Diamond Platnumz mwanamuziki wa bongo fleva asiyeshikika sasa hivi akifanya show kali jijini Los Angeles, California siku ya Jumamosi Juni 28, 2014 ikiwa pia akijiandaa kwenye BET Awards 14 inayofanyika leo jijini humo.

Wimbo wake wa my number one aliyeshirikiana na Davido wa Nigeria umechaguliwa kwenye category ya international collaboration. 
Mgeni wa heshima alikuwa Mhe. Ahmed Issa ambaye ni Balozi wa Heshima wa Tanzania-California



Mashabiki wa Diamond kwenye showa ya Diamond Platnumz iliyofanyika Los Angeles, California nchini Marekan



Diamond Platnumz aka Rais wa Wasafi akifanya vitu vyake California.


Kushoto ni Balozi wa Heshima, Mhe. Ahmed Issa akiwasili ukumbini hapo akiongozana na wanajumuiya wa California.


Picha na: Abdul Majid, mwakilishi wa Vijimambo Los Angeles California. Kuona picha zaidi bofya hapa.


Source by www.wavuti.com













































































Labels:

Post a Comment

Author Name

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.