Articles by "Breaking News"

Showing posts with label Breaking News. Show all posts

JOSE MOURINHO has been sacked as Chelsea manager - and will be replaced by Guus Hiddink. 

The Special One was axed by Roman Abramovich with the club slumped one point out of the relegation zone — just seven months after being crowned Premier League champions. 

Mourinho lost the support of the dressing room after accusing them of betraying him following the 2-1 defeat at Leicester, Chelsea’s NINTH loss in the league this season.

 Main Image

BREAKING NEWS:

Mh. Kassim Majaliwa Mbunge wa Ruangwa amependekezwa na Rais John Magufuli kuwa Waziri Mkuu mpya wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Waziri Mkuu aliyependekezwa Mh. Kassim Majaliwa ni mbunge kupitia jimbo la Ruangwa na ana umri wa miaka 54.

Waziri Mkuu Mteuliwa, Kassim Majaliwa Kassim




 Wasifu wake:

Personal Details
Salutation: Hon.
Surname: Majaliwa
First Name: Kassim
Middle Name: Majaliwa
Date of Birth: 22 Dec. 1960
Marital Status: Married
Sex: Male
Mobile Number: (+255) 785 205 910
Email: majaliwa.kasimu(at)yahoo.com
Address: P.O.Box 51, Ruangwa


Education Background:
Primary Education: 1970 -1976 Mnacho Primary School
CSEE:                      1977-1980 Kigonsera Secondary School
-                                1991 - 1993 Mtwara Teachers College
Bachelors Degree     1994 - 1998  University of Dar es Salaam
PGDP                        1999 - 1999 Stockholm University

Other Trainings:
-

Experience
2010 - 2015               Member of Parliament
2006 - 2010               District Commissioner
2001 - 2006               Reginal Secretary (PS - CWJ)
2001 - 2001               District Commissioner (PS - CWJ)
1988 - 2000               PS - Moec (Instructor)
1984 - 1986              TD - Lindi Council (Teacher)

Hobbies:
Soccer






16:08 Watu wanaonekana
Waandamanaji Bujumbura
16:05 Afisi ya urais nchini Burundi imetangaza kwenye mtandao wake wa twitter kuwa ''hali ni Shwari''
16:00 Majeshi wameonekana nje ya kambi za kijeshi mjini Bujumbura
Waandamanaji Bujumbura
15:58 Viongozi wa jeshi wamewaamrisha maafisa wa polisi kuondoka mabarabarani.
15:55 Mwandishi Sonia Rolley, wa Radio France International anasema kuwa halaiki ya raia wamefika nje ya kituo hicho wakishangilia matukio hayo
Raia wanashangilia mjini Bujumbura
15:50 Waandamanaji wanasemekana kuambatana na wanajeshi kuelekea katikati ya mji mkuu wa Bujumbura
15:45 Rais Pierre Nkurunziza ambaye analaumiwa kugombea urais kwa muhula wa tatu, anatarajiwa kuhudhuria mkutano huo, kusikiliza hoja za viongozi wenzake.
Maafisa wa jeshi la Burundi wanaonekana wakiweka usalama
15:40 Mwandishi wa BBC aliyeko Bujumbura Maud Julien anasema kuwa Miili ya watu watatu imeonekane katika barabara za Bujumbura
15:36 Viongozi wote wa kanda ya Afrika Mashariki na kati wako Dar es Salaam kwa mwaliko wa rais Kikwete.
15:35 Rais Nkurunzinza yuko mjini Dar es Salaam Tanzania kuhudhuria mkutano wa kutafuta suluhu ya mgogoro wa kisasa uliokuwa ukiendelea Burundi.
15:30 Maelfu ya raia wa Burundi waandamana a mabarabarani mjini Bujumbura wakishangilia tangazo hilo la ''kutomtambua'' rais Nkurunzinza.
Maafisa wa polisi wamekuwa wakipambana na waandamanaji wanaopinga hatua ya Rais Nkurunzinza kuwania awamu ya tatu
15:20 Jenerali huyo aliyetimuliwa na Nkurunziza mwezi februari anasema kuwa Nkurunziza alishindwa kuheshimu mwafaka wa amani mbali na sheria za kimataifa.
15:10 Meja Generali Niyombareh amesema wamechukua hatua hiyo baada ya watu wa Burundi kukataa kwa kinywa kipana awamu ya tatu ya urais wa Nkurunziza.
15:05 Jenerali Niyombareh alikuwa ameandamana na viongozi wengine wa jeshi la Burundi.
Polisi wameamrishwa kuondoka mabarabarani
15:00 taarifa zaibuka kutoka Burundi kuwa rais Nkurunzinza ameng'olewa'' madarakani.
Ripoti kutoka Bujumbura zinasema kuwa kamanda mmoja wa kijeshi ametangaza kuwa hamtambui tena Pierre Nkurunziza kama rais wa Burundi
Meja Jenerali Godefroid Niyombareh amewaambia waandishi wa habari mjini Bujumubura, kuwa kumeundwa kamati maalum ya kuiokoa Burundi itakayotawala taifa hilo kwa kipindi cha mpwito.
Raia wa Bujumbura wakishanilia tangazo la generali Niyombareh
Kulingana na taarifa iliyopeperushwa na redio Isanganiro, serikali ya Nkurunziza imeon'golewa madarakani.
Meja Generali Niyombareh amesema wamechukua hatua hiyo baada ya watu wa Burundi kukataa kwa kinywa kipana awamu ya tatu ya urais wa Nkurunziza.
Jenerali huyo aliyetimuliwa na Nkurunziza mwezi februari anasema kuwa Nkurunziza alishindwa kuheshimu mwafaka wa amani mbali na sheria za kimataifa.
Meja Jenerali Godefroid Niyombareh amewaambia waandishi wa habari mjini Bujumubura, kuwa kumeundwa kamati maalum ya kuiokoa Burundi
Kwa sasa rais Nkurunziza yuko nchini Tanzania alipokuwa anatarajiwa kujumuika na viongozi wa kanda hii ya Afrika Mashriki kutafuta suluhu ya mgogoro wa Burundi tangu Nkurunzinza atangaze nia yake ya kuwania awamu ya tatu.
Jenerali Niyombareh alikuwa ameandamana na viongozi wengine wa jeshi la Burundi.
Tayari wanajeshi wameshika doria nje ya makao makuu ya runinga ya taifa.
Meja Jenerali Godefroid Niyombareh amewaambia waandishi wa habari mjini Bujumubura, kuwa kumeundwa kamati maalum ya kuiokoa Burundi
Rais Nkurunzinza alikuwa amepuzilia mbali maombi ya kuahirisha uchaguzi huo.
Duru kutoka Burundi zinasema kuwa raia wameshajitokeza mabarabarani wakishangilia kauli hiyo ya ''Mapinduzi''

Chanzo na BBC swahili

Ajali mbaya ya Basi hapa Phantom mjini kahama 

baada ya basi kupinduka ilipokuwa inakata kona 
  
kulekea Shinyanga road kutoka Kahama mjini, hapo 

Crane ya mgodini ikiinuwa ili maiti ziweze kutolewa!!. 

Taarifa zinasema basi la abiria la kampuni ya WIBONELA kutoka kahama kwenda dar limepata ajali eneo la Fantom .

Watu kadhaa wamekufa na wengine kujeruhiwa lakini taarifa kamili itatolewa na jeshi la polisi .

Katika harakati za uokoaji kuna kijana alijaribu kuibia maiti na majeruhi kwa bahati mmoja wa majeruhi alimuona , alimwitia mwizi wananchi wakamchoma moto hapo hapo .

1. Utangulizi

Katika kikao chake cha siku mbili kilichofanyika tarehe 20 - 22 Novemba 2013, Kamati Kuu ya CHADEMA, pamoja na mambo mengine, iliazimia kunivua nafasi zangu zote za uongozi ndani ya chama. Kwa mujibu wa taarifa ya chama iliyotolewa katika mkutano na waandishi wa habari siku ya Ijumaa tarehe 22 Novemba 2013, ilielezwa kwamba sababu za kuvuliwa uongozi mimi na Dk Kitila Mkumbo ni uhaini na hujuma kwa chama kutokana na waraka unaojulikana kama mkakati wa uchaguzi 2013. Ukweli ni kwamba waraka uliotajwa si sababu ya mimi kuvuliwa nafasi zangu za uongozi kama ilivyojadiliwa katika Kikao cha Kamati Kuu.

Sababu za kufukuzwa kwangu kama zilizojadiliwa katika kikao cha Kamati Kuu ni tuhuma lukuki ambazo si mara yangu ya kwanza kuzisikia zikijadiliwa ndani na nje ya vikao vya chama. Hitimisho la tuhuma hizi ni kwamba mimi nimekuwa nikikisaliti chama kwa kutumika na CCM na Usalama wa Taifa. Nitazianisha tuhuma hizi na kuzijibu kama ambavyo nimekuwa nikizijibu katika vikao mbalimbali vyama.

Ninatambua kwamba chama changu kinapita katika wakati mgumu sana sasa hivi. Nataka nitamke mapema sana kwamba mimi Zitto Zuberi Kabwe sitokuwa chanzo cha CHADEMA kuvunjika. Hiki ndicho chama kilichonilea na kunifikisha hivi nilivyo. Ningependa chama hiki mtoto wangu atakapokuwa mtu mzima na atakapoamua kujiunga na siasa aingie CHADEMA. Bado nina imani kubwa na chama changu na ninaamini ndicho kinachostahili kuendesha nchi jana, leo na kesho.

2. Kuhusu tuhuma mbalimbali zinazo elekezwa kwangu

Zipo tuhuma nyingi ambazo zimekuwa zikirudiwarudiwa katika vikao vya chama na nje ya vikao na baadhi ya viongozi wenzangu. Tuhuma hizi zinalenga kuonyesha kwamba mimi ni mbinafsi na kwamba ninapokea rushwa ili kukihujumu chama changu. Nitazianisha tuhuma kwa kifupi na kuzijibu kama ambavyo nimekuwa nikizijibu katika vikao mbalimbali vya chama.

i) Tuhuma kwamba sikushiriki kumpigia kampeni mgombea wetu wa urais katika uchaguzi wa mwaka 2010. Ningependa kueleza yafuatayo kuhusu jambo hili:


  • Mimi nilikuwa mgombea wa ubunge katika Jimbo la Kaskazini huko Kigoma.
  • Pamoja na kuwa mgombea wa ubunge, nilifanya kampeni katika majimbo mengine 16 katika mikoa mbalimbali, ikiwemo Dar es Salaam, Mtwara, Pwani, Shinyanga, Mara na Rukwa. Hakuna kiongozi yeyote wa juu aliyefanya kampeni katika majimbo mengi kama mimi, ukiacha mgombea urais.
  • Kote nilipopita nilimpigia kampeni wagombea wetu wa udiwani, ubunge na Rais.
  • Katika Mkoa wa Kigoma nilizunguka na mgombea urais katika kata zote za Kigoma Kaskazini na majimbo yote manane ya Mkoa wa Kigoma.

ii) Tuhuma kwamba katika Mkoa wa Kigoma nilishindwa kuwapigia kampeni wagombea wetu kiasi kwamba peke yangu ndiye niliyeshinda katika uchaguzi huo. Ukweli ni kwamba niliwapigia sana kampeni wagombea wetu, na hivyo ndivyo wapiga kura wa Kigoma walivyoamua.

iii) Tuhuma kwamba nilishiriki kuwashawishi wagombea wetu katika baadhi ya majimbo kujitoa katika uchaguzi wa mwaka 2010 ili kuwapisha wagombea wa CCM wapite bila kupingwa kwa njia ya rushwa. Majimbo yanayotajwa ni pamoja na Sumbawanga, Musoma Vijijini na Singida Mjini. Kama nilivyokwisha kueleza katika vikao mbalimbali vya chama jambo hili si la kweli na hakuna popote ambapo watoa tuhuma hizi wamewahi kutoa ushahidi kwamba nilifanya jambo hili. Nipo tayari kwa uchunguzi ndani ya chama na watoa tuhuma waje na ushahidi bayana wa jambo hili. Si afya kwa chama kuendelea kurudiarudia tuhuma hizi kila mara tangu mwaka 2010 bila uchunguzi wowote kufanyika na jambo hili lifikie mwisho.

iv) Tuhuma kwamba nimekuwa sishiriki katika operesheni mbalimbali za chama: Ukweli ni kwamba nimeshiriki sana katika operesheni mbalimbali za chama ndani na nje ya nchi. Kwa mfano, mwaka 2011 tulikuwa na operesheni kubwa katika mikoa ya Kanda ya Nyanda za Juu Kusini na nilikwenda katika mikoa yote tuliyotembelea. Mwaka 2012 baada ya hoja ya mkonge bungeni nilifanya ziara Mkoa wa Tanga. Mwaka 2012 kulikuwa na operesheni kubwa moja katika mikoa ya kusini ya Mtwara na Lindi. Operesheni hii sikushiriki kwa sababu nilikuwa nchini Marekani kufungua matawi kwa mwaliko wa Watanzania wanaoishi huko.

v) Tuhuma kwamba nimekidhalilisha chama kwa tamko la PAC kwamba Hesabu za Vyama hazijakaguliwa na Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG): Katika jambo hili ninatuhumiwa kwamba mimi kama Naibu Katibu nilipaswa kuwasiliana kwanza na viongozi wa chama 'kuwatonya' ili wajiandae. Kwamba kutokuwatonya kumekidhalilisha chama na kukiweka kundi moja na CCM na nastahili kuadhibiwa vikali kwa kuwa katika taarifa yangu nilikuwa na nia mbaya na chama chetu. Maelezo yangu niliyoyatoa na ambayo ningependa kuyakariri hapa kuhusu jambo hili ni kama ifuatavyo:

  • Utawala bora hautaki mimi kutumia nafasi yangu ya uenyekiti wa PAC kulinda chama changu na kuonea vyama vingine. Kufanya hivyo ni kuendeleza tabia zile zile ambazo tunazipinga na ambazo tunapigania kuzibadilisha
  • Napenda kusisitiza kwamba hakuna chama ambacho kimewahi kukaguliwa na Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Serikali (CAG). Natambua kwamba mahesabu ya chama changu yamekuwa yakikaguliwa na wakaguzi wa nje kwa utaratibu tuliojiwekea. Lakini matakwa ya kisheria ni kwamba mahesabu ya vyama vya siasa hayajakaguliwa na CAG, na hili ni kosa la kisheria, bila kujali kosa hili ni la nani.

vi) Tuhuma kwamba mimi ni mnafiki katika kukataa kwangu kuchukua Posho za Vikao
Mtakumbuka kwamba mimi nilikataa kuchukua posho tangu mwaka 2011 kama ishara ya kuonyesha kwa vitendo msimamo wa chama chetu wa kupinga posho za kukaa na matumizi mengine yasiyofaa katika fedha za umma kama ilivyoanishwa kwenye Ilani yetu ya mwaka 2010-2015. Mtakumbuka kwamba hivi karibuni Mheshimiwa Lema amenishutumu kwamba kukataa kwangu kuchukua posho ni unafiki kwa sababu ninapokea posho kubwa zaidi katika mashirika ya umma ambapo mimi ni mwenyekiti wa kamati husika. Ninapenda kueleza yafuatayo kuhusu jambo hili:

  • Sipokei posho yeyote ya vikao (sitting allowance) ndani na nje ya Bunge tangu mwaka 2011. Hii ni pamoja na vikao vyote katika Kamati za Bunge ninavyohudhuria. Mtu yeyote mwenye ushahidi vinginevyo auweke hadharani.
  • Swala la kukataa posho (sitting allowance) ni swala la kiilani katika chama chetu, na kwangu ni swala la kimisingi zaidi. Katika Wilaya yangu vifo vya kina mama wajawazito ni 1900 kati ya wanawake 100,000 wenye ujauzito. Vifo hivi vinatokana na ukosefu wa huduma kwa sababu ya bajeti finyu. Ndiyo maana nilifurahi sana kwa chama chetu kuliweka swala la kupunguza matumizi ya Serikali katika Ilani, na kuondoa posho za wabunge, ambao tayari wanapokea mishahara mikubwa, kungesaidia sana kupatikana fedha ambazo zingeokoa vifo vingi vya kina mama.
  • Jambo hili si suala la ugomvi baina yangu na Mheshimiwa Lema. Ni suala la msingi katika chama chetu.


3. Usambazaji wa Ripoti ya Siri kuhusu Zitto Kabwe
Hivi karibuni kulisambazwa waraka unaoitwa ripoti ya siri kuhusu mimi ukibeba lundo la tuhuma kwamba nimehongwa fedha nyingi ili kukihujumu chama changu. Waraka huu ulidaiwa kuwa umechomolewa kutoka makao makuu ya CHADEMA. Jambo hili pia lilijadiliwa katika kikao cha juzi kwa kifupi, na majibu ya viongozi wa chama ilikuwa ni kwamba waraka huu haukuandaliwa wala kusambazwa na makao makuu. Katika mchango wangu nililalamikia mambo matatu yafuatayo:

  1. Kwamba baadhi ya waliokuwa wanasambaza waraka ule walikuwa ni viongozi wa chama chetu. Bahati mbaya hadi leo hakuna hata mmoja ambaye amekwishachukuliwa hatua za kinidhamu. Ninaamini kwamba kuna siku watu hao watachukuliwa hatua kwa mujibu wa taratibu za chama chetu.
  2. Kwa kuwa chama kimekana rasmi kuhusika na waraka huu, nitaendelea na taratibu za kisheria ili kuhakikisha kwamba wote waliohusika kutengeneza hekaya ile wanachukuliwa hatua stahiki za kisheria.


4. Hitimisho
Ninatambua kwamba kuna watu walitegemea leo ningejibu mapigo na ningewazodoa watu kwa majina kama ilivyo kawaida katika siasa za Tanzania. Natambua pia kwamba, kama ilivyo kawaida wakati wa migogoro katika vyama vya siasa hapa Tanzania, kuna watu walitegemea leo ningetangaza 'maamuzi magumu'. Natambua kwamba wapo ambao wangependa kupata nafasi ya kuendelea kutumia suala hili katika harakati zao za kudhoofisha mapambano ya demokrasia na uthabiti wa siasa za ushindani nchini mwetu. Napenda wanachama wa CHADEMA na wapenda demokrasia na siasa safi wote nchini watambue kwamba mimi bado ni mwanachama mwaminifu wa chama hiki na nitakuwa wa mwisho kutoka kwenye chama hiki kwa hiari yangu. Nitafuata taratibu zote ndani ya chama katika kuhitimisha jambo hili.

Naomba wanachama waelewe kwamba mimi kama binadamu ninaumia ninapopigwa. Tuhuma ninazorushiwa ni kubwa na zinanikwaza. Tuache siasa za uzushi ili tujenge chama chetu na nchi yetu, ili hatimaye tuwakomboe Watanzania wenye matarajio na imani kubwa kwa chama chetu.

Kama mwanasiasa kijana niliyekaa katika siasa kwa muda sasa yapo mengi mazuri nimeyafanya. Lakini kuna maeneo nilipojikwaa na yapo makosa niliyofanya kisiasa katika maisha yangu ya siasa.

Kinachoendelea ndani ya chama chetu ni mapambano ya kukuza demokrasia. Ni mapambano baina ya wapenda demokrasia dhidi ya wahafidhina, waumini wa uwajibikaji dhidi ya wabadhirifu na wapenda siasa safi dhidi ya watukuzao siasa majitaka. Hii ni changamoto kubwa ndani ya chama chetu inayohitaji uongozi shupavu kuikabili. Nitasimama daima upande wa demokrasia. Kama alivyopata kunena mmoja ya wanasiasa maarufu, 'kiwango cha juu kabisa cha uzalendo katika nchi ni kukubali kutofautiana kimawazo', na ninatamani huu ndio uwe utamaduni wa chama chetu.


Kabwe Zuberi Zitto, Mb
Dar es Salaam.
24 Novemba, 2013

Hadi tunawaletea habari hizi ni kwamba mkutano wa waandishi wa habari na aliyekuwa katibu mkuuu wa chama kikuu cha upinzani Tanzania Chadema unaendelea katika hoteli ya serena jijini Dar Es Salaam na habari zilitofikia kutoka ndani huko ni kwamba Mhe. Mbunge wa Kigoma Kaskazini Bwana Zito Kabwe ameapa kupambana akiwa ndani ya chama mpaka tone la mwisho.
 
Amesema atajiuzulu ngoo na huku akipinga shutuma zote za kuvuliwa madaraka yake ndani ya chama hicho moja baada ya nyingine.

Tutawaletea habari kamili hapo punde.


FA Cup Third Round draw:

Crystal Palace v Stoke
 
Brighton v Newcastle
 
Tottenham v Coventry 

Wigan v Bournemouth 

Fulham v Blackpool 

Aston Villa v Ipswich 

Charlton v Huddersfield 

Barrow/Macclesfield v Cardiff 

Barnsley v Burnley 

Manchester City v Watford 

Swansea v Arsenal
 
Leicester v Burton 

Millwall v Preston 

Cheltenham/Hereford v Everton
 
Derby v Tranmere 

Crawley v Reading 

Aldershot v Rotherham/Notts County 

Middlesbrough v Harrogate/Hastings 

Accrington/Oxford v Sheffield United 

Southampton v Chelsea
 
QPR v West Brom
 
Peterborough v Norwich
 
Lincoln/Mansfield v Liverpool
 
Bolton v Sunderland
 
Nottingham Forest v Oldham 

West Ham v Manchester United
 
Hull v Alfreton/Leyton Orient

Blackburn v Bristol City 

Leeds v Birmingham 

Bury/Southend v Bradford/Brentford 

Luton v Wolves 

Sheffield Wednesday v MK Dons


SINGING THE BLUES ... John Terry leads Chelsea's celebrations after the 2012 FA Cup final
Mabingwa watetezi wa kombe la FA, Chelsea































































Meneja wa Bia ya Serengeti ambao ndio wadhamini wakuu wa tamasha la Serengeti Fiesta 2012,Allan Chonjo akisalimiana na Mwanamuziki wa Kimataifa kutoka nchini Marekani Rick Ross mara baada ya kuwasili usiku huu ndani ya uwanija wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere,akiwa na baadhi ya wanamuziki wenzake pichani nyuma,kati ni Oparesheni Meneja wa Prime Time Promotions Ltd,Balozi Kindamba ambao ndio waratibu wa tamasha la Serengeti Fiesta 2012 linalotarajiwa kufanyika hapo kesho.Picha nyingine baadae kidoogo wadau.






Rick Ross akitoa salamu ya salut kwa washabiki wake waliojitokeza usiku huu (hawapo pichani) kumlaki
 Operesheni Meneja wa Prime Time Promotions,Balozi Kindamba akiwaongoza wageni wake kuelekea kwenye gari tayari kuondoka kuolekea kwenye hoteli waliopangiwa kufikia usiku huu,Shoto ni Rick Ross na akiwa na baadhi wanamuziki wenzake aliombatana nao .
 Rick Ross akiingia ndani ya mchuma.
Rick Ross akiondoka na mchuma wake kuelekea hotelini usiku huu.

source by http://www.shaffihdauda.com



























































Wafanyabiashara ndogondogo jijini Arusha wakiwa wamechoma moto matairi ndani ya eneo lililowekewa uzio wa mabati. Walivamia na kuvunja uzio huo na kuanza kujigawia viwanja ila wafanyie hapo biashara zao. Awali mamlaka katika jiji la Arusha liliwahamisha kutoka mitaani na kuzunguka eneo la soko kuu na kuwapeleka viwanja vya NMC. Wengi wao walidai eneo la NMC halina vyoo, maji na mvua ikinyesha linageka kuwa bwawa, pia si eneo lenye kivuli. Jitihada zinafanyika kutatua mgogoro huu haraka iwezekanavyo. Mheshimiwa Rais Jakaya Kikwete, Katibu mkuu mstaafu wa Umoja wa Mataifa Koffi Annan na wakuu wengine wapo hapa Arusha katika mkutano wa kimataifa.

 
Sehemu ya wafanyabiashara hao wakiwa maetapakaa kwenye eneo walilovunja uzio











Moto ukiendelea kuwaka







Baada ya muda gari la zima moto liliwasili na jitihada za kuzima moto huo zikaanza

















Picha na habari kwa hisani ya blog ya mlaledj



































































Kuna habari ambazo bado hadhijathibitishwa ya kwamba  waislamu wanajiandaa kuanza maandamano muda wowote kuanzia sasa ikiwa ni muundelezo ya yale yaliyokwisha kufanyika  siku ya Ijumaa ya wiki iliyopita, nia  ikiwa ni kutaka kulishinikiza jeshi la Polisi nchini kuwaachia huru kabisa pasipo masharti wenzao waliokuwa wanashikiliwa kwa kupinga kushiriki katika zoezi la sensa na makazi liliofanyika nchini kote.

habari zaidi na  kamili zitawajia mara tuu baada ya habari hizi kudhibitishwa na endapo nia na dhamira hiyo ya maanadamano itatimizwa na kutokea.


WAZIRI wa Mambo ya Ndani, Emmanuel Nchimbi, amekumbana na fadhaa ambayo haikutarajia wakati alipotimuliwa katika maandamano ya waandishi wa habari ya kupinga mauaji ya mwandishi mwenzao wa kituo cha televisheni cha Channel Ten, David Mwangosi, wakati alipozuka bila mwaliko.

Huku wakiwa wamebeba mabango yenye ujumbe tofauti, waandishi waliandamana kuanzia kwenye ofisi za Channel Ten katikati ya jiji la Dar es Salaam na kutembea hadi katika viwanja vya Jangawani lakini walipofika mwisho wa maandamano yao walipigwa na butwaa baada ya kumkuta Waziri Nchimbi akiwa wa kwanza kufika katika eneo hilo tayari kupokea maandamano.

Wakati Nchimbi akijiandaa kuanza kuzungumza mbele ya wanahabari, upinzani mkali ukazuka kwa waandishi dhidi ya kiongozi huyo wa serikali wakitaka aondoke mahala hapo kwani maandamano hayo yalikuwa hayamuhusu.

"Atokee.... aondokee.... hatumtakiiii.... nani kamleta hapa?" yalikuwa ni baadhi ya maneo yaliyokuwa wakitolewa kwa sauti kubwa kupinga uwapo wa waziri Nchimbi mahala hapo.

Huku akizomewa, Waziri Nchimbi alijaribu kuvumilia aibu hiyo kwa takriban dakika tano huku pengine akitumai kwamba watamruhusu kuzungumza kilichompeleka mahala hapo.

Mwandishi wa habari mkongwe, ambaye pia ni mwanasheria, Nyaronyo Kicheere, alisogea mbele ya umati wa waandishi na kusimama jirani na alipokuwapo waziri Nchimbi na kusema: "Tumeambiwa tunakuja hapa kwa ajili ya mkutano wa waandishi wa habari na utapokewa na jukwaa la wahariri, inakuwaje tupokewe na mtu mwingine. Hatumhitaji mtu mwingine hapa, aondoke."

Baada ya kauli hiyo, waziri Nchimbi aliondoka mahala hapo na kuzua shangwe kubwa kwa waandishi ambao pia walimsindikiza kwa kumzomea mpaka alipoingia katika gari lake la wizara. Hakuja na gari lake la waziri.

Wahariri wa vyombo mbalimbali vya habari walizungumza na kukemea mauaji hayo na bila ya kuuma-uma maneno walisema kwamba Mwangosi aliuawa kwa kulipuliwa na polisi na kwamba waliohusika wote wachukuliwe hatua za kisheria.

"Waandishi na wafanyakazi wengine wanalipa kodi ilipolisi wapate magwanda, wapate bunduki, wapate mabuti na wanalipwa ili walinde raia na sio kuua raia, vitendo kama hivi havikubaliki," alisema Jesse Kwayu, mhariri mkuu wa gazeti la NIPASHE.

Mwandishi mkongwe, Masoud Sanani, aliongeza: "Waarabu wanasema 'wal kiswaswa haq' yaani 'kisasi ni haki', lakini sisi kwa busara tunasema kwamba hatuna kisasi ila tunataka mambo haya yawe mwisho, waandishi waachwe wafanye kazi zao kama askari wanavyoachwa wafanye kazi zao."
Picture

Waandishi wakisapoti jambo wakati wa mkutano wao baada ya maandamano ya kupinga mauaji ya David Mwangosi asubuhi ya leo (picha: Staika Mkali blog)


Farc members in Cauca province on 29 July 2012 

Colombian President Juan Manuel Santos has confirmed his government is holding exploratory talks with the country's largest rebel group, the Farc.
In an address on state TV, Mr Santos said he was fulfilling his "duty to seek peace". Media reports say a deal on further talks was reached in Cuba.
The Farc has been fighting the Colombian government since 1964.
The president said he was also open to a dialogue with Colombia's second-largest rebel group, the ELN.
'Learning from mistakes'
Mr Santos gave no details about the exploratory talks with the left-wing Revolutionary Armed Forces of Colombia (Farc).
According to the regional media network Telesur negotiators from the two sides signed a preliminary agreement in the Cuban capital, Havana, on Monday.
Telesur said the first round of peace talks would be held in the Norwegian capital, Oslo, on 5 October. Negotiators would then continue holding talks in Havana, it added.
Referring to previous failed talks with the Farc during the government of then-president Andres Pastrana, Mr Santos said his government had "learned from the mistakes committed in the past".
Mr Santos said military operations would continue and that "each centimetre of the country would have a military presence".
As part of the peace talks launched in 1998, Mr Pastrana had granted the Farc a safe haven the size of Switzerland in the south-east to help move peace talks along.
The zone was off-limits to the army and the rebels used it to train and regroup.
Mr Pastrana ordered the rebels out of their safe haven after the peace talks failed in February 2002, but part of the area remains a rebel stronghold to this day.
Farc approaches
Last August, the Farc leader at the time, Alfonso Cano, said the group was ready for peace negotiations.
Since then, rumours have circulated about secret meetings between government representatives and the rebels in the Cuban capital.
Upon taking office just over two years ago, Mr Santos signalled his willingness to open peace talks.
He has come under severe criticism for this, from his predecessor, Alvaro Uribe.
The Farc also re-stated their openness to talks in March. Following the death of Alfonso Cano in a bombing raid, the Farc's new leader, known as Timochenko, said it was "worth betting on peace".
Colombian security forces have achieved a series of successes against the rebel group in recent years, killing some of its key leaders and arresting many others.
But officials estimate that some 8,000 Farc guerrillas are still fighting Latin America's longest-running insurgency.
Referring the ELN, Mr Santos said that if the group is serious about an end to the armed conflict, it too could be part of peace talks.
In a recent interview, ELN leader Nicolas Rodriguez said he was willing to hold negotiations but refused to end the the group's campaign of kidnapping and bomb attacks ahead of any talks.

source by BBC

Emergency teams swoop after the rush hour shootingTWO people have been killed and nine others wounded after a disgruntled ex-employee opened fire on his manager outside the Empire State Building.

Witnesses said the gunman – named today as Jeffrey Johnson, 53 – then began firing indiscriminately at 9am local time beside the city’s iconic skyscraper in the heart of midtown Manhattan.
New York mayor Michael Bloomberg said today that some bystanders may have been accidentally shot by police.

Author Name

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.