Watu zaidi ya mia moja na ishirini na sita (126) wamefariki wakiwamo watoto 84 mara baada ya wapiganaji wa Taliban kuingia ndani ya shule na kuanza kushambulia kwa risasi na mmoja wa magaidi kujilipua na kufa ndani ya darasa linalosadikiwa kuwa na jumla ya watoto sitini (60).

Mwalimu wa wanafunzi pia alichomwa moto mbele ya kadamnasi ya watu huku wanafunzi wake wakilazimishwa kuangalia unyama huo.

Waziri mkuu wa Uingereza amelaani vikali mauaji hayo na kuelekezea kusikitishwa kwake sana.
Wavamiaji hao waliingia wakiwa na silaha ndani ya shule yenye uwezo wa kuchukua watu 500 na iliyo na wanafunzia kuanzia gredi ya kwanza hadi ya kumi kuanzia umri wa miaka mitano hadi kumi na minne.
Pia inakisiwa watoto mia na sitini 160 wenye umri wa miaka 13 na 14 bado wanashikiliwa kama mateka na wavamiaji wanne.

The attack started with the gunmen entering the 500-pupil school - which has students in grades 1-10, thought to be ages 5 to 14 - in the early hours
Mmoja wa majeruhi wa uvamizi huo


A Pakistani girl, who was injured in the attack, is rushed to a hospital in Peshawar
mmoja wawanafunzi waliojeruhiwa akiwahishwa hospitalini



A hospital security guard helps a student injured in a shootout at a military school in Peshawar


Pakistani security forces takes up positions on a road leading to the Army Public School
Vikosi vya usalama vya Pakistan wakiwamstari wambele katika barabara inayoelekea shule ya Army Public



Ambulances drive away from the military run school, which was attacked by the Taliban in the early hours


School was stormed by six gunmen in military fatigues , it was reported

A Pakistani soldier takes up a position above a road near the school































































Post a Comment

Author Name

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.