Articles by "News"

Showing posts with label News. Show all posts

Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Prof.Sifuni Mchome akiwasilisha mada kuhusu Sera ya Elimu na Mafunzo ya Mwaka 2014 kwa Watumishi wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa katika warsha fupi iliyofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa  Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam tarehe 06 Machi, 2015.

Mkurugenzi wa Idara ya Mashariki ya Kati katika  Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirkiano wa Kimataifa, Balozi Simba Yahya (kushoto) akiwa na Mkurugenzi Idara ya Asia na Austaralasia, Balozi Mbelwa Kairuki (katikati) na Mkurugenzi Msaidizi katika Idara ya Sera na Mipango  Bw. Joachim Otaro wakifuatilia kwa makini warsha hiyo
Sehemu ya Watumishi wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa wakimsikiliza Prof. Mchome ambaye hayupo pichani wakati akiwasilisha mada kuhusu Sera ya Elimu na Mafunzo ya Mwaka 2014.

 Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Katiba,Sheria na Utawala wamefanya ziara katika wilaya ya Mbarali mkoani Mbeya kuona utekelezaji wa shughuli za Mfuko wa Maendeleo ya jamii(TASAF) na kukutana na walengwa wa Mpango wa Kunusuru kaya Masikini unaotekelezwa na mfuko huo.
Wakizungumza na walengwa hao katika kijiji cha Madabaga wabunge hao wameonyesha kuridhishwa na mafanikio makubwa yaliyoanza kupatikana baada ya walengwa kupata fedha chini ya utaratibu wa uhawilishaji fedha unaotekelezwa na Tasaf.
Wakizungumza katika ziara hiyo baadhi ya walengwa wameeleza namna walivyonufaika na fedha zilizokwishatolewa ikiwa ni pamoja na kusomesha watoto,kuboresha makazi yao na kuwa na uhakika wa huduma ya afya na lishe.
Akizungumza kwenye mkutano uliofanyika kijijini Madabaga,mwenyekiti wa kamati hiyo Vedastus Rweyikiza amewahimiza wananchi hao kutumia fursa hiyo kwa ukamilifu ikiwa ni pamoja na kubuni miradi itakayowafanya wawe katika mazingira mazuri hata baada ya mpango huo kumalizika.
Akizungumza kwa niaba ya mkurugenzi mtendaji wa Tasaf Ladslaus Mananga,mkurugenzi wa ukaguzi wa mfuko huo,Christopher Sanga alibainisha kuwa jitihada za kuwafikia walengwa wote wa mpango huo zinaendelea ambapo ifikapo katikati ya mwaka huu zaidi ya kaya milioni moja zitanufaika na utaratibu wa uhawilishaji fedha nchini kote.
 Mkuu wa mkoa wa Mbeya Abbas Kandoro(wa tatu kutoka kushoto) akiwa na baadhi ya wajumbe wa Kamati ya kudumu ya Bunge ya Katiba,Sheria na Utawala kabala ya wajumbe hao kutembelea walengwa wa Mpango wa kunusuru Kaya Masikini unaoratibiwa na Mfuko wa Maendeleo ya jamii(TASAF) wilayani Mbarani mkoani humo.Kulia ni mkurugenzi wa ukaguzi wa Tasaf Christopher Sanga.
 MKuu wa wilaya ya Mbarali Gulamhussein Kifu(wa nne kulia) akiwa na baadhi ya wajumbe wa Kamati ya kudumu ya Bunge ya Katiba,Sheria na Utawala kabla ya wajumbe hao kutembelea walengwa wa Mpango wa kunusuru Kaya Masikini unaoratibiwa na Mfuko wa Maendeleo ya jamii(TASAF) wilayani Mbarani mkoani humo.
 Mwenyekiti wa Kamati ya kudumu ya Bunge ya Katiba,Sheria na UtawalaVedastus Rweyikiza akizungumza jambo baada ya kamati hiyo kukutana na wanufaika wa Mpango wa kunusuru Kaya Masikini unaoratibiwa na Mfuko wa Maendeleo ya jamii(TASAF) katika kijiji cha Madabaga wilayani Mbarani mkoani Mbeya.
 Wanufaika wa Mpango wa kunusuru Kaya Masikini unaoratibiwa na Mfuko wa Maendeleo ya jamii(TASAF) katika kijiji cha Madabaga wilayani Mbarani mkoani Mbeya wakimsikiliza mwenyekiti wa Kamati ya kudumu ya Bunge ya Katiba,Sheria na Utawala Vedastus Rweyikiza kabla ya kuanza kugawiwa fedha kwenye mkutano uliofanyika kijijini hapo jana.
 Mmoja wa wanufaika wa Mpango wa kunusuru Kaya Masikini unaoratibiwa na Mfuko wa Maendeleo ya jamii(TASAF) katika kijiji cha Madabaga wilayani Mbarani Hellena Bamba akikabidhiwa fedha kutoka kwa kamati ya mradi ya wilaya(CMC).
 Baadhi ya wajumbe wa Kamati ya kudumu ya Bunge ya Katiba,Sheria na Utawala wakiangalia namna wanufaika wa Mpango wa kunusuru Kaya Masikini unaoratibiwa na Mfuko wa Maendeleo ya jamii(TASAF) katika kijiji cha Madabaga wilayani Mbarani wanavyokabidhiwa fedha.Katikati ni Mwenyekiti wa kamati hiyo Vedastus Rweyikiza kushoto kwake akifuatiwa na Felix Mkosamali na Willium Ngeleja.

Na Nathaniel Limu, Singida
DEREVA wa Halmashauri ya Wilaya ya Iramba mkoani Singida Juma Juma (52) amefariki dunia wakati akifanya mapenzi na mwanamke mhudumu wa baa kwenye nyumba ya kulala wageni
.
Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Singida,SACP Geofrey Kamwela amesema tukio hilo limetokea mei tatu mwaka huu saa nane za usiku chumba no.S.2 nyumba ya kulala wageni ijulikanayo kwa jina la Top Life New Kiomboi mjini.

Amesema siku ya tukio,dereva Juma saa sita za usiku alimwaga mpangaji wake kuwa anatoka mara moja na hatachelewa kurudi nyumba kwa kwa hiyo alifunga mlango wa mbele ya nyumba.

Amesema kuwa saa mbili baadaye Juma alionekana akiwa baa iliyoko kwenye nyumba hiyo la kulala wageni iliyoko umbali wa mita 50 kutoka nyumbani kwake.

"Muda huo Juma alionekana akiwa na mmoja wa wahudumu wa baa hiyo alitwaye Agness Mayo (32) anayesadikika kuwa na uhusinao wa kimapenzi na Juma.",amesema.

Kamwela amesema mhudumu huyo wa baa mpenzi wa Juma,alitoweka mei nne mwaka huu baada ya kuaga kwamba anakwenda kanisani na kutorokea kusikojulika.Hata hivyo,ufunguo wa chumba alicholala Juma zilikutwa chumba cha kulala wahudumu wa baa.

Kamanda huyo amesema kuwa toka siku hiyo ya mei tatu chumba alicholala Juma hakifunguliwa hadi mei tano mwaka huu na ndipo mwili wa dereva huyo ulipokutwa ukiwa umeharibika vibaya.

"Uchunguzi zaidi wa tukio hilo unaendelea ikiwa ni pamoja na kutafuta mhudumu aliyetoroka ili ahojiwe na kisha kufikishwa mahakamani kujibu tuhuma zinazomkabili endapo atabainika kuhusika na tukio hilo",amesema Kamanda Kamwela.


Youth jobs’ gains wiped out by slow recovery

A new ILO report says the long-term impact of the youth employment crisis could be felt for decades, creating a generation at risk of suffering decent work deficits throughout their lives.
News | 08 May 2013
GENEVA (ILO News) – Despite some regional differences, the global youth unemployment rate continues to rise and is projected to reach 12.8 per cent by 2018 – wiping out the gains made at the start of the economic recovery.

Behind this worsening figure is an even more worrying picture, revealing persistent unemployment, a proliferation of temporary jobs and growing youth discouragement in advanced economies; and poor quality, informal, subsistence jobs in developing countries.

According to the
ILO’s Global Employment Trends for Youth 2013 report, an estimated 73.4 million young people – 12.6 per cent – are expected to be out of work in 2013, close to the levels reached at the peak of the economic crisis in 2009. This is an increase of 3.5 million between 2007 and 2013.
Earlier projections had put the 2012 figure at 12.7 per cent but this has been adjusted to 12.4 based on new data. The trend, however, remains upward.

“These figures underline the need to focus policies on growth, massive improvements in education and training systems, and targeted youth employment actions,” says José Manuel Salazar-Xirinachs, ILO’s Assistant Director-General for Policy.

“Employers, education providers and youth often live in parallel universes, they do not sufficiently engage with each other. We know a lot about what works but real impact and scale can only be achieved through close partnerships and collective action,” he added.
Across regions
The highest regional youth unemployment rate in 2012 is registered in the Middle East, where 28.3 per cent were out of work – more than one in four economically active young people. On current projections, this is expected to rise to 30 per cent in 2018.

North Africa is also experiencing a very high youth unemployment rate – 23.7 per cent in 2012.

Young women in both these regions are the worst hit – 42.6 per cent of the female labour force in the Middle East is out of work, 37 per cent in North Africa.

Globally, the lowest rates in 2012 were in East Asia (9.5 per cent), and South Asia (9.3 per cent).
Projections
In advanced economies, the youth unemployment rate in 2012 was 18.1 per cent. It is likely to remain above 17 per cent until 2015 and is not predicted to drop below 17 per cent before 2016. In Greece and Spain, more than half of the economically active youth population is unemployed.
Many young people have given up on the job search altogether. If they were factored into the unemployment figures, the report says, the number of young people either unemployed or discouraged from seeking work in advanced economies would increase to 13 million, compared to the 10.7 million who were actually unemployed in 2012.
Shrinking options
Those who do find work are forced to be less selective about the type of job they settle for, including part-time work and temporary contracts because they are in desperate need of any income.

“Secure jobs that were once the norm for previous generations – at least in advanced economies – have become less easily accessible for today’s youth. The growth of temporary and part-time work, in particular since the height of the global economic crisis, suggests that such work is often the only option for young workers,” Salazar-Xirinachs explains.

The share of young people being out of work for at least six months is also increasing. In the OECD countries, more than one third of young, unemployed persons were classified “long-term unemployed” in 2011 – up from one quarter of the unemployed in 2008.

This is particularly worrying, says Salazar-Xirinachs: “The long-term consequences of persistently high youth unemployment include the loss of valuable work experience and the erosion of occupational skills. Moreover, unemployment experiences early in the career of a young person are likely to result in wage scars that continue to depress employment and earnings’ prospects even decades later.”

The number of NEET’s in advanced economies – those neither in employment, nor education or training is growing and stands at one in six – putting them at risk of labour market and social exclusion.
Skills mismatch
Skills and occupational mismatches, which are also increasing, are in danger of becoming entrenched, without policies to re-skill jobseekers – in close collaboration with the private sector. Youth who are vulnerable to occupational mismatch include, in particular, young women and youth who have already experienced unemployment.

“These consequences are likely to become stronger, the longer the youth unemployment crisis continues and will lead to an economic and social cost – increasing poverty and slow growth – that will far outweigh the cost of inaction,” Salazar-Xirinachs stresses.
Targeted action needed
The report urges governments to take immediate and targeted action to tackle the youth employment crisis. Concerted and joint efforts by employers’ organizations and trade unions are also called for.

It stresses that there is no “one-size-fits all”  solution but says that the key policy areas,  identified in the
ILO’s June 2012 Call for Action, is a global framework which can be adapted to national and local circumstances.

The report calls for:
·         Fostering pro-employment growth and decent job creation through macroeconomic policies, employability, labour market policies, youth entrepreneurship and rights to tackle the social consequences of the crisis, while ensuring financial and fiscal sustainability.
·         Comprehensive measures targeting disadvantaged young people in advanced economies with high numbers of unemployed youth. These include education, training, work experience support and recruitment incentives for potential employers.
·         Integrated employment and livelihoods strategies and programmes in developing countries, including training in literacy, occupational and entrepreneurial skills and business support.
For further information, please contact the Director, ILO Office Dar es Salaam, P. O. Box 9212, Tel: 2196700, Fax: 2126627, Email: daressalaam@ilo.org OR ILO Department of Communication, Geneva, at: +4122/799-7912, communication@ilo.org,



National leadership and action are crucial and governments have the primary responsibility for assuring the food security of their citizens, FAO Director-General José Graziano da Silva recently told a high-level meeting on the UN's vision for a post-2015 strategy against world hunger. The UN's Millennium Development Goals (MDGs) deadline will pass in 2015.

"The Millenium Development Goals have pushed us forward. But with 870 million people still suffering from hunger, the war against food insecurity is far from over," Graziano da Silva said.

"The only effective answer to food insecurity is political commitment at the national level, and reinforced at the regional and global levels by the international community of donors and international organizations," he said, adding that the world's attitude toward hunger has changed profoundly.

"The right to food in the context of national food security is now the agreed foundation for policy discussion worldwide," he said.

The Director-General said that since the world produces enough food to feed everyone, emphasis needs to be placed on access to food and to adequate nutrition at the local level. "We need food systems to be more efficient and equitable," he said.

He said that such progress will require significant public and private investment in rural areas where over 70 percent of the hungry live and where millions of people depend on agriculture for food and employment including 500 million smallholder farm families.

However, he warned that despite the primary responsibility of national governments to ensure their citizens are fed, today's globalized economy means that no country acts alone.

"Actions taken by one country or company may affect the food security of others [while] conflicts can lead to instability in neighboring countries and regions," he said.

"Impacts on environmental and natural resources are not purely national and it is virtually impossible to regulate markets and activities at the national level alone."

As examples of multilateral efforts that contribute to national efforts to reduce hunger and make development more sustainable, he cited the strengthening of the Committee on World Food Security and the United Nations Secretary-General's High Level Task Force on Global Food Security. 

Another example is the Zero Hunger Challenge launched by the UN Secretary General Ban Ki-moon last June, at the Rio+20 Conference on Sustainable Development, he said.

Public policies should also create opportunities for the most disadvantaged, including subsistence and small-scale producers, women, youth and indigenous people, he said.

The Tanzanian government of has been told to reduce burden on workers and instead ensure the tax net covers more members of the business community and investors across the country. It has been established.
Speaking to reporters in a news conference in Dar es Salaam on Tuesday this week Trade Union Congress of Tanzania (TUCTA) President Omary Jumaa said workers have been contributing 46 percent of the national income while traders and investors contribute only 24 percent.
 Jumaa revealed when briefing the media on resolutions reached by TUCTA’s Executive Committee in its meeting held between December 13 and 14 this year in Morogoro.
TUCTA President said that the government has been concentrating on the Pay As You Earn (P.A.Y.E) tax as the major source of its income leaving out investors and big businessmen who make huge profits in the country but pay very little tax or none at all.
He said there are some workers whose P.A.Y.E is up to 1m/- just because they are in the system and cannot avoid paying.
The TUCTA president asked the government to intensify measures to curb revenues losses occasioned by traders and investors and relieve the workers from bearing the most burden.
“Workers are exploited through paying large amounts of taxes while others are leading luxurious lives and enjoying the country’s resources…the government should take actions to reduce this burden to the extent where workers should pay a single digit percentage of their earnings as tax,” he said. 
The TUCTA boss added that the committee has discovered that the working environment in the country is still not satisfactory citing difficult situations in most work places which are yet to be addressed.
He noted that currently most workers survive on 3000/- to 4000/- per day. These are those who are paid 70,000/- to 100,000/- per month. This group comprises the large number of workers who are in private sector.
Jumaa also touched on the public sector where a civil servant is paid 5,700/- per day which equals the gross salary of 170,000/- per month which could not even satisfy the daily needs of the worker.
He acknowledged the shortage of employment opportunities in the country, proposing the improvement and concentration of vocational training colleges as a solution to the problem because many youth shall get various technical trainings which will enable them employ themselves.
 
Furthermore, TUCTA has asked the government to factor a 100 per cent salary increase in its budget, while reducing workers’ income tax to 11 per cent of their salaries for the financial year of 2013/2014 in a bid to improve workers living standards.

A major progress has been made on the fight against communicable diseases from animals to human being such as the rift valley and Ebola, which in recent years have posed threats in some parts of the SADC and East African region.
 
This was said in Morogoro region by researchers and scientists from Tanzania, Malawi, Zambia, South Africa and UK, who are meeting in the region to strategize scientific ways of preventing the diseases from animals to human being and vice versa.
 
Citing an example of lift valley disease, a lecturer of Sokoine University of agriculture, Gerald Msinzo said that researchers were working on several samples from animals, testing them in laboratories so that the results would be used to establish practical solutions for the diseases.
 
For his part, a researcher, Jo Lines of UK, explained that so far significant progress has been made in malaria which is one of the area of research.
 
He said that other diseases such as Ebola were also been worked on, and that he was optimistic that the research findings would bear desired fruits.
 
Dalie Wesseles, a researcher from South Africa was on the view that there was a need to train focal points in different parts of the region and set up guiding principles on how best they can deal with the diseases.
Livestock constitutes an important natural resource of the Southern African Region, with over 60 percent of the region’s total land area suitable for livestock farming.
Although the livestock sector offers the region a unique opportunity for accelerated economic growth in the region, in some areas, diversification and increased poor animal disease control and husbandry, are turning the opportunities into threats.

Global children’s charity Plan International has pumped USD100 million into development projects in Tanzania over the past two decades, as part of the organization's efforts to foster children’s rights and development in the country.
CEO Nigel Chapman said in Dar es Salaam today that his organisation plans to spend an additional USD40 million over the next three years up-scaling its development projects, in some of the poorest and most remote regions of Tanzania.
 He was briefing media ahead of his board’s week-long tour of Plan’s projects in Tanzania, which he said is one of the oldest and biggest global development organizations focusing on children ‘s rights .
“Plan has been working in Tanzania for the past 20 years, supporting under-privileged children and poor communities' access to health, education, clean water and sanitation. To date, nearly 1.6 million have benefited from our programmes,” he said.
Chapman said Plan had joined hands with other organizations to introduce Village Savings and Loans Associations to support a plethora of rural communities accessing loans to shore-up agricultural productivity, and help them venture into small business enterprises.
“Currently there are more than 4,000 VSLA groups that have been established across the country, with more than 80,000 members. The majority of them are women. VSLAs are proving to be hugely popular in this country as they offer cheap loans to rural communities,” Chapman said.
Chapman said Plan was also involving children in VSLAs to inculcate a culture of saving among children and youth. The number of savings clubs run by children had swollen to 300 as 9,000 children in Tanzania were currently involved in these schemes.
“The involvement of children in VSLA is helping instil a savings culture among children and youth, as they learn about money management at an early stage in life,” he said.
Among others, Mr. Chapman said Plan supports community-led total sanitation (CLTS) projects, which inspire communities to shun open defecation because of its negative impact on health.
CLTS has been introduced in more than 100 villages and many of them are now regarded as ‘open defecation free’.
Plan has also been supporting the Tanzanian Government to develop policies that curb the high incidence of violence against children, as well as teenage pregnancies and child labour. This had led to a decline in cases of child abuse in the country, Chapman said.
In addition, he said Plan is promoting the concept of pre-school learning known as Early Childhood Care and Development, to prepare a strong foundation for children's mental development ahead of being enrolled in school.
Founded over 75 years ago, Plan is one of the oldest and largest children's development organisations in the world.
Plan works in 50 developing countries across Africa, Asia and the Americas to promote child rights and lift millions of children out of poverty. 
 
Plan started operating in Tanzania in 1991. Plan operates in seven districts within five regions across the country – Dar es Salaam (Illala district), Coast region (Kisarawe and Kibaha districts), Mwanza region (Illemela and Nyamagana districts) and Geita region (Geita and Nyang’hwale districts), reaching nearly 1.6 million children.

JALALABAD, Afghanistan – Suicide attackers detonated bombs and fired rockets outside a major U.S. base in Afghanistan on Sunday, killing five people in a brazen operation that highlighted the country’s security challenges ahead of the 2014 NATO combat troop pullout.

 

 

KUWAIT (Reuters) – Kuwaitis have elected a parliament including many newcomers which may prove more government-friendly than its predecessor but could lack legitimacy in the eyes of some due to a low voter turnout.

 

Newly elected member of Parliament Yousef Zalzaly (top C), a Shi’ite Muslim, is greeted by supporters after the final results of the election were announced in Kuwait city December 1, 2012. REUTERS

 

From sci-fi to reality! A new missile which uses electromagnetic pulses to target buildings can permanently shut down a country’s electronics without harming people, Boeing has claimed.

 

Aircraft manufacturer Boeing has successfully tested a missile which knocked out an entire military compound in the Utah deser

 

 

 

 

TOKYO — Parts of a tunnel collapsed Sunday on a highway west of Tokyo, trapping an unknown number of vehicles as smoke from a fire inside initially prevented rescuers from approaching.

Police vehicles are parked at the entrance as smoke billows out of the Sasago Tunnel on the Chuo Expressway in Koshu, Yamanashi Prefecture, central Japan, Sunday morning, Dec. 2, 2012. A part of the tunnel collapsed Sunday morning, possibly involving several vehicles and injuring several people, local media said

 

Kumekucha mabilioni ya Uswisi

SERIKALI imeamua kuunda kikosikazi kitakachohusisha Idara ya Usalama wa Taifa,  Polisi wa Kimataifa (Interpol) na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) kwa ajili ya kuanza uchunguzi kuhusu  Watanzania wanaotuhumiwa kuficha kiasi cha Sh314 bilioni nchini Uswisi.

Hatua hiyo ya uchunguzi inatokana na Bunge kutoa maazimio ya kuitaka Serikali kufuatilia sakata hilo katika kikao chake kilichopita mjini Dodoma na kutoa majibu katika kikao cha Bunge cha Aprili mwakani.

Akizungumza na Mwananchi Jumapili jana, Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Frederick Werema alisema, “Tuhuma hizo siyo jambo dogo na Serikali haiwezi kuzipuuza, sasa tunachukua hatua madhubuti.”
Jaji Werema alisema kuwa Serikali imeshapiga hatua katika kufanya uchunguzi huo.

“Tumepiga hatua katika suala hili, ila ukianza kusema sana utakuwa unaharibu. Tumeamua kuwa na kikosi maalumu cha upelelezi kitakachoshirikisha Idara ya Usalama wa Taifa, Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) na Wizara ya Fedha na wachunguzi binafsi wakiwamo Polisi wa Kimataifa (Interpol) pamoja na Benki ya Dunia (WB).

Mwanasheria mkuu wa Serikali,Jaji Frederick Werema. 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

Message by Guy Ryder, Director-General, International Labour Organization
World AIDS Day, 1 December 2012

This World AIDS day commemoration carries a unanimous hope that the world can bring an end to AIDS. This belief is upheld by the significant progress achieved in preventing new infections and increasing access to HIV treatment, care and support.

 The ILO has fully played its part in this global endeavour by promoting the understanding of AIDS as a workplace issue, mobilizing action in the world of work and strengthening the capacity of its constituents to adopt policies and sustain effective programmes.

Yes, progress has been made but challenges  remain  as AIDS related illnesses are still threatening the lives of many workers and those who depend on them; families, communities and enterprises. The current economic and financial crisis in many industrialized countries and the subsequent slowdown in emerging economies has resource implications for Getting to Zero. We have to protect the gains achieved while concentrating our limited resources in regions with the highest needs to maximize impact.

Today the ILO reaffirms its commitment to using the workplace as a gateway to “Getting to zero new HIV infections, Zero discrimination and Zero AIDS-related deaths” in close collaboration with its constituencies: governments, employers’ and workers’ organizations, UNAIDS, civil society, including organizations of people living with HIV, and all development partners. The central role of our social partners facilitated by the use of social dialogue should allow the workplace policies and programmes to contribute significantly towards Getting to zero.

The ILO’s Recommendation No 200 on HIV AIDS and the World of Work, together with our Code of Practice, provide sound guidance on workplace action in “Getting to zero”. 

We are launching a campaign on Getting to zero at work”. Heads of  UNAIDS cosponsoring agencies and the Secretariat have joined in, recognizing  the vital role that the workplace plays in the global struggle to limit the spread and effects of the epidemic.

Together, we are committed to protecting the human rights of people living with HIV, including the right to work which is not only a right but an integral part of the treatment. Now,  when early diagnosis and access to treatment allows millions of people living with HIV worldwide to continue to work and live long productive lives, “Getting to zero at work” assumes much more significance, particularly for the youth. Young people account for over 40% of new HIV infections globally each year.  These figures tell us that while we must ensure decent jobs for young people we must also strongly advocate that a positive HIV status should not be a barrier to accessing employment.

“Getting to zero” is also about addressing gender inequalities. In addition to the burden of caring for people living with HIV, women experience violence and economic inequalities that make them more vulnerable economically and challenge their access to health services. The involvement of men is critical in these efforts to promote responsible behaviour in sexual and reproductive health and to eradicate violence against women.

 The recent UNAIDS report ‘Together we can end AIDS’ is encouraging. Protecting the most productive segment of society should be at the heart of the response if we want to end AIDS.

Let’s join hands in ‘Getting to Zero at work’. 

For further information, please contact the Director, ILO Office Dar es Salaam, P. O. Box 9212, Tel: 2196700, Fax: 2126627, Email: daressalaam@ilo.org OR ILO Department of Communication, Geneva, at: +4122/799-7912, communication@ilo.org

MAWAZIRI watatu wa Rais Jakaya Kikwete juzi walizomewa baada ya kupanda jukwaani kujibu kero mbalimbali za wananchi katika mkutano wa kwanza wa viongozi wapya wa CCM taifa, ulioongozwa na Katibu Mkuu wake, Abdulrahaman Kinana.

Tukio hilo lilitokea juzi mkoani Mtwara ambako Kinana na mawaziri hao walikuwa katika ziara ya chama kujibu kero mbalimbali za wananchi.Mawaziri waliokumbwa na dhahama hiyo ni Christopher Chiza wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Hawa Ghasia (Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa - Tamisemi) Naibu wake, Aggrey Mwanri.

Chiza ndio alikuwa wa kwanza kukumbana na zomeazomea hiyo, lakini mambo yalikuwa magumu zaidi kwa Ghasia ambaye alizomewa tangu alipoanza kuzungumza mpaka alipomaliza.Ghasia ambaye pia ni mbunge wa Mtwara Vijijini, alirushiwa makombora na Rukia Ismail Athumani ambaye alimshutumu yeye pamoja na Mbunge wa Mtwara mjini, Asnein Murji kwamba waliruhusu gesi kupelekwa Dar es Salaam wakati wananchi wa mkoa huo hawajafaidika nayo.

“Ghasia na Murji kwanini mnaudanganya umma kwa kupeleka gesi Dar es Salaam, sisi hatuna ubaya na chama ila hatutaki gesi iende huko” alisema Athumani huku akishangiliwa na mamia ya watu waliohudhuria mkutano huo.Kabla ya dada huyo kuteka hisia za wananchi kwa kuwasilisha kero hiyo, Kinana alimruhusu mwananchi mwingine, Issa Kambona ambaye pia alieleza kuwa hakubaliani na suala la gesi hiyo kupelekwa Dar es Salaam.

Kinana alisema amesikia hoja hizo za wananchi na kwamba atamueleza Waziri wa Nishati na Madini azungumze na wananchi wa Mtwara kuhusu gesi hiyo.Baada ya mambo kuzidi kuwa magumu, Ghasia alilazimika kupanda jukwaani kujibu makombora aliyokuwa akirushiwa na wananchi waliofika katika mkutano huo.

“Sio kweli kwamba hatutetei maslahi yenu, gesi iliyopo ni nyingi hamuwezi kuitumia na kuimaliza, kuna futi za ujazo trilioni 20,000 na tunaweza kuitumia kwa zaidi ya miaka 90, hata hivyo, Wizara ya Nishati na Madini imetoa ofa ya kuwalipia chuo vijana 150 kila mwaka,” alisema Ghasia, lakini wananchi hao waliendelea kumzomea.“Uongo, uongo, hatutaki, hatutaki, huyoo, huyooo” walisikika wakisema wananchi hao, hali iliyomfanya Katibu wa Itikadi na Uenezi wa chama hicho, Nape Nnauye kuingilia kati, kujaribu kuwatuliza.

“Kelele unazozisikia dada (Ghasia) zinaashiria kuna jambo, nafasi hizo 150 hawazipati, kama zinatolewa basi kwa upendeleo,” alisema Nape huku akishangiliwa na wananchi hao.Baada ya hali kutulia kiasi, Ghasia alijaribu kuendelea kutoa ufafanuzi, lakini kitendo cha kuanza kuzungumza, wananchi hao walianza tena kuzomea.

“Kila mtu amelelewa katika mazingira tofauti, hilo halinihusu…watu wangu wa Mtwara vijijini wamenielewa,” alisema Ghasia na kuteremka jukwaani hali iliyozidisha kelele za kumzomea.Nape alisawazisha mambo kwa kusema, hoja ya wananchi hao imechukuliwa na itawasilishwa kwa Serikali ili kuona namna ambavyo inaweza kukaa na wananchi hao na kuweka maslahi yao mbele.

Ilivyoanza
Panzia la zomea zomea lilifunguliwa na Chiza alipopanda jukwaani kujibu hoja ya kuyumba kwa soko la zao la korosho, ambapo wananchi walimpinga baadhi ya kauli alizozitoa.“Tatizo la korosho ni baadhi ya viongozi wa vyama vya ushirika na wengine ni watendaji wa Serikali …nipo hapa na wala siondoki, nitalishughulikia hili ili korosho zinunuliwe” alisema Chiza huku sauti za wananchi zikimpinga kwa kusema “uongooo”.

Hata hivyo, Chiza aliweza kukabiliana na hali ya zomeazomea jukwaani baada ya watuliza wananchi kwa kusisitiza kuwa ataendelea kuwapo Mtwara, kushughulikia tatizo hilo ili ununuzi uendelee.Naibu Waziri wa Tamisemi, Mwanri alipata wakati mgumu mara alipopanda jukwaani na kuanza kuzungumzia namna ya kumaliza kero ndogondogo zinazoletwa na mamlaka zake, wananchi walikuwa wanazoea “huyoo…hatutaki” lakini baada ya kuanza kuongea alionekana kuiteka hadhira na mambo yakawa shwari. “

“Tumesema wauza vitumbua, wasibughudhiwe … mkurugenzi njoo jukwani, nakuagiza kuanzia leo marufuku wanafunzi kurudishwa shuleni kwa sababu ya michango” alisema Mwanri huku akishangiliwa.Awali Kinana alisema mkutano huo unalenga kuzipatia ufumbuzi kero za wananchi ambazo zinawezakuwa kikwazo kwa chama hicho kuingia madarakani mwaka 2015.

Katibu mkuu huyo wa chama tawala alisema umefika wakati wa chama kusimamia utendaji wa Serikali kutatua kero za wananchi wa mkoa wa Mtwara ikiwa ni pamoja na kuyumba kwa soko la korosho na gesi.“Najua hapa kuna kero kubwa mbili, korosho na gesi, nimekuja na Mawaziri hapa watatoa majibu leo” alisema Kinana huku akishangiliwa na umati mkubwa wa watu ulioudhuria mkutano huo.

Sifa mgombea urais
Katika hatua nyingine, Kinana amevunja ukimya kuhusu mbio za urais mwaka 2015 na kusema CCM itamtosa bila kumuonea haya mwanachama yeyote atakayeomba kuteuuliwa kugombea urais kwa tiketi yake, huku akiwa kinara wa kutegemea makundi kumwigiza katika nafasi hiyo.Badala yake akaeleza kuwa chama hicho kitamteua mgombea mwadilifu, anayekubalika na watu na asiye na makundi.

Mbali na sifa hizo Kinana pia ameeleza kuwa mgombea huyo wa CCM atakuwa msafi, makini, mchapakazi, mzalendo ambaye anajali maslahi ya wananchi na kwamba Mei 2015 wataanza kutoa fomu kwa wana CCM wanaowania nafasi hiyo.Kinana alisema hayo jana katika kijiji cha Isesa, Sumbawanga Mjini wakati akifungua tawi la CCM na kuzungumza na wanachama.

Katika kipindi cha kuuliza maswali, wanachama hao walitaka kufahamu namna chama hicho kilichojipanga kumpata mgombea urais makini ambaye hatakuwa mzigo kumnadi dhidi ya wapinzani.“Tumejipanga vizuri, atapatikana mgombea urais bora, vigezo vipo wazi tunataka mgombea urais mwadilifu, makini, mchapakazi, mzalendo ambaye anakubalika na wananchi,”alisema Kinana.

Aliongeza kwamba chama hicho kitatoa fomu kwa wanaotaka kuwania nafasi hiyo na vikao vya chama ndivyo vitakavyoamua,”alisema Kinana.“Tuna utaratibu mzuri wa kupata wagombea urais bora kwa sababu vigezo vyote viko wazi na kwamba wagombea hao watapimwa kwa vigezo hivyo,” alisema Kinana.

Alisema Wanasumbawanga wasiwe na wasiwasi watampata mgombea ambaye atakuwa mwiba kwa vyama vya upinzani.Alisema kiongozi mwenye makundi na asiyekuwa mwadilifu hatakuwa na nafasi ya kuteuliwa na chama hicho kugombea urais.“Haya si maneno yangu bali ni vigezo vya chama vilivyo wazi ambavyo vinatumiwa kwa kila mgombea wa nafasi hiyo kubwa kushinda zote,” alisema

Alisema anakifahamu chama hicho na kwamba kitavitumia vigezo hivyo ili kupata mgombea urais ambaye wananchi wanamkubali.Awali wanachama wa chama hicho wakiongea kwa hisia kali, walisema wanataka chama hicho kimsimamishe mgombea urais atakayekuwa mwiba kwa wapinzani.

“Tunayasikia majina ya watu wanaowania nafasi hizo, chonde chonde katibu mkuu tunaomba apatikane kiongozi ambaye hatatupatia kazi ya kumnadi, awe mwadilifu ambaye akitangazwa watu wafurahi bila kunung’unika,” alisema Peter Lilata.Alisema, “tukikosea kuteua kiongozi bora tutakuja kujuta hapo baadaye.”

Vijana CCM, Chadema nusura wazipige
Katika ufunguzi wa tawi la CCM la Isesa nusura vijana CCM na wa Chadema watwangane makonde baada ya vijana wa Chadema kuwatuhumu CCM kwamba wamewaibia bendera ya chama chao.

Mabishano kuhusu bendera hiyo yaliendelea katika kipindi chote ambacho Kinana alikuwa akizungumza na wanachama wa tawi hilo.“Hawa CCM wameng’oa bendera yetu hapa huo siyo ustaraabu ni lazima mturudishie bendera yetu vinginevyo patakuwa hapatoshi,” mmoja wa vijana wa Chadema alisikika akisema.
Hata hivyo, busara za askari polisi waliokuwa katika mkutano huo zilisaidia kuzima hasira zavijana wa Chadema.

Chanzo Gazeti la Mwananchi

Author Name

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.