Baada ya kuanza msimu kwa kusuasua timu ya Arsenal ina mpango wa kumsajili Didier Drogba ili kujaribu  kutibu safu yake ya ushambuliaji ambayo mapaka mzunguko wa tatu ilikuwa imefunga mabao mawili tuu kati ya mechi tatu.

Mpaka sas timu hiyo ni kama vile haijampata mfungaji wa kutegemewa mara ya baada ya mpachikaji mahiri wa timu hiyo Rob Van Persie kutimkia kwa wapinzani wao wakuu timu ya Manchester United.

Post a Comment

Author Name

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.