Na Mwandishi Wetu, Dar es SalaamWizara ya Mifugo na Uvuvi, Ubalozi wa Uholanzi Tanzania na wadau wa ufugaji wa kuku kwa pamoja wamezindua mradi wa kutathmini mtaala wa mafunzo ya ufugaji wa kuku...
MWANASAYANSI wa kwanza kutua mwezini Neil Amstrong amefariki dunia katika mji wa Ohio kwenye jimbo ambalo alizaliwa mnamo mwezi wa nane mwaka 1930.
Hadi mauti yanamfikia Bwana Amstrong alikuwa na umri wa miaka 82 na alifanikiwa kuwa mwanadamu wa kwanza kufika mwezini mnamo mwaka 1969 akiwa kamanda wa, " Apollo 11 mission commander".
Post a Comment
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.