Ajali mbaya ya gari la mashindano lilioacha acha njia ya mashindano na kuapramia stendi ya waangaliaji limejeruhi watu 33. Ajali hiyo ilitokea mara baada ya gari la mshiriki aitwae Kyle Larson kupasuka mpira wa mbele katika hatua ya mwisho ya mashindano ya kimataifa ya magari yajulikano kama,"Iconi Daytona International Speedway, " yanayofanyika mjini Florida, Marekani.

crash involving the car of Kyle Larson (32) takes place on the last lap NASCAR Nationwide 300 at Daytona, Florida,

Gari la mshiriki, Kyle Larson lilioacha njia na kuparamia uwanja wa watazamaji.


Larson's car smash

Gari la mshiriki Larson likipaa hewani mara baada ya kupasuka mpira wa mbele


People being treated after crash
Majeruhi wa ajali wakipatiwa huduma ya kwanza

Larson's car on fire
Gari la Larson likiteketea kwa moto

Kyle Larson walks away from crash
Larson akiwa haamini macho mara baada ya kunusurika kifo


car debris
Mabaki ya ajali, Tairi yakiwa kwenye uwanja wa watazamaji












































































































Labels:

Post a Comment

Author Name

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.