Latest Post


About
NORAD EnPe funded  UDSM OIL AND GAS TECHNOLOGY PROJECT



The project focuses on capacity building for oil and gas technology at the Department of Mechanical and Industrial Engineering. Courses for MSc in Oil and Gas Technology are offered jointly by UDSM members of staff and with visiting professors from Norwegian University of Science and Technology (NTNU).


In addition to fulfillment of academic requirement for relevant degree award, three candidates sponsored by this project are expected to contribute to the said overall project goals



Na Mwandishi Wetu
WAKAZI wa Temeke wamehamasika na kuamua kuunda vikundi vya usafi wa mazingira, ‘Usafi Clubs’, ikiwa ni moja ya matunda ya mradi wa kuwawezesha wakazi wa mijini, ‘Urban Legal Empowerment’ unaolenga kusaidia jamii ya watanzania kupata haki zao za kuishi katika mazingira salama na safi, haki za kiuchumi na za kijamii.  
Kupitia mradi huu, unaotekelezwa na shirika la LEAT kwa ufadhili wa LSF, wakazi wa Temeke pamoja na kata zake, viongozi wa serikali za mitaa na jamii kwa ujumla wamehamashishwa kutunza mazingira katika maeneo wanayoishi au kufanyia shughuli zao za kila siku.
“Kama sehemu ya utekelezaji wa mradi huu, LEAT tumetoa elimu kwa wananchi, viongozi wa kata, madiwani, na wanafunzi, kuhusu sheria za mazingira, kanuni, na namna gani elimu hii itakavyowezesha wananchi kutunza na kuboresha mazingira yao,” amesema Bi. Glory Kilawe, Mratibu wa mradi kutoka LEAT.
Baada ya kupata elimu, wakazi wa Temeke wameunda vikundi vya mazingira, maarufu kama “Usafi Clubs”—ambavyo vinatumika kama vyombo vya kuhamasisha usafi wa mazingira katika maeneo mbalimbali wilayani Temeke.
Tunawashukuru LEAT kutupatia elimu hii nzuri ya mazingira, kujua sheria na taratibu mbalimbali zinazohusu mazingira,” anasema mmoja wa wakazi wa Temeke, Hassan Juma, katika kikao maalum cha kutathmini utekelezaji wa mradi wa LEAT wilayani humo.
Hemed Pazi, Mwenyekiti wa Kituo cha Wasaidizi wa Kisheria-Temeke (Temeke Paralegal Centre), anasema wamefanikiwa kuunda vikundi (Usafi Clubs) vinne—viwili viko kata ya Mbagala and 2 kata ya Mianzini–kama sehemu ya utekelezaji wa mradi huo.
“Kinachotufurahisha zaidi ni kwamba hata viongozi wa serikali za mitaa ni sehemu ya vikundi ni wajumbe wa Usafi Clubs. Hii inatia moyo, kwa sababu uwepo wa viongozi hawa unafanya vikundi hivi viaminike kwa jamii, na kuongeza ufanisi katika utekelezaji wa majukumu yake,” kwa mujibu wa Pazi.
Diwani wa Kata ya Mianzini, Abdallah Kipende amesema elimu inayotolewa na Usafi Clubs mitaani imebadilisha tabia na mitazamo ya wakazi wengi kuhusu maswala ya mazingira, hata kuwawezesha kununua vyombo na mapipa  ya taka kwa ajili ya majumbani na mitaani, kuacha kabisa tabia ya kutupa taka ovyo, kama walivyozoea siku za nyuma.
“Sasa hivi, jamii  ya Temeke iko makini sana katika maswala ya mazingira; kila mtu sasa anajua usafi wa mazingira maana yake nini. Kama kuna mtu (leo hii) anataka kujenga kiwanda au kuleta uwekezaji wowote Temeke, lazima ajiandae kujibu maswali magumu ya wananchi kama vile mbinu gani atakazotumia kutunza na kulinda mazingira,” alisema  Kipende.
Mbali na kuwezesha uundaji wa vikundi vya mazingira, LEAT imesaidia kutatua migororo ya mazingira 19, kuelimisha wanafunzi zaidi ya 600, kusambaza machapisho mbalimbali yanayohusu mazingira kwa jamii, kuandaa midahalo na vipindi maalum vya television na radio –kujadili maswala ya mazingira—kama sehemu ya utekelezaji wa mradi wa Urban Legal Empowerment katika wilaya ya Temeke.
Mradi huu umebuniwa na kufadhiliwa na shirika la Legal Services Facility (LSF) na lengo kuu la mradi huu ni kuwezesha watanzania waishio mijini, hasa wasiojiweza kifedha, katika maswala mbalimbali ya kisheria, kijamii na kiuchumi.
Legal Services Facility (LSF) imeyawezesha mashirika sita yasiyokuwa ya kiserikali kwa ajili ya utekelezaji wa mradi wa Urban Legal Empowerment katika maeneo mbalimbali ya jiji la Dar es Salaam

Temeke residents have set up several environmental groups, dubbed “Usafi Clubs” as part of a urban legal empowerment project, which gears at sensitizing and empowering local communities to clean up their environment, among other things.
Urban legal empowerment project is a brainchild of the Legal Services Facility (LSF)—a basket funding mechanism, which provide grants to legal aid organizations involved in the implementation of paralegal and related projects across the country. More than 50 legal aid organizations have already benefited from LSF funding since its inception in 2011.
Among other things, urban legal empowerment intends to empower urban dwellers and enable them to access their social and economic rights—including access to safe water, education, health services, clean environment, and other social and economic rights.
Lawyers Environmental Action Team (LEAT)—is one of six legal aid organizations which received LSF funding for the implementation of urban legal empowerment project in different parts of Dar es Salaam. Basically, LEAT focused on environmental-related issues—educating/training local communities, paralegals, paralegal units, local executives on the importance of cleaning up their environment, exposing them to environmental and hygienic laws, rules and regulations and other related matters in Temeke District.
The knowledge acquired from LEAT trainings, encouraged Temeke residents to establish their own environmental groups, popularly known as “Usafi Clubs” –an instrument which is used to sensitize and mobilize people, local authorities and leaders, investors to clean their environment—from the streets up to the district levels.
“We thank LSF on one hand, and LEAT on the other…we thank LSF because it supported LEAT to give us such good education on environment, laws and regulations. Thanks to the two of them,” said one Temeke resident, Hassan Juma, at a special session organized by LEAT to review implementation of a one-year pilot project.
“It’s because of their support, now we have Usafi Clubs in place…everybody is eager to join to these clubs,” added Juma as recalls successes registered in the implementation of the project.
Hemed Pazi, Chairman of Temeke Paralegal Centre, said four Usafi Clubs have been formed –2 clubs in Mbagala Ward and 2 in Mianzini Ward –in the context of project implementation, which also involved paralegals.
Interesting part of the story is that local government executives are “part and parcel of these clubs…they are members of the clubs” according to Pazi, noting that “involvement of local leaders increased public trust and confidence on the clubs, thus making them more effective.”
Mianzini Ward Councilor, Abdallah Kipende said door-to-door environmental knowledge spread by Usafi Clubs has significantly changed altitudes and behaviour of Temeke residents, enabling them to set up dust-bins and tanks across the streets, stopped littering the environment, as they used to do in the past.
“In fact, the entire Temeke community is now sensitive about environmental issues; many people are aware of their environmental rights. Today, if somebody wants to put up industries or any large-scale investment in the district should get prepared for tough questions from communities on strategies they would employ to protect the environment,” says Kipende.
Besides establishment of Usafi Clubs, according to Ms. Glory Kilawe, LEAT official-in-charge of the project, said 19 environmental cases were resolved, over 600 students received environmental education, several educative materials distributed to communities, special television and radio programmes were aired, public dialogues organized on the subject—as part of urban legal empowerment pilot project in Temeke district.
In the wake of increasing number of urban poor needing legal assistance in different parts of the country, LSF came up with urban legal empowerment—a new and strategic model which guides paralegals and legal aid organizations on how to assist urban dwellers to access their social and economic rights.


Watu wengi wanaweza wasinielewe endapo jina la Mchezaji na  nahodha wa zamani wa klabu ya Manchester United kama halitakuwa la kwanza katika orodha hii.

1.Roy Kean- Republic of Ireland
Roy Keane, Alf Inge Haaland
The Irish midfielder even went to the extent of ending Alf Inge Haaland's career as a result of an ongoing altercation.

2. Pepe- Ureno

FBL-WC-2014-MATCH13-GER-POR
Pepe has a notorious name for himself in La Liga, having spent the last seven years kicking ankles whilst defending the Real Madrid goal.


3. Mario Balotelli- Italia


Arsenal v Manchester City - Premier League
Mario Balotelli is simply failing to mature. The Italian striker continues to act like a petulant child when things don't go his way and that has seen him get into a lot of trouble both on and off the pitch.


4.Zinedine Zidane
FBL-WC2006-FRA-ITA-ZIDANE-MATERAZZI
Zinedine Zidane's headbutt to Marco Materazzi, which earned the Frenchman a red card in the 2006 World Cup final



5. Joey Barton- England

Newcastle United's English midfielder Jo
The notorious midfielder has played for four different Premier League clubs, as well as short stints in France and Scotland with Marseille and Rangers respectively, and he has managed to raise a storm at each and every team he's featured at.

6. Zlatan Ibrahimovic

FBL-EUR-C1-PSG-CHELSEA
Zlatan is not one to be messed with, just ask Rafael van der Vaart, Mido, Antonio Cassano, Oguchi Onyewu, Pep Guardiola, Salvatore Aronica, Rodney Strasser, Stephane Ruffier, Andres Guardado and Christian Wilhelmsson.

7. El Hadji Diouf

Blackburn Rovers v Tottenham Hotspur - Premier League
Another one with an entire category on his Wikipedia page dedicated to "controversies", the former Senegalese international seemed to have an obsession with spitting after being caught doing so against opposing players and opposing fans!!


8. Patrick Vieria


Arsenal v Newcastle United
Arsenal fans still miss Patrick Vieira. The former captain at Highbury was a ruthless midfielder and often dominated games due to his sheer physique, yet, he was also known for having a terribly short fuse which led to the Frenchman often having to explain his actions to the FA.



9.Gennaro Gattuso


CORRECTING BYLINE + ADDING INFOSAC Mila
Which club captain would dare to grab former hard man Joe Jordan by the throat? Gennaro Gattuso, that's who. The former AC Milan stalwart took on Spurs' assistant manager at the time after the Rossoneri were defeated 1-0 at home in the Champions League.


































































Fastjet yatoa ofa ya abiria kusafiri na kila mzigo kwa nusu bei, Shirika la ndege la kila mtanzania laendelea kutoa usafiri wa anga ambao kila mtu anaweza kuumudu. Nunua tiketi mapema na uokoe pesa.

Dar es salaam: Shirika la ndege la watanzania wote, Fastjet, kuanzia leo linarahisisha zaidi usafiri wa anga kwa kupunguza bei za mizigo kwa kuuza nusu bei. Kila begi la kuingia chini ya ndege sasa litauzwa tsh 22,000 unaweza kulipia mzigo wako wakati wa kununua tiketi na Tsh 44000 unapolipia uwanja wa ndege muda wa safari safari. Bei hii inapatikana kwa abiria wote wanaokata tiketi kuanzia leo hadi tarehe 30 Juni. Unaporuka na Fastjet daima unajihakikishia nauli utakayoimudu na kupaa na kutua kwa wakati, kwa punguzo hili la bei kwenye mizigo linafanya safari yako kuwa rahisi zaidi.

 “Upatikanaji wa huduma ya usafiri wa anga ambayo kila mtu anaweza kuimudu ni muhimu sana kwa shirika letu la fastjet” alisema msemaji wa Fastjet Lucy Mbogoro. “Bei hizi mpya zilizopunguzwa zinatoa pia unafuu kwa wafanyabiashara kubeba mizigo yao kwa  kwa bei nafuu zaidi, hivyo kutoa fursa za kimaendeleo kwa wote.” Mbogoro aliongeza kuwa shirika pia linafanya juhudi kuboresha huduma kwa wateja “Tunafanya kazi kwa juhudi sana kuhakikisha kila hatua anayopitia mteja wetu inampa tabasamu na hii tayari inaonekana katika Matokeo yetu ya kuondoka na kufika kwa wakati kwa mwezi Januari na Februari ambapo Fastjet ilizidi 90% kwa miezi yote”

Bei hii ya mizigo iliyopunguzwa inapatikana kwa safari za Fastjet kati ya Dar es Salaam na Mwanza, Dar es Salaam na Mbeya na Dar es Salaam na Kilimanjaro. Mbogoro aliongeza kwa kutoa dondoo ya safari “Ni rahisi kuokoa pesa unaposafir na Fastjet kwa kukata tiketi mapema.” Hivyo alisema  “Unapoandaa safari yako mapema na kukata tiket mapema unapata fursa ya kuokoa pesa.” Bei zetu za kila mzigo kwa tsh 22,000 zinaanza rasmi tarehe 2 Machi 2018.

 

South Africa's ruling African National Congress (ANC) has formally asked President Jacob Zuma to resign after he refused to do so earlier, reports say.
South Africa's president Jacob Zuma
President Zuma's time in office has been overshadowed by corruption allegations
The reported decision to "recall" him followed marathon talks by senior party officials that continued into the early hours of Tuesday.
If Mr Zuma, 75, still does not budge, he will face a vote of confidence in parliament that he is expected to lose.
In power since 2009, he has been dogged by corruption allegations.
The ANC has not officially confirmed its plans but party sources have described them to South African media outlets and Reuters news agency.
Mr Zuma has resisted increasing pressure to quit since December, when Cyril Ramaphosa replaced him as leader of the ANC.
ANC secretary-general Ace Magashule delivered a letter to the embattled president at his official residence in the capital, Pretoria, officially informing him of the party's decision to "recall" him at a meeting of its top leadership body, the national executive committee (NEC), reports say.
It is unclear how Mr Zuma responded, and his office has not yet commented.
Earlier, Mr Ramaphosa left the meeting of the ANC's NEC to travel to Mr Zuma's residence, where he is said to have told the president he would be "recalled" if he did not step down. He later returned to the ANC conclave.

Source by bbc

Nchi za Afrika zinaweka mikakati inayolenga kukomesha uzalishaji na matumizi ya dawa bandia na sizizo na viwango, tatizo kubwa linalorudisha nyuma maendeleo ya nchi za Africa.
Kaimu Mkurugenzi wa Mamlaka ya Chakula na Dawa (TFDA), Dr. Agnes Kijo, akiongeza wakati wa ufunguzi wa Mkutano wa Jukwaa la Kudhibiti Ubora wa Madawa Afrika (African Medicines Quality Forum-AMQF) jijini Dar es Salaam. Aliyekaa katika ni Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dr. Faustine Ndungulile, na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo Afrika (NEPAD), Margareth Ndomondo—wadau walijadili mbinu za kukomesha uzalishaji na usambaji wa dawa bandia na zisizo na viwango—mkutano uliandaliwa na NEPAD,  The United States Pharmacopeia convention (USP), Mamlaka ya Chakula na Dawa (TFDA),

“Lengo letu kuu ni kuhakikisha ubora wa dawa zinazotumiwa na waafrika,” amesema Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dr. Faustine Ndungulile, wakati wa ufunguzi wa Mkutano wa Jukwaa la Kudhibiti Ubora wa Madawa Afrika (African Medicines Quality Forum—AMQF).  Kongamano hili limeandaliwa na Shirika la Maendeleo Afrika (NEPAD), The United States Pharmacopeia convention (USP), Mamlaka ya Chakula na Dawa (TFDA),
Kwa mujibu wa Waziri Ndungulile, dawa bandia na sizizo na viwango ni tatizo kubwa barani Afrika, linalohitaji mikakati madhubuti, na kusisitiza kuwa Afrika mikakati haiwezi kufanikiwa bila ushiriakiano wa wadau wote.
“Dawa bandia na sizizo na viwango zinagharimu pesa nyingi nchi za Afrika. Kuna watu wanakufa kwa ajili ya dawa hizi, pia kuna watu walazimika kutumia dawa nyingine za ziada. Zote hizi ni gharama kwa mwananchi mmoja mmoja na Serikali zetu kwa ujumla,” amesema Waziri Ndungulile.
Kama njia ya kudhibiti ongezeko la madawa bandia na sisizo na viwango, nchi za Afrika sasa hivi zinaweka mpango mkakati wa pamoja unaolenga kudhibiti usambaji na matumizi wa dawa bandia. Ameutaka Mkakati huo kama AMQF—jukwaa jipya la Africa lengo lake kuu ni kuweka mikakati mipana itakayotatua matatizo na changamoto zinazotokanazo na madawa yenye ubora hafifu yanayosambazwa kwa matumizi barani Afrika.  Kuanza kwa Jukwaa la AMQF kunakuja wakati kukiwa na ongezeko kubwa la matumizi ya madawa bandia na yasiyo na kiwango, yaliyokwisha muda wake katika sehemu mbalimbali barani Afrika, ikiwemo Tanzania.

Kwa mujibu wa shirika la afya duniani yaani ‘WHO’ asilimia 42 ya taarifa zinahusu madawa bandia na madawa yaliyokwisha muda wake, huripotiwa katika nchi za Afrika.

“Kupitia jukwaa hili matatizo ya ubora ya madawa yatashughulikiwa kikamilifu na hatimae kukomesha kabisa uzalishaji na usambazaji wa madawa bandia na zisizo na viwango katika masoko ya Afrika,” amesema Waziri.

Kwa mujibu wa Waziri Tanzania Tanzania ni moja ya nchini iliyofanikiwa kwa kiasi kikubwa katika udhibiti wa dawa bandia, jambo lilosababisha “Mkutano huu ufanyike hapa kwetu ili nchi zingine za Afrika zipate nafasi ya kujifunza kutoka kwetu.”
Aliongeza kwamba Tanzania imeweza kujitosheleza kwa dawa za kutosha na zenye viwango vya kimataifa na changamoto kubwa ilikuwa na kudhibiti dawa zinazoingia kwa njia ya panya ambapo tayari mamlaka husika (TFDA)  imeanza kushughulikia, kwa kufungua ofisi za kanda zinazolenga kupunguza mianya ya dawa zinazoingia kwa njia ya panya.
Kwa upande wake, Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Chakula na Dawa (TFDA), Bi Agnes Kijo alisema “Tanzania ina mahabara ya kisasa, zilizosambaa sehemu mbalimbali nchini…yote haya ni kuhakikisha ubora na viwango vya dawa zinazosambazwa katika masoko yetu na kutumiwa na watu.”
“Katika mkutano huu jambo kuu litakuwa na kwa namna ngani tunaweza kudhibiti dawa bandia kwenye masoko na kuhakikisha kwamba wazalishaji pia wanatoa dawa zenye ubora unaokubalika katika soko,” alisisitiza Bi Kijo.
Mkuu wa Mipango wa NEPAD, Margareth Ndomondo, amesema “Mamlaka za uthibiti lazima zitengeneze mifumo ya pamoja ikayosaidia kudhibiti usambazaji na matumizi katika nchi za Afrika kwa urahisi.”
Mkutano huo imekutanisha washiriki kutoka nchi 18 za Afrika –ikiwa ni pamoja na Nigeria, Ghana, Ethiopia, Uganda, Malawi, Zambia, Zimbabwe, Cameron, Ivory Coast, Mali, Burkina Faso, Mauritania, Senegal, Sierra Leone, Sudan, Guinea, and South Africa pamoja na mawakala barani Afrika kama vile Wakala wa Afya Afrika Magharibi (WAHO) na wafadhili wa maendeleo kama vile Shirika la Afya duniani yaani WHO, Shikla la misaada la Marekani yaani USAID pamoja na Benki ya Dunia.
Wawakirishi kutoka nchi zaidi ya 18 za Afrika wakifutia mijadala katika Mkutano wa Jukwaa la Kudhibiti Ubora wa Madawa Afrika (African Medicines Quality Forum-AMQF) jijini Dar es Salaam—unaolenga kukomesha uzalishaji, usambazaji na matumizi ya dawa bandia na zisizo na viwango.

Mwakilishi wa Shirika la United States Pharmocopeia Convention (USP, Bi. Emily Kaine, akiongea wakati wa Mkutano wa Jukwaa la Kudhibiti Ubora wa Madawa Afrika (African Medicines Quality Forum-AMQF) jijini Dar es Salaam—unaolenga kukomesha uzalishaji, usambazaji na matumizi ya dawa bandia na zisizo na viwango.

Mkuu wa Kitengo cha Mipango katika Shirika la Maendeleo Afrika (NEPAD), Bi. Margareth Ndomondo akiongea wakati wa Mkutano wa Jukwaa la Kudhibiti Ubora wa Madawa Afrika (African Medicines Quality Forum-AMQF) jijini Dar es Salaam—unaolenga kukomesha uzalishaji, usambazaji na matumizi ya dawa bandia na zisizo na viwango.

Mwakilishi wa Shirika la United States Pharmocopeia Convention (USP, Bi. Emily Kaine, akiongea wakati wa Mkutano wa Jukwaa la Kudhibiti Ubora wa Madawa Afrika (African Medicines Quality Forum-AMQF) jijini Dar es Salaam—unaolenga kukomesha uzalishaji, usambazaji na matumizi ya dawa bandia na zisizo na viwango.

Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dr. Faustine Ndungulile (katikati), akiongea na waandishi wa habari baada ya kufungua Mkutano wa Jukwaa la Kudhibiti Ubora wa Madawa Afrika (African Medicines Quality.

Call for participation 
 
Live music performers, groups, traders, exhibitors, food vendors, Small & Medium sized companies, Journalist, sponsors and collaborators, interested in participating at the 8th edition International Africa Festival Tübingen, Germany can now send in their applications.  
 Each year, the festival bring thousands of people irrespective of their countries together to celebrate Arts & music, young & old talent and tradition vs modernity in an extraordinary four-day event, 2018 shall focus on East Africa region.
The International Africa Festival Tübingen, Germany is a highlight and melting pot for Africans in and out of Germany.
 Inline images 1  
The call for applications is open until 31 March 2018

The festival will feature traditional and modern live performances on stage offering diverse and original music from across the African continent and the diaspora.  
The selection committee shall meets in April to finalize the line-up, after which all applicants will be notified of their status before May 2018
For those selected, the Festival will cover the following expenses for participating artists
·        A modest honorarium
·        Per diems for meals
·        Accommodation in Tübingen
·        Artist profile in festival programs, press releases, website and social media
·        Please note that artists from outside the region may be required to find their own travel sponsors.
To apply, send the following:
·        Artist profile/biography
·        Latest audio release (send two CDs by post, or maximum three songs via We Transfer / Dropbox)
·        DVD of live performance, or one clip via We Transfer / Dropbox (if available)
·        Two high-resolution promotional photos
·        Stage plan and technical rider (if available)
Supporting documents must be clearly labeled and sent by email: kontakt@afrikafestival.net
 Printed applications by post should be sent to the following address:
AfrikAktiv e.V,  Erlenhof Str. 1, 72160  Horb a. Neckar – Germany
 



 
 
 
 

Author Name

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.