April 8, 202503:44:41 PM

Timu ya Chelsea ya mjini London jana ilimsaiduia kocha wao wenye vituko kedekede, Jose Mourinho kuzidi kukalia kuti kavu mara ilipopata ushindi wake wa mabo 2-0 dhidi ya timu ya Fulaham na kufanikiwa kukwea kileleni mwa msimamo wa Ligi kwa masaa huku ikisubiria michezo itakayochezwa leo.

Cheslea ilifanikiwa kukwea kileleni kuchukua nafasi ya Liverpool mara baada ya kupotezsa mchezo wake uliochezwa mapema dhidi ya timu ya Southampot kwa bao moja kwa bila.

Magoli ya Chelsea yalifungwa na Oscara na Obi Mikel

Post a Comment

Emoticon
:) :)) ;(( :-) =)) ;( ;-( :d :-d @-) :p :o :>) (o) [-( :-? (p) :-s (m) 8-) :-t :-b b-( :-# =p~ $-) (b) (f) x-) (k) (h) (c) cheer
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.

Post a Comment

    Author Name

    Contact Form

    Name

    Email *

    Message *

    Powered by Blogger.