April 6, 202505:16:46 AM

Jack Wilshere karudi mazoezini baada ya kuwa nje ya dimba kwa muda mrefu. Sasa ni wakati wa kusubiri tuu kucheza mechi yake ya kwanza toka kurudi kwake baada ya kuwa nje ya dimba kwa takribani  mwaka mmmoja na miezi miwili (Miezi 14).

Jack Wilshrere inasemekana ni mmoja wa wachezaji wenye kipaji kikubwa kwa sasa kulingana na matamshi ya kocha wa Arsenal, Arsene Wenger kwa hiyo kama wadau wa kandakanda ni wakati wa kusbiri na kuuona nini kitakachojiri mara ya kurudi na kucheza mechi yake ya kwanza baada ya kufanya mazoezi na kikosi cha kwanza.

Jack Wilshere
Jack Wilshere akiwa mazoezini na wachezaji wenzake(Picha Thesun)


Labels:

Post a Comment

Emoticon
:) :)) ;(( :-) =)) ;( ;-( :d :-d @-) :p :o :>) (o) [-( :-? (p) :-s (m) 8-) :-t :-b b-( :-# =p~ $-) (b) (f) x-) (k) (h) (c) cheer
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.

Post a Comment

    Author Name

    Contact Form

    Name

    Email *

    Message *

    Powered by Blogger.