JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

BUNGE MAALUM

RATIBA YA MKUTANO WA BUNGE MAALUM KUANZIA TAREHE 05 AGOSTI, 2014 HADI 31 OKTOBA, 2014


IMEANDALIWA NA:

OFISI YA KATIBU WA BUNGE MAALUM

AGOSTI, 2014
__________________


TAREHE
SHUGHULI
MUDA

05 Agosti, 2014
Kujadili na kupitisha marekebisho ya Kanuni za Bunge Maalum
Siku 1

06 - 27 Agosti, 2014
Kamati kujadili Sura zote za Rasimu ya Katiba
Siku 15

28 Agosti - 01 Septemba, 2014
Kamati kuandaa taarifa za Sura zote za Rasimu ya Katiba
Siku 3

02 – 08 Septemba,2014
Kamati zote kuwasilisha taarifa zake ndani ya Bunge Maalum
Siku 5

09 - 29 Septemba, 2014
Majadiliano ya taarifa za Kamati ndani ya Bunge Maalum
Siku 15

30 Septemba - 06 Oktoba, 2014
Kamati ya Uandishi kuandika upya ibara za Sura zote za Rasimu ya Katiba
Siku 5

09 Oktoba, 2014
Kamati ya Uandishi kuwasilisha taarifa yake katika Bunge Maalum
Siku 1

10 – 21 Oktoba, 2014
Kupitisha ibara za Rasimu ya Katiba kwa kupiga Kura
Siku 7

22 - 28 Oktoba, 2014
Kujadili na kupitisha masharti ya mpito
Siku 5
10.
29 - 30 Oktoba, 2014
Katibu kukamilisha Katiba inayopendekezwa kwa ajili ya kuwasilisha kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano na Rais wa Zanzibar
Siku 2
11.
31 Oktoba, 2014
Mwenyekiti wa Bunge Maalum kuwasilisha Katiba inayopendekezwa kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano na Rais wa Zanzibar
Siku 1

NB: Siku za JUMAMOSI, JUMAPILI na SIKU KUU ni mapumziko hivyo hazijajumuishwa katika Ratiba hii
Labels:

Post a Comment

Author Name

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.