MGOMBEA uubunge wa Jimbo la Bunda mjini,Esther Bulaya,amezindua kampeni zake kuelekea uchaguzi wa mwezi oktoba katika mkutano uliofanyika kwenye uwanja wa stendi ya zamani mjini Bunda na kuhudhuriwa na maelfu ya wananchi ambapo amesema moja ya vipaumbele vyake ni kuhakikisha kila mwanafunzi anayemaliza elimu ya msingi na mzazi au mlezi hana gharama za kumsomesha elimu ya sekondari atahakikisha anashirikiana na marafiki zake wa ndani na nje ya nchi ili kila mmoja aweze kupata elimu












Wananchi wakifatilia mkutano



Bibi akionyesha ishara ya mabadiliko





























Labels:

Post a Comment

Author Name

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.