Bwana Yesu asifiwe, Imekuwa ikisikika watu kujihusisha na madawa ya kulevya, wengine kufariki wakiwa airport, wengine wamekamatwa Afrika Kusini, Egypt, Hong Kong, China na nchi nyingine, wengine wafungwa au wanasubiri kunyonywa. Pamoja na Serikali kufuatilia suala hili, ningependa kuuliza kanisa, watumishi wa Mungu. Je tunawaza nini kuhusu vijana wetu? bado tuna kazi ya kufanya





















Source by www.strictlygospel.wordpress.com







































































Labels:

Post a Comment

Author Name

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.