Kuna uwezekano wa ndege ilipotea ya  shirika la ndege la Malysia kuwa imezama katika  bahari ya india . 

Kupotea kwa ndege hiyo yenye nambari MH370 kuna uwezakno ya kuwa umesababishwa na   kushindwa kufanya kazi kwa ghafla kwa moja ya mifumo ya kundeshea  ndege hiyo kama ilivyotanabaishwa leo hii asubuhi na bosi wa shirika hilo.

Ofisa mkuu wa shirika hilo bwana  Ahmad Jauhari Yahya amesema ya kuwa wataalamu wa ajali hiyo wanaendelea kufanya utafiti endapo kugudungua kama kuna uwezazakno wa kufanana na tukio la ndege nyingine ya shirika hilo ya aina ya Boeing 777 iliyotokea mnamo mwaka 2005.
Families devastated at tragic news
Ndugu wa wahanga wakiwa wanatokwa na majonzi

Katika tukio hilo ambalo lilitokea wakati ndege hiyo ilipokuwa ikitaka kuruka tokea mjini Perth, Australia kwenda Kuala Lumpur na mara ghafla baada ya kuwa inapaa ikatokea  hali ya isiyokuwa ya kawaida ghafla kwa kuruka juu kwa kasi na kukaribia kuzima kabisa katika chumba cha kuendeshea ndege hiyo na kulazimu mmoja wa wahudumu wa ndege hiyo kuanza kusali na mwingine aliyekuwa ameshikilia trei la vinywaji kulidoshosha chini  kabla ya rubani wa ndege hiyo kufanikiwa kuokoa ndege hiyo.
Malaysian Airlines plane like the doomed MH370
Mfano wa ndege ya shirika kama ambayo  haijulikani ilipo mpaka sasa

Mawasiliano ya ndege hiyo MH370 yalizimika ghafla mara baada ya kupaa kwa ndege hiyo mnamo tarehe 8, mwezi huu na kuna uwezekano ikawa ilisababishwa na moja ya mifumo ya kuendeshea a ndege hiyo kushindwa kufanya kazi tofauti na inavyodhaniwa huenda kuna mtu alifanya hivyo.
 Relatives of MH370 clash with police outside Malaysian Embassy, China
Mwenendo wa ndege hiyo kwenda usawa wa magharibi unaweza ukawa ulisababishwa na rubani wa ndege hiyo katika jitihada za kutaka kuepusha na ajali hiyo, aliendelea kusema bosi huyo na kusema ," Kwa kweli hatujui ni kwa nini na hatutaweza kujua mpaka pale waokoaji watakapofanikiwa kukipata kisanduku cheusi cha kurekodia matukio yanayotokea kwenye ndege.



Satellite image of 'debris' of missing jet in southern Indian Ocean
Moja wa picha za Satelite ya mwenendo wa ndege hiyo katika upande wa mashariki mwa bahari ya India




Angry relatives demand answers outside the Malaysian Embassy in China
Ndugu wa wahanga wa ajali ya ndege wakitaka majibu nje ya ofisi za ubalozi wa Malaysia nchini China



Relatives march on the Malaysian Embassy in China this morning
Ndugu wa wahanga wa ndege hiyo wakiandamana nje ya ubalozi wa Malaysia nchini China leo asubuhi







































































Post a Comment

Author Name

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.