Na Mwandishi Wetu, Dar es SalaamWizara ya Mifugo na Uvuvi, Ubalozi wa Uholanzi Tanzania na wadau wa ufugaji wa kuku kwa pamoja wamezindua mradi wa kutathmini mtaala wa mafunzo ya ufugaji wa kuku...
Mshindi
wa promosheni ya WEKA UPEWE ya NBC Limited Bw. Abib Gervas Ndendya
(kushoto) akipokea funguo ya bodaboda kutoka kwa Meneja wa tawi la NBC
Njombe bi Dorah Godfrey Lewis (kulia) baada ya kuibuka mshindi katika
promosheni hiyo hivi karibuni
na baadhi ya wafanyakazi wa tawi hilo wakishuhudia makabidhiano hayo
yaliyofanyika Njombe. Droo kubwa ya promosheni hiyo itafanyika wiki
ijayo.
Mbunge
wa Viti Maalum mkoa wa Kagera Mheshimiwa Elizabeth Batenga akiwa na
wafanyakazi wa NBC tawi la Bukoba Bw. Emmanuel Minja (wa pili kulia) na
Bw. Jackson Kajuna (kulia) alipokabidhiwa zawadi yake ya bodaboda baada
ya kuibuka mshindi katika
promosheni ya WEKA UPEWE ambayo droo yake kubwa inatarajiwa kufanyika
hivi karibuni.
Post a Comment
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.