Arsenal 1 Chelsea 2
Juan Mata's free-kiki ikimpita kipa wa Arsenal, Vito Mannone na katika ishindi wa Chelsea 2-1 dhidi ya Arsenal
| Fernando Torres (kulia) akishangilia goli lake la na nahodha wa Chelsea , John Terry. |
Fernando Torres akiifungia Chelsea goli la kuongoza
| . Lukas Podolski na Santi Cazorla wakiashuhudia Gervinho akifunga goli la kuswazisha . |
| . Nuri Sahin akishangilia mara baada ya kuifungia Liverpool goli la tatu |
| Louis Suarez akiifungia Liverpool goli la pili |
| Louis Suarez akishangilia goli lake la tatu, maarufu kama Hat- trick |
| Grant akifungia Norwich goli la pil ambalo haliikusaidia timu yake kuepuka kipigo cha 5 |
Man Utd 2 Tottenham 3
| Kocha wa Andre-Villas Boas akishangilia ushindi wa kihistoria watimu uliopata ndani ya uwanja wa Old Trafford juzi. |
Post a Comment