Kuna habari ambazo bado hadhijathibitishwa ya kwamba  waislamu wanajiandaa kuanza maandamano muda wowote kuanzia sasa ikiwa ni muundelezo ya yale yaliyokwisha kufanyika  siku ya Ijumaa ya wiki iliyopita, nia  ikiwa ni kutaka kulishinikiza jeshi la Polisi nchini kuwaachia huru kabisa pasipo masharti wenzao waliokuwa wanashikiliwa kwa kupinga kushiriki katika zoezi la sensa na makazi liliofanyika nchini kote.

habari zaidi na  kamili zitawajia mara tuu baada ya habari hizi kudhibitishwa na endapo nia na dhamira hiyo ya maanadamano itatimizwa na kutokea.
Labels:

Post a Comment

Author Name

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.