April 2017

Mkurugenzi Mkuu wa Benki ya NMB, Ineke Bussemaker akizungumza.


Ni ongezeko la asilimia 2.4 la faida • 

Kwa miaka 10 mfululizo, NMB imeendelea kuongoza kwa faida nchini.

BENKI ya NMB imepata ongezeko la faida la asilimia 2.4 baada ya kodi kwa mwaka 2016. Mkurugenzi Mkuu wa benki ya NMB - Ineke Bussemaker amesema kwamba licha ya changamoto zilizoikabili sekta ya fedha na uchumi kwa ujumla kwa mwaka 2016, benki ya NMB iliweza kufanya vizuri. “Faida ya benki kwa ujumla iliongezeka kutoka shilling billioni 150.3 kwa mwaka 2015 hadi shilingi bilioni 153.7 kwa mwaka 2016. Ongezeko hili limetokana na kuongezeka kwa pato linalotokana na Biashara ya benki lililokuwa kwa asilimia 16,” alisema Bussemaker. Riba katika mikopo ilikua kutoka shilingi bilioni 438.7 kwa mwaka 2015 hadi billioni 551.0 mwaka 2016 ambayo ni sawa na ukuaji wa asilimia 25.6. 

Pia Rasilimali za benki ziliongezeka kwa asilimia 8 kutoka shilingi bilioni 4,580 kwa mwaka 2015 hadi shilingi Bilioni 4,951 mwaka 2016. Mikopo kwa wateja iliongezeka hadi shilingi 2,794 billioni, ikiwa ni ongezeko la asilimia 13% kutoka shilingi bilioni 2,482 kwa mwaka uliotangulia. 

Ongezeko hili la mikopo ilitokana kwa kiasi kikubwa na ongezeko la mikopo kwa wafanyakazi kwa asilimia 16 kwa mwaka 2015 hadi kufikia shillingi bilioni 1,698 kwa mwaka 2016. Pamoja na ukata wa fedha uliozikumba benki nyingi mwaka 2016, ongezeko la amana za benki lilichangiwa kwa kiasi kikubwa na ongezeko la amana za wateja kwa shilingi bilioni 172 billioni, fedha ambayo benki ilikopa kiasi cha shilingi bilioni 312 pamoja na hati fungani ambayo ilipatikana kiasi cha shilingi bilioni 41. 

Gharama za riba ziliongezeka kwa asilimia 49 kutoka shilingi bilioni 68.5 kwa mwaka 2015 hadi shilingi bilioni 102.2 kwa mwaka 2016. “Amana za wateja ambazo kwa kiasi kikubwa ziliwekwa katika akaunti zisizokuwa na riba ziliongezeka kwa asilimia 4.8% kutoka shilingi bilioni 3, 568 kwa mwaka 2015 hadi shilingi bilioni 3,737 kwa mwaka 2016,” alisema. 

Aliongeza, “Idadi ya wateja wetu iliathiriwa sana na hali ya kibiashara kwa mwaka 2016, hali ambayo iliathiri ubora wa mikopo na kuchangia ongezeko la mikopo mibovu (NPL) hadi asilimia 4.8 kwa mwaka 2016 kutoka asilimia 2.4 mwaka 2015,” Ikishikilia asilimia 20% ya soko kwa mikopo na amana za wateja, benki ya NMB ni ambayo ni ya pili kwa ukubwa wa mizania ya Rasilimali za kibenki nchini, kwa miaka 10 mfulululizo benki imekuwa ikiongoza kwa kupata faida kubwa kuliko benki zote nchini. 


Projects from 17 countries – including Poland, Croatia, Azerbaijan, Canada, the US, Italy, Germany, the UAE, Iran, Australia, China, Spain, Poland and Turkey – were celebrated and rewarded at the fortieth Lighting Design Awards in London last night. The winners were announced at a glamorous black-tie event at the London Hilton Park Lane attended by over 700 designers, architects and suppliers and hosted by Tom Allen.

The lighting designer of the year for 2016 was named as Gerd Pfarré, whom the judging panel described as ‘a designer of stellar talent and boundless creativity’.
The lighting design practice of the year is Arup, who has had ‘an astonishing run of fantastic projects’. The architect of the year is Diller Scofidio + Renfro. The judges said: ‘Few firms handle daylight as sensitively and as passionately as this one’.

Other winners included the US light artist Christine Sciulli for the Roil artwork in New York, David Atkinson for the UAE Pavilion at the Expo 2015 and the Society of Light & Lighting for the Night of Heritage Light.
The full list of winners are: follow the link below


Winners announced at the 40th Lighting Design Awards 2016

Mrembo wa Tanzania mwenye tamaa ya kuwa na himaya ya samani za kimataifa kupitia kampuni yake, kama alivyowahi kuelezwa na jarida la Forbes hivi karibuni, Jacqueline Ntuyabaliwe ametwaa tuzo mbili za ubunifu kupitia kampuni ya Molocaho by Amorette. Ushindi wake huo unamuingiza katika kundi la watu wenye ubunifu mkubwa wa bidhaa za majumbani na katika maofisi, muda mfupi tangu kuanzishwa kwa kampuni hiyo. Molocaho by Amorette kampuni ya kubuni na kutengeneza samani ilizinduliwa Septemba 2016. Miezi michache tu tangu kuundwa kwake inaonesha kukimbia na kufanikisha tuzo tatu za kimataifa. Katika tuzo zenye ushindani mkali na heshima kubwa kwenye ubunifu za kimataifa zijulikanzo kama A-Prime Design (A'Design) zilizofanyika mjini Roma mwishoni mwa wiki Jacqueline amepata tuzo katika kategori mbalimbali na kuwa wa pili kategori nyingine. 

Jacqueline Ntuyabaliwe Mengi.

Bidhaa zilizompatia tuzo ni samani na pia za mwanga. Ngorongoro Settee ilimpatia medali ya shaba kwa upande wa samani na katika bidhaa za mwanga Sayari Lamp pia ilimpatia tuzo ya shaba. Nafasi ya pili ilipatikana katika kiti cha Flamingo. Taarifa zilizofikia thebeauty zinasema kategori ya Furniture, Decorative Items and Homeware Design Category ya mwaka 2016 na kiti cha Ngorongoro na kategori ya Lighting Products and Lighting Projects Design Category ya mwaka 2016 ilikuwa na Sayari lamp. Na Kiti cha Flamingo kilimpatia nafasi ya pili katika kategori ya Furniture, Decorative Items and Homeware Design Category ya mwaka 2016.


Muonekano wa kiti cha Ngorongoro Settee uliompatia tuzo Jacqueline Mengi kupitia kampuni yake ya Molocaho by Amorette.[/caption] A-Prime Design Shindano aliloshiriki Jacqueline Mengi akiwa na kampuni yake ya Molocaho by Amorette la A’Design hushirikisha wabunifu, wagunduzi na makampuni yanayotengeneza bidhaa mbalimbali za ubunifu wa ndani. Shindano la A' Design limeanzishwa kwa lengo la kuhakikisha kwamba wabunifu wanakuja na bidhaa bora kabisa zenye ushindani mkali katika soko la kimataifa. Kwa kawaida tuzo zake hutolewa katika kusanyiko kubwa la wabunifu linalofanyika Roma, Italia kwa kuratibiwa na OMC Design Studios SRL . Jacqueline, Miss Tanzania (2000) hivi karibuni alishiriki tuzo za rais za CTI na ana mafunzo ya Interior Design kutoka Rhodec International. Kampuni ya Molocaho by Amorette, kampuni ya Tanzania inajishughulisha na utengenezaji wa samani bora kwa namna mteja anavyohitaji, nyuzi, taa, urembaji, samani za nje na kwenye bustani.


Sayari Lamp iliyompatia tuzo katika kategori ya Lighting Products and Lighting Projects Design Category ya mwaka 2016.


Molocaho inatengeneza samani zenye mahadhi ya kiafrika ikichanganya utamaduni wa Tanzania katika mazingira ya kisasa na kumalizia na ubunifu wa kimataifa. Molocaho, moja ya makampuni ya Afrika Mashariki ya samani yanayokua kwa kasi, imejipatia nafasi kubwa ya heshima kwa kuhakikisha kwamba inatumia mali ghafi na mbao njema pekee za Tanzania kutengeneza samani zenye kwenda kimataifa. Katika mahojiano na jarida maarufu la Forbes alishawahi kusema kwamba anawania soko la kimataifa kutokana na ukweli kuwa bidhaa anazotengeneza zimejipambanua kwa wateja.


Muonekano wa kiti cha Flamingo kilimpatia nafasi ya pili katika kategori ya Furniture, Decorative Items and Homeware Design Category ya mwaka 2016.[/caption] Jacqueline Ntuyabaliwe, pamoja na kuwa na ratiba yenye changamoto sana (Yeye ni balozi wa WildAid na yumo ndani ya bodi kadhaa; mama wa watoto pacha wavulana; mke kwa mfanyabiashara mwenye mafanikio makubwa na akiendesha taasisi ya hisani ya elimu), huhakikisha anakagua kila samani inayozalishwa kiwandani kwake kabla ya kuuzwa au kusafirishwa. Mume wake, Reginald Mengi, ni tajiri mwenye mafanikio makubwa nchini Tanzania ambaye ameujenga utajiri wake kwa kufanya karibu kila kitu kuanzia uzalishaji wa kinywaji cha Coca-Cola hadi uchimbaji wa madini na kumiliki vituo vya televisheni na magazeti. Kwa tuzo hizo Amorette, inajidhihirisha kuwa chata yenye mafanikio makubwa nchini Tanzania na huku ikipanda kwa kasi kimataifa.


WATANZANIA wametakiwa kuingia katika ubia kama wajasiriamali badala ya kufikiria kwamba wao ni maskini na hawana fedha za kuingia ubia na makampuni ya nje. kauli hiyo imetolewa katika wiki ya Ufaransa ambapo makampuni 50 yanashiriki kuonesha uwezo wa utayari wa ushiriki wao katika ujenzi wa uchumi wa kati wa Tanzania unaotegemea viwanda. Mwenyekiti wa Taasisi ya Sekta Binafsi nchini (TSPF) Dk. Reginald Mengi ambaye aliwasilisha haja na matamanio ya Watanzania kwenye sekta binafsi katika kushirikiana na wawekezaji kutoka Ufaransa, alisema watanzania wamekuwa waoga kuomba ubia wakidhani kwamba hawana kitu cha kutoa wakati wao wana akili na rasilimali.
  Mwenyekiti wa Taasisi ya Sekta Binafsi nchini (TPSF) Dk. Reginald Mengi akizungumza katika kilele cha wiki ya Ufaransa ambapo wawekezaji kutoka makampuni 50 ya Ufaransa walishiriki katika mkutano huo uliofanyika katika ukumbi wa Makumbusho ya Taifa uliombatana na maonesho ya bidhaa mbalimbali zinazozalishwa na wafaransa. (Picha zote Thebeauty.co.tz)

Kauli hiyo ambayo aliisema kwenye mazungumzo na wawekezaji hao wa Ufaransa wakati akielezea utayari wa sekta binafsi kushirikiana na Wafaransa alisema kwamba watanzania wengi hawajiamini na kwamba wakati umefika kwa Watanzania kujitambua kwa kuwa wao (wafaransa) walijaribu wakaweza kwani kama sisi walikuwa na vitu vya ziada katika uthubutu wao. Katika mazungumzo yake Dk. Mengi akiwa pamoja na Mkurugenzi Mtendaji wa TPSF, Godfrey Simbeye alisema kwamba sekta binafsi ambayo ina mchango mkubwa katika uchumi wa nchi inawezekana kwa watanzania kuthubutu. Aidha alisema uwapo wa Wafaransa utaweza kusaidia kupandisha uwezo, teknolojia na utaalamu hali ambayo inawezekana kupitia uwapo wa shughuli za ubia kati ya wawekezaji wa Kitanzania na Wafaransa. 

Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Sekta Binafsi nchini (TPSF), Godfrey Simbeye (kulia) akizungumza wakati wa kipindi cha maswali na majibu katika mkutano huo wa kilele cha wiki ya Ufaransa unaolenga kuimarisha uhusiano wa biashara na uwekezaji kati ya Tanzania na Ufaransa uliofanyika jana jijini Dar es Salaam kwenye ukumbi wa Makumbusho ya Taifa.


Alisema baada ya sekta ya umma kuweka miundombinu mahala pake, ni kazi ya sekta binafsi kutumia miundombinu hiyo kubuni na kuwekeza katika viwanda na kuzalisha bidhaa mbalimbali. Dk.Mengi alisema kwamba TPSF inaamini kwamba sekta binafsi ni ufunguo katika kuongoza na kuimarisha uchumi wa Tanzania ambao unatakiwa kuwa endelevu kama awamu ya tano inavyotaka. Aliwaambia wafanyabiashara wa Ufaransa kwamba Tanzania ina kila kitu wanachohitaji na kwamba makampuni makubwa ya Ufaransa kama Airbus, Renault, Alstrom, Systra wana mtandao mpana duniani wa kufanyabiashara na wawawekezaji wadogo duniani hivyo wanaweza kufanya hivyo hapa nchini.
  Mwenyekiti wa Chama cha ACT-Wazalendo, Anna Mghwira akiuliza swali kwa Mwenyekiti wa Taasisi ya Sekta Binafsi nchini (TSPF) Dk. Reginald Mengi (hayupo pichani) wakati wa mkutano wa kilele cha wiki ya Ufaransa unaolenga kuimarisha uhusiano wa biashara na uwekezaji kati ya Tanzania na Ufaransa uliofanyika jana jijini Dar es Salaam kwenye ukumbi wa Makumbusho ya Taifa.

Alisema changamoto za utaalamu zitaondoka kwa ushirikiano na uwezeshaji. Aliwataka wawekezaji hao wa Kifaransa kwamba Tanzania kwa sasa ndio nchi ya uwekezaji na kusema changamoto zilizopo ni fursa za uwekezaji nchini Tanzania hasa katika nishati ambapo taifa hili litahitaji megawati 10,000 ifikapo mwaka 2040. Aidha alisema anaamini kwamba wengi wa watanzania wapo tayari kushirikiana na Ufaransa katika kuhakikisha kwamba wanaingia ubia katika biashara halali na yenye kusaidia pande zote. Naye Simbeye alisema anatamani kuona kwamba wafaransa wanawekeza kiwanda cha magari nchini kwani inawezekana kutokana na mabadiliko makubwa ya mfumo wa uwekezaji kwa sasa

Mwenyekiti wa Taasisi ya Sekta Binafsi nchini (TSPF) Dk. Reginald Mengi akifafanua jambo katika mkutano huo kwenye kilele cha wiki ya Ufaransa unaolenga kuimarisha uhusiano wa biashara na uwekezaji kati ya Tanzania na Ufaransa uliofanyika jana jijini Dar es Salaam katika ukumbi wa Makumbusho ya Taifa.

  Mmoja kati ya wafanyabiashara kutoka nchini Ufaransa akiuliza swali kwa Taasisi ya Sekta Binafsi nchini (TPSF) katika kilele cha mkutano wa wiki ya Ufaransa unaolenga kuimarisha uhusiano wa biashara na uwekezaji kati ya Tanzania na Ufaransa uliofanyika jana jijini Dar es Salaam.

  Kutoka kushoto ni Mwenyekiti wa Taasisi ya Sekta Binafsi nchini (TSPF) Dk. Reginald Mengi, Balozi wa Ufaransa nchini, Malika Berak pamoja na Mwenyekiti wa Chama cha ACT-Wazalendo, Anna Mghwira katika mkutano wa kilele cha wiki ya Ufaransa uliofanyika katika ukumbi wa makumbusho ya Taifa.

  Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji, anayeshughulikia Biashara na uwekezaji Prof. Adolf Mkenda (wa pili kulia) pamoja na baadhi ya viongozi wa wizara walioshiriki mkutano huo wa kilele cha wiki ya Ufaransa iliyofanyika katika ukumbi wa Makumbusho ya Taifa.
  Ofisa wa ubalozi anayeshughulikia masuala ya biashara katika Ubalozi wa Ufaransa nchini, Blevin Claude (wa pili kushoto) akiwa na Ofisa anayeshughulikia masuala ya Uchumi katika Ubalozi wa Ufaransa nchini, Beatrice ALPERTE (kushoto) katika mkutano huo.

  Pichani juu na chini ni baadhi ya wanafunzi wa vyuo mbalimbali wanaochukua masomo ya biashara walioshiriki mkutano wa kilele cha wiki ya Ufaransa uliofanyika katika Makumbusho ya Taifa jijini Dar es Salaam.
  Sehemu ya wadau na wafanyabiashara kutoka makampuni 50 ya nchini Ufaransa walioshiriki mkutano huo.
  Mkutano ukiendelea.
  Sales Executive wa kampuni ya CMC Formula wauzaji wa magari ya Renault, Erica George akitoa maelezo kwa Mwenyekiti wa Taasisi ya Sekta Binafsi nchini (TSPF) Dk. Reginald Mengi wakati akitembelea mabanda katika maadhimisho ya wiki ya Ufaransa iliyofanyika kwa mara ya kwanza nchini katika ukumbi wa Makumbusho ya Taifa.
  Mwenyekiti wa Taasisi ya Sekta Binafsi nchini (TSPF) Dk. Reginald Mengi akipata maelezo katika banda la kampuni ya TOTAL.
  Meneja Mauzo wa Kampuni ya AIRBUS HELICOPTERS, Jean-Marc Royer (kulia), akitoa maelezo ya shughulli wanazofanya kwa Mwenyekiti wa Taasisi ya Sekta Binafsi nchini (TSPF) Dk. Reginald Mengi (wa pili kushoto) alipotembelea mabanda ya kampuni mbalimbali kutoka nchini Ufarasan zilizoshiriki kwenye maadhimisho ya wiki ya Ufaransa yaliyofanyika katika ukumbi wa Makumbusho ya Taifa jijini Dar es Salaam Kushoto ni Ofisa wa ubalozi anayeshughulikia masuala ya biashara Ubalozi wa Ufaransa, Blevin Claude.
  Ofisa wa ubalozi anayeshughulikia masuala ya biashara Ubalozi wa Ufaransa, Blevin Claude akitoa neno la shukrani kwa Mwenyekiti wa Taasisi ya Sekta Binafsi nchini (TSPF) Dk. Reginald Mengi wakati Dk. Mengi akijiandaa kuondoka katika ukumbi wa Makumbusho ya Taifa yalipofanyika maadhimisho ya wiki ya Ufaransa jijini Dar es Salaam.

Scholarship Positions Newsletter
 
Ghent University Top-Up Grants for International Students in Belgium, 2017
Ghent University, Belgium
Application Deadline: Open
Apply Now

2018 CICOPS Scholarships for Developing Countries at University of Pavia, Italy

The University of Pavia and the Organisation for the Right to Education (EDiSU), Italy
Application Deadline: May 31, 2017
Apply Now


Imperial College London Full Tuition-fee PhD Scholarships in UK, 2017
Imperial College London, United Kingdom
Application Deadline: July 30 or September 1, 2017
Apply Now


Product Management Free Online Course by Boston University
Boston University
Course Starts on July 31, 2017
Apply Now
Tags: 2017Business and ManagementedXUniversity MOOC


AAAS Science and Human Rights Coalition Student Essay Competition in USA, 2017
American Association for the Advancement of Science
Application Deadline: April 30, 2017
Apply Now


Erasmus Plus KA107 Scholarships for Student Mobility from Partner Countries in Spain, 2017
European Union
Application Deadline: April 30, 2017
Apply Now


SIU-ICCR Joint Scholarships for Developing Countries in India, 2017
Symbiosis International University (SIU), India
Application Deadline: Contact Employer
Apply Now


Jaan Einasto International Scholarship at University of Tartu in Estonia, 2017
University of Tartu, Estonia
Application Deadline: May 1, 2017
Apply Now

Vilnius University Tuition Fee Waivers for International Students in Lithuania, 2017
Vilnius University, Lithuania
Application Deadline: Open
Apply Now


Full PhD Scholarships for International Students at University of Bologna in Italy, 2017
University of Bologna, Italy
Application Deadline: April 27, 2017
Apply Now


Free Online Course on Understanding Information and Technology
University of Strathclyde
Course starts on May 22, 2017
Apply Now
Tags: 2017Computer ScienceFuture LearnInternationalonline courseUniversity MOOC


Nokia Bell Labs Internship Program in USA, 2017
Nokia Bell Labs
Application Deadline: April 7, 2017
Apply Now


KBS Deans PhD Scholarship for International Students at University of Limerick in Ireland, 2017
University of Limerick, Ireland
Application Deadline: May 31, 2017
Apply Now


LUISS Adventure Scholarship for MBA Students in Italy, 2017
LUISS Business School, Italy
Application Deadline: April 21, 2017
Apply Now


Plant Science Scholarship Program for MS and PhD Students in Philippines, 2017-2018
Philippine Tropical Forest Conservation Foundation
Application Deadline: June 30, 2017
Apply Now


2nd GNLU Essay Competition on Law and Society in India, 2017
The Centre for Law Society, Gujarat National Law University
Application Deadline: April 16, 2017
Apply Now

Sainsbury Management Fellows MBA Scholarships for EU/EEA Students, 2017

Gatsby Charitable Foundation
Application Deadline: May 22, 2017
Apply Now


Al Jalila Foundation Seed Grants and Fellowships for Emirati and International Students in UAE, 2017
Al Jalila Foundation
Application Deadline: April 30, 2017
Apply Now


Two Postdoctoral Fellowships for International Students in Astrophysics in Spain 2017
The Instituto de Astrofísica de Canarias (IAC) , Spain
Application Deadline: May 31, 2017
Apply Now


Citibank Summer Internship Programme in Nigeria, 2017
Citibank
Application Deadline: April 21, 2017
Apply Now


Saja Reporting Fellowships for International Students in USA, 2017
South Asian Journalists Association, New York
Application Deadline: May 15, 2017
Apply Now


Bacon-Erdei Scholarships at Kodaly Institute in Hungary, 2017-2018
Foundation for the Kodaly Institute, Hungary
Application Deadline: April 30, 2017
Apply Now


PhD Scholarship for Australian and International Candidates at Deakin University in Australia, 2017
Deakin University in Australia
Application Deadline: December 1, 2017
Apply Now


Scholarships for Young Artists at Braunschweig University of Art in Germany, 2017-2018
The Braunschweig University of Art in Germany
Application Deadline: April 12, 2017
Apply Now

Public Tender Doctoral Scholarships for Education of Indian Citizens in Slovenia, 2017

Republic of Slovenia
Application Deadline: July 15,2017
Apply Now

Annemarie Schimmel Scholarship for Female Pakistani Students in UK, 2018

The scholarship was founded in honour of Professor Annemarie Schimmel.
Application Deadline: June 7, 2017
Apply Now

Free Online Software Construction Course by University of British Columbia
University of British Columbia
Course Starts on August 15, 2017
Apply Now
Tags: 2017August CoursesComputer ScienceedXInternationalonline courseUniversity MOOC


Social Psychology of Banditry-Research Scholarships at University of Kent in UK, 2017
University of Kent, United Kingdom
Application Deadline: April 28, 2017
Apply Now

Languages and Intercultural Studies PhD Scholarships at Heriot-Watt University in UK, 2017
Heriot-Watt University, UK
Application Deadline: April 10, 2017
Apply Now

Cummins Finance Internship Programme in South Africa, 2017

Cummins
Application Deadline: Contact Employer
Apply Now

NC3Rs David Sainsbury Postdoctoral Fellowships in UK, 2017
National Centre for the Replacement Refinement and Reduction of Animals in Research
Application Deadline: April 24, 2017
Apply Now

Jim Duncan Scholarship for Undergraduates at University of Aberdeen in UK, 2017
University of Aberdeen, United Kingdom
Application Deadline: May 19, 2017
Apply Now

FDPS Scholarships for Masters Students at SOAS, University of London in UK, 2017-2018
SOAS, University of London, United Kingdom
Application Deadline: May 31, 2017
Apply Now

Ondaatje Scholarship for Postgraduate Students at University of Buckingham in UK, 2017
University of Buckingham, United Kingdom
Application Deadline: Applications will open on Monday 3 April 2017
Apply Now

LSE Lee Family Scholarship for Chinese and Hong Kong Students in UK, 2017-2018

The London School of Economics and Political Science, United Kingdom
Application Deadline: April 26, 2017
Apply Now

Free Online Course on Introduction to Biomedical Imaging
University of Queensland (UQ),
Self-Paced
Apply Now
Tags: 2017Biology and Life ScienceedXUniversity MOOC

Free Online Course on Atomic and Optical Physics
Massachusetts Institute of Technology
Course Starts on April 12, 2017
Apply Now
Tags: 2017edXonline coursephysicsUniversity MOOC

Quantum Mechanics Online Course by Georgetown University
Georgetown University
Course Starts on April 18, 2017
Apply Now
Tags: 2017edXphysicsUniversity MOOC

Author Name

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.