Dk. Tulia Ackson akijinadi Novemba 17, 2015 katika kuwania nafasi ya Unaibu Spika katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania 2015
Dk Tulia Ackson huenda akawa mmoja wa Watanzania wachache wenye bahati ya kupata vyeo tofauti vya juu nchini ndani ya siku 67.

Katika kipindi hicho kifupi, Dk Tulia amepata fursa ya kuwa Naibu Mwanasheria Mkuu wa Serikali baada ya kuteuliwa na Rais mstaafu, Jakaya Kikwete Septemba 9, mwaka huu.

Cheo hicho amekitumikia kwa takriban miezi miwili akifanya kazi ya kuitetea na kushughulikia masuala ya kisheria yanayoihusu Serikali katika masuala mbalimbali, ikiwamo ya kuongoza jopo la mawakili wa Serikali katika kesi iliyovuta hisia za wengi ya kuomba tafsiri ya mahakama juu ya kifungu namba 104(1) cha Sheria ya Taifa ya Uchaguzi, sura ya 343 iliyorejewa mwaka 2010.

Kesi hiyo ya kikatiba maarufu kwa jina la “kesi ya mita 200” ilifunguliwa Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Dar es Salaam na mpigakura Amy Kibatala na baadaye Serikali ilishinda kutokana na Mahakama kuzuia watu kufanya mikusanyiko wala kukaa mita 200 baada ya kupiga kura.

Wakati wengi wakitafakari ushindi wa Serikali kuhusu kesi hiyo iliyoendeshwa ndani ya wiki ya mwisho kuelekea Uchaguzi Mkuu Oktoba 25, Dk Tulia aliamua kusaka nafasi nyingine ya juu ya muhimili mwingine wa dola ya uspika wa Bunge kupitia CCM.

Novemba 13, alichukua fomu ya kuwania nafasi hiyo na siku mbili baadaye aliteuliwa na Kamati Kuu ya chama hicho akiingia kwenye ‘tatu bora’ akiwa na makada wenzake Job Ndugai na Abdullah Mwinyi.

Wakati akiwa na fursa ya uwezekano wa kuteuliwa na wabunge wa CCM kuwa mgombea wa uspika, jana asubuhi aliteuliwa na Rais John Magufuli kuwa mbunge akiwa wa kwanza kati ya nafasi 10 alizonazo Rais kikatiba.

Uteuzi huo ulisababisha Rais atengue rasmi cheo cha Naibu Mwanasheria Mkuu alichokuwa akikishikilia.

Ndani ya saa chache za kuwa mbunge, Dk Tulia ambaye aliwahi kuwa mhadhiri wa sheria wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) na mjumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, alijiengua kugombea uspika pamoja na Mwinyi na kumwachia Naibu Spika wa zamani, Ndugai.

Kujitoa kwa Dk Tulia hakukuwa mwisho wa safari ya kuwania cheo cha juu ndani ya Bunge na badala yake alikwenda kuchukua fomu ya kuwania unaibu spika kupitia chama hicho.

Kwa mantiki hiyo, kwa kuwa wabunge wa CCM wamempitisha kuwa mgombea wao wa nafasi ya naibu spika, hapana shaka kuwa ndiye mwenye nafasi kubwa kuwa Naibu Spika wa Bunge la 11 kutokana na chama hicho kuwa na wabunge 252 kati ya 394 wa Bunge hilo.

Kitendo cha Dk Tulia kujitosa kugombea nafasi ya spika wa Bunge na hatimaye naibu spika kama kada wa CCM akiwa Naibu Mwanasheria Mkuu wa Serikali kimezua maoni tofauti miongoni mwa wachambuzi wa siasa na sheria, wengi wakieleza kuwa ni mbinu za CCM kujijenga ndani ya mihimili ya dola ambayo ni Mahakama, Bunge na Serikali.

Wachambuzi hao walisema tafsiri ya taswira iliyoonyeshwa na mwanasheria huyo imeendelea kudhihirisha kwamba, kila unapofanyika uteuzi wa majaji au wanasheria wa Serikali lazima ulenge kulinda masilahi ya chama kilichopo madarakani.

Profesa Mohamed Bakari wa Idara ya Sayansi ya Siasa katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), alisema kikatiba suala la kugombea uspika linatoa nafasi kwa kila Mtanzania mwenye sifa na siyo lazima awe kada wa chama cha siasa.

“Kwa hivyo inawezekana Mwanasheria Mkuu wa Serikali akagombea nafasi hiyo na asiwe anatokana na chama tawala,” alisema.

Hata hivyo, alifafanua kwamba watumishi wanaopewa nafasi za juu za mihimili hiyo ya dola hutazamwa kwa jicho la kulinda masilahi ya CCM.

Mtaalamu huyo wa masuala ya utawala alisema hali hiyo itaendelea kuwapo hadi chama hicho kitakapoondoka madarakani na kuingia chama kingine madarakani.

Kwa upande wake, mwanasheria wa kujitegemea kutoka Zanzibar, Profesa Abdul Sheriff alisema asilimia kubwa ya uteuzi wa nafasi ya mwanasheria wa Serikali imejengewa msingi wa kulinda masilahi ya CCM.

Profesa Sheriff alisema CCM bado imeshika ‘hatamu’ licha ya kuwapo majaji waliowahi kuonyesha msimamo wa kutoyumbishwa na mfumo huo na badala yake wakasimama katikati wakati wa kutekeleza majukumu yao.

“Kuna Jaji Robert Kisanga na marehemu Jaji Fransic Nyalali walionyesha msimamo wao wazi. Mifano iko mingi ya utendaji wao, lakini wapo majaji ambao walitimiza wajibu wao wakati bado ni makada, mfano Jaji Agustino Ramadhan alipojitokeza kuwani urais ilijenga maswali kwa muhimili wa Mahakama,” alisema.

Alifafanua kwamba udhaifu huo ungeweza kuondolewa na Katiba Mpya iliyokuwa na mapendekezo ya Tume ya Jaji Joseph Warioba. “Miiko ya utumishi wa umma ilibainishwa wazi kwenye rasimu hiyo na ingeweza kurejesha nidhamu na kuondoa udhaifu huo, lakini haikufanikiwa,” alisema.

Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Profesa Abdallah Safari alisema pamoja na sheria kutoa nafasi kwa kila mmoja kuwania uspika, lakini imeonyesha udhaifu kwa Naibu Mwanasheria Mkuu wa Serikali kuwania nafasi hiyo.

Alisema udhaifu wa mfumo wa Serikali kujengwa na chama umesababisha kuwapo na ukandamizaji wa haki kwa vyama vingine vya siasa.

“Kwa mfumo ulivyo ni wazi hakuna mchakato bora wa kidemokrasia na tumepigania sana suala la udhaifu wa mfumo huo,” alisisitiza.

Profesa Safari alisema juhudi za kupambana na udhaifu huo ni kupigania Tume Huru ya Uchaguzi na siyo suala la Katiba kutokana na mazingira magumu yaliyojitokeza katika upatikanaji wake.

Alisema mihimili yote imetekwa na CCM kwa sasa, hivyo hakuna mahali pa kukimbilia.

Profesa Safari alisema hakuna mfano wa kesi ya kisiasa kubwa iliyowahi kushinda upinzani mahakamani na badala yake kesi ndogondogo ndizo umekuwa ukishinda. “Kesi ya mgombea binafsi iliishia wapi? Baadaye majaji hao tunawaona kwenye urais CCM.

Binafsi mtanisamehe, sitaamini chombo cha Mahakama kwa kesi kubwa ya kisiasa ambayo itakuwa na masilahi kwa CCM, mfano imeonekana kwenye kesi ya mita 200 na nilitaka kuwazuia kwani nilijua wangepoteza muda tu,” alisema.
MWANANCHI

IMG_0842
Mwakilishi wa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Ngorongoro ambaye pia ni Afisa Maendeleo ya Jamii, Teresia Irafay akifungua warsha ya wiki moja ya mafunzo juu ya elimu ya Afya ya Uzazi na Maadili iliyojumuisha wakunga wa Jadi, Waganga wa tiba asili, viongozi wa dini, waandishi wa habari na wahamasishaji afya jamii iliyowaleta pamoja wadau mbalimbali katika ngazi ya vitongoji, vijiji na wilaya kujifunza namna ya kufanya kazi shirikishi ili kuleta mabadiliko katika jamii inayofanyika katika hoteli ya Domel-Wasso, tarafa ya Lolilondo katika wilaya ya Ngorongoro mkoani Arusha. (Picha zote na Zainul Mzige wa Modewjiblog).

Na Mwandishi wetu, Loliondo

IDADI ya wanawake wanaokeketwa Loliondo wilaya ya Ngorongoro imepungua kufikia asilimia 75 kwa mwaka huu.

Hayo yameelezwa na Mratibu wa Afya ya Uzazi na Mtoto, Loliondo, Bi. Nailejileji Joseph katika mahojiano maalum na mwandishi wa habari hii kwenye warsha ya wiki moja ya mafunzo juu ya Elimu ya Afya ya Uzazi na Maadili.

Warsha hiyo inajumuisha wakunga wa Jadi, Waganga wa tiba asili, viongozi wa dini, waandishi wa habari na wahamasishaji afya jamii.
Wadau hao wanatoka ngazi mbalimbali ya vitongoji, vijiji na wilaya.

Lengo la warsha hiyo ni kujifunza namna ya kufanya kazi shirikishi ili kuleta mabadiliko sahihi katika jamii inayofanyika katika hoteli ya Domel-Wasso, tarafa ya Lolilondo katika wilaya ya Ngorongoro mkoani Arusha.
Bi Nailejileji alisema idadi ya ukeketaji Loliondo inaonyesha kupungua hadi kufikia 57% mwaka 2015 ikilinganishwa na 87% mwaka 2014 kwa wanawake waliojifungulia hospitalini.

Alisema kwamba matokeo hayo yamefanikiwa kutokana na mkakati maalum unaofanyika shuleni kwa kuanzisha vituo vya kirafiki kwa vijana vinavyolenga kutoa elimu na hamasa kuhusu masuala ya ukeketaji.
Aidha mafanikio hayo ni miongoni mwa jitihada za Shirika la Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) kueneza hamasa shirikishi katika jamii, kuelezea ukubwa wa tatizo, athari zinazotokana na ukeketaji kwa kuwashirikisha wazee wa kimila wa jamii ya Kimasai (Laigwanan) kuchukua hatua zipasazo kukomesha ukatili huu dhidi ya wasichana.

IMG_0843

Wazee wa kimila wa kimasai ni watu wenye kuheshimika na kusikilizwa kwenye jamii pale wanapotoa matamko mbalimbali yanayopelekea kuleta mabadiliko katika jamii ambao wanaonekana kuwa na uwezo mkubwa katika kukomesha ukeketaji na ndoa za utotoni kwa watoto wa kike ambao huozwa baada ya kufanyiwa ukeketaji mwezi Desemba kila mwaka.

Changamoto hizo zinachangiwa kwa kiasi kikubwa na kile kilichoonekana na washiriki kuwa ni mila na tamaduni zilizojengeka katika jamii ya Kimasai kwa vijana kupokea amri kutoka kwa wazazi wao hata kama jambo hilo halina tija katika jamii.

Wakichangia dhana ya mtoto na kijana ni nani, majukumu yao na wana haki gani katika jamii, wadau hao wa jamii ya kimasai walisema kuwa mtoto ni kati ya umri 0-18 na kijana ni yule anayeanzia miaka 18-35.

Wakizungumzia kuhusu haki walisema kwamba mtoto ana haki za kupata huduma muhimu kama kupata elimu, kupata matunzo bora, kuishi kwa usalama au kulindwa, kuwa na afya bora na kuheshimiwa mawazo yake.

Lakini , hata hivyo walisema kwamba, kutokana na tamaduni iliyojengeka miongoni mwa vijana kujifunza na kuiga malezi kutoka kwa wazazi wao, imekuwa ni changamoto kubwa kuhamasisha vizazi kupiga vita mila na desturi zinazoathiri wanawake.

IMG_0854
Afisa Elimu ya Afya na Ukimwi kutoka Shirika la Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO), Mathias Herman akizungumza kwenye warsha ya wiki moja ya mafunzo juu ya Elimu ya Afya ya Uzazi na Maadili iliyojumuisha wakunga wa jadi, waganga wa tiba asili, viongozi wa dini, waandishi wa habari na wahamasishaji afya jamii iliyowaleta pamoja wadau mbalimbali katika ngazi ya vitongoji, vijiji na wilaya kujifunza namna ya kufanya kazi shirikishi ili kuleta mabadiliko katika jamii inayofanyika katika hoteli ya Domel-Wasso, tarafa ya Lolilondo katika wilaya ya Ngorongoro mkoani Arusha.

Hata hivyo walisema pamoja na kwamba mabadiliko huchukua muda mrefu, lakini yanaweza kufanikiwa ikiwa wanawake wa kimasai wenyewe watayavalia njuga masuala yanayowahusu katika jamii na yanayohatarisha maisha yao.

“Ndio mila na tamaduni zipo na kuna msemo unaosema kwamba mkataa kwao ni mtumwa, lakini zipo tamaduni ambazo ni hatarishi na anayeathirika kwa kiasi kikubwa ni wanawake na wasichana,”alisema Nailejileji Joseph.

Mazingira waliyokulia Wanawake wa jamii ya Kimasai yamejenga ukimya miongoni mwao na kuona kwamba changamoto zozote zinazotokea ni jambo la kawaida na hazizungumziki.
Kwa mfano ndoa za utotoni kwa wasichana wa Kimasai ni mwendelezo wa tamaduni hatarishi unaotokana na majukumu ya mtoto au kijana katika jamii ya kupokea anachoamrishwa na wazazi bila kuelewa athari zinazoweza kumpata mtoto wa kike wa jamii hiyo.

IMG_0849

“Mimi nalea mjukuu na binti yangu yaani mama wa huyu mjukuu. Binti yangu amepata ulemavu wa maisha baada ya kujifungua huyu mtoto akiwa na umri wa miaka 13,”alisema Bi. Noorkidemi Kitupei mkazi wa kijiji cha Ilopolum, tarafa ya Loliondo. Binti huyu (jina linahifadhiwa) ni mke wa tatu kuolewa na mume wake akiwa katika umri mdogo baada ya baba yake kuamrisha aolewe.

Changamoto nyingine kama hiyo ilimpata binti mmoja wa kimasai aliyeolewa akiwa na umri wa miaka 13 baada ya kupigwa na kuumizwa mkono na kuachiwa kovu kubwa sana na mumewe baada ya Ngómbe mmoja wa mume wake kupotea, mume wake alichukua jukumu la kumpiga karibia kumpa ulemavu wa mkono baada ya kumuuliza binti huyo kwanini Ngómbe huyo amepotea na kujibiwa kwamba alikuwa amelala.

Kwa mujibu wa Mratibu huyo wa afya ya uzazi visa kama hivyo vinaendelezwa kwa sababu hamasa bado ni ndogo katika jamii ya kimasai na wadau wachache wanaobahatika kupata mafunzo au kwa woga unaotokana na muendelezo wa tamaduni hatarishi zimekuwa hazihamasishwi na haziwafikii walengwa.

Inategemewa kwamba kituo cha redio cha jamii Loliondo FM kitatoa mchango mkubwa wa kuhamasisha jamii masuala mbalimbali ya kijamii na kimaendeleo.

IMG_0856
Mtaalamu wa Masuala ya Vyombo vya Habari Jamii na Mkufunzi kutoka Shirika la Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) Bi. Rose Haji Mwalimu (katikati) akiteta jambo na Mwakilishi wa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Ngorongoro ambaye pia ni Afisa Maendeleo ya Jamii, Teresia Irafay (kulia) wakati warsha hiyo ikiendelea. Kushoto ni Afisa wa UNESCO, Hamidun Kweka.

IMG_0923
Pichani ni mjumuiko wa wakunga wa Jadi, Waganga wa tiba asili, viongozi wa dini, waandishi wa habari na wahamasishaji afya jamii wanaohudhuria warsha hiyo inayoendelea wilayani Ngorongoro.

IMG_0887
IMG_0868
IMG_0892
Afisa Elimu ya Afya na Ukimwi kutoka Shirika la Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO), Mathias Herman (wa pili kushoto) akiendesha mafunzo ya uelewa juu ya dhana ya Utamaduni kwa mifano hai katika warsha hiyo ya wiki inayofanyika katika hoteli ya Domel-Wasso, tarafa ya Lolilondo katika wilaya ya Ngorongoro mkoani Arusha. Kushoto ni Mshiriki ambaye ni mkalimani wa lugha ya kimasai, Joseph Ndaika na kulia ni wanawake wa kimasai wanaoshiriki warsha hiyo.
IMG_1035
Mtaalamu wa Masuala ya Vyombo vya Habari Jamii na Mkufunzi kutoka Shirika la Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) Bi. Rose Haji Mwalimu (kulia) akifafanua jambo kwa washiriki wakati wa kuhakiki kazi za vikundi katika warsha hiyo inayoendelea wilayani Ngorongoro mkoani Arusha.
IMG_0957
Washiriki wa warsha hiyo wakiwa kwenye kazi za vikundi.
IMG_0975

Manchester United winger Memphis Depay has hit back at questions over his attitude, stressing he is a team player who is working hard on "getting back to the top".

Depay made a promising start to his United career after joining in the summer for £25m from PSV Eindhoven - with whom he finished 2014/15 as the Eredivie's top-scorer with 22 goals.

Memphis Depay has dismissed claims that he is not a team player
Memphis Depay has dismissed claims that he is not a team player

The 21-year-old has insisted he will rediscover his initial form
The 21-year-old has insisted he will rediscover his initial form







The models put on another show-stopping performance as they graced the catwalk on Tuesday evening for the lingerie giant's annual extravaganza.

Models on the catwalk for the Victoria's Secret Fashion Show
Models on the catwalk for Victoria's Secret Fashion show
The models put on another show-stopping performance as they graced the catwalk on Tuesday evening for the lingerie giant's annual extravaganza.

Strutting their stuff: The VS models dazzled in New York
The 2015 Victoria’s Secret Fashion Show saw the world’s most beautiful models take to the runway in New York on Tuesday in a blaze of bright colours, racy outfits, elaborate wings and other fabulous props.
Behati Prinsloo, Adam Levine’s other half, opened the show dressed in a pair of dazzling wings, while VS veteran Alessandra Ambrosio followed close behind in an equally show-stopping outfit.

Kendall Jenner was a total natural as she made her show debut. With her never ending legs on display as well as her trim tummy in a variety lace lingerie looks, the reality star looked simply stunning.

Rex Features Lily Aldridge wearing the Fantasy Bra on the catwalk
Lily Aldrige wore the $2m Fantasy Bra
REX
Candice dazzled in her wings
South African beauty Candice Swanepoel also dazzled in a colourful embellished bikini set and giant multicoloured wings.
While Candice's fellow veteran Angel Lily Aldridge, who was chosen to wear the $2 million Fantasy Bra this year, sent temperatures soaring in an equally skimpy bright red two piece.
Ellie Goulding, who replaced Rihanna at the last minute, The Weekend and Selena Gomez all took to the stage to sing as the models sashayed past them.

Ahead of the lingerie giant’s annual extravaganza, which is filmed twice in order to get all the perfect camera angles, the official Victoria's Secret Instagram account shared a steady stream of backstage shots as glam squads put the finishing touches to the models' looks.



One showed Gigi Hadid wearing a pair of huge green wings, designed for the exotic butterfly segment of the show.

REX
Kendall looked like a natural
Another showed Kendall Jenner, 20, and her fellow models flashing their rears to camera while dressed in their sexy silk white and pink robes.
Proud mum Kris Jenner also re-posted a picture of her daughter and Lily cuddling up for snap in their signature pink robes.


Meanwhile, Victoria's Secret Angel Elsa Hosk treated fans to a very raunchy picture as she posed completely naked ahead of the show.
With a giant curtain and her strategically placed arm protecting her modesty, the stunning Angel showed off her cleavage and long legs as she posed completely naked.








Kendall Jenner on catwalk


Lily Donaldson on catwalk


Joan Smalls


Martha Hunt



Alessandra Ambrosio



Selena Gomez




Izabel Goulart



Devon Windsor

Gigi Hadid

Maud Welzen on the catwalk
Maud Welzel

Adriana Lima on the catwalk

Joan Smalls on the catwalk

Sara Sampaio on the catwalk
Sara Sampaio

Constance Jablonski on the catwalk

 Gigi Hadid and Ellie Goulding performing on the catwalk
 Lily Aldridge wearing the Fantasy Bra on the catwalk
Ellie Goulding performing on the catwalk
Ellie Goulding performing on the catwalk
 Constance Jablonski on the catwalk
 Candice Swanepoel, Behati Prinsloo, Lily Aldridge and Alessandra Ambrosio on the catwalk
Source: the daily mirror


































With Christmas just weeks away Myleene Klass has released her latest collection for Littlewoods.com and it's uber-glamorous.
Slipping into her own designs the 36-year-old showed off her slender figure in a string of dazzling outfits. The 10 piece collection features floor sweeping dresses in leopard print and sequins, a rose gold leather skirt and fitted bodycon dresses in studded leathers and prints.
The TV presenter is now on her ninth fashion collection for the retailer and the sexy range is the perfect partywear for the festive season.
Littlewoods.com Myleene Klass dazzles in shimmering sequins as
she models her latest fashion collection for
online retailer, Littlewoods.com
Myleene is a party teaser
Littlewoods.com Myleene Klass dazzles in shimmering sequins as
she models her latest fashion collection for
online retailer, Littlewoods.com
Time to sparkle
Myleene’s 10 piece collection features floor dresses in leopard print and sequins, a rose gold leather skirt and fitted bodycon dresses in studded leathers and prints.


Myleene says: “This collection is top to toe glamour. I’ve created short and floor length dresses that will see you through the party season no matter what your style is. The designs are striking, head turning pieces that I’m certain you will look and feel incredible in.”
Littlewoods.com Myleene Klass dazzles in shimmering sequins as
she models her latest fashion collection for
online retailer, Littlewoods.com
She's a winner in party frock

Kenyatte Nelson, Group marketing director, Littlewoods.com, said: “Myleene has put her magic touch on this collection. Her collections are always eagerly anticipated as Myleene is an expert on knowing exactly what the customer is looking for and we have no doubt our customer will love this range too.”


Littlewoods.com Myleene Klass dazzles in shimmering sequins as
she models her latest fashion collection for
online retailer, Littlewoods.com 
 

Author Name

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.