Hadi tunawaletea habari hizi ni kwamba mkutano wa waandishi wa habari na aliyekuwa katibu mkuuu wa chama kikuu cha upinzani Tanzania Chadema unaendelea katika hoteli ya serena jijini Dar Es Salaam na habari zilitofikia kutoka ndani huko ni kwamba Mhe. Mbunge wa Kigoma Kaskazini Bwana Zito Kabwe ameapa kupambana akiwa ndani ya chama mpaka tone la mwisho.
 
Amesema atajiuzulu ngoo na huku akipinga shutuma zote za kuvuliwa madaraka yake ndani ya chama hicho moja baada ya nyingine.

Tutawaletea habari kamili hapo punde.


Labels:

Post a Comment

Author Name

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.