Articles by "East Africa News"

Showing posts with label East Africa News. Show all posts

Rais wa Tanzania John Magufuli amepangiwa kufanya ziara yake ya kwanza nje ya nchi hiyo tangu kuingia madarakani mwaka jana.
Magufuli
Hiyo itakuwa ziara ya kwanza ya Magufuli nje ya Tanzania tangu Oktoba

Dkt Magufuli anatarajiwa kuzuru nchi jirani ya Rwanda Jumatano na Alhamisi, kufuatia mwaliko kutoka kwa Rais Paul Kagame.

Kwa mujibu wa taarifa kutoka kwa wizara ya mambo ya nje ya Tanzania, Dkt Magufuli na Bw Kagame watafungua daraja la kimataifa la Rusumo na kituo cha huduma za pamoja mpakani katika mpaka wa Tanzania na Rwanda.
Baadaye, wataelekea Kigali ambapo watafanya mazungumzo ya pamoja.
Dkt Magufuli pia ataweka shada la maua katika makumbusho ya mauaji ya kimbari ya Rwanda 1994 mjini humo.

“Ikizingatiwa kwamba hii ndiyo ziara yake ya kwanza nje ya nchi tangu achukue madaraka Oktoba 2015, ziara hii inaashiria umuhimu ambao Tanzania inaweka katika kuimarisha uhusiano wake na majirani zake.”
Rais Magufuli amekuwa mapumzikoni nyumbani kwake eneo la Chato, kaskazini magharibi mwa Tanzania.

Chanzo cha habari na www.bbc.swahili.com

Rwanda’s Prime Minister, Anastase Murekezi, yesterday closed the long month activities run by young survivors known as “AERG/GAERG Week”. The activities were concluded with an Umuganda (community work) on the survivor’s farm in Nyagatare District. The Prime Minister was accompanied by government ministers, members of parliament and senior officials of the Rwanda Defence Force and Rwanda Police.
 16846547480_71e3e1ca9a_k

Speaking to the young Rwandans, the Prime Minister said that the Government of Rwanda recognises their efforts in building a better future for themselves and their country.

“The act of uniting yourselves, as young survivors, has shown all Rwandans that you are resilient people with a vision for a better future. The resilience you showed to overcome challenges you faced during and after the 1994 Genocide against the Tutsi has complemented the government’s efforts towards rebuilding the nation,” he said.
16848365219_b1a5a3b2fb_k
Rwanda’s Prime Minister, Anastase Murekezi

Young survivor representatives, including Jean de Dieu Milindi (AERG Coordinator) and Charles Habonimana (GAERG President), thanked the government for the support given to them and elderly survivors. They also thanked those who stood against genocide by hiding and rescuing people as well as the brave liberation fighters of the Rwandan Patriotic Army (RPA).

 “We admire the resilience of RPA soldiers who saved us from the hands of genocide perpetrators. As we grow up, we have to thank those who stood against genocide, including those who hid us knowing that they were risking their lives,” said Milindi.
 17031967791_bdcfa227b4_k

“We recognise the widows and widowers who took us in and raised us when we did not have our own parents to take care of us. The time came and we left them to go to school. As we finish school, we need to come back to them and support them,” added Charles Habonimana.

During the closing ceremony, the young survivors were given 54 cows given by Nyagatare farmers, private companies and other individuals. The cows will be cared for at the 130 hectare AERG/GAERG farm donated to survivors by President Kagame. The farm has cows, goats and banana plantations.


AERG/GAERG week began in March and activities have been held across the country over the last month. They took place in the east at Rukumberi, Bisesero in the west, Rulindo in the north and Cyanika in the south of Rwanda. The activities consisted of cleaning memorials, thanking those who stood against genocide, planting trees, constructing kitchen gardens and collecting the names of families completely wiped out in the genocide.
The activities were held in the lead up to the start of the 21st Commemoration of the Genocide against the Tutsi which begins on 7 April 2015. Click here to learn more about Kwibuka21.

 17008199006_0bed583598_k


 17008527526_d4a0c582a8_k

 17033965355_54e1bddfa8_k

 16848382809_7471ceea2e_k



 17032903135_28f5d2593b_k


 Source by http://www.kwibuka.rw























By Damas Makangale, Dar es Salaam, Tanzania 

The coast of Kenya could experience a slightly declining of tourists that affects hotels and other accommodation including the all tourism sector due to Ebola outbreak.

Speaking to the East African Business Week in Dar es Salaam last week, the Director of the African Department in the International Monetary Fund (IMF), Ms Antoinette Sayeh said that it could not be a significantly impact to the Kenyan tourism sector.
Tourist in Kenyan  

She said that the Ebola outbreak could have much larger regional spillovers, especially if it is more protracted or spreads to other countries with trade, tourism and investment confidence severely affected.
Areas of tourism in Kenya

In addition, the security situation continues to be difficult in Central African Republic and South Sudan and remains precarious in Northern Mali, Northern Nigeria and the coast of Kenya.

Furthermore this has come when recently reported earnings from tourism sector declined two percent while tourist numbers declined 11.7 percent last year for the third consecutive year. The decline is on the back of growing insecurity and recently imposed value added tax on tourism services.
The victim of Ebola disease gets treatment

Arrivals from major traditional as well as new tourist source markets also reduced. Kenya also experienced a decline of tourists from the populous China that was among those earmarked as key growth market for the country as it looks for alternative markets to cushion against reduction in visitor numbers from West European and North American countries.

Last year, the industry earned Kenya Sh93.97 billion compared to the previous year (2012) where the country closed with a total of Sh96.2 billion and Sh97.9 billion in 2011.

Tourism Cabinet secretary Phyllis Kandie attributed the drop to increased insecurity incidences, especially Nairobi and Mombasa. “Security is the single most factors that tourists consider before visiting any destination in the world and lack of it in our country clearly demonstrates this sharp decline,” she said at a press briefing.

 


 


 


 








NAIROBI, KENYA, Wagombea watatu wa wadhifa wa ubunge katika uchaguzi mdogo wa eneo la Mathare tayari wameidhinishwa na tume ya Uchaguzi IEBC, kuwania kiti hicho.

Miongoni mwa walioidhinishwa ni George Wanjohi  wa TNA ambaye anatazamia kukinyakua kiti hicho tena baada ya kukipoteza kupitia rufaa iliyowasilishwa mahakamani.

Wengine walioidhinishwa ni Steven Kariuki wa ODM na Barrack Obath ambaye ni mgombea huru.

Haya yanajiri wakati mgombea huru wa wadhifa huo Gor Semelang’o akiwa tayari amemwandikia mwenyekiti wa wa IEBC akilalamikia kukandamizwa na mahasimu wake ambao wanasambaza mabango yanayomhusisha na muungano wa Jubilee yakiwa na picha yake pamoja na ya rais Uhuru Kenyatta na naibu wake William Ruto.

Uchaguzi huo mdogo utakaoandaliwa tarehe 7 mwezi Agosti mwaka huu, umewavutia wagombea 11.

 


.






































Rwanda’s small trucking industry hasn’t had much to shout about recently, unless it was to complain about interminable roadside delays due to bureaucracy, corruption and paperwork. Until now.
 


Flags of the East and Central African Countries
Some neat diplomatic footwork with neighbouring Tanzania has given Rwandan truckers some good news in an industry where time is money, costs are high, and margins small and the playing field tilted towards the regional giants and their huge trucking sectors.
 

 
Head of the Rwanda Truckers Association, Theodore Murenzi
 “Yes, some good news for a change,” says Theodore Murenzi, head of the Rwanda Truckers Association. “Tanzania has dropped a road toll which penalized Rwandan trucks on the central corridor. It’s not 100% good news, but it’s a real start.”
 
A study into the competitiveness of Rwanda’s road freight industry highlighted what Rwandan truckers had long complained about – Tanzania charged Rwandan trucks a $500 transit toll yet Rwanda charged Tanzanian registered trucks only $152, putting Rwanda’s drivers at a $348 disadvantage every return trip and adding to already high costs.

Such bureaucratic hurdles to free trade are known as Non Tariff Barriers (NTBs).  The EAC is committed to eliminating them altogether, but the process is laborious and the barriers cemented in protectionism.

“We registered this as an NTB at the level of the EAC, but the harmonization of the road toll at EAC level is not decided,” says Vincent Safari, head of the National Monitoring Committee on NTBs. “But the study was evidence-based, factual and detailed and we were confident it would succeed, somehow.”

After validation of the findings of Rwanda’s road freight industry competiveness study, the Government of Rwanda engaged Tanzania which subsequently dropped its road toll from $500 to $152. But for Rwandan truck owners, it meant annual savings of around $800,000 on transport costs that are already among the world’s highest.

The study, carried out by TradeMark East Africa for the Ministry of Trade and Industry, was a boon for Rwandan truckers using the central corridor to Dar es Salaam because of the Tanzanian port’s growing importance in trade with Rwanda and the region.

Since 2007, Rwandan trucking firms have steadily lost market share in the trucking industry, from 21% in 2007 when Rwandan firms were one of the largest players, to 14% in 2012. The market for road freight services to/from/across Rwanda is estimated to be worth over 500M and the value of freight across Rwanda’s borders has increased by at least 119% since 2007.

“The reduction has significantly leveled the playing field,” says Murenzi. “But we still suffer high tolls in Uganda and Kenya. Uganda charges our trucks $160 and Kenya $200 making a total of $360 to get to Mombasa – that’s still more than their truckers pay and more than through Tanzania, but it’s a huge amount for us.”

Safari and others are confident that the advocacy success with Tanzania will point the way for similarly successful outcomes with Uganda and Kenya, despite the powerful grip coastal states, in particular, have on the trucking industry.

TMEA Rwanda Country Director says the study was part of a multi-pronged approach to help Rwanda become more competitive as the EAC moves towards integration and harmonization of tariffs and tolls.

“It’s one of several areas we are trying to help Rwanda with but the common link is competitiveness because Rwanda does not have much in the way of natural resources and whatever it sells, it has to be competitive to survive. Transport costs are a big part of competitiveness, and we welcome the toll reduction.



Some of Trucks which are operated in East African Countries

Source by http://us4.campaign-archive1.com/?u=f44074099d0ad3f6e63a5c7f5&id=f8892226d4&e=e02eca5dae


































































Picture
Rais Jakaya Kikwete na mkewe Mama Salma Kikwete (kulia) wakihudhuria sherehe za miaka 50 ya Uhuru wa Kenya zilizofanyika katika Uwanja wa Michezo wa Kasarani mjini Nairobi leo. Kushoto ni Mwenyeji Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta. Watatu kushoto ni Naibu Rais wa Kenya, William Ruto, Watano Kushoto ni Waziri Mkuu wa Ethiopia, Haile Mariam Desalegn, na Rais Pierre Nkurunzinza wa Burundi na mkewe. (picha: FREDDY MARO/Ikulu)


Picture




Bunge la nchi Kenya limeidhinisha muswada wa vyombo vya habari kwa lengo la kunyamazisha vyombo vya habari.


Bunge la Kenya limepitisha sheria kali kwa vyombo vya habari ambayo inaweza kutoza faini ya hadi Tsh 20 milioni kwa chombo cha habari kitakachokiuka kanuni na maadili ya uandishi wa habari.

 

Katika sheria hii mpya ya Kenya Mahakama inaweza kutoza faini ya Tsh Sh20 milioni na waandishi wa habari ni marufuku kutoka nje ya mstari wa kanuni za maadili uandishi wa habari.



Mswada huo umesomwa kwa mara ya kwanza nchi Kenya na kupitishwa kwa kura nyingi na wabunge wa nchi hiyo na ni marekebishi ya tatu. Kama Rais Uhuru Kenyatta atasaini muswada kuwa sheria itakuwa ndio sheria mbaya kabisa kwa vyombo vya habari nchi kenya.



Muswada mpya inalenga kufanya mabadiliko katika sekta ya mawasiliano na vyombo vya habari nchi Kenya ambapo Mahakama ya Rufaa itakuwa ikisikiliza mashauri mbalimbali na itachukua nafasi ya Baraza la Habari Kenya.



Mtu yoyote " asiyeridhika na uchapishaji yoyote au mwenendo wa mwandishi wa habari au vyombo vya habari " watakuwa na uwezo wa kulalamika kwa mdomo au kwa maandishi kwa Mahakama.

Mahakama itakuwa na nguvu dhidi ya vyombo vya habari na kulipa faini ya hadi Sh20 milioni na waandishi wa habari binafsi binafsi kulipa faini ya hadi shilingi milioni moja.

Mahakama pia kuwa na uwezo na " kupendekeza kusimamishwa au kuondolewa kutoka kwenye rejista ya waandishi wa habari waliosajiliwa na kupiga marufuku kwa mwandishi wa habari kutekeleza taaluma yake endapo atakiuka maadili na kanuni za uandishi wa habari.

Kifungu 102E (i) Muswada wa Sheria pia inatoa mamlaka ya Mahakama ya uwezekano wa ukomo na kuruhusu ni " kufanya lolote nyongeza au maagizo saidizi maagizo au kwamba inaweza kufikiria muhimu kwa ajili ya kufanya katika amri athari au maelekezo yaliyotolewa ."

Mwisho.



Picha Bunge la Kenya

Author Name

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.