Timu ya Taifa ya Brazil maazufu kama selacao jana usiku ilikumbana na kipigo cha karne mara baada ya kukubali kufungwa jumla ya magoli saba kwa moja na timu ya Taifa ya Ujerumani katka fainali za kombe la Dunia zinazoendelea jijini Brazil.

Kipigo cha jana  ni historia mpya iliyowekwa mjini Mineirazo katika mashindano hayo tokea mwaka 1950 mjini Maracanazo.Ambapo mwaka huo angalau Brazil waliweza kuapata nafasi ya kucheza Rio. Baada ya dakika 26 ilikuwa ni mara kwanza kukubali magoli manne tangia ilipofanya hivyo mnamo mwaka 1954 dhidi ya timuya Hungary kwa magoli 4-2 and baada ya dakika 29 ni mara ya kwanza kufungwa magoli matano tokea ilipofanya hivyo mnamo mwaka 1934 dhidi ya Poland kwa mabao 6-5 na ilifpofikia dakika ya 69 ndio mara ya kwanza Brazil kukubali kufungwa magoli sita katika michuano ya kombe la dunia.


A young supporter watches players on the field after Germany defeated Brazil 7-1 to advance to the finals during the World Cup semifinal soccer match between Brazil and Germany at the Mineirao Stadium in Belo Horizonte, Brazil, Tuesday, July 8, 2014. (AP Photo/Natacha Pisarenko)


Mshabiki huyu alishindwa kujizua kutokwa na machozi mara baada ya kuona  timu yake ikifungwa


Brazil supporters react after Germany defeated Brazil 7-1 to advance to the finals during the World Cup semifinal soccer match between Brazil and Germany at the Mineirao Stadium in Belo Horizonte, Brazil, Tuesday, July 8, 2014. (AP Photo/Andre Penner)

Germany's Andre Schuerrle (9) scores during the World Cup semifinal soccer match between Brazil and Germany at the Mineirao Stadium in Belo Horizonte, Brazil, Tuesday, July 8, 2014. Germany has routed host Brazil 7-1 and advanced to the final of the World Cup. (AP Photo/Felipe Dana)







Brazil fans embrace as they watch their team lose to Germany. (AP)

2014 FIFA World Cup


Brazil v Germany: Semi Final - 2014 FIFA World Cup Brazil


Brazil's coach Luiz Felipe Scolari reacts during his team's 2014 World Cup semi-finals against Germany in Belo Horizonte

Uwanja ukiwa umebaki tupu na mmoja tu ya mshabikia liyeweza kuendelea kuangalia kilichokuwa kikiendelea



Brazil's Luiz cries after his team lost to Germany in their 2014 World Cup semi-finals at the Mineirao stadium in Belo Horizonte


Brazilian Fans Cheer On Their National Team During World Cup Semi Finals



Brazil v Germany: Semi Final - 2014 FIFA World Cup Brazil









































































































































































Labels:

Post a Comment

Author Name

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.