Mvua zilizoanza kunyesha juzi usiku na kuenelea jana na leo asubuhi jijini Dar es Salaam zimesababisha adha katika makazi ya watu hasa wanaoishi katika maeneo ya mabondeni na watumiaji wa barabara kutokana na miti kuanguka na kuziba njia huku maji yakijaa barabarani na kusababisha ugumu kwa vyombo vya moto kupita, kama inavyoonekana kwenye video na picha zifuatazo kutoka kwa wadau...

 



Dar es Salaam, asubuhi ya Ijumaa, Machi 28, 2014


Dar es Salaam, asubuhi ya Ijumaa, Machi 28, 2014







Dar es Salaam, asubuhi ya Ijumaa, Machi 28, 2014




 


 

 



 



 



 


 



 



 


Add caption



Dar es Salaam, asubuhi ya Ijumaa, Machi 28, 2014



Wakazi wa eneo la Jangwani wakiokota plastiki na chupa vilivyotawanywa na mvua kali zinazoendelea nchini kama walivyokutwa na kamera yetu jana asubuhi.  (picha: Imma Matukio blog



Wakazi wa Jangwani karibu na uwanja wa klabu ya Yanga wakiwa wamekaa juu ya paa la nyumba kukwepa mafuriko yaliyosababishwa na mvua kubwa zinazoendelea. (picha: Imma Matukio blog)



Mti ukiwa ulioanguka usiku wa kuamkia jana na kuziba barabara ya Kinondoni, Makaburini jijini Dar es Salaam na kusababisha msongamano wa magari.  (picha: Francis Dande)


 Chanzo cha habari na picha www.wavuti.com







Post a Comment

Author Name

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.