Timu za Arsenal ya Uingereza na mabingwa wa zamani wa Italia, Ac Milan jana usiku ziliaga rasmi mashindano ya Ligi kuu ya mabingwa ulaya mara baada ya kukubali vipigo toka kwa timu za Bayern Munich ambaoi ni mabinwa watetezi wa kombe hilo na timu ya Atletico Madrid ya uhispani.

Oxlade-Chamberlain comes of age for Arsenal
Itakumbukwa wiki mbili zilizopita timu ya Arsenal ilikubali kipigo cha mabo mawili pasipo majibu toka kwa Bayern Munich nyumbani kwake Emirates na jana usiku pamoja na kutoka droo ya 1-1 katika uwanja wa nyumbani wa Bayern Munic Alianze Arena ambayo imeshindwa kuibebea timu hiyo na kuipeleka katika hatua ya robo fainali.

Ozil injury 'quite bad', reveals Arsenal boss Wenger
Nayo Ac Milan ya Italia ilikubali kipigo cha mabao manne kwa moja 4-1 toka kwa Atelico Madrid  nyumbani kwake Vicente Calderon na hivyo kufanya iwe imetolewa nje ya mashindano hayo kwani katika mchezo wa mzunguko wa kwanza wa hatua hiyo Mabingwa hao wa Zamani wa Italia walikuwa wameshakubali kipigo cha bao 1-0 uwanjani  kwake San Siro jijini Milani. na hivyo kuifanya iwe imetolewa kwa jumla ya mabo 5-1.
Guardiola: Bayern were superior to Arsenal
Kocha wa Bayern Munich, Pep Gurdiola aliyekiri ya kuwa Bayern Munich walikuwa bora zaidi ya Arsenal katika mchezo wa jana


Arsenal's Miyaichi gaffe, Milan's Niang howler and football's worst administrative errors
Arsenal Wenger meneja wa Arsenal aliyelalmikia penati ya Robben  kwa kusema ya kwamba ni muanguaji mzuri (Arejen Robben is good diver)

Lahm feared Arsenal deja-vu in Bayern triumph



Seedorf laments Milan's mental fragility
Kocha mkuu wa Ac  Milan, Clearance Seerdorf


Costa at the double and Bayern march on - Tuesday's Champions League in pics
Diego Costa akishangilia moja ya mabao yake katika ushindi wa 4-1 dhidi ya Ac Milan jana katika uwanja wao wa nyumbani wa Vicente Calderon mjini Madrid.





























Labels:

Post a Comment

Author Name

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.