MAHUSIANO: Mdada umekutana na mkaka mzuri wa sura, mtanashati na mchangamfu kupita maelezo Jee itakuchukua muda gani kumfanya kuwa wako wako wa kudumu????
Wengi wa kinadada huwa na wakati mgumu sana katika  kuchukua uamuzi..
Wewe ni mdada na umekutana na mkaka mzuri wa sura,mtanashati, mcheshi  na ghafla wewe mdada ukatokea kukolea na kutamani kuwa  nae ghafla…
Wait a minute: Is Ryan Gosling returning to acting?
Mkaka mzuri wa sura , mtanashati na mcheshi

Sasa swali  linalokuja ni je? Ni muda gani utaoukuchua mapaka kumfanya kuwa wako wa kudumu na jee itakuchuka muda  gani  kuweza kushiriki nae katika tendo la ndoa.
Mara nyingi dada zetu huwa wanapatwa na wakati mgumu sana kwani swali au maswali wanayojikuta nayo ni kwamba endapo atamkubalia haraka na kushiriki nae tendo la ndoa ni kwamba hii inaweza kusababisha kupoteza nafasi ya kujenga  mahusiano naye yenye kudumu yatakayosababishia ndoa, na hii mara nyingi huwa inatokea pale mvulana anapokuwa nia yake ni tendo la ndoa tuu na mara baada ya kukidhi haja yake anamuacha na kumtafuta mwingine…
Vile vile hatari nyingine endapo atakuwa tayari kuwa nae pasipo kushiriki nae tendo la ndoa hathari kubwa wanayoihofia ni kuwa hali hii inaweza kumfanya mvulana kukosa uvumilivu na kuamua kuondoka na kwenda kwa mwingine utakuwa ni mkubwa.
Kulingana na tafiti mbalimbali zinaonyesha ya kuwa muda wa kuchukua maamuzi kwa wakina dada limekuwa ni taatizo kubwa sana kwa kina dada.
Mmoja wa kina kaka mwenye uzoefu katika masuala ya dating alipohojiwa  yeye alisema ya kwamba mara nyingi wakina dada wanapaswa  kuwa wavumilivu angalau wawe wametoka (dating) na mvulana kwa angalau mara tatu ndipo washiriki nao katika tendo la ndoa ikiwa kama wanataka kujenga mahusiano ya kudumu.

Na katika idadi ya wakina dada walihojiwa kuhusu na swali hili wao waliweza kujibu ifuatavyo, Joyce yeye alisema angalau yeye itamchukua takribani miezi sita ila pia iytategemea na muelekeo wa mvulana jinsi atakavyokuwa amejihidhirisha kwake.
Grace yeye alijibu ya kwamba yeye atajali muda ila atajali zaidi muonekano wa hali iytakavyokuwa katika ushusino wao ili kuamua kushiriki katika tendo la ndoa.
Labels:

Post a Comment

Author Name

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.