Usiku wa kuamkia sikukuu ya uhuru utashuhudiwa na nguli wa muziki wa kikongo, Koffie Olomide kutoka DRC akiwasha moto katika ukumbi wa Escape one ambapo atashuka na kibao chake kinachoshika chati kwa nguvu kwa sasa, " SELFIE", 

Usiku huo ambao umebatizwa kama wa Selfie 16 katika kupambisha shamrashamra za sherehe hizo zitakazofikia kilele siku ya kesho kwa watanzania kushiriki katika zoezi la kuweka mazingira safi kwa kufanya usafi tofauti na ilivyozoeleka hapo nyuma kwa kushuhudia gwaride la uhuru.

Koffi Olomide kutoka Congo DRC ameshatua jijini Dar es Salaama kwa ajili ya burudani hiyo huku akiwa amembatana na wachezaji wake (Dancers) kama wanavyoonekana pichani.

Picha zote kwa hisani ya mtandao wa Milardayo .

.



.


.

.


.


.


.


.

.


DSC_2547


.








Labels:

Post a Comment

Author Name

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.