Kombe la UEFA Championship msimu huu huenda likaelekea Nchini Ujerumani au Uhispania mara baada ya Nchi hizo kufanikiwa kuingiza timu mbili katika michezo ya Nusu Fainali ya michuano inayokaribia ukingoni na kama timu hizo na itajulikana zaidi mara ya droo ya michezo ya nusu fainali kuchezeshwa kesho.

Matokeo ya jana usiku yamehitimisha mbio za timu kumi na sita na kutoa timu nne za Borrusia Dortmund na Bayern Munich kutoka ujerumani na Real Madrid na Fc Barcelona kutoka Uhispania kutinga nusu fainali.


Barcelona 1 Paris Saint-Germain 1 

 HAMMER BLOW ... Pedro smashes in the decider

 Magoli ya mchezo huo yalifungwa na Javier Pastore kwa upande wa PSG na Pedro Rodriguez kwa upande wa Barcelona.

Juventus 0 Bayern Munich 2

 SUPER MARIO ... Mandzukic celebrates his 64th-minute opener for Bayern Munich

 Super Mario Mandzukic akishangilia mara baada ya kuipatia Bayern munich goli la kuongoza.

 BATTLE ... Pogba is kept under close watch by Bayern ace Alaba

 magoli ya Bayern Munich katika mchezo wa jana yalifungwa na Mario Mandzukic na Claudio Pizarro.

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

Labels:

Post a Comment

Author Name

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.