Timu ya Chelsea ya mjini London jana ilimsaiduia kocha wao wenye vituko kedekede, Jose Mourinho kuzidi kukalia kuti kavu mara ilipopata ushindi wake wa mabo 2-0 dhidi ya timu ya Fulaham na kufanikiwa kukwea kileleni mwa msimamo wa Ligi kwa masaa huku ikisubiria michezo itakayochezwa leo.

Cheslea ilifanikiwa kukwea kileleni kuchukua nafasi ya Liverpool mara baada ya kupotezsa mchezo wake uliochezwa mapema dhidi ya timu ya Southampot kwa bao moja kwa bila.

Magoli ya Chelsea yalifungwa na Oscara na Obi Mikel

Post a Comment

Author Name

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.