Kuna habari ambazo bado hadhijathibitishwa ya kwamba waislamu wanajiandaa kuanza maandamano muda wowote kuanzia sasa ikiwa ni muundelezo ya yale yaliyokwisha kufanyika siku ya Ijumaa ya wiki iliyopita, nia ikiwa ni kutaka kulishinikiza jeshi la Polisi nchini kuwaachia huru kabisa pasipo masharti wenzao waliokuwa wanashikiliwa kwa kupinga kushiriki katika zoezi la sensa na makazi liliofanyika nchini kote.
habari zaidi na kamili zitawajia mara tuu baada ya habari hizi kudhibitishwa na endapo nia na dhamira hiyo ya maanadamano itatimizwa na kutokea.
Post a Comment
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.