Mara nyingine unaweza kuona kama haina maana vile. Lakini huo ukaweza kubakia ndio ukweli kwa miujiza ya kimahesabu na kimantiki , timu ya Manchester City bado wako kwenye michuano ya Klabu bingwa ya Ulaya.

 
Na si kuwepo tuu bali pia wanaweza kufuzu kwa raundi inayoyofautia. Endapo watafanikiwa kushinda  mjinini Roma  na Bayern Munich wakishinda watafanikiwa kuendelea, na endapo CSKA Moscow watashinda dhidi ya Bayern mjini munich na city pia wakishinda  CSKA Moscow watafuzu na city kutolewa kulingana na sheria ya head to head.

Nafasi ya mwisho ya  kufanya hivyo kuanzia kuanza kwa michuano hii bado iko  wazi, watafanyaje Mungu tuu ndio anayejua kwa kweli maanake mara nyingine unaombea miujiza itokee kuweza kufanya jambo.



Aguero had made it 2-2 just minutes earlier as he capitalised on a mistake from Bayern midfielder Xabi Alonso
Mkombozi wa aliyerudisha uhai wa Man City Ulaya , mfungaji wa mabao matatu jana usiku


Bayern's Moroccan defender Mehdi Benatia slides in on Sergio Aguero with the Manchester City striker through on goal and in the box


Aguero appeals for a penalty as he is upended by Benatia, who made no contact with the ball

Benatia appeals in vain as he is shown a red card in tby Czech referee Pavel Kralovec to hand the advantage to Man City


Aguero opts to side-foot his penalty as Bayern's Xabi Alonso (left) and Jerome Boateng hope to capitalise on any rebound







































































































Labels:

Post a Comment

Author Name

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.