Kizazi cha kina DAVID Beckham na wachezaji wenzake wa timu ya Manchester ubnited waliotamba mwaka 1992  wanajipanga katika dili ambalo litawawezesha kuinunua timu hiyo kutoka mikononi mwa familia ya Glazers ambao ndio wamiliki wa sasa.
Scholes, Phil Neville, Giggs, Butt, Becks and Gary Neville
Kizazi kilichotamba kwa pamoja almaarufu kama ,"Class of '92"


Beckham na mashujaa wengine wa timu hiyo kama Paul Scholes, Ryan Giggs, ndugu wawili Gary na Phil Neville pamoja na Nicky Butt wako mstari wa mbele katiak kufanikisha dili hiyo kabambe itakayosimamiwa na mkataba mnono wa kupata hela toka kampuni ya mafuta ya Arab oil.


Wachezaji hao sita inasemakana wako katika mazungumzo ya upatikanaji wa hela hizo utakaowawedhesha kuunda umoja wa kuwawezesha kuinunua timu hiyo toka katika familia ya mmarekani  Glazer ambaye na hisa za umiliki wa timu hiyo kwa asimila tisini (90).


Familia hiyo inayoongozwa na kaka wawili Avram na Joel waliinunua jumla timu ya Manchester United mnamo mwaka 2005 ila mnamo mwaka 2012 wakauza hisa zenye asilimia kumi katika soko la hisa.


Vile vile kuna habari pia mkufunzi wa mbio za farasi  Ged Mason, mtayarishaji wa vitabu Fred Done na  mabilionea wengine kadhaaa nao ni miongoni mwa watu wanaoaminika ya kuwa wamefuatwa juu ya uwezekano huo wa ununuzi. 


Kama wavuatiliaji wa mambo walivyoona jana katika soko la hisa jinsi shea za timu hiyo zilivyopanda kwenye soko la hisa la New York  kwa asilimi mbili hadi kufikia  $16.14  na hivyo kiufanya klabu hiyo na kuwa na dhamani ya  $2.6billion toka  £1.6billion. ingawa klabu hivyo kwa sasa iko katika hali ngumu chini ya kocha David Moyes ambayo juzi ilipoteza mchezo dhidi wa wahasimu wake wakubwa  Manchester City kwa jumla ya mabao 3-0 , ambayo inamilikwa na waarabu.


Chanzo cha habari kimeendelea kutanabaisha ya kwamba familia ya Glazers wamepoteza matumaini. Na kila mmoja anafahamu ya kuwa kwa sasa klabu iko tayari kwa kuuzwa. Ni swali tuu la kupata bei nzuri itakakaowasaidia kurudisha hela yao waliowekeza. Na faida kidogo. 


Gazeti la Sun wanatambua ta kuwa katika dili hilo la kuinunua Manchester litafadhilia na familia ya kifalme ya Qatari royal family na kusimamiwa na kina Beckham. 


Beckham aliyeitumikia timu ya Paris Saint Greman kwa takribani miezi mitano itakumbukwa pia inamilikiwa na familia hiyo ya Qutari kabla hajamua kutundika daluga zake mwishoni mwa msimu uliopita. Chanzo hicho cha city kimeendelea kusema ya kuwa



 Mtaalam wa masuala ya fedha , Bwana David Bick na ambaye ameshriki katika dili za mambo ya soka ameliambia gazeti la The Sun ya kuwa hawezi kuamnini kama familia ya Glazers itaendelea kuimiliki Manchester kwa muda zaidi kwani wao wako kipesa zaidi na zaidi ya hilo. 

Baiashara yenyewe dhamani yake yapata  kwa hiyo ianweza kuwa dili nzuri kama vile kuwania  kutwaa kikombe. Na hiyo inaweza kuwa fursa kwa yeyote Yule anayetaka kuimiliki Manchster kwa kujenga umaarufu na si kuangalia suala la pesa.

Katika dili hili Gary Neville ndiye anayeonekana kuwa kinara wa kupeleka mambo mbele zaidi.

Utajiri wa The Class of '92 kwa sasa uko hivi:- 

Paul Scholes, 39
- Utajiri wake ni wa Dhamani £19million

- Anayependela kuanza kazi ya ukocha 

Phil Nevile, 37
- utajiri wake ni wa dhamni ya  £12million

- Kwa sasa ni kocha wa kwanza wa Man United chini ya David Moyes

- Amefanikiwa kuongeza kiasi cha £20million baada ya kujenga hospiotali ya

   watoto 

Ryan Giggs, 40
- Ana utajiri wenye dhamani ya £34million

- Anamiliki moja ya dhamani ya GG hospitali na rafiki yake Gary Neville

- Anasemakana pia anataka kuinunua timu ya  Salford FC

Nicky Butt, 39
- Ana utajiri wenye dhamani y £14million

 -Kwa sasa ni kocha wa timu ya wachezaji wa akiba wa Man United.

David Beckham, 38
- Ana utajiri wenye dhamani ya £165million

- Ni mmoja wa wataomiliki mradi wa Miami MLS unaosemakana utakuwa  wenye dhamani ya  £15million

- Footwork Productions grossed £16.5m from endorsements in 2012

- Beckham pia anamiliki Ventures Ltd (Victoria's fashion range) iliongeza hadi  

   kufikia dhamani ya  £15.4m mnamo mwaka 2012

- Brand Beckham mradi mwingine uliokuwa na dhamani ya £3.2m mwaka 201.

Gary Neville, 39
- Ana utajiri wenye dhamani ya £20million

-  Anamiliki pia Café Football pamoja na Ryan Giggs

-  Ana mpango pia wa kufungu Hotel Football nyuma
    ya Old Trafford 



Chanzo cha Habari na GUY PATRICK na SIMON ENGLISH wa City Editor kutoka Gazeti la The Sun.
















































































































































































Labels:

Post a Comment

Author Name

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.