Idara ya Uhandisi wa Kemikali na Migodi ya Chuo Kikuu cha Dar es salaam (CME), Wizara ya Nishati na Madini, Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC), Taasisi ya Wahandisi Tanzania (IET), pamoja na Mamlaka ya udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) wanawakaribisha Watanzania
wote kwenye

"KONGAMANO NA MAONESHO YA TATU YA MAFUTA NA GESI ASILIA TANZANIA"

 MAHALI: Mlimani City Conference Centre - Dar es Salaam
 TAREHE: 21-22 Oktoba 2014
 MUDA:   Kuanzia Saa 2:00 Asubuhi-

Mwaka huu 2014 ni kwa ajili ya watanzania tu, litafanyika kwa lugha ya kiswahili

MADA KUU:"Maendeleo ya Sekta ya Mafuta na Gesi asilia nchini kwa manufaa ya Mtanzania"

    (i)Utafutaji, Uchimbaji, Uendelezaji na Utumiaji wa Mafuta na Gesi
        asilia

    (ii) Mnyororo wa Kuongeza Thamani Kuanzia kwenye Utafutaji,
        Uzalishaji,    Usafirishaji na Utumiaji wa mafuta na Gesi Asilia na
       Uhusiano wake na Sekta nyingine za uchumi.

    (iii) Sheria, Sera, Kanuni na Miongozo ya Utafutaji, Uchimbaji,
        uendelezaji na utumiaji wa Mafuta na Gesi Asilia.

    (iv) Ushiriki wa Sekta Binafsi na Watanzania kwa ujumla wao katika
Utafutaji, Uendelezaji na Utumiaji wa Mafuta na gesi Asilia
    (v) “Local Content” – Sera, Mwelekeo na Faida kwa Mtanzania Kulingana na Malengo ya Maendeleo ya Taifa

Kiingilio kwenye kongamano:  Tsh. 100,000/= Wanafunzi: Tsh. 50,000/=

Karibu uelimishwe pia ujipatie FURSA mbali mbali katika kongamano hili.

Kwa maelezo zaidi na usajili:

Tembelea tovuti yetu  www.togace.or.tz

Piga simu 0718525174 / 0754365791
Labels:

Post a Comment

Author Name

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.