Gunners wafuzu kwenda fainali ya Kombe la Carabao...
Arsenal 1-0 Chelsea (jumla 4-2): Gunners wafuzu kwenda fainali ya Kombe la Carabao baada ya Kai Havertz kufunga bao la ushindi dakika za mwisho katika mkondo wa pili wa nusu fainali.
Arsenal wameingia fainali ya Kombe la Carabao kwa ushindi wa jumla wa mabao 4-2 dhidi ya Chelsea; bao la Kai Havertz aliyetokea benchi liliihakikishia Arsenal ushindi wa 1-0 katika mkondo wa pili uliokuwa na ushindani mkali; Arsenal watakutana na ama Manchester City au Newcastle kwenye fainali.
Habari kwa msaada wa Skysports.