Articles by "Burudani"

Showing posts with label Burudani. Show all posts

Mtindo wa karate mkongwe  duniani, Okinawa Goju Ryu wa chama cha  Jundokan  Tanzania chini ya mwakilishi wake Sensei Rumadha Fundi  mwenye Dan 4,“Yondan” pia mwenye uzoefu wa zaidi ya miaka 38 ya mafunzo ya sanaa ya Karate mtindo wa Goju Ryu chini ya walimu wakuu wengi maarufu toka Okinawa, Japan kama vile Master Mario Higaonna(IOGKF), Master Masataka Muramatsu( Goju Ryu Kyokai), Teruo Chinen( Jundokan International), na hatimae Kancho Yoshihiro Miyazato, mwenyekiti wa (Jundokan So Honbu, Naha, Okinawa)Master Tetsunosuke Yasuda, Master Tsuneo Kinjo na Master Tetsu  Gima.

Tunatarajia kufanya mitihani ya mikanda mieusi miezi ijayo madaraja tofauti kupitia dojo za “ Kaizen dojo” Jamhuri na dojo dada ya Hekalu la Kujilinda Zanaki dojo. Hii ni moja ya jitihada za kusambaza mwenendo huu kwa kina na pia ufundishaji wa mbinu za utumiaji wa tafsiri za “Kata” uijulikanao kama “Bunkai”, au uchambuzi wa matumizi ya mbinu za kujilinda. Mitihani yote itafanywa na sensei Rumadha Fundi chini ya utaratibu wa “Syllabus”  ya Jundokan, Okinawa.

Lengo pia ni kuzungumzia yale yote yaliojiri katika semina kuu ya Jundokan bara la Ulaya chini ya master wake toka jijini Naha, Okinawa mwezi wa Julai 2017. Ufundishaji sahihi wa mfumo huu ni moja ya malengo kuhakikisha tu kwamba wana Jundokan duniani mkote wapo kwenye msimamo mmoja katika uchambuzi na ufanyaji wao wa Kata na matumizi yake.

Pia wakati huohuo, kutakuwa na semina ya wanafunzi wa ngazi za mikanda mieusi wa Jundokan Tanzania ikiwemo na dojo ya Zanaki katika kuwawezesha wanafunzi wake kuuliza na kupata majibu ya matumizi yao ya ufanyaji Kata kama jinsi ipasavyo chini ya chama hicho chenye ufahasa wa mtindo huo unaofuata nyanyo za mafunzo ya Master Chojun Miyagi, mwanzilishi wa mtindo wa Okinawa Goju Ryu.

Hivyo, hii ni moja ya fursa kubwa kwa wana Jundokan kuweza kushiriki semina hii chini ya mwakilishi wa Jundokan Tanzania, ama kamaijulikanavyo “Tanzania Shibu-Cho”, sensei Rumadha Fundi. Sensei Rumadha, amesisitiza kwa niaba ya chama hicho kwamba Kila mwanafunzi wa mkanda mweusi, hana budi kuhudhuria semina za walimu angalau mara moja kila miaka miwili na kupata usahihisho muhimu kimafunzo. Hilo ndio lengo kuu hata kipindi kile kwa mwanzilishi wa Okinawa Goju Ryu Tanzania, marehemu Sensei NC Bomani kufanya ziara za mara kwa mara kwenda huko Naha, Okinawa kupata marekebisho toka kwa magwiji wa Karate duniani na chimbuko lake.

Pia vilevile, Tanzania imepatiwa mwaliko wa kuhudhuria maadhimisho ya miaka 65 tokea kuanzishwa kwa chama cha Jundokan itayofanyika November 2018 mjini Naha, Okinawa, Japan. Chama hicho kilianzishwa na mwanafunzi mkuu wa Master Miyagi aitwae Master Eiichi Miyazato sensei 1957 ambae pia alikuwa ndio mwalimu wa sensei Nantambu C Bomani. “ Chuo kinacho fundisha nyayo au mwenendo wa Master Chojun Miyagi”. Ikimaanisha, hamna mabadiliko yeyote kimafunzo na Kata zake kama jinsi alivyokuwa akifundisha mwanzilishi wake Chojun Miyagi sensei.


























































Mtoto wa mfalme, Prince Harry ameonekana akiwa ameambata na mpenzi wake mrembo Meghan Markle kwa mara ya kwanza mtaa ulio na harakati nyingi sana za kibiashara duniani wa Shaftesbury Avenue wakiwa wanaelekea kwenda kwenye maonyesho ya West End show Peter Pan Goes Wrong.
 Prince Harry and Meghan Markle are pictured together for the first time in London
Kwa taarfia zilizoko ni kwamba Prince Harry amekuwa kwenye mahusiano na nyota huyu wa mchezo wa Suits kwa takribani mienzi mitano ila ilikuwa ni siri sana hadi hapo jana waliponekana hadharani wakiwa pamoja .
Meghan has been staying with Harry at his two-bedroom Nottingham Cottage
Muigizaji, Meghan Markel

Inavyodaiwa ni kwa mrembo huyo Meghani mwenye makazi yake Canada alisafiri alfariji ya Jumatatu kuja nchini Uingereza kuungana na mpenzi wake katika maandalizi ya sikukuu ya krismasi.

Habari hii imetafririwa kutoka gazeti la the sun  https://www.thesun.co.uk

KIM Kardashian is planning to file for divorce from husband Kanye West ‘when the time is right’, according to sensational new claims.

The reality star and her husband have been keeping a low profile following his hospitalisation in November  because of a mental breakdown.

Kim Kardashian
New reports claim Kim Kardashian is preparing to file for divorce from troubled husband Kanye West
 
And while Kim has reportedly been doing all she can to help aid the rapper’s recovery, US sources are claiming that the reality star is ‘unhappy’ in the relationship.


According to US Weekly, a friend to the Kardashians claimed: “It will take some time before she can do anything. She doesn’t want to stay married.”

The insider added that Kim won’t make any decisions until Kanye is fully recovered, stating: “She’s being a supportive wife. She cares about Kanye and feels relieved he’s getting the help he needs but she’s felt trapped for a while.”

It has been widely speculated that the couple may be experiencing marital issues after it was claimed that the rapper is living apart from his wife and their two kids – North, three, and Saint, 12 months – as he receives outpatient care following his 10 day stay in UCLA Medical Center.

 Kim Kardashian
US sources claim that Kim feels ‘trapped’ in the marriage but is being a supportive wife as Kanye recovers
Kim Kardashian and husband Kanye are reportedly living apart
Kim Kardashian and husband Kanye are reportedly living apart
The rapper is still recovering following his break down
The rapper is still recovering following his break down 
 
 
Source by www.thesun.co.uk 

Mrembo wa taji la Miss Tanzania 2010 Genevieve Mpangala amejitosa kusaidia kurejesha heshima ya mkoa wa Tabora katika elimu hasa kwa wasichana ambao ndio nguzo kubwa kwa familia na maendeleo ya taifa.

Mrembo huyo ameamua kufanya hivyo kwa kutembelea shule mbili za Tabora Girls na Isevya kuongea na wanafunzi, kuwapa moyo na kuangalia matatizo yanayowasumbua katika kujipatia elimu.

Akizungumza na Moblog amesema kwamba amekuwa na masikitiko makubwa na matokeo ya mitihani ya kitaifa ya sekondari kwa miaka mitatu ilhali simulizi za Tabora miaka iliyopita ni za kufurahisha sana uikionesha kwamba mkoa huo ndio kitovu hasa cha elimu.

Anasema ukisoma nyaraka mbalimbali unaona jinsi Tabora ilivyokuwa ngome ya elimu huku watanzania wengi wakifika hapo pia kupata elimu ya sekondari.

Mrembo wa taji la Miss Tanzania 2010, Genevieve Mpangala akizungumza wa shule ya sekondari Tabora Girls hivi karibuni.

“Kwa kweli pamoja na masimulizi mazuri kuhusu elimu Tabora miaka ya 80 na 90 ,nilichagua Tabora girls kwa sababu ni shule aliyosoma mama yangu mzazi form 1 mwaka 1977 mpaka 1980 mpaka na aliisifia sana shule yake hiyo na nikapenda niweze kuwa karibu nao kuhakikisha wanafunzi wote wanamaliza,na Isevya ilikua chaguo la pili kwasababu ilikua ni shule ya kutwa (day) na nilipendelea kuongea na wanafunzi hao” alisema Genevieve.

Mkoa wa Tabora ambao unapatikana kati ya Magharibi ya Tanzania kwenye uwanda wa latitudo 40-70 Kusini na longitudo 310 - 340 mashariki ukipakana na mikoa ya Shinyanga, Katavi, Singida, Kigoma na Dodoma ni mji ulioanzishwa na wafanyabiashara wa Kiarabu kwenye miaka ya 1850 ukijulikana kama Kazeh .

Kihistoria Kazeh ambayo ilikuwa kitovu cha biashara ya utumwa, mwaka 1871 robo ya mji ilichomwa moto na kuvurugwa na mtawala wa wanyamwezi Mirambo .

Ingawa mwaka 1885 hadi 1891 wajerumani walijaribu kutawala, historia zinasema kwamba mji huo ulikuwa na vurugu kubwa lakini baadae ukatawaliwa na wajerumani wakafanya mji wa utawala kabla ya vita kuu ya kwanza kuingia na wao kung’olewa.
Mrembo wa taji la Miss Tanzania 2010 Genevieve Mpangala akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya wanafunzi na mwalimu wao alipofanya ziara shuleni hapo.

Pamoja na historia yenye misukosuko ya Mkoa wa Tabora ambao ni moja ya mikoa yenye eneo kubwa unategemea sana kilimo kufanikisha maisha lakini kwa miaka mingi mkoa umekuwa ukididimia kimaendeleo na kijamii.

Mkoa wa Tabora ambao umekua wa mwisho kwa miaka mitatu mfululizo mwaka 2013,2014 na 2015 unahitaji nguvu kubwa ya kujiondoa katika shida ya kuporomoka katika elimu

Mrembo Genevieve anasema ziara yake katika shule hizo imemfumbua macho na kuona haja kubwa ya kuendelea na programu za kufufua matumaini.

Pamoja na kuwashukuru walimu kwa ushirikiano waliompa aliwataka wanafunzi kuweka mkazo katika imani, matumaini na kutekeleza ndoto zao katika uwanda mkubwa zaidi.
Aidha pamoja na kuzungumza "HAVE FAITH,HOPE FOR MORE AND DREAM EVEN BIGGER", pia aliwaasa kuwa elimu ni msingi mzuri wa maisha na kuwa wasiharakishe na kupotoshwa na mambo ya kidunia kwani haya maisha yapo.

Akiwa na wasichana wa shule ya Tabora Girls walimweleza changamoto wanazokutana nazo ikiwa ni pamoja na kutokuwepo na uzio kwenye shule yao hiyo, uhaba wa vitabu, upungufu wa walimu, uhaba wa upatikanaji wa habari mubashara, kwa wanafunzi kwamba hawana king'amuzi,kwa wanafunzi wenye ulemavu wa ngozi wanauhitaji wa msaada wa kofia pamoja na mafuta ya kuwakinga na jua.

Matatizo hayo yanatokana zaidi na kwamba wengi wao wanatoka kwenye mazingira duni. Changamoto nyingine ni pamoja na kuwa na zahanati ambayo ina uhaba wa vifaa mfano:vyandarua vya kutosha pamoja na vitanda,pia kwa wanafunzi ambao wanaulemavu wa macho ambao ni hafifu na vipofu kabisa hivyo kuna uhaba wa brail paper.

Ziara fupi ya Mrembo wa Tanzania 2010 Genevieve Mpangala kwa shule mbili za jijini Tabora za Isevya Secondary School na shule ya vipaji maalum ya wanawake Tabora girls.

Amesema katika mazungumzo yake na wanafunzi hao amebaini pia kwamba kutofanya vyema kwa wanafunzi pia kunasababishwa na wanafunzi hao kutumia madawa ya kulevya, utoro, mimba za shuleni na wazazi kuozesha mabinti katika umri mdogo kabla ya wao kumaliza shule.

Ngoma Africa Band, one of the most sought-after African bands in Germany will be live on stage.
Kamanda Ras Makunja, the band leader told the Afronews.de that they were preparing to stage one of their best-ever shows.
XXL-AFRO-SUMMER-JAM
This is the event to attend if you’d like feel the spirit and rhythm of Africa.

Guests will have a chance of enjoying a dancing performance by “Daniela & Ahmet” of AfroMoves, Stuttgart – the first dancing KIZOMBA School in Germany.

They’ll also enjoy a dancing performance by “The Tumbaolindas”. This is a sexy, inspiring and moving – dance show from the amazing Afro & Salsa Dance School in Esslingen. Last year the Tumboalindas won the second place at the Ladystyle Dance Competition in Germany.

On the turntable there will be DJ Drazee (from Kumasi, Central Ghana) who works at the Big FM/Catch A Fire Jugglerz Radio. He’ll be joined by DJ Dominique (from Guadeloupe) who will spin some Afro-Latin/Dancehall/Oldschool-Music.

The XXL AFRO SUMMER JAM will be held at Kulturhaus Arena, Ulmer Str. 241, 70327 Stuttgart. To get your ticket, please send an email to xxlafrosummerjam@gmx.de or dial 0157-32161521.


Ebrahim Makunja, Kiongozi





















Usiku wa kuamkia sikukuu ya uhuru utashuhudiwa na nguli wa muziki wa kikongo, Koffie Olomide kutoka DRC akiwasha moto katika ukumbi wa Escape one ambapo atashuka na kibao chake kinachoshika chati kwa nguvu kwa sasa, " SELFIE", 

Usiku huo ambao umebatizwa kama wa Selfie 16 katika kupambisha shamrashamra za sherehe hizo zitakazofikia kilele siku ya kesho kwa watanzania kushiriki katika zoezi la kuweka mazingira safi kwa kufanya usafi tofauti na ilivyozoeleka hapo nyuma kwa kushuhudia gwaride la uhuru.

Koffi Olomide kutoka Congo DRC ameshatua jijini Dar es Salaama kwa ajili ya burudani hiyo huku akiwa amembatana na wachezaji wake (Dancers) kama wanavyoonekana pichani.

Picha zote kwa hisani ya mtandao wa Milardayo .

.



.


.

.


.


.


.


.

.


DSC_2547


.








The models put on another show-stopping performance as they graced the catwalk on Tuesday evening for the lingerie giant's annual extravaganza.

Models on the catwalk for the Victoria's Secret Fashion Show
Models on the catwalk for Victoria's Secret Fashion show
The models put on another show-stopping performance as they graced the catwalk on Tuesday evening for the lingerie giant's annual extravaganza.

Strutting their stuff: The VS models dazzled in New York
The 2015 Victoria’s Secret Fashion Show saw the world’s most beautiful models take to the runway in New York on Tuesday in a blaze of bright colours, racy outfits, elaborate wings and other fabulous props.
Behati Prinsloo, Adam Levine’s other half, opened the show dressed in a pair of dazzling wings, while VS veteran Alessandra Ambrosio followed close behind in an equally show-stopping outfit.

Kendall Jenner was a total natural as she made her show debut. With her never ending legs on display as well as her trim tummy in a variety lace lingerie looks, the reality star looked simply stunning.

Rex Features Lily Aldridge wearing the Fantasy Bra on the catwalk
Lily Aldrige wore the $2m Fantasy Bra
REX
Candice dazzled in her wings
South African beauty Candice Swanepoel also dazzled in a colourful embellished bikini set and giant multicoloured wings.
While Candice's fellow veteran Angel Lily Aldridge, who was chosen to wear the $2 million Fantasy Bra this year, sent temperatures soaring in an equally skimpy bright red two piece.
Ellie Goulding, who replaced Rihanna at the last minute, The Weekend and Selena Gomez all took to the stage to sing as the models sashayed past them.

Ahead of the lingerie giant’s annual extravaganza, which is filmed twice in order to get all the perfect camera angles, the official Victoria's Secret Instagram account shared a steady stream of backstage shots as glam squads put the finishing touches to the models' looks.



One showed Gigi Hadid wearing a pair of huge green wings, designed for the exotic butterfly segment of the show.

REX
Kendall looked like a natural
Another showed Kendall Jenner, 20, and her fellow models flashing their rears to camera while dressed in their sexy silk white and pink robes.
Proud mum Kris Jenner also re-posted a picture of her daughter and Lily cuddling up for snap in their signature pink robes.


Meanwhile, Victoria's Secret Angel Elsa Hosk treated fans to a very raunchy picture as she posed completely naked ahead of the show.
With a giant curtain and her strategically placed arm protecting her modesty, the stunning Angel showed off her cleavage and long legs as she posed completely naked.








Kendall Jenner on catwalk


Lily Donaldson on catwalk


Joan Smalls


Martha Hunt



Alessandra Ambrosio



Selena Gomez




Izabel Goulart



Devon Windsor

Gigi Hadid

Maud Welzen on the catwalk
Maud Welzel

Adriana Lima on the catwalk

Joan Smalls on the catwalk

Sara Sampaio on the catwalk
Sara Sampaio

Constance Jablonski on the catwalk

 Gigi Hadid and Ellie Goulding performing on the catwalk
 Lily Aldridge wearing the Fantasy Bra on the catwalk
Ellie Goulding performing on the catwalk
Ellie Goulding performing on the catwalk
 Constance Jablonski on the catwalk
 Candice Swanepoel, Behati Prinsloo, Lily Aldridge and Alessandra Ambrosio on the catwalk
Source: the daily mirror


































Author Name

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.