Latest Post

DODOMA: Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi na Mafunzo ya Ufundi Stadi (NACTVET) limewataka wadau wa elimu ya ufundi na mafunzo ya ufundi stadi nchini (TVET) kutumia viwango vipya vya ubora pamoja na miongozo iliyoboreshwa ili kuzalisha wahitimu wenye ujuzi, umahiri na uwezo wa kuchangia kikamilifu katika maendeleo ya uchumi na jamii.

Katibu Mtendaji wa Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi na Mafunzo ya Ufundi Stadi (NACTVET) Dkt.Mwajuma Lingwanda.

Mwenyekiti wa Baraza la Uongozi wa NACTVET, Bernadetta Ndunguru, ameyasema hayo wakati wa warsha ya utoaji taarifa kuhusu viwango vya elimu ya ufundi na mafunzo ya ufundi stadi (TVET) pamoja na miongozo mbalimbali kwa wadau wa tasnia hiyo, iliyofanyika leo Novemba 18, 2025 mkoani Dodoma.

Kwa upande wake, Katibu Mtendaji wa NACTVET, Dk. Mwajuma Lingwanda, amesema Baraza litaendelea kuandaa, kupitia na kuboresha miongozo kadri inavyohitajika ili kuhakikisha kunakuwepo mazingira bora ya kujenga rasilimali watu yenye ujuzi stahiki kulingana na malengo ya serikali na matarajio ya soko la ajira.

Aidha, amesema wamedhamiria kuendelea kufanya warsha kama hizo mara kwa mara kadiri itakavyowezekana, kwa lengo la kukutana, kufahamiana, kujadili na kushirikiana kuhusu malengo ya elimu ya ufundi na mafunzo ya ufundi stadi.

Warsha hiyo imeshirikisha wadau kutoka Vyuo vya Ufundi (TET), Vyuo vya Ufundi Stadi, Vyuo vya Maendeleo ya Jamii, Shule za Sekondari Mkondo Amal, pamoja na wawakilishi na viongozi mbalimbali kutoka wizara mbalimbali ikiwemo Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia.







By Correspondent

Sudanese Ambassador to Tanzania, Dr Mohamed Abdalla Abdelhameed, has accused the international community for dilly-dallying in taking legal action against the Rapid Support Militia (RSF) despite their decisive attacks on diplomatic missions, the UN and aid organisations.

Ambassador of Sudan in Tanzania, Dr Mohamed Abdalla Abdelhameed

Speaking in an exclusive interview with this correspondent in his office in Dar es Salaam earlier this week, Dr Abdelhameed said the ongoing war in Sudan was a war waged by the RSF, a group that rebelled against the state with local, regional, political and logistical support.

“It began with an attempt to seize power by force of arms and the rebellion quickly evolved into a full-scale war against the Sudanese state and people,” he emphasised.

He went on to say that the RSF were engaged in a proxy war, acting on behalf of foreign powers pursuing their own interests against the government and people of Sudan.

Explained that the RSF deserved to be designated as a terrorist organisation for its grave crimes, supported by regional financiers and foreign mercenaries that helped them to destroy the Sudanese soil.

“Here we express regret that Tanzania was among the earliest victims, when the RSF looted a Tanzanian Embassy vehicle near the International University of Africa on the first day of the war,” he lamented.

He underscored that the militia continued defying international law, the Jeddah Declaration, and UN Security Council resolution, including the arms embargo on Darfur and a resolution on Al-Fashir.

“Since mid-2024, the Rapid Support Forces (RSF) imposed a suffocating siege on the city of El Fasher, the capital of North Darfur State, blocking the entry of food, medicine, and humanitarian aid to hundreds of thousands of trapped civilians,” 

“As battles intensified and roads were cut off, living conditions deteriorated sharply—pushing the population to the brink of famine—while international organizations were unable to reach the city safely,” he said.

After eighteen months of continuous siege, RSF militia stormed El Fasher in late October 2025, opening a new and tragic chapter in the humanitarian disaster that has long plagued the Darfur region.

This development was not merely a military victory in a local battle, but a catastrophic turning point in the balance of the Sudanese conflict—one that unleashed scenes of horror and atrocities reminiscent of the darkest episodes of modern humanitarian crises, perpetrated by the RSF militia. He lamented 

As RSF militia entered El Fasher, reports quickly emerged of mass executions and widespread looting targeting civilians along ethnic and tribal lines—some of which were recorded by the militia’s own cameras.

Ambassador Dr Abdelhameed went on to say  eyewitnesses described horrific scenes: bodies lying in the streets, hospitals reduced to rubble, and entire neighborhoods burned to the ground.

Humanitarian agencies that had been operating in the city confirmed that more than 2,000 civilians were killed within the first 48 hours of the RSF’s takeover.

He explained further that thousands more fled on foot toward remote areas seeking safety, while the United Nations and the international community have so far been unable to verify the full extent of the catastrophe due to continuing insecurity and systematic violence by RSF fighters.

Credible human-rights reports indicate that the events in El Fasher were not random acts of revenge, but a planned, ethnically-motivated campaign aimed at specific communities based on their identity and tribal affiliation.

“Weeks before the city’s fall, UN High Commissioner for Human Rights Volker Türk warned of “the imminent risk of mass atrocities” in El Fasher—warnings that went largely unheeded by the international community,” he mentioned.

He noted that according to multiple international media and intelligence reports—including Le Monde (November 2025) and The Washington Post (September 2025)—the United Arab Emirates provided logistical and military support to the RSF through supply lines running across neighbouring countries. These investigations also revealed that Emirati territory was used as a hub for the purchase and export of Sudanese gold, believed to be financing RSF operations.

Private companies based in the UAE allegedly facilitated the transport of military equipment via cargo aircraft to areas near Darfur and Chad. These claims are supported by satellite imagery, field testimonies, and documentation from UN expert panels.

What happened in El Fasher cannot be dismissed as an isolated episode in Sudan’s civil war; it constitutes a crime against humanity under international law.

Observers and rights advocates are calling for the establishment of an independent international investigation under UN supervision to identify and prosecute those responsible—regardless of rank or affiliation.

The continuing silence of the international community in the face of recurring massacres in Sudan is no longer acceptable. Failing to act is tantamount to complicity with the perpetrators.)

Dr Abdelhameed assured that the government of Sudan remained open to any initiative aimed at ending the war, “provided that no state or organisation supports and participates in the war through supplying weapons, facilitating their transfer, offering political and any other form of support to the rebels.”

He noted that the SAF is one of the oldest state institutions in Sudan, operates professionally, free of partisan allegiance, and is committed to democratic transition. He added that it was ready to hand over power to any consensus-based elected civilian government.

Among other things, the Ambassador said the government struggled to find solutions as seen in the Jeddah Declaration in May 2023, which facilitated border openings and airports to alleviate the sufferings of citizens and facilitated the delivery of humanitarian aid, reaffirming the government’s commitment to international law to protect civilians.

“Under the leadership of LTG Abdel Fattah Al- Burhan, the SAF have sought from the very beginning to avert the outbreak of war, from the early weeks of the conflict, they have worked to bring it to an end through Jeddah Platform and continue to maintain their position in favour of ending hostilities,” he said.

Despite the ongoing war, Tanzania and Sudan also have good cooperation and coordination in security and counter-terrorism and they promise opportunities for cooperation, taking advantage of Tanzania’s potential for teaching Kiswahili language.

Ends.

By Damas Makangale

The Republic of Sudan seeks to benefit more from Tanzania’s mining sector (especially gold), tourism, the development of natural reserves and electric railways after the reopening of bilateral ties.

Speaking in an exclusive interview with this newspaper in Dar es Salaam recently, the Ambassador of Sudan to Tanzania, Dr Mohamed Abdalla Abdelhameed, said the two countries would complete the signing of a memorandum of cooperation as soon as possible.

Ambassador of Sudan in Tanzania, Dr Mohamed Abdalla Abdelhameed

“There is a need for high level visits between the two countries. The time has also come to complete the steps of establishing a political consultation committee,” he said.

He noted that historical relations that bound together Sudan and Tanzania could be traced to the leadership of the Founding Father of the Nation, President Julius Nyerere, and the most telling evidence was that the Sudanese Embassy in Dar es Salaam was one of the very first embassies to be opened in Dar es Salaam in March 1962, just three months after Tanganyika got its independence.

“Sudanese people proudly recall the historic visit of President Julius Nyerere to Sudan in November 1974 during which a grand reception held for him in Abu Deleig, East of Khartoum, remains one of the largest gatherings in Sudan’s history.”

Dr Abdelhameed reaffirmed Sudan’s commitment and readiness to fully cooperate in elevating bilateral relations to the highest level across political, economic and cultural domains as Tanzania pursued a reformist policy of opening up to the regional and international community with great emphasis on economic diplomacy.

“While upholding the principles of African unity espoused by Mwalimu Nyerere, Tanzania demonstrates readiness to share its successful experiences with African states. This approach resonates with Sudan’s own vision towards Africa, anchored in a comprehensive perspective on cooperation at bilateral, regional, continental and international levels,” he emphasised.

He noted that there were plans and programnes to develop and promote investment and increase trade exchange between the two nations without forgetting the unprecedented development that Tanzania had made in its two major projects. He said Julius Nyerere Hydropower Project and the Standard Gauge Railway (SGR) made Tanzania increase the capacity of hydropower generation and boast of high-speed electric railways in Africa.

Dr Abdelhameed noted, among other things, that it was a clear sign that the two nations had opened a new chapter of cooperation after the recent re-opening of Tanzania’s Embassy in Khartoum after a period of closure that lasted more than 30 years.

Among other things, the Ambassador said the areas of cooperation between two countries were promising after the cessation of the work of the Joint Economic Committee that had negatively affected trade exchange between the two countries.

“Tanzania, especially, lost one of its largest markets of tea and coffee trade after the withdrawal from COMESA in 2000, as about 80 per cent of Sudanese tea imports came from Tanzania until the end of the 1990s.”

He said as soon as he arrived in Tanzania, he held several meetings with the Tea Board of Tanzania (TBT) to discuss ways to facilitate the export of Tanzanian tea to Sudan,” he explained.

He emphasised that Tanzania and Sudan also had good cooperation and coordination in relation to counter-terrorism and there were promising opportunities for cooperation, taking into account of Tanzania’s potential in teaching Kiswahili language.

 

Ends

The Embassy of the Kingdom of the Netherlands in Dar es Salaam on Wednesday hosted a one-day seminar on Dutch-Tanzania poultry knowledge exchange, aimed at improving efficiency and productivity within the country’s poultry sector.

In her opening remarks, the Ambassador of the Netherlands to Tanzania, H.E. Marjo Crompvoets, stated that the seminar was intended to connect Dutch poultry firms with their Tanzanian counterparts in an effort to advance the local industry.

“The longstanding relationship between Tanzania and the Netherlands spans over four decades, with strong cooperation in trade and agribusiness,” she said. Ambassador Crompvoets noted that the Netherlands, renowned for its innovation and sustainability in poultry farming, is keen to strengthen its partnership with Tanzania through shared expertise and practical collaboration.

“As the new Ambassador since July 2025, it is my pleasure to welcome you to this Tanzania-Dutch Poultry Knowledge Exchange Seminar,” she said. “The Netherlands' success in the poultry sector is a result of close cooperation between businesses, academic institutions and government—something we believe can benefit Tanzania as well.”

The seminar, she said, is tailored for medium and large-scale poultry farmers, offering them access to Dutch insights in areas such as feed management, poultry health, digital technologies, and processing.
Counsellor at the Netherlands Embassy, Mr Bart Pauwels, described the event as a valuable opportunity for Tanzanian farmers to learn directly from Dutch poultry companies, particularly on technical practices and innovative farming methods.

“We’ve brought in Dutch companies to share their experience and work with Tanzanian stakeholders to help transform the sector into a more efficient and profitable one,” said Mr Pauwels.
He pointed out that Tanzania holds considerable potential in poultry farming, but faces gaps in knowledge, technology, and practical experience. The seminar, he said, serves as a platform for mutual learning and growth.

“The idea is for every Tanzanian stakeholder to view poultry as a viable and promising industry, one that can contribute significantly to the national economy,” he said.Secretary General of the Tanzania Feed Manufacturers Association (TAFMA), Mr Sufian Zuberi Kyarua, commended the initiative, saying it offers an opportunity for local feed producers and farmers to enhance their knowledge and embrace sustainable farming techniques.

“This seminar opens the door for the poultry sector to scale up to the next level,” he said. “By learning from the Dutch experience, we can improve livelihoods and build a stronger, more sustainable industry.”Mr Kyarua added that the seminar would be followed by a poultry exhibition, providing a platform for farmers and stakeholders to further engage, learn about the sector’s potential, and explore solutions to existing challenges.

Zahor Abdallah Zahor, a poultry farmer from Lindi, said the seminar encourages local farmers to transition from traditional to commercial poultry farming.“It’s about changing the mindset,” he said. “Farmers need to see poultry as a business, and that requires the right knowledge, technology, and support.”

He acknowledged that while access to finance remains a challenge, there are still opportunities for growth through adoption of modern practices and collaboration with international partners such as those from the Netherlands.

The seminar follows a recent collaboration between the Netherlands Embassy and the Ministry of Livestock and Fisheries, which launched a poultry curriculum assessment project aimed at strengthening skills and improving productivity in the poultry industry across Tanzania.
Ends


 Netherland Ambassador to Tanzania , Honourable Excellence, Marjo Crompvoets (second left) listens tentatively to the presentations during one day seminar of poultry exchange knowledge , (second right) is the agricultural counselor of the Netherland Embassy in Dar , Bart Pauwels  and first right is Theo Mutabingwa , Agricultural Advisor at the Netherland  Embassy in Dar.

A cross sections of farmers and poultry stakeholders from Dutch companies and Tanzanians attending a one day seminar on poultry knowledge exchange in Dar es Salaam on Wednesday.


.




Mteja wa Bank of Africa-Tanzania (BOA),Bw.Dolvin Salvatory Olomi, kutoka Moshi, Mkoa wa Kilimanjaro,amebahatika  kuibuka mshindi wa jumla wa shilingi milioni 5 kupitia kampeni iliyomalizika iitwayo “Miamala ni Fursa.”

Meneja wa Tawi la Bank of Africa Tanzania tawi la  Moshi, Bi. Mpoki Mwanjala akikabidhi hundi ya mfano ya shilingi milioni 5 kwa Bw. Dolvin Olomi, mshindi wa kampeni ya Miamala ni Fursa, baada ya kutangazwa mshindi wa kampeni hiyo katika hafla iliyofanyika katika tawi la Benki hiyo.

Kampeni hiyo, iliyoanza Juni hadi Septemba 2025, iliwezesha zaidi ya washindi 60 nchi nzima kujinyakulia  zawadi, huku wateja wakipata zawadi za kila wiki za Shilingi 50,000 kwa kutumia huduma za kidigitali zinazotolewa na Benki. Kampeni ilifikia kilele kwa droo kubwa ya mwisho, ambayo ilitoa zawadi kubwa  ya Shilingi 5 milioni kwa mtumiaji bora wa huduma ya kidijitali—aliyetangazwa rasmi kuwa mshindi mkuu kupitia droo ya bahati nasibu hiyo.

"Kushinda Shilingi milioni 5  kwa kutumia  huduma ya benki kwa njia ya simu kumebadilisha maisha yangu," alisema Bw Olomi, ambaye alitoa shukurani zake za dhati kwa Bank of Africa-Tanzania,  kwa kukuza ushirikishwaji wa kifedha kupitia kampeni za kibunifu na zenye kuleta manufaa kwa wateja wake.

Kampeni ya “Miamala ni Fursa” ilizinduliwa Juni 4, 2025, na ilianzishwa ili kuhimiza utumiaji wa huduma za benki kidijitali kwa kufanya miamala ya kila siku, ikijumuisha uhamishaji wa fedha kutoka benki  kwa matumizi mbalimbali, kufanya malipo ya ankra,kununua   muda wa maongezi au umeme. Kampeni hii ni sehemu ya dhamira pana ya benki ya kuunga mkono  ajenda ya Serikali ya Tanzania ya  matumizi ya huduma za kidijitali na kuongeza wigo wa upatikanaji wa huduma za fedha kwa wote.

Ofisa Mkuu wa Huduma za Kidijitali wa Bank Of Africa-Tanzania ,Lameck Mushi alisema: "Mafanikio ya kampeni ni ishara tosha kwamba Watanzania wako tayari kutumia huduma za kibenki za kidijitali ambazo ni rahisi, zinaweza kufikiwa na ni zenye manufaa. Kupunguza ada ya uhamisho kutoka benki kwa matumizi mbalimbali kwa zaidi ya asilimia 50% na kufanikisha kuongeza matumizi ya huduma za kifedha kwa njia ya simu kufanya miamala, na msisimko wa kushinda zawadi uliongeza zaidi."

Bw Mushi aliongeza: "Iwe unaishi maeneo ya mjini au vijijini, matumizi ya huduma za Kibenki kwa njia ya simu yalimpatia kila mmoja fursa ya   kushinda. Kampeni hii ni uthibitisho kwamba huduma ya benki ya kidijitali inaweza kuwa ya kila mtu."

Benki pia ilihamasisha  wafanyakazi wake  katika matawi mbalimbali nchini  kuelimisha wateja, watumiaji wapya, na kutoa msaada wa kiufundi muda wote wa kampeni.

Naye Mkuu wa Kitengo cha Masoko na Mawasiliano , Nandi Mwiyombella alisema kampeni ya "Miamala ni Fursa” ilikuwa zaidi ya kujitangaza. “Tumewawezesha wateja si tu kwa zawadi za pesa taslimu, lakini pia kuwahakikishia pia wateja wetu kuwa huduma zetu za kidijitali ni zenye uhakika na wanaweza kuzitumia bila wasi”.

 Bank of Africa Tanzania inawashukuru washiriki wote na inampongeza mshindi   wa jumla wa zawadi kutoka Moshi, pamoja na washindi wengine wa kila wiki waliozawadiwa  kwa matumizi ya huduma za kidigitali zinazotolewa na benki.

Wakati benki inao mkakati wa kuleta kampeni za kunufaisha wateja siku za mbele,itaendeleza  dhamira yake kuongeza ujumuishaji wananchi katika sekta rasmi za kifedha na kuwezesha wananchi kunufaika na mapinduzi ya teknolojia na ya kidigitali.

Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi, Jenerali Jacob John Mkunda, amempandisha cheo Alphonce Simbu kutoka Sajini kuwa Sajinitaji katika hafla iliyofanyika ofisini kwake Makao Makuu ya Jeshi Upanga Jijini Dar es Salaam leo Septemba 25, 2025 baada ya kupata mafanikio ya Mbio za Marathon Tokyo, Japan.

Jenerali Mkunda amesema ushindi wa Simbu wa kutwaa medali ya dhahabu katika Mashindano ya Mbio za Marathon ya Dunia Kilomita 42, zilizofanyika Toyo Japan ni kwa Watanzania wote na Afrika kwa ujumla na kwamba michezo ni sehemu ya kazi jeshini, hivyo Sajinitaji Alphonce Simbu amefanya kazi nzuri na kuwataka Maafisa na Askari wote jeshini kuiga mfano wa Sajinitaji Simbu.


Dr Ibrahim Shaddad met President for IUGS Dr Hassina Mouri is the President of the International Union of Geological Sciences (IUGS) Unesco chair in medical geology in Africa:


  • AMGC's Support: Encouraging more African states to join IUGS.
  • Medical Geology Cooperation: Exploring ways to work together on medical geology initiatives in Africa.
  • Upcoming Visit: Dr. Mouri is expected to visit AMGC in Dar es Salaam for further discussions and familiarization.

This potential partnership could lead to increased knowledge sharing, capacity building, and research in the field of medical geology, ultimately benefiting African nations.



..Yapongeza mchakato wa Ufungaji wa Mgodi wa viwango vya Kimataifa 

Na Mwandishi Wetu, 

Mamlaka ya Uwekezaji na Maeneo Maalum ya Kiuchumi Tanzania (TISEZA) umeipongeza kampuni ya Barrick kwa weledi na kuzingatia viwango vya kimataifa katika mchakato wa ufungaji wa mgodi wake wa Buzwagi na kubadilisha matumizi ya eneo hilo na kuwa Kongani Maalum la Uwekezaji (SEZ) ambalo inafungua fursa za kiuchumi nchini.

Mjumbe wa maofisa hao wa TISEZA ukiongozwa na Mkurugenzi  Mkuu wake, Gilead John Teri ilifanya ziara hiyo kikazi jana na kuridhishwa na mchakato mzima wa ufungwaji wa mgodi huo.

Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Uwekezaji na Maeneo Maalum ya Kiuchumi Tanzania (TISEZA) Bw.Gilead John Teri akizungumza na  Kamati ya Utekelezaji wa Kongani Maalum la Uwekezaji wa Buzwagi na Wafanyakazi wa Barrick baada ya kukamilisha ziara ya kikazi ya kutembelea eneo hilo.

Akiwa katika eneo hilo , Bw Teri alipata taarifa fupi ya uwekezaji wa aina mbalimbali ndani ya kongani hilo maalum la Uwekezaji (SEZ) na kukagua maeneo mbalimbali yatakayotumiwa na wawekezaji watakaohitaji kuwekeza katika Kongani hiyo na alitembelea kiwanda cha kuzalisha (Conveyor) ambacho tayari kimeanza kufanya uzalishaji na kutoa fursa za ajira.

Akiongea baada ya ziara hiyo,Bw.Teri alitoa pongezi kwa kampuni ya Barrick nchini kwa kushirikiana na taasisi mbalimbali za serikali kwa kufanikisha ufungaji wa mgodi huo kwa  viwango vya kimataifa na kufungua fursa ya eneo la kimkakati wa kukuza uchumi kupitia uanzishaji wa viwanda na kufungua milango ya biashara.

“Nawapongeza Barrick kwa kuhakikisha mgodi huu unafungwa kitaalamu pia nachukua fursa hii kuwashukuru kamati ya Utekelezaji wa Kongani hii inavyofanya kazi kwa Kushirikiana na mamlaka mbalimbali lengo likiwa kutimiza kufanikisha lengo la serikali la kuhakikisha eneo hili linatumika kimkakati ili liweze kuleta matokeo chanya kwa taifa ”,alisema Teri.

Teri pia alisema ameridhishwa na utangazaji wa eneo hilo unaoendelea ambazo zinabainisha fursa zilizopo na mipango iliyowekwa na serikali kwa ajili ya kutoa huduma kwa kuhakikisha zinapatikana katika eneo moja (One Stop Centre).

Kwa upande wake Meneja wa ufungaji wa Mgodi wa Barrick Buzwagi, Mhandisi Zonnastral Mumbi alisema tayari eneo hilo la kongani ya Buzwagi limepatiwa usajili na serikali kwa ajili ya shughuli hiyo maalum ambapo ukamilikaje wake utachochea ukuaji wa uchumi na ajira kwa vijana hapa nchini.

Meneja wa ufungaji Mgodi wa Barrick Buzwagi, Mhandisi Zonnastral Mumbi akifafanua jambo kwa ujumbe kutoka Mamlaka ya Uwekezaji na Maeneo Maalum ya Kiuchumi Tanzania (TISEZA) jinsi mchakato  wa kubadilisha mgodi huo uliofungwa  kuwa  Kongani ya Buzwagi unavyoendlea  wakati ulipofanya ziara kwenye eneo hilo la mgodi.

Aidha Mumbi alieleza ujumbe huo kuwa hadi kufikia sasa wawekezaji  19 wameonyesha nia ya Kuwekeza katika Kongani hiyo huku wawekezaji tano  tayari wameanza mchakato wa usajili na tayari mwekezaji mmoja ameanza uzalishaji .

Hivi karibuni Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga,  Mboni Mhita, alitoa wito  kwa Mamlaka ya Uwekezaji na Maeneo Maalum ya Kiuchumi Tanzania (TISEZA) kuweka msisitizo katika kutangaza mradi mkubwa wa Kongani  Maalum la Uwekezaji wa Buzwagi ( SEZ) ambao unatarajiwa kuwa kichocheo kikubwa cha maendeleo ya kiuchumi kwa Mkoa na Taifa kwa ujumla.

Meneja wa ufungaji Mgodi wa Barrick Buzwagi, Mhandisi Zonnastral Mumbi (aliyenyoosha mkono)  akiwatembeza ujumbe kutoka Mamlaka ya Uwekezaji na Maeneo Maalum ya Kiuchumi Tanzania (TISEZA) kwenye maeneo yaliyotengwa kwa ajili ya Kongani Maalum la Uwekezaji wa  Buzwagi.

Aidha,  RC Mboni alibainisha  kuwa Shinyanga ipo tayari kupokea wawekezaji kutokana na mazingira wezeshi yaliyowekwa na serikali pamoja na Mkoa kuwa na rasilimali zote muhimu kwa uwekezaji ikiwemo ardhi, upatikanaji wa maji, umeme, miundombinu ya kisasa ikiwa pamoja na barabara, uwanja wa ndege wa Shinyanga na Kahama, mtandao wa mawasiliano, na  nguvu kazi.

Meneja Utekelezaji wa Mradi  wa Kongani ya Buzwagi  kutoka Barrick, Stanley Joseph akifanya wasilisho kwa ujumbe wa maofisa waandamizi kutoka Mamlaka ya Uwekezaji na Maeneo Maalum ya Kiuchumi Tanzania (TISEZA) uliofanya ziara mgodini hapo.

Ujumbe kutoka Mamlaka ya Uwekezaji na Maeneo Maalum ya Kiuchumi Tanzania (TISEZA) ulipata fursa kutembelea maeneo ya wawekezaji mbalimbali kwenye eneo la Kongani Maalum la Uwekezaji wa Buzwagi.

Mwandishi Wetu, Beijing, China

Waandishi wa habari waandamizi kutoka Tanzania, Zimbambwe, Sudani Kusini, Ivory Coast and Uturuki wameshiriki mafunzo kwa vitendo nchini China hivi karibuni.

Mafunzo hayo yalihusu maendeleo ya teknolojia na mapinduzi yake ili kuleta matokeo chanya kwenye sekta ya habari na mawasiliano ya umma, na maendeleo ya taifa kwa jumla.

Akizungumza wakati wa mafunzo hayo, mmoja wa washiriki wa mafunzo hayo  yaliyopewa kauli mbiu ya “Semina juu ya usimamizi wa vyombo vikuu vya habari katika nchi zilizo katika mpango wa ukanda na barabara” (Seminar on Senior Management of Mainstream Media in countries along the Belt and Road Initiative, -  ukanda mmoja na  njia moja ) Bw Augustino John Tendwa kutoka Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) alisema mafunzo hayo yanayoendelea yamejikita katika kuleta fikira, ubunifu na matumizi ya kidigitaki katika kuleta mapinduzi ya tekolojia katika nchi za washiriki.

Afisa kutoka Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Bw Augustino John Tendwa (wa kwanza kulia) akishiriki kwenye mafunzo ya mapinduzi ya teknolojia yanavyoweza kuleta matokeo chanya kwenye sekta ya habari na maendeleo ya Tanzania kwa jumla.

Bw Tendwa alieleza kwamba washiriki wa mafunzo hayo ya vitendo walipata fursa ya  kutembelea makao makuu ya kampuni ya kimataifa ya teknolojia – Laird Technologies – kujifunza kwa vitendo maendeleo ya kiteknolojia yanayofanyika nchini China.

Wakiwa jijini Beijing, washiriki waliweza kujionea kwa karibu namna kampuni hiyo inavyoendesha uzalishaji wa vifaa vya hali ya juu vya kielektroniki, vikiwemo vifaa vya mawasiliano ya wireless, udhibiti wa joto, mitetemo na teknolojia ya kupunguza mwingiliano wa sumaku-umeme (EMI shielding).

Picha ya pamoja ikiwaonyesha maafisa habari kutoka Tanzania, Zimbambwe, Sudani Kusini, Ivory Coast and Uturuki wakihudhuria semina ya mafunzo kuhusu teknolojia inavyoweza kutumika kuleta maendeleo kwenye sekta za maendeleo kupitia vyombo vya habari na mawasiliano ya umma.

“Kampuni kama Laird ni mfano halisi wa namna China inavyowekeza katika ubunifu na utafiti wa kisayansi kwa ajili ya maendeleo ya teknolojia duniani. Hii ni fursa ya kujifunza na kutafuta maeneo ya ushirikiano kwa maendeleo ya sekta ya viwanda na teknolojia nchini kwetu,” alisema Bw Tendwa.

Aliongeza kwamba mafunzo hayo yanalenga kuwajengea uwezo waandishi na maafisa wa serikali kuhusu nafasi ya vyombo vya habari katika kuhimiza maendeleo kupitia ushirikiano wa kimataifa chini ya mpango wa ukanda na barabara.

Ushiriki wa Tanzania kupitia waandishi na maafisa waandamizi kutoka taasisi za serikali na vyombo vya habari ni ishara ya dhamira ya kukuza maarifa, kuimarisha ushirikiano wa kimataifa na atumizi ya teknolojia katika maendeleo ya taifa.














By Staff Writer,

Barrick, in partnership with the government of Tanzania , through its Bulyanhulu mine has continued improving primary education infrastructure environment by adding more classrooms at  Kharumwa English-medium school located in Nyang’hwale District in Geita region. This 

The project, which started on April 30, 2025, is expected to be completed on September 11, 2025.

This year, Nyang’hwale District Council has received Sh100,996,200 to implement the construction of four classrooms, and purchase furniture to address the challenge of classroom shortages.

Speaking at a ceremony to receive Uhuru Torch, which coincided with the laying of the foundation stone of the school, the Leader of Uhuru Torch Race, Mr Ismail Ali Ussi, commended Barrick Bulyanhulu for continuing supporting the government to improve people’s lives through the implementation of development projects in various sectors of the economy, including education.

Leader of Uhuru Torch race,  Mr. Ismail Ali Ussi (left), officially launches the laying of the foundation stone for the construction of classrooms for an English-medium school in Nyang’hwale District, Geita Region. On the right is the District Commissioner, Grace Kingalame.

“I take this opportunity to commend all experts of the Council and Barrick Bulyanhulu Mine for working day and night to ensure Tanzanians benefit from various projects which are implemented in this district,” Mr Ussi said.

Thus, he appealed to all Nyang’hwale residents to send their children to school. “There is no longer an excuse for long distances to school because schools are built everywhere and this is due to the collaboration of the Government and stakeholders like Barrick. Indeed, Barrick, you are supportive of Hon President Dr Samia Suluhu Hassan,” said Mr Ussi.

He explained further that the partnership shown by Barrick through its mines in the country is a clear indication of productive investment for the nation, and he urged other investors to emulate Barrick spirit by contributing to community development projects.

For her part, Nyang’hwale District Commissioner, Hon Grace Kingalame, stressed the importance of working hard and continuing with the spirit of implementing development projects at high standards to meet people’s needs.


Leader of the Uhuru Torch race, Mr. Ismail Ali Ussi, greets  Barrick Bulyanhulu employees shortly after the foundation stone laying ceremony for the construction of English-medium classrooms, an event that took place in Nyang’hwale District, Geita Region.

She emphasized that Barrick, through its Bulyanhulu mine, has been closely cooperating with them in all development projects for the broader interests of the country social wellbeing.

Barrick Representative at the event, Mr Samson Mashala, who is Community Relations Officer at Bulyanhulu Mine said the mine would continue working with the Government to ensure CSR projects were well-implemented to improve people’s lives. “This project is going to address congestion, and improve a study environment,” he said.

He added that the project has reached 85%  of its completion and will boost students' learning environment and contribute to positive outcomes in the education sector in the country.

The project, implemented through the force account system, is expected to reduce the problem of classroom shortages, overcrowding of students in classrooms, and promote a friendly learning environment.

 Na Mwandishi Wetu, 

Kampuni ya Barrick nchini yenye ubia na Serikali ya Tanzania, kupitia Mgodi wake wa Bulyanhulu imeendelea kuboresha mazingira ya elimu ya msingi kwa kuongeza ujenzi wa madarasa katika shule  ya mchepuo wa Kingereza ya Kharumwa iliyopo  Wilaya ya Nyang’hwale, Mkoa wa Geita. Shule hii imejengwa kwa fedha za Uwajibikaji kwa Jamii (CSR). 

Mradi wa kuongeza madarasa  ulianza Aprili 30, 2025, unatarajiwa kukamilika September 11, 2025.

Mwaka huu Halmashauri ya Wilaya ya Nyang’hwale imepata Sh100,996,200 kwa ajili ya kutekeleza ujenzi wa vyumba vinne vya madarasa, na kununua samani kwa ajili ya kuondoa changamoto ya upungufu wa vyumba vya madarasa.

Akizungumza wakati wa kupokea Mwenge wa Uhuru ulioambatana na kuweka jiwe la msingi katika shule hiyo hivi karibuni, Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru, Bw Ismail Ali Ussi, aliipongeza Kampuni ya Barrick Bulyanhulu kwa kuendelea kuunga mkono jitihaza za Serikali za kuboresha maisha ya wananchi kupitia uwezeshaji wa miradi katika sekta mbalimbali, ikiwemo elimu.

Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru, Bw Ismail Ali Ussi (kushoto) akifungua uwekaji wa jiwe la msingi wa ujenzi wa madarasa ya shule ya mchepuo wa kiingereza, Wilaya ya  Nyang’hwale, Mkoani Geita , kulia ni Mkuu wa Wilaya ya Hiyo, Grace Kingalame.

“Nachukua fursa hii kuwapongeza wataalamu wote wa Halmashauri na Mgodi wa Barrick Bulyanhulu kwa kufanya kazi usiku na mchana katika kuhakikisha Watanzania wananufaika na miradi mbalimbali inayotekelezwa katika wilaya hii,” alisema Bw Ussi.

Hivyo, alitoa wito kwa wananchi wa Wilaya ya Nhang’hwale kuwapeleka watoto waso shuleni. “Hakuna tena kisingizio cha umbali mrefu wa shuleni kwa sababu shule zinajengwa kila sehemu na hii inatokana na ushirikiano wa Serikali na wadau kama Barrick. Hakika Barrick mnazidi kumheshimisha Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan,” alisema Bw Ussi.

Alifafanua kwamba ushirikiano unatolewa na kampuni ya Barrick kupitia migodi yake hapa nchini kiashiria cha uwekezaji wenye tija kwa taifa na kuwataka wawekezaji wengine kuiga mfano wa kampuni ya Barrick kwa kuchangia miradi ya maendeleo ya wananchi.

Kwa upande wake, Mkuu wa Wilaya ya Nyang’hwale, Mhe Grace Kingalame alisisitiza umuhimu wa kufanya kazi kwa bidii na kuendelea na ari hiyo ya kutekeleza miradi ya maendeleo kwa viwango vya juu ili kukidhi mahitaji ya wananchi.

Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru, Bw Ismail Ali Ussi akisalimiana na wafanyakazi Barrick Bulyanhulu mara baada ya uwekaji wa jiwe la msingi wa ujenzi wa madarasa kwa mchepuo wa kiingereza tukio lilifanyika wilaya ya Nyang’hwale Mkoani Geita .

Alisisitiza kwamba kampuni ya Barrick kupitia mgodi wake wa Bulyanhulu wamekuwa wakishirikiana kwa karibu katika miradi yote ya maendeleo kwa maslahi mapana ya Taifa.

Mwakilishi wa Barrick katika hafla hiyo, Bw Samson Mashala, ambaye ni Afisa Uhusiano wa Jamii katika Mgodi wa Bulyanhulu, alisema mgodi utaendelea kufanya kazi na Serikali kuhakikisha miradi ya CSR iliyoibuliwa na wananchi inatekelezwa kwa viwango na kuboresha maisha ya wananchi. “Mradi huu utaondoa shangamoto ya mrundikano wa wanafunzi katika darasa moja na kuboresha mazingira ya wanafunzi.”

Aliongeza kwamba mradi huo umefikia 85% ya ukamilishaji wake na utaongeza chachu ya wanafunzi kujifunza katika mazingira mazuri na kuchangia matokeo Chanya katika sekta ya elimu hapa nchini. 

Mradi umetekelezwa kwa mfumo wa force akaunti unatarajia kupunguza tatizo la madarasa, mrundikano wa wanafunzi wengi kwenye madarasa na kuchochea mazingira rafiki ya kujifunza.

Mwisho 

Author Name

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.