Huku zikionekana  dalili za hakuna uwezekano wa kumpata mshambuliaji wa Liverpool, Louis Suarez timu ya Arsenal mara baada ya jana kuanza ligi vibaya ina mpango wa kumgekia mshambuliaji wa kiispania anayeichezea Swansea City, Michu.

 Habari zaidi zinazidi kunatabaisha ya kwamba klabu ya Swansea iko tayari kumwachia mshambuliaji wao huyo hatari ikiwa timu ikifikia dau la paundi za kiingereza la million 25.

Post a Comment

Author Name

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.