Denis Gabone atoa maoni yake juu ya katiba ya Tanzania-Sehemu ya kwanza
Mjadala wa rasimu ya katiba unaendelea kuzungumziwa vilivyo katika bunge maalumu la katiba huko Dodoma, Tanzania.Mchakato huo umejaa mengi ila shauku kubwa kwa wengi ni kutaka kujua muundo wa serikali utabadilika na pia suala la uraia wa nchi mbili utakubalika.Idhaa ya kiswahili ya SBS ilipata fursa kuongea na mwenyekiti wa zamani wa jumuiya ya Watanzania NSW bwana Denis Gabone kuhusu maoni yake juu ya katiba hiyo.
08May2014
Post a Comment
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.