all agricultural stakeholders to engage in planning and decision making process to foster the agricultural development goals,’ he lamented.

 

He noted that private sector investment in the agriculture sector is an engine for social and economic development in any given society or nation.

Ends

Cisco has announced the appointment of Sabrina Dar as its General Manager for East Africa – Kenya, Tanzania, Uganda, Rwanda and Ethiopia. Sabrina will report directly to David Meads, Vice President for Cisco, Africa. Sabrina is origninaly from Pakistan and has more than 10 years’ experience in finance, strategy, marketing and sales with Cisco.


 Sabrina CISCO Appoints New General Manager for East Africa


 She has worked in Cisco’s Emerging Theatre Partner Organization, and was also the marketing lead for Cisco’s London 2012 Olympics sponsorship. She has also held the role of UK and Ireland Enterprise & Commercial Market Manager and helped to develop the business case for, and deliver, a new partner go-to-market.


































Author Name

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.