April 6, 202501:26:56 AM

Huku zikionekana  dalili za hakuna uwezekano wa kumpata mshambuliaji wa Liverpool, Louis Suarez timu ya Arsenal mara baada ya jana kuanza ligi vibaya ina mpango wa kumgekia mshambuliaji wa kiispania anayeichezea Swansea City, Michu.

 Habari zaidi zinazidi kunatabaisha ya kwamba klabu ya Swansea iko tayari kumwachia mshambuliaji wao huyo hatari ikiwa timu ikifikia dau la paundi za kiingereza la million 25.

Post a Comment

Emoticon
:) :)) ;(( :-) =)) ;( ;-( :d :-d @-) :p :o :>) (o) [-( :-? (p) :-s (m) 8-) :-t :-b b-( :-# =p~ $-) (b) (f) x-) (k) (h) (c) cheer
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.

Post a Comment

    Author Name

    Contact Form

    Name

    Email *

    Message *

    Powered by Blogger.