April 6, 202511:12:49 AM

Katika wiki ambayo maswala ya Afya ya Akili humulikiwa mwangaza nchini Australia, Idhaa ya Kiswahili ya SBS Redio ili zungumza na Bw Patice Nyembo kuhusu uzoefu wake na jinsi alivyo faulu kukabiliana na hali hiyo.

Bw Nyembo alitoa mawaidha kwa mashirika yanayo saidia watu wanao kabiliana na ugonjwa wa akili pamoja na watu binafsi kuhusu hatua ambazo wanaweza chukua ili waweze kufaulu kukabiliana na hali hiyo pia. Msikilizaji wetu una ombwa kama una kabiliwa au unamjua mtu ambaye ana kabiliwa na changamoto ya ugonjwa wa akili.

 Sikiliza mazungumzo hayo hapa
Labels:

Post a Comment

Emoticon
:) :)) ;(( :-) =)) ;( ;-( :d :-d @-) :p :o :>) (o) [-( :-? (p) :-s (m) 8-) :-t :-b b-( :-# =p~ $-) (b) (f) x-) (k) (h) (c) cheer
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.

Post a Comment

    Author Name

    Contact Form

    Name

    Email *

    Message *

    Powered by Blogger.