Timu za Barcelona na Manchester United jana zilitupwa nje rasmi katika mashindano ya klabu bingwa ya ulaya mara baada ya kufungwa katika michezo yao ya marudiano katika michezo za robo fainali.

Katika michezo iliyopchezwa jana usiku ilishuhudiwa mabingwa hao watetetezi wa ligi kuu ya Uingereza wakifungwa jumla ya mabao 3-1 na kufanya tmabingwa watetezi wa michuono hiyo kushinda jumla ya mabao 4-2 kwani katika mchezo wa awali uliochezwa jijini Manchester timu hizo zilitoshana nguvu kwa jumla ya mabao 1-1. Na mabigwa wa Laliga timu ya Barcelona ilishuhudia ikiaga michuano hiyo maa baada uya kukubali kufungwa na timy ya Atletico Madrid katika mchzo mkali uliochezwa katika uwanha wa Vicente Calderon jijini Madrid na kuifanya timu hiyo kusonga mbele kwa jumla ya mambo 2-1 kwani katika mchezo wa awali uliofanyika Nou Camp timu hizo zilitoka sare ya 1-1.

Kwa matokeo hayo zimeziacha timu za Real Madrid , Atletico Madrid zote kutoka jiji moja la Madrid la Uhispania, Bayern Munich ya Ujerumani na  Chelsea ya Uingereza zikisonga mbele kwenye hatua ya nusu fainali mara baada ya mechi zao za juzi na jana.


Temporada 13/14. Atlético de Madrid - F.C. Barcelona. Vuelta 1/4 Champions.
Timu za Atletico Madrid na Barcelona zikiwa zimejipanga kabla ya kuanza kwa mchezo wa jana katika uwanja wa Vicent Calderon.



temporada 13/14. Partido Atlético de Madrid- Barcelona de Champions. jugadores saludando a la grada
Kocha mkuu wa Atletico Madrid, Diego Simeone


Smalling, Rooney and Vidic look broken after Bayern's third put the tie to bed
Wacehzaji wa Manchester United wakiwa wanatoka uwanjani vichwa chini mara baada ya kuaga michuano hiyo

Kocha mkuu wa Machester United, DAvid Moyes aliyesema makosa ya kizembe ndio yaliyosababisha kutolewa kwenye michuano hiyo











































































Post a Comment

Author Name

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.