Kampuni ya Simu ya Obi Mobiles yadhamiria kusambaza teknolojia kwa watu wengi nchini Tanzania
•
Mwanzilishi wa Obi Mobiles na Mkurugenzi Mtendaji wa zamani Apple, John Sculley
aahidi utendaji wenye tija katika vifaa vya simu za mkononi chini ya nembo ya
Obi nchini.
•
Kampuni ya Obi Mobiles i...