Wakati wanachuo wa Chuo Kikuu cha Teofilo Kisanji (TEKU) cha mjini Mbeya wakiahidi kupeleka vijijini kampeni ya malengo ya maendeleo endelevu (SDGs) Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa nchini na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo (UNDP), Alvaro Rodriguez amesema kwamba utekelezaji wa malengo hayo uko mikononi mwa vijana zaidi. Alisema nchini Tanzania zaidi ya nusu ya watu wake ni vijana hivyo wakielewa malengo hayo itakuwa rahisi kushawishi wengine kuhuisha maendeleo hayo na shughuli zao za kila siku huku wakitunza mazingira. Alisema shauri kwanini malengo yamekuwa mengi wakati yale ya Milenia yalikuwa nane tu, Mratibu huyo alisema kwamba suala si uwingi wa malengo bali maana yake na haja ya utekelezaji. 
Mkuu wa Chuo Kikuu cha Teofilo Kisanji (TEKU) cha jijini Mbeya, Dr. Daniel Mosses akimkaribisha na Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa nchini na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo (UNDP), Alvaro Rodriguez aliyemtembelea ofisini kwake mjini Mbeya.(Picha zote na Zainul Mzige wa Modewjiblog)

Alisema MDGs (Malengo ya Millennia) iliacha masuala kadhaa bila uelekeo ikiwamo suala la mazingira na mabadiliko ya tabia nchi na hivyo kuwapo kwake kunahakikisha uwapo wa maendeleo endelevu kwa kuwa kila kitu kinategemea sana mabadiliko ya tabia nchi kwa sasa. Alisema ni matumaini yake kwamba kuzinduka kwa jamii ya vijana itasaidia kukabiliana na changamoto hizo za sasa za dunia. Kauli ya mratibu huyo iliungwa mkono na wanachuo hao ambao walisema kwamba wanaona uhalisia wa mahitajhi ya sasa na kwamba watawasilisha kampeni hiyo maeneo wanayotoka ili kuwapo na mabadiliko.

 
Mkuu wa Chuo Kikuu cha Teofilo Kisanji (TEKU) cha jijini Mbeya, Dr. Daniel Mosses akiwa kwenye mazungumzo na Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa nchini na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo (UNDP), Alvaro Rodriguez aliyeambatana na Mtaalam wa Mawasiliano wa Shirika la Umoja wa Mataifa nchini, Hoyce Temu.

Kwa kuwa wengi ni vijana na kwa kuwa asilimia 75 ya vijana wanaishi vijijini, itakuwa heri kama walivyofundishwa na Umoja wa Mataifa kupeleka salamu vijijini ili kukabiliana na tatizo la mazingira na mabadiliko ya tabia nchi ambayo yanafumua misimu ya kilimo na upatikanaji wa mvua. Kushirikisha vijana ni suala la msingi sana, hasa ikizingatiwa kwamba sehemu kubwa ya vijana wanatoka vijijini ambako malengo ya maendeleo endelevu yana maana zaidi kwa umma, alisema Kidai Kabula Shaban, Mwanafunzi anayesomea Shahada ya Sanaa, Sosholojia na Kazi za Jamii.

 
Mkuu wa Chuo Kikuu cha Teofilo Kisanji (TEKU) cha jijini Mbeya, Dr. Daniel Mosses akizungumza machache kabla ya kumkaribisha Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa nchini na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo (UNDP), Alvaro Rodriguez kuendesha semina ya malengo ya dunia (Global Goals) kwa wanafunzi wa chuo hicho iliyofadhiliwa na Umoja wa Ulaya (EU).

Amesema amefurahishwa mno na mpango huo wa kuelimisha vijana hasa utunzaji wa mazingira ili kukabiliana na tabia nchi. Alisema yeye alivyoelimishwa basi atahakikisha anawaelimisha wengine kuwa watekelezaji wa maendeleo hayo. Akirejea mazungumzo ya mwanafunzi huyo kwa niaba ya wenzake. Alvaro alisema amefurahishwa na mwamko wa vijana wa kutaka kujua malengo hayo na ni imani yake kwamba kwa kuwakujua wao basi jamii itaerevuka mapema zaidi. 

Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa nchini na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo (UNDP), Alvaro Rodriguez akiendesha semina kuhusu malengo ya maendeleo endelevu (SDGs) kwa wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Teofilo Kisanji (TEKU) cha jijini Mbeya iliyofadhiliwa na Umoja wa Ulaya (EU).
Mtaalam wa Mawasiliano wa Shirika la Umoja wa Mataifa nchini, Hoyce Temu akiwapiga msasa wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Teofilo Kisanji jijini Mbeya wakati wa semina kuhusu malengo ya maendeleo endelevu (SDGs) iliyofadhiliwa na Umoja wa Ulaya (EU).
Mtaalam wa Mawasiliano wa Shirika la Umoja wa Mataifa nchini, Hoyce Temu akifafanua jambo wakati wa semina ya malengo ya maendeleo endelevu (SDGs) kwa Chuo Kikuu cha Teofilo Kisanji jijini Mbeya iliyofadhiliwa na Umoja wa Ulaya (EU).
Mwalimu wa Chuo Kikuu cha Teofilo Kisanji cha jijini Mbeya, Furaha Komoro akiuliza swali kuhusu juhudi za Umoja wa Mataifa katika kuhakikisha usawa wa kijinsia unakuwa na uwiano sawa pande zote.
Mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Teofilo Kisanji akishiriki kutoa maoni kwenye semina ya malengo ya dunia iliyoandaliwa na Umoja wa Mataifa na kufadhiliwa na Umoja wa Ulaya (EU).
Mwanafunzi anayesomea Shahada ya Sanaa, Sosholojia na Kazi za Jamii chuoni hapo, Kidai Kabula Shaban akiuliza swali kwa mkufunzi (hayupo pichani) wa malengo ya maendeleo endelevu (SDGs).
Pichani juu na chini ni sehemu ya wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Teofilo Kisanji jijini Mbeya walioshiriki semina ya malengo ya maendeleo endelevu (SDGs) iliyofadhiliwa na Umoja wa Ulaya (EU).



Mmoja wa washiriki akipitia kijarida cha malengo ya maendeleo endelevu (SDGs) katika semina iliyofanyika Chuo Kikuu cha Teofilo Kisanji jijini Mbeya.
Picha juu na chini ni Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa nchini na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo (UNDP), Alvaro Rodriguez katika picha ya pamoja na wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Teofilo Kisanji cha jijini Mbeya waliohudhuria semina ya malengo ya dunia (Global Goals) iliyofadhiliwa na Umoja wa Ulaya (EU).
Pichani juu na chini ni semina maalum ya mabalozi wa malengo ya maendeleo endelevu (SDGs Champions/Global Goals Champions) wakipigwa msasa wa SDGs na Mtaalam wa Mawasiliano wa Shirika la Umoja wa Mataifa nchini, Hoyce Temu (hayupo pichani).
Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa nchini na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo (UNDP), Alvaro Rodriguez akikabidhi cheti kwa Balozi wa Malengo ya Maendeleo Endelevu (Global Goals Champion) Manafunzi wa Chuo Kikuu cha Teofilo Kisanji (TEKU) ambaye pia ni mrembo wa taji la Miss Mbeya 2016, Eunice Robert.
Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa nchini na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo (UNDP), Alvaro Rodriguez katika picha ya pamoja na mabalozi wa malengo ya maendeleo endelevu (SDGs) Global Goals Champions wakiwa wameshikilia vyeti vyao mara baada ya kuhitimisha semina maalum kwa mabalozi hao.
Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa nchini na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo (UNDP), Alvaro Rodriguez katika picha ya pamoja na mabalozi wa malengo ya maendeleo endelevu (SDGs) Global Goals Champions wa Chuo Kikuu cha Teofilo Kisanji (TEKU) cha jijini Mbeya wakiwa wameshikilia baadhi ya SDGs.

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Amos Makalla amelishukuru Shirika la Umoja wa Mataifa kwa misaada na ushirikiano kwa serikali ya Tanzania ikiwemo huduma kwa kambi za wakimbizi, Mafunzo ya ujasiriamali kwa vijana yenye kauli mbiu ya Vijana - Fursa na misaada mingi katika shughuli za maendeleo Hayo ameyasema wakati wa mazungumzo na Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo (UNDP) nchini, Alvaro Rodriguez aliyemtembelea Mkuu huyo wa mkoa ofisini kwake. RC Makalla amewahakikishia ushirikiano zaidi kwa mradi wa Vijana kutambua fursa na kuzitumia utakaotekelezwa Mkoa wa Mbeya mwakani. 
Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Amos Makalla (kushoto) akisalimiana na Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo (UNDP) nchini, Alvaro Rodriguez aliyemtembelea ofisini kwake na kufanya mazungumzo ya kuboresha ushirikiano baina ya Serikali na Umoja wa Mataifa jijini Mbeya.(Picha na Zainul Mzige wa Modewjiblog)
Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo (UNDP) nchini, Alvaro Rodriguez akisaini kitabu cha wageni ofisini kwa Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Amos Makalla alipomtembelea ofisini kwake na kufanya mazungumzo ya kuimarisha ushirikiano baina ya Serikali na Umoja wa Mataifa jijini Mbeya.
Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo (UNDP) nchini, Alvaro Rodriguez akielezea dhumuni la safari yake mkoani Mbeya kwa Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Amos Makalla wakati alipomtembelea Mkuu huyo wa mkoa na kufanya naye mazungumzo kwa lengo la kuimarisha ushirikiano baina Umoja wa Mataifa na Serikali.
Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Amos Makalla akielezea mipango aliyonayo ya kuinua uchumi wa mkoa wake na kutatua tatizo la ajira kwa vijana ambalo limekua changamoto kubwa nchini kwa Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo (UNDP) nchini, Alvaro Rodriguez (katikati) aliyemtembelea ofisini kwake akiwa ameambatana na Mtalaam wa Mawasiliano wa Umoja wa Mataifa nchini, Hoyce Temu (kushoto).
Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa nchini na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP), Alvaro Rodriguez akitoa taarifa zilizomo kwenye Ripoti ya Umoja wa Mataifa ya Mpango wa misaada ya Maendeleo UNDAP II 2016-2021 kwa Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Amos Makalla alipomtembelea ofisini kwake na kufanya naye mazungumzo kwa lengo la kuimarisha ushirikiano baina ya Umoja wa Mataifa na Serikali.
Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa nchini na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP), Alvaro Rodriguez akimkabidhi rasmi Ripoti ya Umoja wa Mataifa ya Mpango wa misaada ya Maendeleo UNDAP II 2016-2021 Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Amos Makalla alipomtembelea ofisini kwake jijini Mbeya.
Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Amos Makalla katika picha ya pamoja na Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa nchini na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP), Alvaro Rodriguez aliyeambatana na Mtalaam wa Mawasiliano wa Umoja wa Mataifa nchini, Hoyce Temu (kulia) nje ya jengo la ofisi za mkuu huyo wa mkoa.
Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa nchini na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP), Alvaro Rodriguez na Mkuu wa mkoa wa Mbeya, Amos Makalla katika picha ya pamoja na "Orange car" ikiwa ni wiki ya maadhimisho ya siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia: 'Elimu kwa wote" nje ya ofisi za mkuu huyo wa mkoa.
Mkuu wa mkoa wa Mbeya, Amos Makalla akiagana na Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa nchini na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP), Alvaro Rodriguez aliyemtembelea ofisini kwake na kufanya naye mazungumzo jijini Mbeya.

Greetings from TMF!
Since liberalisation in the 1990s, the media sector in Tanzania has grown to include a wide range of actors and diverse interests. As the legal, political, economic and cultural landscape of the country has changed so have media production and consumption patterns.

Technological advances have also had a significant impact on how people search for, access and share information. And recently, the president signed the Media Services Act (2016), which to some extent embodies the tensions at work in the media landscape of Tanzania.

In this dynamic context, what is the role of editors in promoting professionalism and editorial independence in the media in Tanzania? What does the future of journalism look like and how can the media effectively play its three-fold role of watch dog, agenda-setter and gate-keeper?

The Tanzania Editors' Forum (TEF) with support from TMF has organised a media stakeholders meeting to discuss the editorial independence and professionalism in Tanzania in the context of the rapidly changing media landscape.
The media stakeholders event will take place on 8 December, 9 to 4 p.m. at LAPF Towers and will be preceded by a TEF meeting on 7 December, 9 to 4 p.m. at Protea Courtyard.
For more information on how to confirm your participation, see the attachment or contact Rosemary Mwakitwange on the email: rosemarymwakitwange@gmail.com or number  0717 190 856.
Regards,


--
Fausta A. Musokwa
Senior Programme Officer -
Strategic and Communications

Mchungaji mmoja huko nchini Afrika Kusini, Lethebo Rabalago anatumiwa dawa ya mbu ya kupuliza kama njia ya uponyaji kwa waumini wake wanaokwenda kanisani kwake kwa ajili ya maombi ya matatizo mbalimbali ya kiroho.Image result for lethebo rabalago
 
Mchungaji anaamini kwamba dawa hiyo ya mbu ya kupuliza inaweza kumponya mwanadamu na kumwezesha mtu kupata upako wa bwana baada ya kuombewa na kupuliziwa kama sehemu ya ufunuo wa kutoka kwenye dimbwi la dhambi na mikosi.
 
Lethebo Rabalago, kutoka kwenye kanisa la Mount Zion General Assembly (MZGA) katika mji wa Limpopo, alituma picha kwenye mitandao ya kijamii kama vile Facebook na kuonyesha akitumia dawa hiyo kali ya kuua mbu kama nyenzo yake ya uponyaji.
 
Siku chache zilizopita kwenye mitandao ya kijamii kulijaa taarifa za mchungaji huyo anayetumia dawa hiyo ya mbu kama njia ya uponyaji kwa waumini wake hapo kanisani, baada ya kutuma picha hizo mijadala ilikuwa ikiendelea kwenye mitandao sehemu kubwa ya Afrika kuhus aina hiyo ya maombezi.
 
Mmoja wa waumini aliyepitia huduma alinukuliwa akisema kwamba “Nilikuja hapa na maumivu sehemu ya nyuma na tumbo, lakini sasa baaada ya maombezi ya mchungaji nimepata uponyaji wa kutosha na pua yangu iliumia tangu wiki iliyopita na baada ya mchungaji kuniombea na kunipuliza dawa nimepata nafuu kubwa,” alinukuliwa akisema.

SPIKA Mstaafu, Anna Makinda ameiomba serikali na mamlaka husika kuanza mchakato wa kusukuma mabadiliko ya sheria ya ndoa ili kupanua wigo wa haki za wanawake na watoto nchini.
 
Image result for ndoa
 
Akizungumza katika kongamano la wanawake lilioandaliwa na Mfuko wa msaada wa kisheria nchini (LSF) jana jijini Dar es Salaam, Makinda alisema kwamba sheria ya ndoa ya mwaka 1971 imepitwa na wakati na inahitaji marekebisho makubwa ili kutoa haki kwa wanawake nchini.
 
“Hii sheria ya ndoa inawatenga sana wanawake nchini katika swala la mirathi na kuacha watoto wengi wakiteseka ni wakati muafaka sasa kwa wanaharakati kusaidia na wabunge ili kuleta marekebisho hayo kwa manufaa ya nchini nzima,” alisema Makinda ambaye ni spika mstaafu.
 
Alisema kwamba marekebisho hayo makubwa au kuandikwa upya kwa sheria ya ndoa itakuwa hatua moja kubwa katika kulinda haki za wanawake za kumiliki mali, kama vile mashamba na kadhalika.
 
Alisisitiza kwamba swala la mirathi ni tatizo kubwa sana nchini ambapo wanawake wengi wamepoteza mali zao walizochuma na wenzi wao wakati wa ndoa.
 
“Nikiwa mbunge, waziri na baadaye spika tulipambana vikali katika kubadilisha sheria ya ardhi ili kuwapa watu wa hali ya chini kupata nafasi ya kumiliki ardhi, sasa na hii sheria ya ndoa inapaswa kushughulikiwa kwa haraka ili kuweza kutoa matokeo chanya kwa jamii,” aliongeza.
 
Alifafanua kwamba marekebisho hayo ya sheria ya ndoa yatasaidia kunusuru maelfu ya wanawake ambao wanateseka kutokana na kila aina ya unyanyasaji wa kijinsia na vipigo ambavyo vinaongezeka kila kona ya nchini.
 
Aliomba mashirika yasiyokuwa ya kiserikali kushirikiana na serikali katika majadiliano hasa katika mambo ya mirathi na ndoa ili kuhakikisha upatikanaji wa marekebisho hayo yanapatikana haraka.
 
“ni muhimu pia maswala haya ya haki za wanawake na watoto kufundishwa katika shule za msingi na sekondari ili kupeleka elimu hiyo ya uraia kwa wanafunzi nchini nzima, ila ni muhimu kushirikiana na serikali ili kufanikisha hayo,” aliongeza 
 
Kwa upande wake, Afisa Mtendaji Mkuu, Mfuko wa Msaada wa Kisheria (LSF), Bw, Kees Groenendijk alisema kwamba mfuko lengo lake kuu ni kuongeza haki na usawa kwa wanawake nchini kupitia uwezeshaji wa fedha na mafunzo.
 
“Kutokana na mustadha huo, mfuko uliamua kwamba mfuko kusaidia mashirika yasiyo kuwa ya kiserikali yanayotoa msaada wa kisheria kwa jamii hasa wanawake ambao wapo katika wilay zote za Tanzania Bara,” alisisitiza.
 
Alisema tangu mfuko huo uanze zaidi ya wanawake 2,000 walifikiwa kwa msaada wa kisheria ambao ni asilimia 60% ya wanawake nchini nzima.
 
Kwa upande wake, Mkurugenzi Mtendaji wa Chama cha Wanasheria Wanawake Tanzania (TAWLA) Bi, Tike Mwambipile alisema kwamba serikali ni lazima kuanzisha kitengo maalum cha kushughulikia matatizo ya ndoa na mirathi katika mifumo ya utoaji haki nchini.

Scholarship-Poitions.com 

 
Swedish Institute Study Scholarships for Developing Countries, 2017-2018
Ministry for Foreign Affairs of Sweden and administered by the Swedish Institute (SI)
Application Deadline: January 16, 2017
Apply Now


University of Adelaide Undergraduate Scholarship Program (AIUS) in Australia, 2017
The University of Adelaide, Australia
Application Deadline: January 20, 2017
Apply Now

Master of Health Leadership International Scholarships in New Zealand, 2017

University of Auckland, New Zealand
Application Deadline: December 8, 2016
Apply Now


NUS Graduate School Scholarship (NGSS) for International Students in Singapore, 2017
National University of Singapore, Singapore
Application Deadline: January 15, 2017
Apply Now


L’Oréal USA For Women In Science Fellowship Program, 2017
L’Oréal Foudation
Application Deadline: February 3, 2017
Apply Now

Fee-waiver Scholarships for International Students at University of Bristol in UK, 2017
University of Bristol, United Kingdom
Application Deadline: May 2, 2017
Apply Now


Fully-funded Scholarships at International Fashion Academy in France, 2017
International Fashion Academy, France
Application Deadline: May 31, 2017
Apply Now


Institute for Transport Studies Master Scholarships for International Students at University of Leeds in UK, 2017
University of Leeds, United Kingdom
Application Deadline: June 22, 2017
Apply Now


20 College of Social Sciences Scholarships at University of Glasgow in UK, 2017-2018
University of Glasgow, United Kingdom
Application Deadline: February 3, 2017
Apply Now


Free Online Course on Financial Market Analysis
International Monetary Fund (IMF)
Course Starts on January 25, 2017
Apply Now

Free Online Course on International Project Management
Rochester Institute of Technology
Course Starts on August 28, 2017
Apply Now


Information and Communications Technology (ICT) Excellence Scholarships in Australia, 2017
University of Queensland, Australia
Application Deadline: January 23, 2017
Apply Now


University of Brighton Fully-funded International Research Scholarships in UK, 2017
University of Brighton, United Kingdom
Application Deadline: June 30, 2017
Apply Now

Search for Common Ground Africa Program Spring Internship in USA, 2017

Search for Common Ground (SFCG)
Application Deadline Contact Employer
Apply Now


KSP Excellence Scholarships for International Students in France, 2017-2018
Kuwait Program at Sciences Po and Kuwait Foundation for the Advancement of Sciences (KFAS)
Application Deadline: December 11, 2016
Apply Now

UN Knowledge Management Internship at RET International in Geneva, Switzerland, 2017

RET International
Application Deadline December 16th 2016
Apply Now


Africa Organisation for Standardization 4th Continental Essay Competition, 2017-2018
Africa Organisation for Standardization
Application Deadline: 30th January 2017
Apply Now

ICTP Visiting Fellowships for Mathematicians from Developing Countries in Italy, 2017

The Abdus Salam International Centre for Theoretical Physics (ICTP)
Application Deadline: January 7, 2017
Apply Now

London School of Economics and Political Science LLM Scholarship for Female Africans in UK, 2017

London School of Economics and Political Science, United Kingdom
Application Deadline: April 26, 2017
Apply Now


2017 CBS Ph.D. Scholarship in Political Science and Public Management, Denmark
Copenhagen Business School, Denmark
Application Deadline: December 31 2016
Apply Now


10 Undergraduate Scholarships for International Students at University of Brighton in UK, 2017
University of Brighton, United Kingdom
Application Deadline: July 31, 2017
Apply Now


PhD Positions in Artificial Intelligence, Virtual Reality, and Multimodal Signal Processing at Southern Illinois University, USA
Southern Illinois University, USA
Application Deadline: Contact Employer
Apply Now

Fulbright Foreign Student Program for Bangladeshi Students in USA, 2017-2018

United States Government
Application Deadline: April 28, 2017
Apply Now

Molly Bartlett Endowed Scholarships at American University in Egypt, 2017
American University in Cairo, Egypt
Application Deadline: December 20, 2016
Apply Now

Science & Engineering Merit Extension Undergraduate Scholarship at Curtin University in Australia, 2017
Curtin University, Australia
Application Deadline: December 31, 2017
Apply Now

University of Birmingham Cadbury Research Fellowship Scheme in UK, 2017
University of Birmingham, United Kingdom
Application Deadline: December 9, 2016
Apply Now

The Asian Development Bank Essay Competition for Graduate and Postgraduate Students in Uzbekistan, 2017
The Asian Development Bank
Application Deadline: December 5, 2016
Apply Now

University of Copenhagen PhD Scholarships at the Faculty of Law in Denmark, 2017
University of Copenhagen, Denmark
Application Deadline: January 17, 2017
Apply Now

Graduate Scholarships for Thai Students at Webster University in Thailand, 2017
Webster University, Thailand
Application Deadline: December 16, 2016
Apply Now

ICN2 PhD Student Fellowship in Advanced Surface Electromechanics, Spain
Application Deadline:
Apply Now

PhD Research Fellowship in Analytical Chemistry at University of Oslo in Norway, 2017
University of Oslo, Norway
Application Deadline: December 5, 2016
Apply Now

Vice Chancellor’s PhD Studentships in Psychology at Roehampton University in UK, 2017
Roehampton University, United Kingdom
Application Deadline: December 2, 2016
Apply Now

ANU-Study Canberra Indonesia Scholarships in Australia, 2017
Australian National University, Australia
Application Deadline: January 15, 2017
Apply Now

PhD Position in Marine Biogeochemistry at Heriot-Watt University in UK, 2017
Heriot-Watt University in UK
Application Deadline: January 31, 2017
Apply Now

Higher Education Scholarships for Palestinians (HESPAL) in UK, 2017
HESPAL is funded by participating UK Higher Education Institutes (UK HEIs); a range of private sponsors (details provided on request); the Department for Business Innovation & Skills (BIS); Foreign & Commonwealth Office (FCO) and the Arab Fund in Kuwait and managed and administered by British Council Palestine.
Application Deadline: January 23, 2017
Apply Now


Applications Open for University of Edinburgh MBA Scholarships in UK, 2017-2018
University of Edinburgh, United Kingdom
Application Deadline: March 2017
Apply Now

Decision Making Online Course by University of Lausanne
University of Lausanne
Course Starts on December 12, 2016
Apply Now

Lund University Free Online Writing Courses
Lund University
Course Starts on December 12, 2016
Apply Now

Cleveland Foundation Summer Internship Program in USA, 2017
Cleveland Foundation, United States of America
Application Deadline January 23rd, 2017
Apply Now

Facebook Supply Chain Internship in USA, 2017
Facebook
Application Deadline Contact Employer
Apply Now

UMOJA wa Nchi za Ulaya (EU) na Umoja wa Mataifa (UN) wameweka nguvu ya pamoja kuendesha kampeni ya uelewa wa malengo ya maendeleo endelevu (SDGs) nchini Tanzania. Wakiwa Mkoani Iringa wamepata nafasi ya kuzungumza na wanachuo 1,000 kutoka vyuo vikuu vya Iringa na Ruaha kwenye semina iliyoelezea malengo ya dunia ambayo ni sehemu ya ajenda 2030 ya maendeleo endelevu duniani ambapo kati ya hao, vijana 50 wamepata semina ya mwongozo wa kuwa mabalozi wa malengo hayo (Global Goals Champions). Kampeni hiyo imelenga kuwafanya vijana waelewe malengo 17 ya dunia ambayo kwa sasa yana mwaka mmoja tangu yapitishwe na kuwatanabaisha wajibu wao katika kufanikisha utekelezaji wake ndani ya mazingira ya Tanzania. 


Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa nchini na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP), Alvaro Rodriguez akimkabidhi Ripoti ya Umoja wa Mataifa ya mpango wa misaada ya maendeleo UNDAP II 2016-2021 Mkuu wa Chuo Kikuu cha Ruaha (RUCU) Iringa, Dr. Cephas Mgimwa alipomtembelea ofisini kwake mjini Iringa.
Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa nchini na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP), Alvaro Rodriguez akifafanua jambo juu ya ripoti ya Umoja wa Mataifa ya Mpango wa misaada ya Maendeleo 2016-2021 (UNDAP II) kwa Mkuu wa Chuo Kikuu cha Ruaha (RUCU) Iringa, Dr. Cephas Mgimwa alipomtembelea ofisini kwake mjini Iringa
Mwanasheria wa Chuo Kikuu cha Ruaha Iringa, Martin Noel akiwa ameongozana Mtaalam wa Mawasiliano wa Umoja wa Mataifa nchini, Hoyce Temu kuelekea kwenye ukumbi wa mikutano chuoni hapo sambamba Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa nchini na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP), Alvaro Rodriguez aliyeambatana na Mwakilishi wa Umoja wa Ulaya (EU) nchini ambaye pia ni Afisa Miradi, Anna Muro.
Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa nchini na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP), Alvaro Rodriguez akiendesha semina ya malengo ya maendeleo endelevu (SDGs) kwa vijana 50 kutoka Chuo Kikuu cha Iringa na Ruaha ambao watakuwa ni mabalozi wa malengo hayo ya dunia huku lengo la UN ni kuwaelimisha vijana zaidi ya 30,000 ifikapo mwaka ujao kuhusu malengo hayo ya dunia.

Mwakilishi wa Umoja wa Ulaya (EU) nchini ambaye pia ni Afisa Miradi, Anna Muro akielezea fursa za ufadhili wa masomo nje ya nchi katika tovuti ya Umoja wa Ulaya Tanzania wakati wa semina ya malengo ya maendeleo endelevu (SDGs) kwa vijana 50 kutoka Chuo Kikuu cha Iringa na Ruaha ambao watakuwa ni mabalozi wa malengo hayo ya dunia (Global Goals Champions) huku lengo la UN ni kuwaelimisha vijana zaidi ya 30,000 ifikapo mwaka ujao kuhusu malengo hayo ya dunia iliyofadhiliwa na EU.
Mkufunzi wa Malengo ya Dunia ambaye pia ni Mtaalam wa Mawasiliano wa Umoja wa Mataifa nchini, Hoyce Temu akiwapiga msasa vijana 50 kutoka Chuo Kikuu cha Iringa na Ruaha ambao watakuwa ni mabalozi wa malengo hayo ya dunia (Global Goals Champions) huku lengo la UN ni kuwaelimisha vijana zaidi ya 30,000 ifikapo mwaka ujao kuhusu malengo hayo ya dunia kwenye semina hiyo iliyofadhiliwa na EU.
Mwakilishi wa Umoja wa Ulaya (EU) nchini ambaye pia ni Afisa Miradi, Anna Muro akiwa amejumuika na wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Iringa na Ruaha wakati wa semina ya malengo ya maendeleo endelevu (SDGs) kwa vijana 50 ambao watakuwa ni mabalozi wa malengo hayo ya dunia (Global Goals Champions) huku lengo la UN ni kuwaelimisha vijana zaidi ya 30,000 ifikapo mwaka ujao kuhusu malengo hayo ya dunia ambapo semina hiyo imefadhiliwa na Umoja wa Ulaya (EU) nchini.
Pichani juu na chini ni vijana 50 kutoka Chuo Kikuu cha Iringa na Ruaha walioshiriki semina maalum ya kuwa mabalozi wa malengo ya dunia (Global Goals Champions) iliyoandaliwa na UN na kufadhiliwa na Umoja wa Ulaya (EU) mjini Iringa.
Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa nchini na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP), Alvaro Rodriguez (kulia) akimkabidhi cheti Rais wa Chuo Kikuu cha Ruaha (RUCU) Iringa Athman Waziri aliyehitimu kuwa balozi wa Malengo ya Dunia (Global Goals Champion).
Picha juu na chini Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa nchini na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP), Alvaro Rodriguez akiendelea na zoezi la kutunuku vyeti kwa mabalozi wa malengo ya dunia kutoka Chuo Kikuu cha Iringa na Ruaha.


Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa nchini na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP), Alvaro Rodriguez katika picha ya pamoja na Mabalozi wa Malengo ya Dunia (Global Goals Champions) baada ya kuhitimisha semina maalum iliyoshirikisha vijana 50 kutoka Chuo Kikuu cha Iringa na Ruaha.
Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa nchini na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP), Alvaro Rodriguez katika picha ya pamoja na Mwanasheria wa Chuo Kikuu cha Ruaha (RUCU) Iringa, Martin Noel baada ya kuhitimisha semina ya malengo ya dunia mjini Iringa.
Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa nchini na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP), Alvaro Rodriguez katika picha ya pamoja na Afisa Habari wa Chuo Kikuu cha Ruaha (RUCU), Muazarau Matola
Baadhi ya Global Goals Champions katika picha ya kumbukumbu na Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa nchini na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP), Alvaro Rodriguez na Mtaalam wa Mawasiliano wa Umoja wa Mataifa nchini, Hoyce Temu.
Mkufunzi wa Malengo ya Dunia ambaye pia ni Mtaalam wa Mawasiliano wa Umoja wa Mataifa nchini, Hoyce Temu akibadilishana mawazo na wahitimu wa semina malengo ya dunia (Global Goals Champions) mara baada ya kuhitimisha semina hiyo iliyofanyika katika Chuo Kikuu cha Ruaha mjini Iringa ambapo imefadhiliwa na Umoja wa Ulaya (EU).

Author Name

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.