Umati wa watu uliofurika
  kwa Mganga wa Jadi Flora Ndembo Namabengo wilaya ya Namtumbo Mkoani Ruvuma
  watu wapatao 400 wameomba Serikali ichukue Mkondo wa Sheria.
 Joseph Mapunda mwenye umuri wa miaka
  40 amesema ameweza kuishi kindoa na Mama yake Mzazi Condorada Ngonyani 70 baada
  ya yeye kukubaliana wenyewe yeye na mama yake mzazi kuishi kindoa kama mume
  na mke alipo ulizwa Mama alikiri kuwa kweli wameishi kindoa kwa miaka 10 na
  anampenda Mume wake ambaye ni Mtoto wake Joseph Mapunda. 
.Mtoto wa Pili
  wa Mama Kondrada Ngonyani
Mama Condorada Ngonyani mwenye umri
  wa miaka 70 ambaye ana ishi kinyumba na mtoto wake watatu wa kumzaa mwenyewe
  kama Mke na Mume hapo anaonekana akisononeka kwa nini jamii iingilie ndoa
  yake
  
 
 
Kwa mkoa wa Ruvuma hii ni mara ya
  kwanza mtoto wa kiume Joseph Mapunda pichani hapo juu kutembea na mama yake
  mzazi. Wana Ruvuma wanauliza tume jikwaa wapi watanzani hadi kupoteza mila
  desturi na maadili ya mtanzania pia kukiuka sheria za dini
  
 
 
Joseph Mapunda ana sema upendo ni
  upendo amempenda mama na anaishi kindoa wamependana nyie watu mnataka nini
  kwetu ?
  
 
 
Mama Condorada Ngonyani anasema mara
  baada ya kufariki mume wake Mzee Mapunda alimchagua mtoto wake amrithi baba
  yake
   
 
Post a Comment