Hadi kufikia raundi ya kumi na moja ya michezo ya Ligu kuu ya Uingereza al maarufu kama Barclay’s Premier League tumeshuhuddia ya kuwa hakuna timu ambayo unayoweza kusema ina uhakika wa kutoka na point tatu.

Mchezaji mahiri wa mabingwa watetezi Manchester united  na mfungaji bora wa Msimu uliyopita, Robin Van Persie

Hii ni mara baada ya timu ya Machester United kuifunga timu inayoonekana imedhamiria kulitwaa taji hilo kwa msimu huu kwa goli moja na huku timu ambayo imetumia hela nyingi katika usajili , matajiri wa Etihad Machester City kupokea kipigo toka kwa timu ya Sunderland.
Mchezaji mpya na wa ghali wa timu ya Arsenal, Mezut Ozil
Kwa hiyo mtu yeyoye anaweza kupata majibu ya kwamba hakunambabe halisi wa ligi hii kwani timu yoyote inaweza kuifunga timu yoyote pasipo kujali inacheza na timu ndogo au kubwa nah ii inatoa taswiara ya kwamba kiwango cha timu za ligu kuu vimepanda na hivyo kutoa ushindani halisi.
Kocha wa Chelsea mreno Jose Mourinho aliyerudi klabuni hapo kwa mara ya pili akitokea mabingwa wa zamani wa La Liga timu ya Real Madrid
Matokeo ya kushangaza kabisa yalikuwa ya Sunderalnd kuifunga Manchester City lakini pia matokeo kama hayo pia yalishaonekana ndani ya Old Trafford pale Mabingwa watetezi wa ligi hiyo Manchester United walipopokea kipigo cha bao 1-0 toka kwa Westbromwich Albion, pia Aresnal kufungwa na Aston Villa 3-2 uwanja wake wa Emirates, na pia Liverpool walipofungiwa nyumbani kwake na Southanpton na vile vile pale Cheslea walipofungwa 2-0 na Newcastle United.
Mlinzi mahiri  na nahodha wa Manchester City, Vicent Kompany ambaye msimu huu umekuwa mbaya kwake kutokana na kuandamwa na majeruhi ya mara kwa mara.

Kwa hiyo tulichojifunza ni kwamba si kwamba Manchester United anaweza kufiunga Arsenal tuu bali timu yoyote inaweza kufungwa na timun yoyote ile pasipo kujali ule u nne bora.
Kocha mpya wa matajiri wa Machester City, Manuel Pellegrini
Lakini tukirudi nyuma kuna ukweli sahihi ya kuwa timu tatu za juu, Manchester United, Manchester City and Chelsea kumeleta utofauri kwa mfano tukingalia kwa upande wa Manchester United, kustaafu kwa Sir. Alex Ferguson na jinsi timu hizi gamin timu hizi zilivyoruhusu kupoteza pointi mpaka sasa.
Mchezaji wa Arsenal aliye kwenye kiwango cha juu msimu huu, Aaron Ramsey

Kutokea kuanzishwa kwa mfumo mpya wa Ligi mnamo mwaka 1992, kumekuwepo na msimu mmoja tuu  kuwepo kwa timu bora nane kubanana hadi kufikia hatua hii nah ii ilikuwa msimu wa 2001/2002 wakati waliokuwa wakiongoza Aston Villa wakiwa mbele point nne mbele ya Totenham na Arsenal kwenda kuchukua ubingwa kwa kuizidi Liverpool kwa pointi saba.
 
Kukiwa kumebakia na michezo 27 tunaweza kusema timu zote nane zinavyoweza kuleta ushindani  wa kugombea taji hilo katika muongo mmoja ambao haujapata kutokea.

Wafungaji bora mpaka kufkia sasa:-

        1. Sergio AgĂĽero…………………    Manchester City….…..8
           Daniel Sturridge………………..   Liverpool……….…..…8
           Luis Suárez………………………. Liverpool…………...…8
       4.  Robin Van Persie…………………Manchester United 7
            LoĂŻc Remy………………………...Newcastle United…..  7
       6. Aaron Ramsey…………………….Arsenal………………  6
       7. Wayne Rooney…………………... Manchester United…. 5
           Yaya TourĂ©………………………. Manchester City…….  5
           Olivier Giroud…………………….Arsenal………………..5
           Romelu Lukaku…………………... Everton……………….5

 












































Labels:

Post a Comment

Author Name

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.