BAO la Dakika ya 82 la Paul Pogba limewapa ushindi wa Bao 1-0 Mabingwa Watetezi Juventus walipoichapa Sassuolo Bao 1-0 kwenye Mechi ya Ligi Serie A Uwanjani Juventus Arena Jijini Turi huko Italy na kuwapaisha Juve Pointi 11 mbele kileleni mwa Ligi hiyo.
 JUVE-POGBA









Jumapili, AS Roma, Timu ya Pili kwenye Msimamo wa Serie A, ilitoka Sare 0-0 Ugenini na Chievo Verona katika Mechi iliyochezwa huko Stadio Marc'Antonio Bentegodi Mjini Verona.

VIKOSI:
Juventus (Mfumo 4-3-1-2): Storari; Lichtsteiner, Bonucci, Chiellini, Evra; Vidal, Marchisio, Pogba; Pereyra; Tevez, Morata.REFA: Paolo Silvio Mazzoleni

Akiba: Rubinho, Audero, Barzagli, Ogbonna, De Ceglie, Padoin, Sturaro, Pepe, Llorente, Matri.
Sassuolo (Mfumo 4-3-3): Consigli; Vrsaljko, Acerbi, Peluso, Longhi; Brighi, Magnanelli, Missiroli; Berardi, Zaza, Sansone.

Akiba: Pomini, Polito, Bianco, Natali, Fontanesi, Biondini, Chibsah, Taider, Donis, Floro Flores, Lazarevic, Floccari

REFA: Sebastiano Peruzzo

SERIE A
MATOKEO:
Jumamosi Machi 7
Sampdoria 2 Cagliari 0
AC Milan 2 Hellas Verona 2
Jumapili Machi 8
AC Cesena 0 U.S. Citta di Palermo 0
AC Chievo Verona 0 AS Roma 0
Empoli          1 Genoa CFC 1
Parma FC 0 Atalanta 0
Udinese Calcio 3 Torino FC 2
SSC Napoli 2 Inter Milan 2
Jumatatu Machi 9
SS Lazio 4 ACF Fiorentina 0
Juventus FC 1 US Sassuolo Calcio 0
Labels:

Post a Comment

Author Name

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.