Who is the Prem’s worst diver?

Gareth Bale..............9%
Andy Carroll............ 1%
Javier Hernandez...... 2%
David Luiz ...............1%
Oscar...................... 1%
Luis Suarez ..............61%
Ashley Young ...........24%


Luis Suarez


Bingwa wa kujirusha , Louis Suarez hapa ni dhidi ya timu ya Sunderland

Gareth Bale
Gareth Bale ajiaribu kumhadaaa mwamuzi wa mcheo dhidi ya Aston Villa juzi Jumapili, photo www.thesun.co.uk





Andy Carroll
Andy Caroll akijitahidi kumdanganya mwamuzi dhidi ya timu yake ya zamani Newcastle United msimu uliopita, photo by thesin.co.uk



Javier Hernandez

Javier Hernandez akizozana na wachezaji wa Newcastle mara ya kujirusha, katika msimu wa 2010/2012 Javier aliambualia kadi mbili na tangia hapo ajapata tena kadi kwa kosa kama hilo. Photo by www.thesun.co.uk





David Luiz
David Luiz katka mojawapo wa maamuzi aliyoyapata juu ya kujirusha, Photo by thesn.co.uk



Oscar
Oscar ingawa ni mgeni katika ligi kuu ya Uingereza ila keshaingia kwenye listi ya wachezaji wanaopenda kujirusha, Photo by thesun.co.uk



Luis Suarez
Louis Suarez akiwa chini akilalamikia apewe penati



Ashley Young
Ashley Cole naye akiwa katika harakati za kumuhadaaa mwamuzi ili apatiwe penati



Luis Suarez

Picha zote kwa hisani ya www.thesun.co.uk















































































Labels:

Post a Comment

Author Name

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.