Neil ArmstrongMWANASAYANSI wa kwanza kutua mwezini Neil Amstrong amefariki dunia katika mji wa Ohio kwenye jimbo ambalo alizaliwa mnamo mwezi wa nane mwaka 1930.

Hadi mauti yanamfikia Bwana Amstrong alikuwa na umri wa miaka 82 na alifanikiwa kuwa mwanadamu wa kwanza kufika mwezini mnamo mwaka 1969 akiwa kamanda wa, "  Apollo 11 mission commander".

Labels:

Post a Comment

Author Name

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.