Nuri Sahin
Timu ya Liverpool hatimaye imeipiku timu ya Aresnal juu ya kumsajili Kiungo mahiri wa Real Madrid na timu ya Taifa ya Uturuki Nuri Sahin 23.Aresnal iliyokuwa pia kwenye mbio za kumsajili imeshindwa kutimiza lengo lake baada ya Liverpool kuizidi Arsena katika mshahara na pia ushawishi na ushauri wa mchezaji wa zamani wa Liverpool Xavi Alonso aliyemshauri mchezaji huyo kuichagua Liverpool dhidi ya Arsenal kwa kumwambia ya kwamba eti Anfield ni uwanja bora duniani .
Labels:

Post a Comment

Author Name

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.