Tanzania Online

Current Awareness List

A Gateway to Information on Development Issues in Tanzania

http://esrf.or.tz/images/feb17.png

Here are our latest additions to Tanzania Online, the gateway to information on development issues in Tanzania. All documents are available free on the Internet at www.tzonline.org

You are invited to join Tanzania Knowledge Network (www.taknet.or.tz), the initiative established to promote the sharing of knowledge and information on various aspects of social and economic development.

Current discussions online are





The Impact of the Real Exchange Rate Changes on Export Performance in Tanzania and Ethiopia.
Wondemu, Kifle; Potts, David 2016
Read More


Industry in Tanzania: Performance, Prospects, and Public Policy
Page, John 2016
Read More


Technology Adoption and Risk Exposure among Smallholder Farmers: Panel Data Evidence from Tanzania and Uganda
Mukasa, Adamon N 2016
Read More


Country Update: Dealing with Agricultural issues after the Paris Agreement: views on the EAC INDCs and the way forward
Economic and Social Research Foundation (ESRF), CUTS International 2016
Read More


Multidimensional Assessment of Child Welfare for Tanzania
Channing Arndt; Leyaro, Vincent; Mahrt, Kristi 2016
Read More


Driving Forces of off-farm Income Generating Activities in Rural Tanzania: How Accessible are they to Poor Households?
Katera, Lucas / REPOA 2016
Read More


Expanding Agricultural Production in Tanzania Scoping Study for IGC Tanzania on the National Panel Surveys
Leyaro,Vincent ;Morrissey, Oliver 2014
Read More


Failure and Collapse of Village Community Banks in Tanzania: Some Findings from Meru District in Arusha Region
Kitomari, Jeremiah S. Abwe, Furaha G. / Mount Meru University 2016
Read More


Integrating the EAC Cotton, Textile and Apparel sector in Global Value Chains: Stakeholders perspectives
Economic and Social Research Foundation (ESRF), CUTS International, Geneva 2016
Read More


Assessing Data for the Sustainable Development Goals in Tanzania
Kilama, Blandina; George, Constantine; Katera, Lucas; Rutatina, Neema 2016
Read More


Shaping Tanzania’s Second Five Year Development Plan (2016-2021)
Balchin, Neil / Overseas Development Institute, London 2015
Read More


White Ribbon Alliance for Safe Motherhood in Tanzania
WRATZ 2016
Read More


Women and Children First: Countdown to Ending Preventable Maternal, Newborn and Child Deaths in Tanzania.
Government of Tanzania 2015
Read More


Women’s Entrepreneurship Development in Tanzania: Insights and Recommendations
ILO2015
Read More


Country Update: The UNFCCC Paris Agreement and the Way Forward
The Economic and Social Research Foundation (ESRF), CUTS International 2016
Read More


Country Update: Competition Policy and the Multilateral Trading System
Economic and Social Research Foundation (ESRF) 2016
Read More


Forms, Causes, and Effects of Violence Against Women in Mbulu Tanzania
Rugira, Janvier / Mount Meru University Research Unit 2014
Read More


  Afisa Habari wa Kituo cha Habari cha Umoja wa Mataifa (UNIC), Stella Vuzo akisheheresha kwenye sherehe za maadhimisho ya siku ya radio duniani yaliyofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Chuo Kikuu Huria (OUT) jijini Dar es Salaam
 Mkuu wa Ofisi na Mwakilishi wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) nchini Zulmira Rodrigues akitoa neno la ukaribisho liliombatana na ujumbe maalum kwenye sherehe za maadhimisho ya siku ya redio duniani yaliyofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Chuo Kikuu Huria (OUT) jijini Dar es Salaam.
 Makamu Mwenyekiti wa Mtandao wa Vyombo vya Habari vya Jamii (COMNETA), Prosper Kwigize akisoma hotuba mbele ya mgeni rasmi Waziri Nape Nnauye (hayupo pichani) wakati wa sherehe za maadhimisho ya siku ya redio duniani, yaliyofanyika kwenye ukumbi wa mikutano wa Chuo Kikuu Huria (OUT) jijini Dar es Salaam.
 Mgeni rasmi Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mh. Nape Nnauye akiteta jambo na Mkuu wa ofisi na Mwakilishi wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) nchini Zulmira Rodrigues (katikati) wakati wa sherehe za maadhimisho ya siku ya redio duniani yaliyofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Chuo Kikuu Huria (OUT) jijini Dar es Salaam. Kushoto ni  Mkurugenzi wa Taasisi ya Elimu na Menejementi ya Teknolojia  wa Chuo Kikuu Huria (OUT), Dr. Edephonce Nfuka
 Mgeni rasmi Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mh. Nape Nnauye akimpongeza Makamu mwenyekiti wa Umoja wa Redio za Jamii (COMNETA) Prosper Kwigize kwa hotuba nzuri wakati wa sherehe za maadhimisho ya siku ya redio duniani yaliyofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Chuo Kikuu Huria (OUT) jijini Dar es Salaam. Kushoto ni  Mkurugenzi wa Taasisi ya Elimu na Menejementi ya Teknolojia  wa Chuo Kikuu Huria (OUT), Dr. Edephonce Nfuka na kulia ni Mkurugenzi wa Utangazaji wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), Fredrick Ntobi.
 Mkurugenzi wa Utangazaji wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), Fredrick Ntobi akizungumza kuhusu taratibu na sheria za utoaji leseni kwa redio za jamii nchini wakati wa sherehe za maadhimisho ya siku ya redio duniani yaliyofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Chuo Kikuu Huria (OUT) jijini Dar es Salaam.
  Mkurugenzi wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) Dk. Ayoub Rioba akifafanua jambo wakati wa sherehe za maadhimisho ya siku ya redio duniani yaliyofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Chuo Kikuu Huria (OUT) jijini Dar es Salaam.
 Meneja wa Redio Jamii Orkonerei  FM, Baraka David Ole Maika akitoa neno la shukrani wakati wa sherehe za maadhimisho ya siku ya redio duniani yaliyofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Chuo Kikuu Huria (OUT) jijini Dar es Salaam.
 Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mh. Nape Nnauye (wa pili kulia) akimpongeza Meneja wa Redio Jamii Orkonerei  FM, Baraka David Ole Maika baada ya kuwasilisha risala ya mafunzo ya ufundi kwa Redio za Jamii wakati maadhimisho ya siku ya Redio Duniani yaliyofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Chuo Kikuu Huria jijini Dar es Salaam jana. Kulia  Mkurugenzi wa Utangazaji wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), Fredrick Ntobi, Wa tatu kulia ni Mkuu wa Ofisi na Mwakilishili wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO), Zulmira Rodrigues, Wanne kulia Mkurugenzi wa Taasisi ya Elimu na Menejementi ya Teknolojia  wa Chuo Kikuu Huria (OUT), Dr. Edephonce Nfuka na Wa kwanza kushoto ni Makamu Mwenyekiti wa Mtandao wa Vyombo vya Habari vya Jamii (COMNETA), Prosper Kwigize.
 Mgeni rasmi Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mh. Nape Nnauye akizungumza kwenye sherehe za maadhimisho ya siku ya redio duniani yaliyofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Chuo Kikuu Huria (OUT) jijini Dar es Salaam.
 Washiriki kutoka redio za jamii nchini na waandishi wa habari waliohudhuria sherehe za maadhimisho ya siku ya redio duniani yaliyofanyika katika ukumbi wa Cho Kikuu Huria (OUT) jijini Dar es Salaam.
 Mkurugenzi wa Utangazaji wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), Fredrick Ntobi akiwasilisha mada kuhusu upashanaji wa vyombo vya habari na sheria wakati wa sherehe za maadhimisho ya siku ya redio duniani yaliyoratibiwa na UNESCO na kufanyika katika ukumbi wa mikutano wa Chuo Kikuu Huria (OUT) jijini Dar es Salaam.
  Mshauri wa Masuala ya Uchumi wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Maendeleo (UNDP) Tanzania, Rogers Dhliwayo akizungumza kuhusu malengo ya maendeleo endelevu (SDGs) na namna radio inavyowezesha hamasa ya utekelezaji wake kwenye sherehe za maadhimisho ya siku ya redio duniani yaliyoratibiwa na UNESCO na kufanyika katika ukumbi wa mikutano wa Chuo Kikuu Huria (OUT) jijini Dar es Salaam.
Meza kuu kwenye sherehe za maadhimisho ya siku ya redio duniani zilizofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Chuo Kikuu Huria (OUT) jijini Dar es Salaam.
 Mgeni rasmi Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mh. Nape Nnauye (katikati) katika picha ya pamoja na wawakilishi wa redio za jamii nchini wakati sherehe za maadhimisho ya siku ya redio duniani yaliyofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Chuo Kikuu Huria (OUT) jijini Dar es Salaam.
 Mgeni rasmi Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mh. Nape Nnauye(katikati) na meza kuu katika picha ya pamoja na wajumbe wa bodi ya COMNETA wakati wa sherehe za maadhimisho ya siku ya redio duniani yaliyofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Chuo Kikuu Huria (OUT) jijini Dar es Salaam.
  Mgeni rasmi Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mh. Nape Nnauye(katikati) na meza kuu katika picha ya pamoja na wafanyakazi wa Umoja wa Mataifa kwenye sherehe za maadhimisho ya siku ya redio duniani yaliyofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Chuo Kikuu Huria (OUT) jijini Dar es Salaam.
Maafisa wa UNESCO Dar Luiana Temba (kushoto) na Rose Mwalongo Mataifa wakifurahi jambo kwenye sherehe za maadhimisho ya siku ya redio duniani yaliyofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Chuo Kikuu Huria (OUT) jijini Dar es Salaam.

Na Mwandishi wetu

SERIKALI imewataka wanahabari kusoma sheria, taratibu na kanuni zinaogusa tasnia yao ili iweze kuendelea na kuachana na kuamini kila kitu wanachoambiwa na mtu mmoja.

Kauli hiyo imetolewa na Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mh. Nape Nnauye wakati  akizungumza katika siku ya radio duniani, hafla iliyofanyika Chuo Kikuu Huria jijini Dar es Salaam.

"Watu someni sheria, taratibu na kanuni kwa kina ili kujua na kuzielewa, mkielewa kama kuna sheria inakwaza ukuaji wa sekta ya habari tuseme tukae chini.. " alisema Waziri Nape akijibu hoja kuhusu sheria za habari zilizopo ambazo zinadaiwa kukwaza uhuru wa ukusanyaji wa habari.

Ilielezwa katika hafla hiyo kuwa sheria za sasa ya takwimu na habari  zinakwaza uhuru wa sekta hiyo muhimu kwa maendeleo ya taifa.
Katika hoja hiyo Makamu mwenyekiti wa Umoja wa Redio za Jamii (COMNETA) Prosper Kwigize katika hotuba yake kwa Serikali, alisema kwamba redio hizo zinachangamoto nyingi katika utendaji wake ikiwamo sheria zilizopo,watoa habari wasioeleweka na wanazuia upatikanaji wa habari.

Nape alisema kwamba sheria si msaafu na kwa kuwa asilimia 80 za habari zinazalishwa na serikali, waandishi wanahaki ya kupata habari hizo na kama kuna kikwazo ni lazima kitafutiwe suluhu.

"Tukae tushindane kwa hoja tukubaliane na kuhakikisha kwamba tunarekebisha.. Bunge kazi yake ni kutunga na kufuta sheria" alisema Nape ambaye alisema kwamba sheria ya sasa imetoa nguvu kwa watoa habari na kwamba si kila habari iliyopo serikalini ni classified.
Alisema pia ili kufanikisha upatikanaji wa habari maofisa habari wamepewa maagizo ya kushiriki vikao ili waweze kutoa taarifa bila woga na kwa ujasiri mkubwa.

Alisema ni kazi ya serikali ni kutengeneza mazingira mazuri ya kukua kwa tasnia ya habari na itaendelea kupigania hilo kwa kuwa inatambua umuhimu wa vyombo vya habari.

Pamoja na kuweka mazingira mazuri amewataka wanaoendesha redio za jamii kutafuta namna ya kujiunga na taarifa za kitaifa (habari) ili wananchi wasitengwe na matukio ya maeneo mengine.

Alisema kwa kuwa sehemu kubwa ya redio hizo ziko pembezoni ni vyema nguvu yake ikatumika pia kuhabarisha matukio ya kitaifa.
Akizungumzia dawa za kulevya, Waziri Nape alitaka wanahabari kuwa na uzalendo na kushiriki katika vita hiyo kwa kutumia vyombo vyao vyote.

Alisema ni vyema wananchi na wanahabari wakatambua kwamba vita hiyo ni yetu sote na kwamba wanahabari wanauwezo wa kuunganisha wananchi katika kushinda hiyo vita ambayo ni kubwa.

Akizungumzia redio alitaka watu wanaotumia vyombo hivyo kuangalia namna ya kutoachwa nyuma wakati huu wa mabadiliko makubwa ya teknolojia na sayansi ambapo matumizi ya mtandao ya utoaji wa habari papo hapo unaendelea.

Aliwataka watu kuzungumza nafasi ya radio katika kuleta maendeleo huku wakiangalia changamoto zinazoletwa na teknolojia ya habari.
Sherehe hizo ambazo ziliambatanishwa na midahalo kuhusu upashanaji wa vyombo vya habari na sheria iliwasilishwa na Mkurugenzi wa utangazaji wa TCRA Ntobi na pia watendaji wa UNDP kuhusu malengo ya maendeleo endelevu na namna radio inavyowezesha hamasa ya utekelezaji iliratibiwa na UNESCO.

Mkuu wa ofisi na Mwakilishi wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) nchini Zulmira Rodrigues alisema akimkaribisha Waziri Nape kwamba washiriki katika sekta ya utangazaji wanatakiwa kuwa pamoja ili kukuza upashanaji wa habari katika maeneo ya pembezoni.

Alishauri kuwepo na kuaminiana ili kufanikisha malengo  ya kuleta maendeleo kwa kupeana nafasi na kushirikishana.
Alitaka watanzania kutumia nguvu ya radio kukabiliana na matatizo mbalimbali ya kitaifa na kuleta maendeleo yanayotakiwa.
Kukiwa na vituo vya radio 44,000 duniani Mwakilishi huyo wa UNESCO alisema kwamba  radio bado ina maslahi makubwa kwa wananchi kutokana na kutoa sauti kwa wakazi ili  kukabiliana na changamoto zilizopo.

Image result for Pan-African telecoms group Liquid Telecom







By Damas Makangale, Dar es Salaam, Tanzania
 
Pan-African telecoms group Liquid Telecom, a subsidiary of Econet Global has bought the majority shares of Raha, Tanzania’s leading internet service provider as part of the company’s efforts to foster development of connectivity in the region.
 
Owned by Zimbabwean billionaire Strive Masiyiwa, Liquid Telecom has operating companies across the continent in Botswana, the DRC, Kenya, Lesotho, Rwanda, South Africa, Uganda and Zambia, Zimbabwe and the United Kingdom.
 
Speaking to the East African Business Week in an exclusive interview last week in Dar es Salaam, Raha, Head of Commercial, Said Alli said that Raha will become part of Liquid Telecom’s extensive fibre network, providing businesses across East African region.
 
“The fibre network that runs all the way from Cape Town up through Dar es Salaam and into Nairobi, stretching over 40,000 km and connecting 12 countries,” adding that the company is not only relying to two Tanzanian fibre optic cable system Eassy, Silcom but also they have connected with TEAMS from United Arab Emirate,” he added 
 
He further said that TEAMS runs all the way from Fujairah, United Arab Emirates all the way from Namanga to Mombasa which makes Raha to become major link of Tanzanians source of communication and connectivity that foster business development.
 
“In Fact Tanzanians they have a lot of advantage when they choose to rely on Raha as we have various cable system as part from these local based, of course we are here to improve internet communication to the extent that improve life to majority of people in the region,” he noted
Alli underscored that Tanzania is a rapidly growing and dynamic market, and through that investment internet users in Tanzania will have more access to technology and business, market connectivity in the dynamic market.
 
He said that Liquid Telecom will provision African wide range of business as well focusing on serving multinational companies, banking, mining and other development sectors on communication and connectivity platform.  
 
Raha currently serves over 1500 businesses as well as a growing number of retail customers with a range of connectivity solutions, including fibre, satellite, WiMAX and Wi-Fi.
 
The company has already introduced over 150 free Wi-fi hotspots across all major cities in Tanzania, which are currently enjoyed by over 150,000 unique users.
 
As one of the first companies to bring internet to Tanzania when it launched as a dial-up service in 1996, Raha has played an important role in improving internet access across the country.
Raha was also the first company in Tanzania to offer dial-up access, VSAT services, fixed wireless, cable-based internet, WiMAX and finally fibre.
 
It operates a 400km metro fibre optic network throughout the Central Business District (CBD) of Dar es Salaam as well as other areas of the Tanzania capital.
 
The company has built a dynamic and innovative reputation amongst Tanzania consumers and businesses, and in 2015 collected the prestigious Brand of the Year Award (Africa) at the Social Media Awards Africa (SMAA).
 
Internet penetration in Tanzania has increased rapidly in recent years reaching 34% in 2015. Mobile subscriptions increased by more than 24% in 2015 to 39.8 million, while the number of internet users rose 52% year-on-year to reach 17.26 million last year, according to Tanzania Communication Regulator Authority (TCRA).
 
Liquid Telecom is the leading independent data, voice and IP provider in Eastern, Central and Southern Africa. It supplies fibre optic, satellite and international carrier services to Africa’s largest mobile network operators, ISPs, financial institutions and businesses of all sizes.
 
Liquid Telecom has built Africa’s largest single fibre network currently spanning over 40,000km, including Neotel’s network, across borders and covering Africa’s fastest-growing economies where no fixed network has existed before. 
 
The company has been named Best African Wholesale Carrier for the last five years at the annual Global Carrier Awards.
 
Ends.
 



























































Commonwealth Professional Fellowships for Developing Commonwealth Countries in UK, 2017-2018
Commonwealth Scholarships Commission (CSC), United Kingdom
Application Deadline: March 13, 2017
Apply Now


IMPRS-MCB PhD Scholarships for International Students in Germany, 2017
International Max Planck Research School for Molecular and Cellular Biology (IMPRS-MCB), Germany
Application Deadline: March 20, 2017
Apply Now


Doctoral Position in Economics, Law, and Psychology at International Max Planck Research School, Germany
International Max Planck Research School, Germany
Application Deadline: Open
Apply Now


2017 International IGB Fellowship Programme for Research in Freshwater Science, Germany
The Leibniz-Institute of Freshwater Ecology and Inland Fisheries (IGB), Germany
Application Deadline: June 1 and December 1 of each year
Apply Now


2017 Hessnatur Foundation Scholarship in Fashion at ESMOD Berlin, Germany
ESMOD Berlin and the Hessnatur Foundation, Germany
Application Deadline: March 5, 2017
Apply Now

Free Online Course: Understand Online Business and e-commerce
RMIT University
Course Starts on February 20, 2017
Apply Now


Morgan Stanley University Photo Competition for International Students, 2017
Morgan Stanley
Application Deadline: April 23, 2017
Apply Now


Open University Free Online Course on Introduction to Ecosystems
Open University (OU)
Course Starts on February 20, 2017
Apply Now


Forte Foundation MBA Scholarships for International Students at Imperial College Business School in UK, 2017
Imperial College Business School, United Kingdom
Application Deadline: March 17, 2017
Apply Now


Hinrich Foundation Master-Scholarship of International Journalism at Hong Kong Baptist Univerisity, 2017
Hong Kong Baptist Univerisity
Application Deadline:
Apply Now


Business School Dean’s ASEAN Scholarships at Bournemouth University in UK, 2017-2018
Bournemouth University
Application Deadline: May 31, 2017
Apply Now


“Jean d’Alembert” International Fellowships at University of Paris-Saclay in France, 2017-2018
University of Paris-Saclay in France
Application Deadline: March 31, 2017
Apply Now


Leiden University Free Online Course on Evolution Today
Leiden University
Application Deadline: Course Starts on March 6, 2017
Apply Now


Wilfried Martens Master Scholarships at KU Leuven in Belgium, 2017-2018
KU Leuven, Belgium
Application Deadline: March 1, 2017
Apply Now


Hoover Fellowships for International Scholars at UCL in Belgium, 2017-2018
Hoover Chair of Economic and Social Ethics, Catholic University of Louvain, Belgium
Application Deadline: February 28 2017.
Apply Now


SLS Excellence Scholarships for International Students at University of Warwick in UK, 2017
University of Warwick, United Kingdom
Application Deadline: February 13, 2017 and May 30, 2017
Apply Now


Goldsmiths, University of London International Scholarships in UK, 2017
Goldsmiths, University of London
Application Deadline: June 18, 2017
Apply Now


International Business Scholarships at University of Technology Sydney in Australia, 2017
University of Technology Sydney, Australia
Application Deadline: May 31, 2017
Apply Now


International Health Fellowship at St George’s University of London in UK, 2017
St George's University of London, United Kingdom
Application Deadline: June 2, 2017
Apply Now

People Management Free Online Course by IIM
Indian Institute of Management, Bangalore
Application Deadline: Course Starts on August 3, 2017
Apply Now


Latvian Government Scholarships for Summer Schools, 2017-2018
Latvian government
Application Deadline: May 4, 2017
Apply Now


Special Scholarships for International Students at European Institute of Design, 2017
European Institute of Design
Application Deadline: March 15, 2017
Apply Now

Henry Dryerre PhD Scholarship for International Students at University of Glasgow in UK, 2017-2018
University of Glasgow in United Kingdom
Application Deadline: February 28, 2017
Apply Now


Leiden University Free Online Course on Evolution Today
Leiden University
Application Deadline: Course Starts on March 6, 2017
Apply Now


Einhorn Oestreicher MPhil Scholarship UK, EU and International at University of Sussex in UK, 2017
University of Sussex in United Kingdom
Application Deadline: May 31, 2017
Apply Now

Ruth First Scholarship for Taught Master’s Degree Program at Durham University in UK, 2017-2018
Durham University in United Kingdom
Application Deadline: March 9, 2017
Apply Now


University Research Scholarships for International Students at University of Leeds in UK, 2017
University of Leeds, United Kingdom
Application Deadline: March 10, 2017
Apply Now

International Online Master Scholarships in EU Studies, 2017
International Centre for European Training (CIFE)
Application Deadline: September 5, 2017
Apply Now


Sussex Excellence Scholarships for UK, EU and International Students in UK, 2017-2018
University of Sussex, United Kingdom
Application Deadline: April 3, 2017
Apply Now


2017 Daewoo Vietnam Scholarship for Master and Doctoral Studies at GW, USA
The Daewoo Corporation
Application Deadline: March 6, 2017
Apply Now


IEDE Professor Llewelyn-Davies Scholarship at UCL in UK, 2017
University College London, United Kingdom
Application Deadline: June 1, 2017
Apply Now

ADG Engineering Bursary at Griffith University in Australia, 2017

Griffith University, Australia
Application Deadline: February 26, 2017
Apply Now

PhD Studentship in Applied Cryptography at University of Surrey in UK, 2017
University of Surrey, United Kingdom
Application Deadline: February 20, 2017
Apply Now

Postgraduate Fellowships for Historical Research in Netherlands, 2017
Johan Huizinga Fund/Rijksmuseum Fund, Netherlands
Application Deadline: March 12, 2017
Apply Now

Newcastle University School of Architecture, Planning and Landscape Scholarships in UK, 2017-2018
Newcastle University, United Kingdom
Application Deadline: July 30, 2017
Apply Now

Victoria Graduate Awards for Honours or Masters Programme in New Zealand, 2017

Victoria University of Wellington
Application Deadline: November 1 each year.
Apply Now

Latin America Merit Undergraduate Scholarships at University of Sheffield in UK, 2017
The University of Sheffield
Application Deadline: Friday 23 June 2017.
Apply Now

Council on Foreign Relations Edward R. Murrow Press Fellowship in USA, 2017-2018
The Council on Foreign Relations (CFR)
Application Deadline: March 1, 2017.
Apply Now

Jim Duncan Scholarships at University of Aberdeen in UK, 2017
University of Aberdeen
Application Deadline: May 19, 2017
Apply Now

2017-2018 Ruth First Master Scholarship at University of Durham in UK
Ruth First Educational Trust
Application Deadline: March 9, 2017.
Apply Now

EFEO Field Research Scholarships in Humanities or Social Sciences, 2017
(EFEO-École française d'Extrême-Orient)
Application Deadline: March 31, 2017
Apply Now

People Management Free Online Course by IIM
Indian Institute of Management, Bangalore
Course Starts on August 3, 2017
Apply Now


PRISCA Shaaban Mpesya (29), mkazi wa Kitongoji cha Kikonde, Kijiji cha Kaoze katika Kata na Tarafa ya Kipeta wilayani Sumbawanga mkoani Rukwa, alikuwa analia kimya kimya.
Bi Prisca akiwa na jeraha kichwani.JPG
Alimtazama mwanaye Baraka (6) aliyening’iniza mkono wa kulia huku akilia kwa maumivu baada ya kukatwa kitanga cha mkono na ‘watu wasiojulikana’ wanaosaka utajiri, kwa sababu yeye ni albino na wanadai viungo vyake ni ‘dili’.

Kwa Prisca, kuzaa watoto wenye albinism inaonekana ni majanga kwake na kizazi chake, hasa katika kipindi ambacho matukio ya mauaji, kutekwa nyara na kukatwa viungo vya albino yameshamiri Tanzania na Afrika Mashariki na Kati.
Barakaaa.JPG
Anajaribu kukumbuka tukio hilo la usiku wa Jumamosi, Machi 7, 2015 alivyonusurika kufa yeye na mwanaye Baraka.

“Nilikuwa natoka nje kwenda kujisaidia, sijui ilikuwa saa ngapi kwa sababu sikuwa na saa, nje juu ya mlango tuliweka taa ya Mchina ya solar ambayo ilikuwa inaangaza, hivyo sikuwa na hofu,” ndivyo anavyoanza kumsimulia mwandishi wa makala haya wakati alipokuwa amelazwa kwenye Hospitali ya Rufaa ya Mbeya.

Anasema ghafla tu alipofika mlangoni akashtuka kuona mtu akija mbio, akaipiga taa na kuivunja, kukawa giza.

“Nikajua huyu hakuwa mwema, hivyo nikajiandaa kupambana naye, alikuwa mwanamume mwenye nguvu kunishinda, lakini nilimdhibiti kwa sababu alitaka kuingia ndani kwa nguvu nami sikutaka kwa sababu wanangu walikuwa wamelala chini angeweza kuwaumiza.

“Mara nikasikia kitu kikinipiga kichwani pa! Nikaanguka na kupoteza fahamu. Nilipozinduka nikamwona mwanangu Baraka analia, kitanga cha mkono kimekatwa.” Akaongeza: “Natamani watu wanaofanya mambo haya wauawe hadharani.”

Anasema, mumewe Cosmas Yoramu Songoloka hakuwepo kwani alikuwa ameaga tangu mchana kwamba anakwenda kilabuni kunywa pombe, na mpaka majira hayo hakujua kama alikuwa kilabuni ama alikwenda kwa mke mdogo ingawa haikuwa zamu yake.

Baraka Cosmas Yoramu alikatwa kitanga cha mkono wa kulia na watu ‘wasiojulikana’ Machi 7, 2015 majira ya saa 2 usiku kwa imani za kujipatia utajiri wa kishirikina.

Jitihada za kupata tiba katika kituo cha afya Kamsamba wilayani Sumbawanga zilishindikana, hivyo kukimbizwa katika Hospitali ya Rufaa Mbeya.

Prisca anasema, pamoja na ujauzito aliokuwa nao wakati huo, lakini hakuhisi chochote zaidi ya kuwalinda wanawe, zawadi pekee aliyopewa na Mwenyezi Mungu.

“Nimehangaika na mimba zao kwa nyakati tofauti, sikuwa tayari kuona wanapata madhara, ndiyo maana niliisahau hata hali yangu nikaamua kupambana,” anasema.

Maumivu ya jeraha lake la kichwani alilopata kwa kupigwa na ‘kitu kizito’ yalionekana siyo kitu kwa wakati huo, kwa sababu binti yake Lucia (3) ambaye ana albinism pia alikuwa anamsumbua hospitalini, na kwa umri wake, alikuwa hajui kinachoendelea.

Lakini kubwa zaidi ni kwamba, mwanaye mchanga wa kiume aliye albino, ambaye ndiyo kwanza alikuwa ametoka kujifungua, naye alikuwa analia akitaka kunyonya.

Sasa anao watoto watatu wenye albinism kati ya wanne, akiwemo huyo mdogo ambaye kwa sasa ametimiza mwaka mmoja na nusu tangu alipozaliwa Aprili 2015 kwenye Hospitali ya Rufaa Mbeya wakati akiuguza jeraha lake kichwani pamoja na kumuuguza mwanaye Baraka jeraha la mkono.

Bi. Prisca alifikishwa hospitalini hapo Machi 8, 2015 huku akiwa amembeba mwanaye Lucia na mimba ya miezi karibu nane ikiwa imemuelemea.

“Nisingeweza kumwacha Lucia kule porini kwa sababu watu wabaya wangeweza kumjia,” alisema.

Mtoto wake mkubwa, Shukuru (8), alimwacha kijijini huku mumewe Cosmas akiwa mahabusu kuhusiana na tukio hilo.

Mwandishi wa makala haya, ambaye amefanya utafiti wa mauaji ya albino kwa miezi nane mfululizo, alipiga kambi mjini Sumbawanga kwa takriban miezi miwili na kushuhudia maofisa wa polisi walivyowakamata wahusika wa tukio hilo, akiwemo Sajenti Kalinga Malonji, ‘tajiri’ ambaye ndiye aliyepelekewa kiganja hicho na kuahidi kuwapatia wenzake mamilioni ya fedha

Author Name

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.