Manchester united yafuta uteja wake ndani ya Anfield tangia walifyofanya hivyo mwaka 2007 na ikiwa ni kwa penati. Mara ya mwisho Manchester kuishinda Liverpool katika uwanja wa Anfield ilikuwa na 2007 na Manchester katika kipindi cha miaka 25 na miezi kumi haijawahi kupata penati ndani ya uwanja huo.



RVP scores again. (©GettyImages)
RVP akishangilia mara baada ya kuipatia Manchester United goli la ushindi na likiwa ni goli lake la 5 msimu huu


Robin van Persie celebrates after netting the winner
Hakunaga Robin Van Persie akishangalia mara baada ya kuifungia Manchester United goli la pili na ushindi dhidi ya mahasimu wao wakubwa Liverpool


ALL SQUARE ... Rafael pulls United level
Pepe Reina akijaribu kuokoa mchomo wa Raphael pasipo mafanikio


PRIDE IN THE SHIRT ... Steven Gerrard celebrates
Kiungo na nahodha wa Liverpool akishangilia goli lilifungua ukurasa wa magoli ya jana katika ushindi wa
Manchester United wa 2-0 dhidi yao


Jonjo Shelvey turns his back on Rio Ferdinand after being red-carded for a foul on Jonny Evans
Shelvey akiondoka uwanjani mara baada ya kupewa kadi nyekundu baada ya kumchezea visivyo Jonnhy Evans
 aliyelala chini akiwa kwenye maumivu makali


UP AND RUNNING ... Steven Gerrard opens the scoring
Steven Gerrad akiifungia Liverpool goli


Man City 1 Arsenal 1

Laurent Koscielny celebrates scoring the equaliser
Laurent Koscielny akishangilia goli la kuzawazisha


Joleon Lescott heads Manchester City into a first-half lead
Joleon Lescott akiifungia Manchester City goli la kuongoza


Joleon Lescott celebrates his goal
Wachezaji wa city wakiwa na Joleon Lescottkatika kushangilia goli la kuongoza katika Mchezo wajana ulioshia kwa droo ya 1-1




Manchester City keeper can't keeper out Laurent Koscielny's shot
Joe Hart akiokoa moja ya michomo iliyoelekezwa golini mwake jana


PILE ON ... Arsenal team-mates congratulate Laurent Koscielny
Wachezaji wa Arsenal wakimpongeza Laurent Koscielny


Southampton 4 Aston Villa 1


Rickie Lambert's double took Saints off the bottom
Rickie Lambert akishangilia goli lake la pili ambalo limeisadia kuitoa Southampton mkia mwa ligi



Darren Bent scores
Darren Bent akiipatia Aston Villa goli la kuongoza


Saints' Danny Fox (right) challenges Brett Holman
Moja purukushani za mchezo wao na Aston Villa

Newcastle 1 Norwich 0

BREAKTHROUGH ... Demba Ba celebrates his opener
Demba Ba arudi kazini hapa akishangilia goli la ushindi wa Newcastle dhidi ya Norwich , Newcatsle ilishinda 1-0
SKIER ... Papiss Cisse sees his effort fly over the bar
Papiss Cisse akijitahidi kufunga pasipo mafanikio

Chelsea 1 Stoke 0

 FLASHLEY COLE ... Chelsea scorer Ashley Cole celebrates

 EYES ON THE PRIZE ... Peter Crouch battles with Gary Cahill

 

 

SAMBA STYLE ... Brazilian Oscar on the ball for Chelsea
SAMBA STYLE ... Brazilian Oscar on the ball for Chelsea

 

 

Tottenham 2 QPR 1


Jermain Defoe celebrates after netting Tottenham's winner
Jermain Defoe akishangilia goli la ushindi wa Spurs dhidi ya QPR wa 2-1



Bobby Zamora opens the scoring
Bobby Zamora akiifungia QPR goli la ufunguzi



http://img.thesun.co.uk/multimedia/archive/01589/spurs-extra_1589186a.jpg
Alejandro Faurlin akizawazishia Tottenham
Labels:

Post a Comment

Author Name

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.